Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Mkuu wangu Mohamed Said kati ya mabandiko yako mengi pengine hili naweza kukubaliana na wewe.Sipingi kwamba Mwl Nyerere alikuwa hakosei hapana najua alikuwa na madhaifu yake mengi kama walivyo binadamu wote.Wakuu Ritz zomba Nguruvi3 Mzee Mwanakijiji Mchambuzi Mkandara... Tazameni kwa makini hiyo list ya madaktari utabaini wote ni wagalatia sasa nauliza swali rahisi sana Mwl Nyerere alikuwa akiwagandamiza wagalatia wenzake !.
Mkuu Ngongo,
Unauliza swali wakati jibu lipo wazi kila mmoja anaeleza madhira yake, alichofanya Mohamed Said kaeleza madhira yaliyowakumba wazee wake ambao ni waislam.
Ni kweli Kambarage aliwatosa hawa madaktari na wengine wakakimbia nchi, familia za hawa wazee wazalendo zipo mpaka sasa ndiyo wanajua madhira walioyofanyiwa wazee wao na Kambarage.
Lakini kwanye ili sidhani kama Nyerere atapata lawama kisa kawafanyia wakiristu wenzake.
Last edited by a moderator: