Yaseme Mzee wetu Mohamed. Nataka sana kuyasikia. Waislam wengi siku hizi ni waelewa. Wana akili zao pia za kuchanganya na hizo za kwako. Usirudie yale ya kitabu chako na Padre Sivalon, M.M. Hayo tunayajua sana.WC,
Sawa.
Huo ni upande wenu na umedumu kwa miaka mingi mkisema pweke na msema pweke
hushinda.
Sasa nimeandika kitabu nimeeleza mambo kama yalivyokuwa kwa upande wa Waislam.
Leo Waislam wamesikia nini kilitokea na wameelewa.
Nina mengi ya kusema hutaki kuyasikia?
Ninafurahi kuona idadi kubwa ya watanzania na walimwengu kwaujumla imefunguka na imejua ukweli kuwa Mohamed Said ni mchochezi na mzushi wakuogopwa kama ukoma.
Idadi ya watu wamataifa waliowasiliana na mimi ilikujua ukweli inanipa matumaini zaidi, mungu ibariki jf idumu zaidi na zaidi.
Hahaaa asante sana, nilikuwa bize kidogo na mahangaiko ya kusaka mkate wa kila siku, naaam sasa twaweza kunena pamoja ndugu msomi pekee unayewakilisha kilio cha wajiitao waislamu wanaodhulumiwa na Nyerere hadi leo hii.Yericko,
Sahib yangu karibu jamvini.
Nimekuwekea halua ya lozi.
Karibu sahib wangu nakutandikia kashda yangu ukalie.
Yaseme Mzee wetu Mohamed. Nataka sana kuyasikia. Waislam wengi siku hizi ni waelewa. Wana akili zao pia za kuchanganya na hizo za kwako. Usirudie yale ya kitabu chako na Padre Sivalon, M.M. Hayo tunayajua sana.
Ninafurahi kuona idadi kubwa ya watanzania na walimwengu kwaujumla imefunguka na imejua ukweli kuwa Mohamed Said ni mchochezi na mzushi wakuogopwa kama ukoma.
Idadi ya watu wamataifa waliowasiliana na mimi ilikujua ukweli inanipa matumaini zaidi, mungu ibariki jf idumu zaidi na zaidi.
Yericko,
Sahib yangu karibu jamvini.
Nimekuwekea halua ya lozi.
Karibu sahib wangu nakutandikia kashda yangu ukalie.
Hahaaa asante sana, nilikuwa bize kidogo na mahangaiko ya kusaka mkate wa kila siku, naaam sasa twaweza kunena pamoja ndugu msomi pekee unayewakilisha kilio cha wajiitao waislamu wanaodhulumiwa na Nyerere hadi leo hii.
Maalim Mohamed Said anaijuwa lozi na kashda huyo?
Maalim Mohamed Said,
Kadri unvyoendelea kutupa vitu humu, mleta mada Yericko Nyerere anatamani asingeufunguwa huu uzi.
MashAllah tunapata darsa murwa kabisa.
Haya mambo hayawafai watoto wadogo. Unapandikiza sumu ya ajabu kama hawatasoma na kuelimika vizuri. Watakapoanza kuitapika sumu hii Tanzania hapatatosha. Umewambia pia kwamba huyo Sheikh Amir hakuwa MTANGANYIKA?WC,
Nashukuru kuwa wewe yangu na ya Sivalon unayajua.
Kuna wenzako ndiyo leo wanayasikia.
Hawa ndiyo wananifanya nilale JF, niamke JF, nile JF.
Hakika Waislam wengi sasa wameelewa.
Nani alijua itafika siku vijana watataka kujenga msikiti
wauite ''Masjid Sheikh Hassan bin Amir,'' na wala hawakupata
kumuona Sheikh Hassan.
Wamemjua kwa kumsoma katika kitabu changu na kumsikia katika
mihadhara.
Leo kuna ''Sheikh Hassan bin Amir Award'' kwa wanafunzi bora
katika shule za Kiislam.
Fedha za award hii wanachanga Waislam wa nchi nzima.
Haya yote baada ya Sheikh Hassan kufariki miaka mingi.
Alhamdulilah.
Hii ni faraja kubwa.
Nimepata kuhudhuria mchezo wa kuigiza wa Maisha ya Sheikh Hassan..
vijana wanaigiza sheikh yuko darasani anasomesha...
wanaingia Abdu, Dossa na Nyerere...
Anawapokea...
Waikela anamsomea Nyerere ile khutba maarufu ya mwaka 1963
''Moto wa Waislam Ukiwaka.''
Machozi yalinitiririka...
na ni vitoto vidogo hivi...
Yaseme Mzee wetu Mohamed. Nataka sana kuyasikia. Waislam wengi siku hizi ni waelewa. Wana akili zao pia za kuchanganya na hizo za kwako. Usirudie yale ya kitabu chako na Padre Sivalon, M.M. Hayo tunayajua sana.
Napenda sana michango yako dhidi ya Waislam unawaamsha.
Idadi inayoujuwa ukweli leo hii ni kubwa sana kuliko unavyofikiria, na hao unaojidai "wakimataifa waliowasiliana" na wewe leo hii wanasoma na kupata mapya, kaa na wewe uyasome.
Nakukumbushia;
Ritz mkumbushe mengine aliyoahidi kama sikuyaweka.
- Ile hotuba uliyotuahidi (kumbuka tumekupa na ofa ya kukusaidia kuununuwa kwani ulidai zimehitajika pesa.)
- Habari za Mkwawa ulizodai utazipata kwa Chifu. Unakumbuka? au ilikuwa "knockout" imekutia kizunguzungu ukawa unaweweseka?
- Historia ya Abushiri.
Haya mambo hayawafai watoto wadogo. Unapandikiza sumu ya ajabu kama hawatasoma na kuelimika vizuri. Watakapoanza kuitapika sumu hii Tanzania hapatatosha. Umewambia pia kwamba huyo Sheikh Amir hakuwa MTANGANYIKA?
zomba,
1) Alisema atatuletea majina ya waasi wa mwaka 1982 waliosamehewa na Nyerere na wengi kupewa vyeo wengine mabalozi.
2) Alisema ataleta picha ya gari ya kwanza ya Nyerere aliopewa na Mariale.
3) Alisema ataleta audio na video clip ya Nyerere ataenda kuchukuwa TBC baadae akasema wanaiuza lakini hataki kusema kiasi gani.
ko-ko-rikooo
kumekucha, jua hiloo laja
hakika waislam sasa ndo tunaanza kuijua husda haswa ya hawa ndugu zetu
Allah ampe maisha marefu mzee wetu Mohamed Said