Wanasikilizia saizi Mohamed Said, atakuja na nini...munakasha mzuri sana.Nguruvi3, Mag3, Mzee Mwanakijiji,
Mnashabikia kuumizwa? mnanikumbusha "kufungwa twafungwa lakini chenga twawala".
zomba, mimi nadaiwa nimetukana kwa hivyo maswali yangu hayawezi kujibiwa na mwandishi, mtafiti na aliyebobea...badala yake tunapata vibweka kutoka kwa akina zomba, kulikoni? Hapa hakuna kuumizana wala nini, kama mtu anaandika uongo halafu anadai ni matokeo ya utafiti, ni jukumu letu kumweka kiti moto na kuhoji ukweli na uhalali wa maandishi yake...huu si uwanja wa mhadhara wasikoulizana maswali, hapa ni JF. Chukua kwa mfano ukutane na maandishi haya hapa chini, utamweka wapi mohamed Siad na wazee wake wa Gerezani?Nguruvi3, Mag3, Mzee Mwanakijiji, Mnashabikia kuumizwa? mnanikumbusha "kufungwa twafungwa lakini chenga twawala".
Short, precise and clear...je una la kuongezea hapo?In 1922 the British authorities in Tanganyika authorized the formation of African organizations in pursuit of their "liberal" policy of allowing Africans to express their views and promote their well-being.
The first and most prominent of these organizations was TTACSA formed in 1922 in Tanga under the leadership of Martin Kayamba and became the incubator of nationalist aspirations which culminated in the formation of TAA in 1929 under the leadership of Cecil Matola and the establishment of TANU on 7 July 1954 under the leadership of Julius Nyerere.
Thus Tanga became the first place where Tanganyikans began to think of their country as a unit and as a future independent state early in the 1920s and not Dar es Salaam.
zomba, mimi nadaiwa nimetukana kwa hivyo maswali yangu hayawezi kujibiwa na mwandishi, mtafiti na aliyebobea...badala yake tunapata vibweka kutoka kwa akina zomba, kulikoni? Hapa hakuna kuumizana wala nini, kama mtu anaandika uongo halafu anadai ni matokeo ya utafiti, ni jukumu letu kumweka kiti moto na kuhoji ukweli na uhalali wa maandishi yake...huu si uwanja wa mhadhara wasikoulizana maswali, hapa ni JF. Chukua kwa mfano ukutane na maandishi haya hapa chini, utamweka wapi mohamed Siad na wazee wake wa Gerezani?
Short, precise and clear...je una la kuongezea hapo?
Japo nasita sana kujibizana na watu wenye uelewa mfupi, hebu tafakari hizi sentensi mbili...ipi si kweli!Nataka unijuze, amma wewe, amma Yericko Nyerere, amma Juliasi Nyerere, yupi tukubali ndio mkweli kama nilivyoainisha kwenye post #5300 . Kuna japo mmoja atakuwa si mkweli. Fafanuwa.
Hiyo tofauti unayoiona ni ipi? Sasa na mimi nakuomba unijibu swali langu, kati yako wewe zomba na Mohamed Said nani ni mkweli...wewe unayekiri Mwalimu alimtaja Abdulwahid Sykes au yeye anayeshikilia kwamba Mwalimu hakumtaja.
- Yericko - Baada ya miezi 13, hapo 1954, tukaanzisha TANU. Jina hili lilipendekezwa na akina Abdul Sykes.
- Mag3 - Hapo ndipo Abdu akapendekeza TANU kwani inatamkika kirahisi kwa waswahili na wazo lake kuungwa mkono.
Kama zangu ni ngano, za huyu mchochezi? Mbona hukumhimiza kujibu maswali anayoulizwa na badala kutujazia jamvi kwa simulizi za Gerezani. Hizo hadithi hata sisi tunazo tunawasimulia wajukuu zetu...eti historia!Wewe ndiyo umeleta hizi ngano unaulizwa maswali huna majibu
Basi mwambie kafanya makosa makubwa kuleta ngano zake JF...angebaki nayo huko huko wala hazingetusumbua. Lakini maadam kazileta hapa tutazichambua kama karanga and you can take that to the bank!zaidi ya matusi hata ukichukia kazi bure kitabu kipo toleo la tatu...saizi sikusikii tena ukija kama rais wa JF
Angeishia hapo hapo katika historia ya wazee wake wala tusingekuwa na shida naye lakini kudai eti ndiyo historia eti nzima ya Tanganyika hapo atafute kabisa na mkeka. Sisi tutaaga, tutaenda kupumzika, kula na kulala kwa muda muafaka halafu tutarudi tena na kuendelea kumpasha.Mohamed Said kaamua kushinda JF, kulala JF, kula JF, kuweka wazi historia ya wazee wazalendo waliosahulika.
Nafikiri wewe huelewi hata maana ya neno matusi, unadandia tu usichokijua...kwani yakp wapi yanayofikia matusi anayomporomoshea Baba wa Taifa! Huyaoni?Kazi iliyobakia kwako ni kuporomosha matusi tu.
Ahaa! Mag3 sasa mtu ataondokaje kwenye kona huku jabs na upper cut zikishamiri. Ni kawaida mambo yakizidi atachagua neno moja na kusema spelling haipo sawa sijibu!zomba, mimi nadaiwa nimetukana kwa hivyo maswali yangu hayawezi kujibiwa na mwandishi, mtafiti na aliyebobea...badala yake tunapata vibweka kutoka kwa akina zomba, kulikoni? Hapa hakuna kuumizana wala nini, kama mtu anaandika uongo halafu anadai ni matokeo ya utafiti, ni jukumu letu kumweka kiti moto na kuhoji ukweli na uhalali wa maandishi yake...huu si uwanja wa mhadhara wasikoulizana maswali, hapa ni JF. Chukua kwa mfano ukutane na maandishi haya hapa chini, utamweka wapi mohamed Siad na wazee wake wa Gerezani?
Short, precise and clear...je una la kuongezea hapo?
Mkuu Nguruvi3, kuna kitu hatari kinaitwa pandora box, Mohamed Said kwa kujua au kutojua ameamua kukifungua...sina hakika kama anajua kilichomo ndani ila awe tayari kuyakabili makombora yake. A jinn is safer in the bottle!Ahaa! Mag3 sasa mtu ataondokaje kwenye kona huku jabs na upper cut zikishamiri. Ni kawaida mambo yakizidi atachagua neno moja na kusema spelling haipo sawa sijibu!
Mag3 hili la nyumba limenigusa! huu mnakasha mzuri sana sikujua kuwa ufisadi ulianza kabla ya uhuru!
Mohamed atazua mambo jamani! Mzee Saidi vipi kulikuwa na ufisadi wa nyumba ya Cameron ?
halafu la Cecil Matola nalolimekaaje!
Produce your proof if you should be truthful.
Watanganyika wote walipigania uhuru bila kujali dini, ukanda au ukabila. Hawakupigania uhuru kama Waislam au Wakristo. Walipigania uhuru bila kubaguana au kushindana. Hata wangekuwa ni Waislamu peke yao, nia yao ingekuwa ni kulikomboa taifa letu, siyo kutaka sifa kwamba nchi yetu ilikombolewa na Waislamu. Wangesema ilikombolewa na Watanganyika.
Pia Mohamed Said ametajwa katika kitabu cha Mwakikagile, Nyerere and Africa: End of an Era, as a main source of information for the chapter on the independence struggle. I just found this on Google Books katika kitabu hicho, kuanzia ukurasa 108. Kwahiyo si kweli kwamba hakupewa credit. Pia Appendix ya Mohamed Said iliyotajwa huko nyuma kwamba iko katika kitabu cha Mwakikagile, Life in Tanganyika in The Fifties, haiko katika kitabu hicho. Iko katika katika kitabu hiki, Nyerere and Africa: End of an Era. Appendix hiyo ni "Mwalimu in 1950s Dar," kurasa 635 - 641.
Soma kuanzia ukurasa 107 kuhusu "background and various perspectives" Mwakikagile alizotumia kuandika chapter ya independence struggle:
"All this background, and various perspectives, have collectively constituted a veritable source of information which has been indispensable in writing this chapter on the early days of the inpdendence struggle in Tanganyika. Complementing my work on the subject is some material, including some names of the veterans of the independence struggle, I obtained from some of the Swahili articles written by Mohamed Said in one of the Islamic newspapers in Tanzania, An-Nur. But I have not read his book on the role Muslims played in the struggle for independence....
Even he himself has mentioned the names of some Christians who - together with the Muslims - were leading figures in the independence struggle from the beginning in Dar es Salaam and in other parts of Tanganyika. I have included those names in this chapter. I already knew many of them even before I read his articles which he wrote in Swahili in the Muslim newspaper I have mentioned here. But I have also obtained from his articles some of the names I did not know.
His articles in Swahili also include other details about the early days of TANU in Dar es Salaam which I have incorporated into this chapter but in a modified way to conform to my observations and analysis.
I have also included in the appendix his article, "Mwalimu in 1950s Dar," published in The East African, Nairobi, Kenya, 12 October 2008. I have done so in order to provide another perspective on the subject even though I don't agree with everything he has written including some of his analyses and conclusions.
But the article provides some background information and some of the names of the important figures in the independence struggle in Tanganyika since the fifties. It therefore serves a useful purpose even if it does necessarily complement my work in terms of factual analysis. It also provides readers with an opportunity to compare and contrast what has been written about the early days of the independence struggle by different people including Mohamed Said himself, me, and many others who share or don't share his or my perspective and analysis of the subject which is sometimes highly contentious especially when it's tainted with religious bias.
Another article by Mohamed Said which he wrote as a review of his own book highlights the role of Islam in the struggle for independence. He contends that the role of Islam in the struggle has been ignored. The article, "Islam's Role in Tanzania's Independence Struggle," was published in The East African, 19 April 2009. He states in the article about his book:
"The book ventures into the uncharted terrain of Islam as an ideology of colonial resistance, depicting the central role of Muslims in the struggle against the British, a topic still considered a no-go zone in Tanzania."
Source:
Google Books - Nyerere and Africa: End of an Era, 2010, pp. 107 - 109.
Mohamed Said- hizi nondo na kadri mjadala unavyoendelea naona you are being skinned alive-itabidi tuwaombe mods wafunge huu mjadala tu spare you more misery-kitabu kinachokwenda chapisho la 3,leo humu JF kina tumble like a house of cards
Mag3.. umefanya vizuri sana kuweka rekodi straight. Nimekuwa nikisema kuwa historia haibadiliki. Kuna msemo kwa wenzetu kuwa "Even God can not change the past". Bw. Said siyo mwanahistoria na kazi zake zote ambazo anaziita 'historia' kwa kweli hazikidhi kiwango cha kuitwa 'kazi za kihistoria'. Ni masimulizi tu ambayo ndani yake yamejaa utamu wa kuvuta hisia. Kwa kutumia Uislamu na kwa kujificha nyuma ya kuupinga 'dhulma' dhidi ya Uislamu anatumia kupandikiza hadaa na histohisia.
Umefanya vizuri kuiingiza Tanga. Katika historia ya Uislamu Tanganyika, Tanga ilikuwa na nafasi ya pekee sana ambayo Waislamu wa Dar hawakuwa nayo. Tanga ilikuwa na mahusiano ya muda mrefu na Waislamu wa Mombasa kama vile wale wa Visiwani (Zanzibar na Pemba). Madhehebu yaliyokuwa na mguso mkubwa ni wale Masufi (Sufism) na ambayo kwa kweli dini ni suala ambao lina mysticism ya aina fulani. Ukienda Tanga utakutana na makaburi ya Masharifu na mashehe wa zamani ambao walikuwa viongozi wakubwa wakidini.
Kama vile Mohammed Said anavyozungumzia mitaa ya Gerezani na Kariakoo kama "Tanganyika" vivyo hivyo anataka wasomaji wake waamini kuwa Wazee wa Kiislamu wa Dar ndio walikuwa na nguvu kubwa miongoni mwa Waislamu wa Tanganyika. Ukweli ni kinyume na hivyo; napendekeza kuwa ni Waislamu wa Tanga (Tanga School of Thought) ambao walikuwa na influence kubwa ya Waislamu karibu Tanganyika nzima. Hili lilikuwa na matokeo yake kwenye suala la kura tatu mwaka 1958.
Ahaa! Mag3 sasa mtu ataondokaje kwenye kona huku jabs na upper cut zikishamiri. Ni kawaida mambo yakizidi atachagua neno moja na kusema spelling haipo sawa sijibu!
Mag3 hili la nyumba limenigusa! huu mnakasha mzuri sana sikujua kuwa ufisadi ulianza kabla ya uhuru!
Mohamed atazua mambo jamani! Mzee Saidi vipi kulikuwa na ufisadi wa nyumba ya Cameron ?
halafu la Cecil Matola nalolimekaaje!
KASUMBA YA MKOLONI
Ndugu zangu kwanza niwasalimieni - Aslaam aleikum na Amani iwe juu yenu..
Nawaomba sana mnaposoma maandishi yangu haya mtafakari sana juu yenu na kuzihoji nafsi zenu ktk UTAIFA wenu maanake hili neno kasumba ya mkoloni lilitumika sana zamani zama zetu za ujana, sasa hivi limepotea sana kutokana na kwamba ile kasumba imekuwa sehemu ya maisha ya kila Mtanzania (utamaduni)..
Labda niwakumbushe kidogo tu juu ya harakati za Uhuru wa nchi yetu na pengine baadhi yenu mtajikuta katika kundi mojawapo la hawa watu nitakaowataja...Ni hivi, wakati harakati za UHURU zinaendelea kulikuwa na makundi matatu moja likiwa lile la UMOJA wetu, jingine la Kidini na la tatu la Kikabila na makundi haya yote yalitumika ktk siasa za mwanzo ktk kuutafuta Uhuru kutokana na ile kasumba ya mkoloni..
Sasa ifanmike tu ya kwamba Mkoloni alitumia sana ujanja wa kugawa watu ili apate kutawala na nyie wadhungu mnaita devide and rule ambayo kwa ajabu kabisa mnaijua sana athari zake lakini kwa sababu ya kasumba ile tulilishwa na imekuwa genetic ktk bongo zetu. K
Kila napowasoma hua nacheka sana maana kasumba hiyo hutafsiri kila neno mnaloandika humu JF..na ajabu ya Mungu mtu kama Mohammed Said, msomi na mtu alolaani sana kasumba ile ndiye wa kwanza leo hii kuendelea kuisheheneza kama vile ilikuwa sifa pasipo kuelewa ya kwamba wale anaowataja leo hii na kuwapa sifa zote za Uzawa wao ama Uislaam wao ndio walopinga vikali kasumba ile ya mkoloni halafu anajirudi na kuwavuta tena wale wenye kasumba ya mkoloni na kuwaweka kundi moja - Nitamwambia kwa nini?
Wote wanachanma wa TANU toka Abdul Wahid Sykes na wengine wote hata baada ya Nyerere alipojiunga wakaunda TANU na wakabakia TANU hadi UHURU wetu, ni wale waliotaka UMOJA wa Mtanganyika isipokuwa kundi la wachache waliojichomoa uanachama kwa sababu ya kasumba ya mkoloni walojazwa ujinga. Hao ndio pamoja na kina Hassan bin Amir, kina Takadir ambao waliona kwa nini waislaam wawe bega kwa bega na mkristu ambao mkoloni aliwapa nafuu zote maisha na hawa ndio endelezo la kizazi hiki cha kina Mohammed Said.
Wapo pia wale walochukia kwa nini wakristu wanajiunga na waislaam kuutafuta Uhuru wakati wao hawana shida yoyote wakaunda vyama vyao vile vile na hawa ndio kizazi hiki cha kina Mtikila, mchungaji Munisi na wengineo. Wote hawa kama utakuwa na kasumba kama yao hutayaona makosa isipokuwa utawapa sifa zao kwa kile ambacho wewe mwenyewe umeuziwa kasumba hiyo na kuona tu njia pekee ya kujijenga ktk makundi yetu ya dini ama makabila...
Maadam kasumba ile ipo kichwani utajikuta tu unawasifia watu kama Mojammed Said ama Mtikila kwa sababu wewe mwenyewe umerithi kasumba ile..Sasa kinachonishangaza miye ni kuwasoma watu wakitaka kuona sifa ziliwafikia baadhi ya watu kwa sababu ya jitihada zao ktk kuutafuta UHURU wetu wakati sisi wenyewe tunashindwa kuzitunza ama kuzienzi historia zetu wenyewe. Sisi Wadanganyika hata historia za ukoo ama kizazi chetu hatuna naweza kusema hata makaburi ya mababu na mabibi zetu hatujui yalipo.
Mohammed Said kwa jeuri kabisa anadiriki kutumia majina ya watu ambao wao walikubali kubakia TANU wakajitenga mbali kabisa na sifa zile walozitaka AMNUT za Uislaam kuwa nguzo ya uanachama na malengo ya ukombozi, halafu anawatumia hawa kuuzungumzia Uislaam?. Kwani unataka kunambia kweli kina Sykes hawakujua kama AMNUT ni chama cha waislaam? na kama walijua na wao Waislaam kwa nini hawakujiunga na wenzao ama wao alikuwa wakristu pindi walipobakia TANU pamoja na kina Nyerere..
Na kwa wale waliokuwepo ktk masiba wa AbdulWahid watakwambia hawakuwahi kumwona Nyerere mnyonge na akilia kama mtoto mdogo isipokuwa siku alokufa AbdulWahid Sykes, Nyerere alikuwa mdogo na hakika marehemu alizikwa!..Sasa wewe unayempenda sana Marehemu Abdul Sykes ni mara ngapi umewahi kulitembelea kaburi lake ama hata kuuliza liko wapi na ukaenda kuweka hata shada la maua?.Huyo Mwinyi ama Kikwete ameweza kuwaenzi watu hao kwa nini iwe Nyerere tuu ndioye mwenye kmakosa lkn wale walopewa dhamana sawa na ile ya Nyerere wasifanye pia wasiwe na makosa yale yale?..
Sidhani kuna sababu isipokuwa Ndivyo tulivyo. sisi wote ni mazao ya kasumba ya mkoloni, ndani ya vichwa vyetu bado kasumba hiyo ipo isipokuwa tumeshindwa tu kujiyambua..Kina Sykes hawakupendwa na baadhi yenu kwa misimamo yao tena baadhi walimwona kama mnafiki wakahoji hadi Uzawa na Utanganyika wake kwa sababu ya kuwachia Nyerere kuwa mwenyekiti hata baada ya uchaguzi wa kwanza akiwa yeye ameshinda kwa kura chache..Hao kina Takadir mnaowasifia ndio walokuwa na kasumba maana sidhani kama Mohammed Said umewahi kuuliza kwa nini Dr. Kyaruzi hakuenziwa ama kusifiwa kama muasisi wa chama?..Na hata ukichukua list nzima ya wazee wote walokuwepo TANU utakuta hakuna mwenye kubebeshwa sifa iwe Muislaam ama mkristu - hakuna, sasa iweje watu mchague baadhi ya majina ya watu kuyatolea mifano?
Nadhani imetosha kwa leo, ila nawaomba sana jaribuni kuifuta hiyo kasumba ya mkoloni akilini mwenu...maana unapoandika lolote kuhusu Nyerere kisha ukautumia Ukristu wake kuwa sababu ya kuijengea hoja fahamu ya kwamba wewe pia una KASUMBA maana Nyerere hakujitenga na TANU ilojaa waislaam bali aliungana nao na kuifanya TANU kuwa chama kisichokuwa na dini wala kabila...Pia ukiandika lolote juu ya AbdulWahid ukautumia Uislaam wake basi jua wewe pia una kasumba ya mkoloni maana Sykes hakujitenga na wakristu ktk jitihada za kuutafuta Uhuru wetu bali aliungana nao na kushikamana nao wakaunda katiba ya chama. Na huu ndio Ushindi wa TANU kuvishinda vyama vyote na wale wote walojazwa UJINGA maana unapojiona wewe kwa imani ama uzawa wako, ndivyo mkoloni alivyotaka uwe na kawapata wengi tu ambao ujinga huo wanauendeleza hadi kizazi hiki.
Ni rahisi sana kuandika neno - Devide and rule kama mkakati wa mkoloni ukashindwa kujitambua mwenyewe kuwa ni zao la kasumba hiyo hasa pale unapoandika hoja inayokutenga wewe na Watanzania wengine. Sisi ni WAMOJA na tulijiunga na TANU kwa sababu hiyo kwanza acha hizi habari za siasa za leo hii. Hivyo kama wewe unajiona tofauti na hutaki UMOJA ina maana wewe ni ktk kundi la wale kina Hassan Amir ama kina Mtenvu....ambao kwa hakika walijazwa Ujinga - Kasumba ya mkoloni.
Nawasilisha.
zomba, mimi nadaiwa nimetukana kwa hivyo maswali yangu hayawezi kujibiwa na mwandishi, mtafiti na aliyebobea...badala yake tunapata vibweka kutoka kwa akina zomba, kulikoni? Hapa hakuna kuumizana wala nini, kama mtu anaandika uongo halafu anadai ni matokeo ya utafiti, ni jukumu letu kumweka kiti moto na kuhoji ukweli na uhalali wa maandishi yake...huu si uwanja wa mhadhara wasikoulizana maswali, hapa ni JF. Chukua kwa mfano ukutane na maandishi haya hapa chini, utamweka wapi mohamed Siad na wazee wake wa Gerezani?
Short, precise and clear...je una la kuongezea hapo?
MM,
Tuendelee na darsa.
Nimesoma vyanzo na rejea nying sana.
Katika vyanzo nimekuta makaratasi mengi yapo katika majumba na mikononi mwa
watu.
Nyaraka hizi ni muhimu na nimezisoma na kuzitumia katika utafiti wangu.
Mimi binafsi zimenishangaza.
Hebu angalia hii hapa chini haya yalitokea mwaka 1968:
Hizi nyaraka kwa hakika zitatoweka na hazitapatikana tena kwa hifadhi katika Nyaraka
za Taifa.
''Kleist preserved this history through his own pen.
And it was from Kleist's pen that many years after he had passed away that we now
have an accurate account of those days long passed.
Before he died on 23 May 1949 my father left behind his memoirs in his long flowing
Germany handwriting picked from a Germany school he attended in Dar es Salaam,
as a child in early 1900s.
These memoirs [1] were later revisited by Abdulwahid my elder brother with his
daughter Aisha Daisy Sykes, then an undergraduate student at Dar es Salaam University
under the tutelage of Illife the renowned historian from Cambridge University.
A month before he died on 12 October 1968 Abdulwahid had had already assisted Daisy
to complete her research assignment of prominent Africans in Tanganyika for a history
seminar on the life of her grandfather.
The aim of this project was to document the life history of our father, Kleist Sykes and
his achievement in politics, education and business.
It was from his diaries, personal papers as primary sources and with the assistance of
Daisy that Iliffe was able to research and write accurately on African Association and
early colonial politics.[2]
This work was submitted to the History Department ofUniversity of Dar es Salaam in
September 1968.
It was later published in 1973 in a book edited by Illife.[3]
It is a pity that Abdulwahid who was the main informant on the biography did not leave
to see the fruits of his work.
Prior to publishing of my father's biography, little was known about the founding fathers
of the African Association.''
[1] A.D. Sykes "The Life of Kleist Sykes," University of Dar es Salaam Ref. No. JAN/HIST/143/15.
[2] See John Illife: A Modern History of Tanganyika, Cambridge University Press, London, 1977;
Also "The Role of the African Association in the formation and Realisation of Territorial Consciousness
in Tanzania." Mimeo, University of East Africa Social Sciences Conference 1968.
[3] Illife Modern Tanzanians, (ed), East African Publishing House, Nairobi, 1973.
Hiyo tofauti unayoiona ni ipi?
- Yericko - Baada ya miezi 13, hapo 1954, tukaanzisha TANU. Jina hili lilipendekezwa na akina Abdul Sykes.
- Mag3 - Hapo ndipo Abdu akapendekeza TANU kwani inatamkika kirahisi kwa waswahili na wazo lake kuungwa mkono.
Baada ya miezi 13, hapo 1954, tukaanzisha TANU. Jina hili lilipendekezwa na akina Abdul Sykes. Walikuwa wamelifikiria tangu zamani, walipokuwa askari vitani huko Burma (Vita vya Pili).
Mag3 - Hapo ndipo Abdu akapendekeza TANU kwani inatamkika kirahisi kwa waswahili na wazo lake kuungwa mkono.