Angalia uongo huo uliotukuka ulivyo. Waislam wepi hao wanaomlaani Mwalimu? Abdulwahid akanyimwa kwenda Makerere at the of 17! Alifikaje hiyo standard 10 katika umri huo mdogo? Mtu wa standard 10 anamwandikia hotuba mtu mwenye M.A ya Edimburgh! Kweli?
WC,
Mimi siwezi kusema uongo.
Ni haki yako kushangaa vipi alimaliza darasa la 10 katika
umri mdogo kama ule.
Mimi nimeshangazwa na mengi ya marehemu Abdu Sykes.
Moja wapo ni kuona shajara zake (diaries) alizokuwa akiziandika
kwa hati mkato wakati wa kuunda TANU kati ya 1950 - 1954.
Hilo la kusema darasa la kumi kuandika hotuba nadhani unaandika
hivyo kwa kukosa kujua wakati ule elimu ilikuwa ya kiwango gani.
Jitulize na soma utajua.
Usifanye haraka ya kuandika ikiwa huna elimu ya kile unachokiandika.
Nakuombeni msome vizuri post zangu ninapozungumzia haya mambo
ambayo nyingi yanakuchomeni nyoyo zenu.
Hii document asili yake ni TAA Political Sub Commitee iliyoundwa mwaka
1950.
Wajumbe wa Kamati hii ni hawa wafuatao:
- Mufti Sheikh Hassan bin Amir
- Abdulwahid Sykes
- Dk. Vedasto Kyaruzi
- Hamza Mwapachu
- Said Chaurembo
- John Rupia
- Steven Mhando
Kamati hii ilikuwa na mwanasheria wake Earle Seaton.
Ukipenda unaweza kumtia Seaton kama mjumbe wa nane wa TAA Political
Subcommittee.
Seaton aliisaidia sana TAA katika mawasiliano yake na serikali ya kikoloni.
Seaton ndiyo aliandika ile petition ya Meru Citizens Union kwenda UNO katika
ule mgogoro wa Meru Land Case mwaka 1952.
Abdu Sykes ndiye aliyemleta Seaton TAA.
Walikuwa marafiki wa muda mrefu.
Katika kitabu changu nimeandika maneno haya:
The author was for the first time informed of the existence
of this document by one of Mwapachu's children, Juma Volter
Mwapachu.
He was informed that Mwapachu took great pridein having
participated in the drafting of this document.
In her book Listowel mentioned this document and its historical
significance to the political history of Tanganyika.
But it was Pratt who analysed the document in detail.
The document was first consulted by Pratt in 1959 in a file of the
Committee on ‘Constitutional Development Report/and Despatches
to the Secretary of State' no. 1146-6, Dar es Salaam Secretariat Library.
Although this file is available at the Tanzania National Archives, the
document is missing.
The author was informed that a microfilm of the document was available
but that too could not be traced.
For more information on loss of historical documents see M. Said,
‘In Praise of Ancestors Revisited' in Africa Events, London March,
1989, pp. 50-51.