Huyu si mmoja wa wazee wake. atamtajataja tu. Halafu wala sio Muislam.Huyu alikuwa Myao kutoka Masasi ngoja Mohamed Said, atupe historia yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu si mmoja wa wazee wake. atamtajataja tu. Halafu wala sio Muislam.Huyu alikuwa Myao kutoka Masasi ngoja Mohamed Said, atupe historia yake.
Huyu si mmoja wa wazee wake. atamtajataja tu. Halafu wala sio Muislam.
Kaacha madini yote ardhini, kaacha gas, kaacha wanyama wote mbugani, kaacha nchi imeenea misitu ya asili kila mahali, kaacha viwanda vingi vya umma, kaacha mabenki yote ya umma, kaacha kila kitu mikononi mwetu. Tukaanza kuvitafuna na kuvigombea kama mpira wa kona. Alijenga vyuo vikuu vya umma viwili, akajenga na vyuo vingine kama IDM, IFM, CBE, vyuo mifugo, waganga wasaidizi, walimu,....
Tutaanza kutafunana wenyewe hivi karibuni tu. Vuta subira.
Uongo mwingine huu hapa, yani unatuaminsha kuwa bosi wako alikuchukia kwasababu ya dini yako?katika barua aliyokuandikia alisema anakuchukia kwasababu ya dini yako?Nilipata kuandikiwa barua ya kifedhuli na Meneja Utumishi
wakati nipo kazini.
Huyu bwana akinichukia sana mimi.
Kisa Uislam wangu.
Katika barua ile anataka nifikishe kwake "auntheticated copies
of all my certificates."
Huyu bwana kilichokuwa kinamchokonoa ni hasad.
Alhamdulilah vyeti vilikuwa vimepangana vyema mpaka nilivyopata
katika kozi ndogo ndogo za IT.
Kwa hakika ulikuwa msururu wa vyeti uliotakata.
Huyu bwana yeye kwa cheo simfikii kwa mbali kabisa.
Ila ana kasoro moja.
Elimu yake hafifu mno ukifanananisha na yangu.
Ila na mimi cha kustaajabisha.
Elimu nzuri cheo sina nakula vumbi.
Mimi nikawa naitembeza ile barua kwa watu nauliza kwa stizai.
"Jamani hebu nisaidieni ushauri kujibu barua hii.
Huyu bwana ana kidiploma cha Mzumbe na ni Meneja Utumishi.
Mimi nyote mnanifahamu elimu yangu na sina cheo chochote.
Badala ya yeye kujishangaa vipi ana diploma tu na ni Meneja Utumishi mimi
na vyeti vyote vile sina chochote ana vibughudhi vyeti vyangu
anavitilia shaka huenda nimegushi.
Nisaidieni ndugu zangu nijibu nini?"
Salam zikamfikia kuwa Mohamed na yeye anashangaa umefikaje hapo ulipo
kwa elimu yako finyu na yeye na vyeti vyote vile mpaka vimekutisha bado yuko ubaoni.
Hata hivyo nikajibu barua ile kwa mstari mmoja nikasema,"Hivyo vyeti vipo katika jalada langu?"
Hakunibughudhi tena kwa mambo ya vyeti.
Leo tena hapa naulizwa ID ya Library of Congress.
Siaminiki.
Huenda nimezua tu lakini nikitoa kitambulisho....
Kanisa Katoliki wanajua kukamata ardhi kwa malengo ya mbali na ya baadae. Hawakamati ardhi kujenga kanisa tu. Misikiti inajengwa kwenye viwanja vya watu. Ukitoa kiwanja baadae unakuwa sheikh wa msikiti!Katuwacha wote hatuna njaa wala uchu na mali zote hizo, isipokuwa aliwaacha wazungu tu pale Williamson Diamond wajichotee. Na mabenki aliyotuwachia yalikuwa yana utajiri mkubwa wa ajabu na ya kimataifa. Na akaliwacha kanisa katoliki linahodhi ardhi kubwa zaidi Tanzania baada ya Serikali, au sio? Na nyadhifa zote Serikalini zimeshikiliwa na wakatoliki kwa asilimia 80 na zaidi au sio?
Na mpaka anaachia madaraka msaidizi wake mahsusi (personal secretary) ni mzungu, huyo ndio Nyerere.
Katuwacha wote hatuna njaa wala uchu na mali zote hizo, isipokuwa aliwaacha wazungu tu pale Williamson Diamond wajichotee. Na mabenki aliyotuwachia yalikuwa yana utajiri mkubwa wa ajabu na ya kimataifa. Na akaliwacha kanisa katoliki linahodhi ardhi kubwa zaidi Tanzania baada ya Serikali, au sio? Na nyadhifa zote Serikalini zimeshikiliwa na wakatoliki kwa asilimia 80 na zaidi au sio?
Na mpaka anaachia madaraka msaidizi wake mahsusi (personal secretary) ni mzungu, huyo ndio Nyerere.
Tangu nchi hii ipate uhuru, sifa ya mtu kutumiks taifa ni uzalendo na elimu tu sio dini kama unavyotaka kutuaminisha uzushi wako.Katuwacha wote hatuna njaa wala uchu na mali zote hizo, isipokuwa aliwaacha wazungu tu pale Williamson Diamond wajichotee. Na mabenki aliyotuwachia yalikuwa yana utajiri mkubwa wa ajabu na ya kimataifa. Na akaliwacha kanisa katoliki linahodhi ardhi kubwa zaidi Tanzania baada ya Serikali, au sio? Na nyadhifa zote Serikalini zimeshikiliwa na wakatoliki kwa asilimia 80 na zaidi au sio?
Na mpaka anaachia madaraka msaidizi wake mahsusi (personal secretary) ni mzungu, huyo ndio Nyerere.
WildCard,Kanisa Katoliki wanajua kukamata ardhi kwa malengo ya mbali na ya baadae. Hawakamati ardhi kujenga kanisa tu. Misikiti inajengwa kwenye viwanja vya watu. Ukitoa kiwanja baadae unakuwa sheikh wa msikiti!
Alikuja Mmasai mmoja nilikokuwa nikifanya kazi enzi hizo. Akakuta hakuna Mmasai hata mmoja katika ofisi ya umma ya waajiriwa kama 1000. Nikamuuliza kwa nini hali iko hivi? Akasema kabila yetu tunadharau ELIMU hadi kesho. Wamasai wote unaoona wamesoma na wako makazini walikamatwa kwenda shule enzi za Mwalimu!
Tatizo hili haliko kwa Waislam na Uislam wenyewe?
Chako kimo? Hata Tanganyika library sijui kuna hata kijikaratasi chako mule wacha kitabu.
Uliingia kwenda kutafuta huko ulikoweka link ukatahayari.
...Sidhani kama waislamu walinyimwa ardhi, maana by then ardhi ilikuwepo ya kumwaga. Zomba, kuna tofauti kubwa sana kimtazamo na malengo baina ya viongozi wa kiislam na wa kikristo. Kama waislam hawana ardhi sio kwa sababu Nyerere aliwanyima, na kama wakatoliki wana ardhi sio kwa sababu aliwapendelea. Sababu kuu ni kuwa dini hizi zina malengo na mitazamo tofauti katika kumhudumia mwanadamu. tofauti za malengo na mitizamo hii hupelekea kuwa na mikakati tofauti, na utofauti wa mikakati ndio huzaa tofauti ya nani ana nini na nani hana nini.
Kama dini ina mtazamo wa kumhudumia mwanadamu kimwili na kiroho, itahitaji ardhi kujenga jengo la ibada, lakini pia litahitaji ardhi kujenga shule na hospitali vyuo n.k. Lakini kama dini mtazamo wake ni kumhudumia mwanadamu kiroho tu, basi itaridhika na kujenga nyumba ya ibada na darasa lakuwafundishia watoto dini yao. ndio maana hata madhehebu ya kikristo yapo mengi tu hayana ardhi lakini hawamlaumu Nyerere wala wakatoliki. kama yupo wa kumlaumu basi ni wao wenyewe.
Watu wa akili na misimamo kama ya zomba, Mohamed Said,..., wakipata tatizo hawaanzi kujitazama na kujidadisi wao wenyewe KWANZA. Wanatafuta mchawi wao ni nani. Wanakuwa na majibu ya haraka na mepesi kwa matatizo makubwa. Wasipojipa majibu wanayatafuta hata kwa waganga wa kienyeji. Watu wenye ELIMU na uelewa duni kuliko hata wao. Matatizo ya elimu nchi hii kwa baadhi ya MAKABILA yetu na DINI zetu yako wazi kabisa. Mtu anakimbilia kwenye Ukatoliki wa Mwalimu! Ukiwauliza Mwalimu alitaifisha shule za madhehebu ya DINI( nyingi za Wakatoliki wenzake) kwa sababu gani? Utasikia wanavyojikanyaga....Sidhani kama waislamu walinyimwa ardhi, maana by then ardhi ilikuwepo ya kumwaga. Zomba, kuna tofauti kubwa sana kimtazamo na malengo baina ya viongozi wa kiislam na wa kikristo. Kama waislam hawana ardhi sio kwa sababu Nyerere aliwanyima, na kama wakatoliki wana ardhi sio kwa sababu aliwapendelea. Sababu kuu ni kuwa dini hizi zina malengo na mitazamo tofauti katika kumhudumia mwanadamu. tofauti za malengo na mitizamo hii hupelekea kuwa na mikakati tofauti, na utofauti wa mikakati ndio huzaa tofauti ya nani ana nini na nani hana nini.
Kama dini ina mtazamo wa kumhudumia mwanadamu kimwili na kiroho, itahitaji ardhi kujenga jengo la ibada, lakini pia litahitaji ardhi kujenga shule na hospitali vyuo n.k. Lakini kama dini mtazamo wake ni kumhudumia mwanadamu kiroho tu, basi itaridhika na kujenga nyumba ya ibada na darasa lakuwafundishia watoto dini yao. ndio maana hata madhehebu ya kikristo yapo mengi tu hayana ardhi lakini hawamlaumu Nyerere wala wakatoliki. kama yupo wa kumlaumu basi ni wao wenyewe.
Uongo mwingine huu hapa, yani unatuaminsha kuwa bosi wako alikuchukia kwasababu ya dini yako?katika barua aliyokuandikia alisema anakuchukia kwasababu ya dini yako?
Mzee usiwe muongo kiasi hicho utalaaniwa usiione pepo ya fildausi wewe.
Watu wa akili na misimamo kama ya zomba, Mohamed Said,..., wakipata tatizo hawaanzi kujitazama na kujidadisi wao wenyewe KWANZA. Wanatafuta mchawi wao ni nani. Wanakuwa na majibu ya haraka na mepesi kwa matatizo makubwa. Wasipojipa majibu wanayatafuta hata kwa waganga wa kienyeji. Watu wenye ELIMU na uelewa duni kuliko hata wao. Matatizo ya elimu nchi hii kwa baadhi ya MAKABILA yetu na DINI zetu yako wazi kabisa. Mtu anakimbilia kwenye Ukatoliki wa Mwalimu! Ukiwauliza Mwalimu alitaifisha shule za madhehebu ya DINI( nyingi za Wakatoliki wenzake) kwa sababu gani? Utasikia wanavyojikanyaga.
Jibu atalitoa nani sasa. Jakaya? Gharib Bilal? Dr Shein? Hivi bado madai haya yana uzito wowote? Wewe Mzee Mohamed endelea kuwa-brainwash Waislam wenzio badala ya kutafuta ardhi mjenge vyuo vikuu vingi tu.C,
Inaelekea hujui hali ya mambo yalivyo nchini kwa sasa.
Kuwa Nyerere na Kanisa Katoliki wamedhulumu Waislam
hivi sasa si jambo la kuwekewa baraza watu wakazungumza.
Waislam wamefanya mihadhara ya wazi nchi nzima wakizungumza
kuhusu mfumokristo.
Hii si mada tena ya kuwekewa mjadala.
Waislam tunasubiri majibu ya serikali kuhusu shutuma hiyo.
Wewe, Barubaru na Jakaya mlisomaje hadi Chuo KIkuu ndani ya mfumo huu? Mlibadili majina kwa muda? NECTA, NECTA, huko Lindi na Mtwara madarasa hayana wanafunzi!WC,
Unajua huko tumeshapita miaka mingi.
Waislaam wa sasa wanazungumza lugha
nyingine.
Siyo hiyo shule zimetaifishwa kisha
wanasoma wenyewe.
Inatia uvivu kuchangia hii.
Sasa Waislam wana taarifa za NECTA.
Inasubiriwa muda tu ziwekwe hadharani.
Kumbe hawa waislam akina Ally (wakiwa mamluki) walikuwa wanamsaidia Mjerumani kwenye ukoloni wao wa kumkandamiza mtu mweusi? Je unasemaje kuhusu madai yako ya kuwa miaka hiyo, wakristo walikuwa wana-side na wakoloni, ila waislam walikuwa wanapinga ukoloni? Hapa umeonesha kuwa wazazi wa Sykes kumbe tayari walikuwa waislam wakati wakiwa mamluki... Of course, najua hii ume-reveal accidentally, you never intended to.
Sipendi kuamini kuwa hili ndio jibu la mtu anajikweza kuwa ni msomi aliyebeba matarajio ya waislamu.Y,
Huyu bwana tukifahamiana sana.
Alikuwa anahangaishwa na hasad.