Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kaacha madini yote ardhini, kaacha gas, kaacha wanyama wote mbugani, kaacha nchi imeenea misitu ya asili kila mahali, kaacha viwanda vingi vya umma, kaacha mabenki yote ya umma, kaacha kila kitu mikononi mwetu. Tukaanza kuvitafuna na kuvigombea kama mpira wa kona. Alijenga vyuo vikuu vya umma viwili, akajenga na vyuo vingine kama IDM, IFM, CBE, vyuo mifugo, waganga wasaidizi, walimu,....

Tutaanza kutafunana wenyewe hivi karibuni tu. Vuta subira.

Katuwacha wote hatuna njaa wala uchu na mali zote hizo, isipokuwa aliwaacha wazungu tu pale Williamson Diamond wajichotee. Na mabenki aliyotuwachia yalikuwa yana utajiri mkubwa wa ajabu na ya kimataifa. Na akaliwacha kanisa katoliki linahodhi ardhi kubwa zaidi Tanzania baada ya Serikali, au sio? Na nyadhifa zote Serikalini zimeshikiliwa na wakatoliki kwa asilimia 80 na zaidi au sio?

Na mpaka anaachia madaraka msaidizi wake mahsusi (personal secretary) ni mzungu, huyo ndio Nyerere.
 
Nilipata kuandikiwa barua ya kifedhuli na Meneja Utumishi
wakati nipo kazini.

Huyu bwana akinichukia sana mimi.
Kisa Uislam wangu.

Katika barua ile anataka nifikishe kwake "auntheticated copies
of all my certificates."

Huyu bwana kilichokuwa kinamchokonoa ni hasad.

Alhamdulilah vyeti vilikuwa vimepangana vyema mpaka nilivyopata
katika kozi ndogo ndogo za IT.

Kwa hakika ulikuwa msururu wa vyeti uliotakata.

Huyu bwana yeye kwa cheo simfikii kwa mbali kabisa.
Ila ana kasoro moja.

Elimu yake hafifu mno ukifanananisha na yangu.
Ila na mimi cha kustaajabisha.

Elimu nzuri cheo sina nakula vumbi.

Mimi nikawa naitembeza ile barua kwa watu nauliza kwa stizai.
"Jamani hebu nisaidieni ushauri kujibu barua hii.

Huyu bwana ana kidiploma cha Mzumbe na ni Meneja Utumishi.
Mimi nyote mnanifahamu elimu yangu na sina cheo chochote.

Badala ya yeye kujishangaa vipi ana diploma tu na ni Meneja Utumishi mimi
na vyeti vyote vile sina chochote ana vibughudhi vyeti vyangu
anavitilia shaka huenda nimegushi.

Nisaidieni ndugu zangu nijibu nini?"

Salam zikamfikia kuwa Mohamed na yeye anashangaa umefikaje hapo ulipo
kwa elimu yako finyu na yeye na vyeti vyote vile mpaka vimekutisha bado yuko ubaoni.

Hata hivyo nikajibu barua ile kwa mstari mmoja nikasema,"Hivyo vyeti vipo katika jalada langu?"

Hakunibughudhi tena kwa mambo ya vyeti.

Leo tena hapa naulizwa ID ya Library of Congress.
Siaminiki.

Huenda nimezua tu lakini nikitoa kitambulisho....
Uongo mwingine huu hapa, yani unatuaminsha kuwa bosi wako alikuchukia kwasababu ya dini yako?katika barua aliyokuandikia alisema anakuchukia kwasababu ya dini yako?


Mzee usiwe muongo kiasi hicho utalaaniwa usiione pepo ya fildausi wewe.
 
Katuwacha wote hatuna njaa wala uchu na mali zote hizo, isipokuwa aliwaacha wazungu tu pale Williamson Diamond wajichotee. Na mabenki aliyotuwachia yalikuwa yana utajiri mkubwa wa ajabu na ya kimataifa. Na akaliwacha kanisa katoliki linahodhi ardhi kubwa zaidi Tanzania baada ya Serikali, au sio? Na nyadhifa zote Serikalini zimeshikiliwa na wakatoliki kwa asilimia 80 na zaidi au sio?

Na mpaka anaachia madaraka msaidizi wake mahsusi (personal secretary) ni mzungu, huyo ndio Nyerere.
Kanisa Katoliki wanajua kukamata ardhi kwa malengo ya mbali na ya baadae. Hawakamati ardhi kujenga kanisa tu. Misikiti inajengwa kwenye viwanja vya watu. Ukitoa kiwanja baadae unakuwa sheikh wa msikiti!
Alikuja Mmasai mmoja nilikokuwa nikifanya kazi enzi hizo. Akakuta hakuna Mmasai hata mmoja katika ofisi ya umma ya waajiriwa kama 1000. Nikamuuliza kwa nini hali iko hivi? Akasema kabila yetu tunadharau ELIMU hadi kesho. Wamasai wote unaoona wamesoma na wako makazini walikamatwa kwenda shule enzi za Mwalimu!

Tatizo hili haliko kwa Waislam na Uislam wenyewe?
 
Katuwacha wote hatuna njaa wala uchu na mali zote hizo, isipokuwa aliwaacha wazungu tu pale Williamson Diamond wajichotee. Na mabenki aliyotuwachia yalikuwa yana utajiri mkubwa wa ajabu na ya kimataifa. Na akaliwacha kanisa katoliki linahodhi ardhi kubwa zaidi Tanzania baada ya Serikali, au sio? Na nyadhifa zote Serikalini zimeshikiliwa na wakatoliki kwa asilimia 80 na zaidi au sio?

Na mpaka anaachia madaraka msaidizi wake mahsusi (personal secretary) ni mzungu, huyo ndio Nyerere.

...Sidhani kama waislamu walinyimwa ardhi, maana by then ardhi ilikuwepo ya kumwaga. Zomba, kuna tofauti kubwa sana kimtazamo na malengo baina ya viongozi wa kiislam na wa kikristo. Kama waislam hawana ardhi sio kwa sababu Nyerere aliwanyima, na kama wakatoliki wana ardhi sio kwa sababu aliwapendelea. Sababu kuu ni kuwa dini hizi zina malengo na mitazamo tofauti katika kumhudumia mwanadamu. tofauti za malengo na mitizamo hii hupelekea kuwa na mikakati tofauti, na utofauti wa mikakati ndio huzaa tofauti ya nani ana nini na nani hana nini.
Kama dini ina mtazamo wa kumhudumia mwanadamu kimwili na kiroho, itahitaji ardhi kujenga jengo la ibada, lakini pia litahitaji ardhi kujenga shule na hospitali vyuo n.k. Lakini kama dini mtazamo wake ni kumhudumia mwanadamu kiroho tu, basi itaridhika na kujenga nyumba ya ibada na darasa lakuwafundishia watoto dini yao. ndio maana hata madhehebu ya kikristo yapo mengi tu hayana ardhi lakini hawamlaumu Nyerere wala wakatoliki. kama yupo wa kumlaumu basi ni wao wenyewe.
 
Katuwacha wote hatuna njaa wala uchu na mali zote hizo, isipokuwa aliwaacha wazungu tu pale Williamson Diamond wajichotee. Na mabenki aliyotuwachia yalikuwa yana utajiri mkubwa wa ajabu na ya kimataifa. Na akaliwacha kanisa katoliki linahodhi ardhi kubwa zaidi Tanzania baada ya Serikali, au sio? Na nyadhifa zote Serikalini zimeshikiliwa na wakatoliki kwa asilimia 80 na zaidi au sio?

Na mpaka anaachia madaraka msaidizi wake mahsusi (personal secretary) ni mzungu, huyo ndio Nyerere.
Tangu nchi hii ipate uhuru, sifa ya mtu kutumiks taifa ni uzalendo na elimu tu sio dini kama unavyotaka kutuaminisha uzushi wako.
 
Kanisa Katoliki wanajua kukamata ardhi kwa malengo ya mbali na ya baadae. Hawakamati ardhi kujenga kanisa tu. Misikiti inajengwa kwenye viwanja vya watu. Ukitoa kiwanja baadae unakuwa sheikh wa msikiti!
Alikuja Mmasai mmoja nilikokuwa nikifanya kazi enzi hizo. Akakuta hakuna Mmasai hata mmoja katika ofisi ya umma ya waajiriwa kama 1000. Nikamuuliza kwa nini hali iko hivi? Akasema kabila yetu tunadharau ELIMU hadi kesho. Wamasai wote unaoona wamesoma na wako makazini walikamatwa kwenda shule enzi za Mwalimu!

Tatizo hili haliko kwa Waislam na Uislam wenyewe?
WildCard,

Kila Siku mnapenda kujitapa kuwa nyie wakiristu ni wasomi hapa Tanzania lakini mimi binafsi naona Tanzania hakuna wasomi maana ya wasomi kuna waganga njaa tu.

Labda nifahamishe wewe hao wasomi wa kikiristu ambao wapo serikalini toka enzi za Nyerere wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini duniani na vita dhidi ya ufisadi.
 
Last edited by a moderator:
Chako kimo? Hata Tanganyika library sijui kuna hata kijikaratasi chako mule wacha kitabu.

Uliingia kwenda kutafuta huko ulikoweka link ukatahayari.

Tatizo hujajua hata ktabu cha kichochezi kinachoongelewa ambacho ni "islamic movement and christian hegemony - the rise of muslim militancy in Tanzania 1979-2000" hicho hakipo maktabani na hata kingekuwepo si ishu, je unafahamu kuwa hata shigongo ana kitabu ndani ya the library of congress?
 
...Sidhani kama waislamu walinyimwa ardhi, maana by then ardhi ilikuwepo ya kumwaga. Zomba, kuna tofauti kubwa sana kimtazamo na malengo baina ya viongozi wa kiislam na wa kikristo. Kama waislam hawana ardhi sio kwa sababu Nyerere aliwanyima, na kama wakatoliki wana ardhi sio kwa sababu aliwapendelea. Sababu kuu ni kuwa dini hizi zina malengo na mitazamo tofauti katika kumhudumia mwanadamu. tofauti za malengo na mitizamo hii hupelekea kuwa na mikakati tofauti, na utofauti wa mikakati ndio huzaa tofauti ya nani ana nini na nani hana nini.
Kama dini ina mtazamo wa kumhudumia mwanadamu kimwili na kiroho, itahitaji ardhi kujenga jengo la ibada, lakini pia litahitaji ardhi kujenga shule na hospitali vyuo n.k. Lakini kama dini mtazamo wake ni kumhudumia mwanadamu kiroho tu, basi itaridhika na kujenga nyumba ya ibada na darasa lakuwafundishia watoto dini yao. ndio maana hata madhehebu ya kikristo yapo mengi tu hayana ardhi lakini hawamlaumu Nyerere wala wakatoliki. kama yupo wa kumlaumu basi ni wao wenyewe.

C,

Inaelekea hujui hali ya mambo yalivyo nchini kwa sasa.

Kuwa Nyerere na Kanisa Katoliki wamedhulumu Waislam
hivi sasa si jambo la kuwekewa baraza watu wakazungumza.

Waislam wamefanya mihadhara ya wazi nchi nzima wakizungumza
kuhusu mfumokristo.

Hii si mada tena ya kuwekewa mjadala.
Waislam tunasubiri majibu ya serikali kuhusu shutuma hiyo.
 
...Sidhani kama waislamu walinyimwa ardhi, maana by then ardhi ilikuwepo ya kumwaga. Zomba, kuna tofauti kubwa sana kimtazamo na malengo baina ya viongozi wa kiislam na wa kikristo. Kama waislam hawana ardhi sio kwa sababu Nyerere aliwanyima, na kama wakatoliki wana ardhi sio kwa sababu aliwapendelea. Sababu kuu ni kuwa dini hizi zina malengo na mitazamo tofauti katika kumhudumia mwanadamu. tofauti za malengo na mitizamo hii hupelekea kuwa na mikakati tofauti, na utofauti wa mikakati ndio huzaa tofauti ya nani ana nini na nani hana nini.
Kama dini ina mtazamo wa kumhudumia mwanadamu kimwili na kiroho, itahitaji ardhi kujenga jengo la ibada, lakini pia litahitaji ardhi kujenga shule na hospitali vyuo n.k. Lakini kama dini mtazamo wake ni kumhudumia mwanadamu kiroho tu, basi itaridhika na kujenga nyumba ya ibada na darasa lakuwafundishia watoto dini yao. ndio maana hata madhehebu ya kikristo yapo mengi tu hayana ardhi lakini hawamlaumu Nyerere wala wakatoliki. kama yupo wa kumlaumu basi ni wao wenyewe.
Watu wa akili na misimamo kama ya zomba, Mohamed Said,..., wakipata tatizo hawaanzi kujitazama na kujidadisi wao wenyewe KWANZA. Wanatafuta mchawi wao ni nani. Wanakuwa na majibu ya haraka na mepesi kwa matatizo makubwa. Wasipojipa majibu wanayatafuta hata kwa waganga wa kienyeji. Watu wenye ELIMU na uelewa duni kuliko hata wao. Matatizo ya elimu nchi hii kwa baadhi ya MAKABILA yetu na DINI zetu yako wazi kabisa. Mtu anakimbilia kwenye Ukatoliki wa Mwalimu! Ukiwauliza Mwalimu alitaifisha shule za madhehebu ya DINI( nyingi za Wakatoliki wenzake) kwa sababu gani? Utasikia wanavyojikanyaga.
 
Last edited by a moderator:
Uongo mwingine huu hapa, yani unatuaminsha kuwa bosi wako alikuchukia kwasababu ya dini yako?katika barua aliyokuandikia alisema anakuchukia kwasababu ya dini yako?


Mzee usiwe muongo kiasi hicho utalaaniwa usiione pepo ya fildausi wewe.

Y,

Huyu bwana tukifahamiana sana.
Alikuwa anahangaishwa na hasad.
 
Watu wa akili na misimamo kama ya zomba, Mohamed Said,..., wakipata tatizo hawaanzi kujitazama na kujidadisi wao wenyewe KWANZA. Wanatafuta mchawi wao ni nani. Wanakuwa na majibu ya haraka na mepesi kwa matatizo makubwa. Wasipojipa majibu wanayatafuta hata kwa waganga wa kienyeji. Watu wenye ELIMU na uelewa duni kuliko hata wao. Matatizo ya elimu nchi hii kwa baadhi ya MAKABILA yetu na DINI zetu yako wazi kabisa. Mtu anakimbilia kwenye Ukatoliki wa Mwalimu! Ukiwauliza Mwalimu alitaifisha shule za madhehebu ya DINI( nyingi za Wakatoliki wenzake) kwa sababu gani? Utasikia wanavyojikanyaga.

WC,

Unajua huko tumeshapita miaka mingi.

Waislaam wa sasa wanazungumza lugha
nyingine.

Siyo hiyo shule zimetaifishwa kisha
wanasoma wenyewe.

Inatia uvivu kuchangia hii.

Sasa Waislam wana taarifa za NECTA.
Inasubiriwa muda tu ziwekwe hadharani.
 
C,

Inaelekea hujui hali ya mambo yalivyo nchini kwa sasa.

Kuwa Nyerere na Kanisa Katoliki wamedhulumu Waislam
hivi sasa si jambo la kuwekewa baraza watu wakazungumza.

Waislam wamefanya mihadhara ya wazi nchi nzima wakizungumza
kuhusu mfumokristo.

Hii si mada tena ya kuwekewa mjadala.
Waislam tunasubiri majibu ya serikali kuhusu shutuma hiyo.
Jibu atalitoa nani sasa. Jakaya? Gharib Bilal? Dr Shein? Hivi bado madai haya yana uzito wowote? Wewe Mzee Mohamed endelea kuwa-brainwash Waislam wenzio badala ya kutafuta ardhi mjenge vyuo vikuu vingi tu.
 
WC,

Unajua huko tumeshapita miaka mingi.

Waislaam wa sasa wanazungumza lugha
nyingine.

Siyo hiyo shule zimetaifishwa kisha
wanasoma wenyewe.

Inatia uvivu kuchangia hii.

Sasa Waislam wana taarifa za NECTA.
Inasubiriwa muda tu ziwekwe hadharani.
Wewe, Barubaru na Jakaya mlisomaje hadi Chuo KIkuu ndani ya mfumo huu? Mlibadili majina kwa muda? NECTA, NECTA, huko Lindi na Mtwara madarasa hayana wanafunzi!
 
Last edited by a moderator:
Mohamedi said,huu mjadala nimeufatilia kwa karibu sana,kwa ufupi nilichogundua nikuwa kumbe mfumo kristo una mkono mrefu,nyerere alikuwa ni kibaraka wa vatican nchini tanganyika,kumbe vatican wameza kutengeneza vibaraka nchi nyingi za africa ili kulinda kanisa kwa siku za baadae,kwa kila nchi zenye tamaduni za kiislam basi falsafa ya devided & rule ilichukua hatamu (e.g z'br,somalia,mali)basi ujue hapo kanisa linafanya kazi ya kunyonga waislam,kwa vile mjadala unaendelea wachanisubiri kuyashuhudia mengine yanayokuja.
 
Kumbe hawa waislam akina Ally (wakiwa mamluki) walikuwa wanamsaidia Mjerumani kwenye ukoloni wao wa kumkandamiza mtu mweusi? Je unasemaje kuhusu madai yako ya kuwa miaka hiyo, wakristo walikuwa wana-side na wakoloni, ila waislam walikuwa wanapinga ukoloni? Hapa umeonesha kuwa wazazi wa Sykes kumbe tayari walikuwa waislam wakati wakiwa mamluki... Of course, najua hii ume-reveal accidentally, you never intended to.

N,

Hapana nalijua sana hili kuwa kuna jeshi pia la Wamanyema waliingia Tanganyika
kama askari wa Wajerumani.

Mmojawapo ni babu yangu mkuu Samitungo Mwekapopo na alikuwa pale Shirati Bomani.
Ukipenda babu yangu mkuu alikuwa mmluki na alipigana dhidi ya wananchi wa Tanganyika.

Huu ni ukweli wa historia ya ukoloni.

Ila watoto wa hawa mamluki walikuja kufanya makubwa katika maendeleo ya siasa Tanganyika.

Ndiyo hawa akina Kleist Sykes, Schneider Abdillah Plantan, Ramadhani Mashado Plantan, Thomas
Sauti Plantan, Ibrahim Hamisi, Salum Abdallah na wengine wengi.

Kleist Sykes akaasisi African Association na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika, babu yangu akaasisi
Tanganyika Railway African Union (TRAU) na alikuwa mwanachama wa African Association na TANU
nk. nk.

Sisi wajukuu wa watu hawa hatuna la kuonea haya katika historia ya wazee wetu.
 
Y,

Huyu bwana tukifahamiana sana.
Alikuwa anahangaishwa na hasad.
Sipendi kuamini kuwa hili ndio jibu la mtu anajikweza kuwa ni msomi aliyebeba matarajio ya waislamu.

Hivi kujuana na mtu inaleta maana gani hasa kama kwenye barua rasmi ya kikazi inayokutaka ujieleze (huenda kwakukiuka miiko yakazi) hajahusisha kujuana kwenu?

Unaonyesha wazi kuwa ngano zako karibu zote hata hao mababu zako unaodai walikusimulia hunda umewalisha maneno yako vinywani mwao
 
Back
Top Bottom