Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Hivi kweli Rais wa NCHI anaweza kuhangaika kujua nani apate medali? Awape medali hata waliompelekea maharage na dagaa kule Magomeni? Masuala ya medali hayaandaliwi na ofisi ya Rais jamani. Nchi haiendeshwi hivi. Hata familia zetu sio kilakitu ni baba.
Naamini hotuba hiyo hainamaana kwako tu kwakuwa inavuruga malengo yako, lakini usiwasemee waislamu wa Tanzania kuwa haina maana,WC,
Unasema sijzungumzia elimu ya Abdulwahid Sykes.
Nitaanza na elimu ya baba yake, Kleist Sykes pamoja na ndugu zake wengine aliolelewanao:
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] ''Kleist was enrolled in a German school which was located at the Ocean Road Hospital where he learnt German, typing and shorthand, a rare and precious skills for an African to acquire at that time.
In the household of Affendi Plantan, Kleist was raised with Affande Plantans own children, Schneider Abdillah, Ramadhani Mashado and Thomas Sauti a child of a distant relative.
All these children received a good education which enabled them to become important personalities in Dar es Salaam.
Mashado Plantan was employed as a policeman with the title of English-Speaking Policeman and later became editor of his own newspapers. His first paper was Dunia.
During the Second World War he founded a newspaper Zuhra.
This was TAA's mouth piece and later TANU and Nyerere's.Thomas Sauti became a school teacher, Schneider was a farmer and later in his life joined Sheikh Hassan bin Amir to became secretary of Daawat Islamiyya (Muslim Call).
Kleist beat them all. He excelled more than his brothers.
He became a man of ideas and a founder of various organisations.
But above all Kleist left a legacy.
His name would come to be associated with the struggle of the people of Tanganyika against colonial oppression.''
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sasa tuje kwa Abdulwahid Sykes:
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] ''Abdulwahid-the name means the servant of one and only meaning Allah-was the grandson of Sykes Mbuwane, a lone wanderer who laid down his life in Tangayika, serving the Germans.
In school Abdulwahid was always on top of his class.
After completing his lower primary education at Al Jamiatul Muslim School he was selected to join Dar es Salaam Government School where he was taught by Mwalimu Mdachi Sharifu.
Sharifu was the President of Tanganyika Territory African Civil Services Association (TTACSA).
Abdulwahid completed standard ten, did his qualifying examination for Makerere College and passed.
On considering his fathers political background, the colonial government refused to recommend Abdulwahid for Makerere entrance on the pretext that the candidate was under age.
Abdulwahid was at that time seventeen years old.
He was considered underage to pursue studies at Makerere but old enough to be conscripted into the Kings African Rifles (KAR).''[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sasa kwa hali ilivyo leo hotuba ya Nyerere haina maana yoyote kwa Waislam.
Mwaka huo 1995 wakati Nyerere anatoa hotuba hiyo mimi nilialikwa na Muzdalifa
kuhutubia mkusanyiko wa Waislam Mnazi Mmoja katika kuadhimishwa mwaka mpya wa Kiislam.
Katika hotuba yangu ile ndiye kwa mara ya kwanza niliposikia jambo ambao si kuwa lilinishtua
bali niliona kama niko kwenye ndoto.
Hili jambo sipendi kulisema na ni katika mambo yanayosikitisha sana.
Hivi unajua ukilitaja jina la Nyerere Waislam wanamlaani?
Wanasema, ''Laanatullah.''
Siku ile mwaka 1995 ndiyo kwa mara ya kwanza niliposikia Waislam wanamlaani Nyerere.
Hapa ndipo tulipoifikisha nchi yetu.
Haitotusaidia sisi kujifanya mambo yote ni shwari.
Hata kama utaweka hotuba elfu za Nyerere hakuna Muislam atakezipatiliza.
Angalia uongo huo uliotukuka ulivyo. Waislam wepi hao wanaomlaani Mwalimu? Abdulwahid akanyimwa kwenda Makerere at the of 17! Alifikaje hiyo standard 10 katika umri huo mdogo? Mtu wa standard 10 anamwandikia hotuba mtu mwenye M.A ya Edimburgh! Kweli?WC,
Unasema sijzungumzia elimu ya Abdulwahid Sykes.
Nitaanza na elimu ya baba yake, Kleist Sykes pamoja na ndugu zake wengine aliolelewanao:
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]''Kleist was enrolled in a German school which was located at the Ocean Road Hospital where he learnt German, typing and shorthand, a rare and precious skills for an African to acquire at that time.
In the household of Affendi Plantan, Kleist was raised with Affande Plantans own children, Schneider Abdillah, Ramadhani Mashado and Thomas Sauti a child of a distant relative.
All these children received a good education which enabled them to become important personalities in Dar es Salaam.
Mashado Plantan was employed as a policeman with the title of English-Speaking Policeman and later became editor of his own newspapers. His first paper was Dunia.
During the Second World War he founded a newspaper Zuhra.
This was TAA's mouth piece and later TANU and Nyerere's.Thomas Sauti became a school teacher, Schneider was a farmer and later in his life joined Sheikh Hassan bin Amir to became secretary of Daawat Islamiyya (Muslim Call).
Kleist beat them all. He excelled more than his brothers.
He became a man of ideas and a founder of various organisations.
But above all Kleist left a legacy.
His name would come to be associated with the struggle of the people of Tanganyika against colonial oppression.''
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sasa tuje kwa Abdulwahid Sykes:
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]''Abdulwahid-the name means the servant of one and only meaning Allah-was the grandson of Sykes Mbuwane, a lone wanderer who laid down his life in Tangayika, serving the Germans.
In school Abdulwahid was always on top of his class.
After completing his lower primary education at Al Jamiatul Muslim School he was selected to join Dar es Salaam Government School where he was taught by Mwalimu Mdachi Sharifu.
Sharifu was the President of Tanganyika Territory African Civil Services Association (TTACSA).
Abdulwahid completed standard ten, did his qualifying examination for Makerere College and passed.
On considering his fathers political background, the colonial government refused to recommend Abdulwahid for Makerere entrance on the pretext that the candidate was under age.
Abdulwahid was at that time seventeen years old.
He was considered underage to pursue studies at Makerere but old enough to be conscripted into the Kings African Rifles (KAR).''
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sasa kwa hali ilivyo leo hotuba ya Nyerere haina maana yoyote kwa Waislam.
Mwaka huo 1995 wakati Nyerere anatoa hotuba hiyo mimi nilialikwa na Muzdalifa
kuhutubia mkusanyiko wa Waislam Mnazi Mmoja katika kuadhimishwa mwaka mpya wa Kiislam.
Katika hotuba yangu ile ndiye kwa mara ya kwanza niliposikia jambo ambao si kuwa lilinishtua
bali niliona kama niko kwenye ndoto.
Hili jambo sipendi kulisema na ni katika mambo yanayosikitisha sana.
Hivi unajua ukilitaja jina la Nyerere Waislam wanamlaani?
Wanasema, ''Laanatullah.''
Siku ile mwaka 1995 ndiyo kwa mara ya kwanza niliposikia Waislam wanamlaani Nyerere.
Hapa ndipo tulipoifikisha nchi yetu.
Haitotusaidia sisi kujifanya mambo yote ni shwari.
Hata kama utaweka hotuba elfu za Nyerere hakuna Muislam atakezipatiliza.
Ushahidi wa uchochezi wake nimeuweka hapo juu ya mada kuu wenye rangi ya bluu ambao ni hotuba stahiki ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere inayopingana moja kwa moja na madai ya Mohamed Said kwa kila neno mfano, Mohamed alisema Mwalimu alisema hakumbuki Abdul alikuwa na cheo gani, lakini Hotuba hiyo imetufichulia ukweli kuwa Mwalimu alisema wazi kuwa Abdul alikuwa Katibu wa TAA!
Je unataka ushahidi gani kudhihirisha uongo na uchochezi wa Mohamed Said?
Ndugu yangu pembuka basi,
Kitabu alichokuja nacho ndicho ninachokipinga na nimekuja na vielelezo mbadala kama vile Hotuba ya baba wa Taifa, na historia ya usharika wa kanisa katika Ukombozi wa Tanganyika ambavyo kwako na wenzio vilikuwa vigeni kabisa!
Hapa ni JF. Weka jina la huyo Mwenyekiti. Mimi siwezi kulipata. Vinginevyo, hii nayo ni "ngano" ya kawaida ikiwa ni muendelezo wa mashambulizi yako yasiyo na ushahidi kwa Mwalimu.WC,
Medali zile alitunuku Nyerere mwenyewe na kuna mambo wewe
huyajui.
Mwenyekiti wa Kamati ile ya Medali yu hai ingawa sasa hivi
amestaafu.
Alimuuliza mbona watu fulani hawamo?
Nakupa changamoto tafuta jina la mwenyekiti huyi na uwajuvye
wanajamvi.
Ukilijua jina hilo kuna mengi utayapata.
Naamini hotuba hiyo hainamaana kwako tu kwakuwa inavuruga malengo yako, lakini usiwasemee waislamu wa Tanzania kuwa haina maana,
Laanatullah zomba. Mwalimu kaacha nchi bikra kabisa hii. Mnachinjana wenyewe sasa hivi badala ya kuchinja ng'ombe na mbuzi.Ina maana ipi baada ya kuiuwa nchi kwa miaka 24 mfululizo?
Angalia uongo huo uliotukuka ulivyo. Waislam wepi hao wanaomlaani Mwalimu? Abdulwahid akanyimwa kwenda Makerere at the of 17! Alifikaje hiyo standard 10 katika umri huo mdogo? Mtu wa standard 10 anamwandikia hotuba mtu mwenye M.A ya Edimburgh! Kweli?
Hivi kweli Rais wa NCHI anaweza kuhangaika kujua nani apate medali? Awape medali hata waliompelekea maharage na dagaa kule Magomeni? Masuala ya medali hayaandaliwi na ofisi ya Rais jamani. Nchi haiendeshwi hivi. Hata familia zetu sio kilakitu ni baba.
Hapa ni JF. Weka jina la huyo Mwenyekiti. Mimi siwezi kulipata. Vinginevyo, hii nayo ni "ngano" ya kawaida ikiwa ni muendelezo wa mashambulizi yako yasiyo na ushahidi kwa Mwalimu.
Naamini hotuba hiyo hainamaana kwako tu kwakuwa inavuruga malengo yako, lakini usiwasemee waislamu wa Tanzania kuwa haina maana,
Angalau nakufahamu kidogo Mzee Mohamed. Mtu ambaye hakuwa upande wa wazee wako huyo lazima alikuwa kibaraka wa wakoloni. Mtu ambaye alikuwa upande wa Mwalimu, hata kama ni Muislam mwenzako kama akina Rashid Kawawa, huyo naye ni kibaraka wa mfumokristo! Mtu wa ajabu sana mzee wewe ambaye unadhani uko sahihi wakati wote.
Laanatullah zomba. Mwalimu kaacha nchi bikra kabisa hii. Mnachinjana wenyewe sasa hivi badala ya kuchinja ng'ombe na mbuzi.
Wewe kweli ndio mjinga eti unalaani waulize wenye kuujua uislamu kama mtu analaaniwa kirahisi hivyo kungekuwa na fimbo ya kumcharaza mtu viboko ningeanza na wewe, Nchi bikra ndio watu wanunue sukari kwa foleni tv tukaangalie kwa jirani mimi nakumbuka kombe la dunia tulikuwa tunaenda kuangalia kenya huyu baba ahhh si mpatii picha!!!!!!!!!!!!
Kutoa medali kitu kingine na kuandaa orodha ya watakaopewa hizo medali suala jingine. Jamani, tujifunze jinsi serikali na vyombo vyake vinavyofanyakazi. Nikuulize swali moja Ritz: Ni Jakaya Kikwete aliyemkatalia dhamana Sheikh Ponda? Kwa nini yooote yaliyofanyika wakati wa Mwalimu lawama zooote anabebeshwa yeye?Kwa hiyo WildCard ni uongo Nyerere akutoa Medali Ikulu.
Iko wapi hiyo hotuba? si ulisema utaileta mara ooh, wanataka pesa tukakupa offer kuwa wewe sema tu pesa ngapi sisi tutakulipia, mpaka sasa umeshindwa. Umebandika maandiko yako unayodai kuwa ni hotuba, nayo pia hayajaonesha ni wapi Mohamed Said alipofanya uchochezi wala dhihaka. Sana sana hayo mabandiko uliyoweka yanakusuta wewe mwenyewe, hujaona palipoandikwa kuwa hata jina la TANU walikuja nalo kina Sykes kutoka walipokuwa Burma?
Ukipeleka mahala shutuma inatakiwa utoe na ushahidi, huna mpaka sasa huo ushahidi na shutuma zako kwa lugha ya kitaalam ni "futile".
Unalo? kaa upate darsa kutoka kwa Mohamed Said ujuwe hii nchi imetoka wapi.
Achana kabisa na habari za kuokoteza vijiweni. Hauna ushahidi juu ya hili la mwenyekiti wa kamati ya medali. Ni aibu kwa mtu mzima kama wewe. Lolote linalosemwa vibaya kumhusu Mwalimu hii ni habari kubwa kwako. Wanaokufahamu wanajua unataka uambiwe nini kumhusu Mwalimu. Wanajua unachotaka ukisikie kwa Mwalimu.WC,
Mimi kama ninavyosema.
Siko humu kufanya ubishi.
Kwani ikiwa JF ndiyo nini?
Ndiyo iniondolee muruwa wangu?
Niko hapa kueleza yale niyajuayo.
Ikiwa toka awali sikutaka kuweka jina
la Mwenyekiti wa Kamati ya Medali ni
kwa kuwa nilikuwa na sababu.