Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kutoa medali kitu kingine na kuandaa orodha ya watakaopewa hizo medali suala jingine. Jamani, tujifunze jinsi serikali na vyombo vyake vinavyofanyakazi. Nikuulize swali moja Ritz: Ni Jakaya Kikwete aliyemkatalia dhamana Sheikh Ponda? Kwa nini yooote yaliyofanyika wakati wa Mwalimu lawama zooote anabebeshwa yeye?

Hawa wanahisi enzi za utawala wa Nyerere hata kufagia makanisa alikuwa anafagia Nyerere
 
Kutokana na ubishi unaoendelea imenilazimu kurudi TBC kufuata ile hotuba ya sauti ama video hotuba ya 5 Nov 1985!

Nipo tbc mda huu nasubiri kuingia ndani niwaone wahusika wanipe hiyo hotuba ili tumalize ubishi
 
Wewe kweli ndio mjinga eti unalaani waulize wenye kuujua uislamu kama mtu analaaniwa kirahisi hivyo kungekuwa na fimbo ya kumcharaza mtu viboko ningeanza na wewe, Nchi bikra ndio watu wanunue sukari kwa foleni tv tukaangalie kwa jirani mimi nakumbuka kombe la dunia tulikuwa tunaenda kuangalia kenya huyu baba ahhh si mpatii picha!!!!!!!!!!!!
Sukari imejaa tele madukani. Watanzania wangapi wanaweza kuinunua? Uliwahi kusikia enzi za Mwalimu twiga mzima anasafirishwa kwa ndege kwenda Qatar? Kombe la dunia na WATANZANIA walivyopigika hiviii...., dah! Wewe kweli Boko haram
 
Wakuu leo nimepewa hadithi mpya hapa TBC, naambiwa niandike barua iende kwa mkurugenzi mkuu, baada ya siku kadhaa nakala itawafikia wao na watanijulisha kama ombi langu limekubaliwa ama limetupwa kapuni!

Nami sasa naondoka hapa TBCccm kurudi nyumbani ili nikajiandae kuandika barua hiyo kesho!
 
Wakuu leo nimepewa hadithi mpya hapa TBC, naambiwa niandike barua iende kwa mkurugenzi mkuu, baada ya siku kadhaa nakala itawafikia wao na watanijulisha kama ombi langu limekubaliwa ama limetupwa kapuni!

Nami sasa naondoka hapa TBCccm kurudi nyumbani ili nikajiandae kuandika barua hiyo kesho!
Pole sana Yericko. Mimi nilidhani hotuba za Mwalimu ni mali yetu sote kwa kuwa zinagharamiwa kwa kodi zetu. Hotuba hizi ni sehemu ya Historia ya nchi hii.
 
Achana kabisa na habari za kuokoteza vijiweni. Hauna ushahidi juu ya hili la mwenyekiti wa kamati ya medali. Ni aibu kwa mtu mzima kama wewe. Lolote linalosemwa vibaya kumhusu Mwalimu hii ni habari kubwa kwako. Wanaokufahamu wanajua unataka uambiwe nini kumhusu Mwalimu. Wanajua unachotaka ukisikie kwa Mwalimu.

WC,

Naona umeghadhibika.
Basi tulipumzishe hili jambo.
 
Hujaiona na kuisoma hiyo hotuba hapo juu ya rangi ya bluu?

Ajabu unauliza hiyo hotuba lakini unauliza swali linalotoka ndani ya hotuba hiyohiyo,

Kwakukujbu swali lako, naomba nikuulize swali:

Mtoto huzaliwa ndipo apewe jina au hupewa jina kabla ya kuzaliwa?

Ukijibu, ndilo jibu la swali lako mkuu!

Wewe wacha porojo, ulisema utatuletea hotuba, hayo uliyoweka bluu ni wewe unaedai kuwa ni hotuba, na hiyo hiyo unayodai kuwa ni hotuba isome uone TANU ilitoka wapi.

Mpaka sasa sijaona uchochezi na dhihaka za Mohamed Said kwa Watanganyika na Wazanzibari. Hebu niwekee maandiko ya Mohamed Said kama unavyodai.

Msome tena hapa chini Mohamed Said alivyokujibu kuhusu hotuba ya Nyerere, nini ambacho huelewi?:

Yericko,

Kwangu mie si lazima kusikiliza ile hotuba kwani nishaisikia.

Ili wewe udhihirishe kuwa mimi ni muongo ni lazima, ni muhimu
sana tena sana kabisa utuwekee clip jamvini tuisikilize.

Hivi ndivyo nilivyoandika katika kitabu changu, ''The Life and
Times of Abdulwahid Sykes...'':

Nyerere himself has never talked about this election
or how he came to lead the Party in Dar es Salaam.

The nearest he got to reflect on Abdulwahid was in
the farewell speech to Elders of Dar es Salaam, and
unfortunately his memory failed him as he could
not recall what post Abdulwahid was occupying
when he (Nyerere) joined TAA in 1952.
 
Pole sana Yericko. Mimi nilidhani hotuba za Mwalimu ni mali yetu sote kwa kuwa zinagharamiwa kwa kodi zetu. Hotuba hizi ni sehemu ya Historia ya nchi hii.

Aisee hili limenikera sana na nimewaeleza kero wanayotupatia sisi watanzania tunaohitaji kumbukumbu kama hizi kutoka kwao!
 
Kutoa medali kitu kingine na kuandaa orodha ya watakaopewa hizo medali suala jingine. Jamani, tujifunze jinsi serikali na vyombo vyake vinavyofanyakazi. Nikuulize swali moja Ritz: Ni Jakaya Kikwete aliyemkatalia dhamana Sheikh Ponda? Kwa nini yooote yaliyofanyika wakati wa Mwalimu lawama zooote anabebeshwa yeye?

Hizo medali alitoa nani tufahamishe na Nyerere alikuwa anatoa medali bila kujua anawapa kina nani.
 
Guaranteed 250 pages safi sana JF Ila nakuonea huruma sana bwana Yeriko, mwenzako Mohammed akiongea anawakilisha vielelezo, je wewe una nini za ku counter argue? Nyerere na Mkapa wote ni marais ambao walishakiri kuwa kweli hakuna uwiano sawa na waislam hawakupata their equal share sasa wewe una ushahidi gani wa ku counter argue? Pia kabla hatujaenda mbali unajibuje kuhusuhili:
cover.jpg
2-1.jpg
attachment.php
tano.jpg
sita.jpg
saba.jpg
Hiyo ni makubaliano kati ya serikali na mashirika ya kikristo katika kuendesha hospitali za rufaa zinazomilikiwa na madhehebu ya kikristo,kama KCMC,Bugando, Selian n.k ambapo hata waislamu pamoja na wewe mkiugua mnakwenda kutibiwa huko,nyie waislamu wenye mlengo hasi hebu onyesheni hospitali hata moja tu yenu yenye hadhi kama hizi,hata Agha Khan,Isnasheeri wana makubaliano kama haya na serikali,ukiweza zira kutibiwa katika hospitali hizi uone kama hatuakusahau.
 
WC,

Naona umeghadhibika.
Basi tulipumzishe hili jambo.
Sijaghadhibika Mzee Mohamed. Kwa hadhi uliyonayo hupaswi kuamini kila unaloambiwa kumhusu Mwalimu unless mtu amemrekodi kikamilifu. Watu karibu 4000 Mwalimu awe amepanga nani apate nani akose.
 
Aisee hili limenikera sana na nimewaeleza kero wanayotupatia sisi watanzania tunaohitaji kumbukumbu kama hizi kutoka kwao!

Wewe mara ya kwanza si ulisema wanauza mbona una kauli nyingi. Kwani hapo TBC hawajuhi kama wewe ni mtoto wa Nyerere.
 
Wakuu leo nimepewa hadithi mpya hapa TBC, naambiwa niandike barua iende kwa mkurugenzi mkuu, baada ya siku kadhaa nakala itawafikia wao na watanijulisha kama ombi langu limekubaliwa ama limetupwa kapuni!

Nami sasa naondoka hapa TBCccm kurudi nyumbani ili nikajiandae kuandika barua hiyo kesho!

Nyerere anashindwa kuipata hotuba ya Nyerere. Kwi kwi kwi kwi teh teh teh teh! tuombe Big Show asiione hii.

Nyumbani hawana?
 
Sijaghadhibika Mzee Mohamed. Kwa hadhi uliyonayo hupaswi kuamini kila unaloambiwa kumhusu Mwalimu unless mtu amemrekodi kikamilifu. Watu karibu 4000 Mwalimu awe amepanga nani apate nani akose.

Kwanini asiweze? au unatujulisha kuwa uwezo wake ulikuwa mdogo?
 
Sijaghadhibika Mzee Mohamed. Kwa hadhi uliyonayo hupaswi kuamini kila unaloambiwa kumhusu Mwalimu unless mtu amemrekodi kikamilifu. Watu karibu 4000 Mwalimu awe amepanga nani apate nani akose.

WC,

Kama hujaghabika hivyo ni vizuri.
Najua shida inayokupateni.

Mimi nina uzoefu wa haya yote msemayo.
Nishayasikia sasa mwaka wa 15.

Kitabu hiki kilitikisa fikra za wengi.
Wako waliofurahi kupita kiasi tena ndani ya CCM.

Kuna walioumia kama mnavyoumia nyinyi hivi sasa.
Unadhani ile taarifa ya Prof. Haroub mimi nilizua?

Mshtuko alopata haukuwa wa kawaida.

Ananiuliza mara mbili mbili kuhusu Abdu Sykes na TANU.

Namwambia, ''Prof. huwezi kuandika historia ya TANU bila
kumtaja Abdu na mdogo wake Ally na ukipenda unaweza
kurudi kwa baba yao...''
 
Wewe mara ya kwanza si ulisema wanauza mbona una kauli nyingi. Kwani hapo TBC hawajuhi kama wewe ni mtoto wa Nyerere.

Huwa sina kibyogo na kujinasibisha kila nikanyagapo!

Mimi natembea na ninaishi kama mtanzania tena yule aliye masikini sawa na mie, nilikwenda TBC kama mtanzania yeyote anavyoweza kwenda!

Ningetaka kutumia hivyo unavyotaka iwe ningekaa nyumbani tu na kuwaamuru waniletee nyumbani hiyo hotuba,

Sikulelewa hivyo, jado lango ni jando la taifa la kale lenye busara ya nera mkuu!
 
Kwanini asiweze? au unatujulisha kuwa uwezo wake ulikuwa mdogo?
Mwalimu alikuwa na mambo mengi sana ya kulifanyia Taifa hili. Hili la kupanga medali ni dogo sana. Hili linafanywa na ofisi ya WaziriMkuu.
 
Nyerere anashindwa kuipata hotuba ya Nyerere. Kwi kwi kwi kwi teh teh teh teh! tuombe Big Show asiione hii.

Nyumbani hawana?

Ha haa ha zomba huyu YERICKO X ni muongo kama kiongozi fulani ilinisiharibu mnakasha soma signature ya RITS ndio utajua hawa jamaa wa chama fulani ni waongo
 
Back
Top Bottom