Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #5,521
Kutoa medali kitu kingine na kuandaa orodha ya watakaopewa hizo medali suala jingine. Jamani, tujifunze jinsi serikali na vyombo vyake vinavyofanyakazi. Nikuulize swali moja Ritz: Ni Jakaya Kikwete aliyemkatalia dhamana Sheikh Ponda? Kwa nini yooote yaliyofanyika wakati wa Mwalimu lawama zooote anabebeshwa yeye?
Sukari imejaa tele madukani. Watanzania wangapi wanaweza kuinunua? Uliwahi kusikia enzi za Mwalimu twiga mzima anasafirishwa kwa ndege kwenda Qatar? Kombe la dunia na WATANZANIA walivyopigika hiviii...., dah! Wewe kweli Boko haramWewe kweli ndio mjinga eti unalaani waulize wenye kuujua uislamu kama mtu analaaniwa kirahisi hivyo kungekuwa na fimbo ya kumcharaza mtu viboko ningeanza na wewe, Nchi bikra ndio watu wanunue sukari kwa foleni tv tukaangalie kwa jirani mimi nakumbuka kombe la dunia tulikuwa tunaenda kuangalia kenya huyu baba ahhh si mpatii picha!!!!!!!!!!!!
Pole sana Yericko. Mimi nilidhani hotuba za Mwalimu ni mali yetu sote kwa kuwa zinagharamiwa kwa kodi zetu. Hotuba hizi ni sehemu ya Historia ya nchi hii.Wakuu leo nimepewa hadithi mpya hapa TBC, naambiwa niandike barua iende kwa mkurugenzi mkuu, baada ya siku kadhaa nakala itawafikia wao na watanijulisha kama ombi langu limekubaliwa ama limetupwa kapuni!
Nami sasa naondoka hapa TBCccm kurudi nyumbani ili nikajiandae kuandika barua hiyo kesho!
Achana kabisa na habari za kuokoteza vijiweni. Hauna ushahidi juu ya hili la mwenyekiti wa kamati ya medali. Ni aibu kwa mtu mzima kama wewe. Lolote linalosemwa vibaya kumhusu Mwalimu hii ni habari kubwa kwako. Wanaokufahamu wanajua unataka uambiwe nini kumhusu Mwalimu. Wanajua unachotaka ukisikie kwa Mwalimu.
Hujaiona na kuisoma hiyo hotuba hapo juu ya rangi ya bluu?
Ajabu unauliza hiyo hotuba lakini unauliza swali linalotoka ndani ya hotuba hiyohiyo,
Kwakukujbu swali lako, naomba nikuulize swali:
Mtoto huzaliwa ndipo apewe jina au hupewa jina kabla ya kuzaliwa?
Ukijibu, ndilo jibu la swali lako mkuu!
Yericko,
Kwangu mie si lazima kusikiliza ile hotuba kwani nishaisikia.
Ili wewe udhihirishe kuwa mimi ni muongo ni lazima, ni muhimu
sana tena sana kabisa utuwekee clip jamvini tuisikilize.
Hivi ndivyo nilivyoandika katika kitabu changu, ''The Life and
Times of Abdulwahid Sykes...'':
Nyerere himself has never talked about this election
or how he came to lead the Party in Dar es Salaam.
The nearest he got to reflect on Abdulwahid was in
the farewell speech to Elders of Dar es Salaam, and
unfortunately his memory failed him as he could
not recall what post Abdulwahid was occupying
when he (Nyerere) joined TAA in 1952.
Pole sana Yericko. Mimi nilidhani hotuba za Mwalimu ni mali yetu sote kwa kuwa zinagharamiwa kwa kodi zetu. Hotuba hizi ni sehemu ya Historia ya nchi hii.
Kutoa medali kitu kingine na kuandaa orodha ya watakaopewa hizo medali suala jingine. Jamani, tujifunze jinsi serikali na vyombo vyake vinavyofanyakazi. Nikuulize swali moja Ritz: Ni Jakaya Kikwete aliyemkatalia dhamana Sheikh Ponda? Kwa nini yooote yaliyofanyika wakati wa Mwalimu lawama zooote anabebeshwa yeye?
Hiyo ni makubaliano kati ya serikali na mashirika ya kikristo katika kuendesha hospitali za rufaa zinazomilikiwa na madhehebu ya kikristo,kama KCMC,Bugando, Selian n.k ambapo hata waislamu pamoja na wewe mkiugua mnakwenda kutibiwa huko,nyie waislamu wenye mlengo hasi hebu onyesheni hospitali hata moja tu yenu yenye hadhi kama hizi,hata Agha Khan,Isnasheeri wana makubaliano kama haya na serikali,ukiweza zira kutibiwa katika hospitali hizi uone kama hatuakusahau.Guaranteed 250 pages safi sana JF Ila nakuonea huruma sana bwana Yeriko, mwenzako Mohammed akiongea anawakilisha vielelezo, je wewe una nini za ku counter argue? Nyerere na Mkapa wote ni marais ambao walishakiri kuwa kweli hakuna uwiano sawa na waislam hawakupata their equal share sasa wewe una ushahidi gani wa ku counter argue? Pia kabla hatujaenda mbali unajibuje kuhusuhili:
Sijaghadhibika Mzee Mohamed. Kwa hadhi uliyonayo hupaswi kuamini kila unaloambiwa kumhusu Mwalimu unless mtu amemrekodi kikamilifu. Watu karibu 4000 Mwalimu awe amepanga nani apate nani akose.WC,
Naona umeghadhibika.
Basi tulipumzishe hili jambo.
Aisee hili limenikera sana na nimewaeleza kero wanayotupatia sisi watanzania tunaohitaji kumbukumbu kama hizi kutoka kwao!
Wakuu leo nimepewa hadithi mpya hapa TBC, naambiwa niandike barua iende kwa mkurugenzi mkuu, baada ya siku kadhaa nakala itawafikia wao na watanijulisha kama ombi langu limekubaliwa ama limetupwa kapuni!
Nami sasa naondoka hapa TBCccm kurudi nyumbani ili nikajiandae kuandika barua hiyo kesho!
Wewe mara ya kwanza si ulisema wanauza mbona una kauli nyingi. Kwani hapo TBC hawajuhi kama wewe ni mtoto wa Nyerere.
Sijaghadhibika Mzee Mohamed. Kwa hadhi uliyonayo hupaswi kuamini kila unaloambiwa kumhusu Mwalimu unless mtu amemrekodi kikamilifu. Watu karibu 4000 Mwalimu awe amepanga nani apate nani akose.
Sijaghadhibika Mzee Mohamed. Kwa hadhi uliyonayo hupaswi kuamini kila unaloambiwa kumhusu Mwalimu unless mtu amemrekodi kikamilifu. Watu karibu 4000 Mwalimu awe amepanga nani apate nani akose.
Wewe mara ya kwanza si ulisema wanauza mbona una kauli nyingi. Kwani hapo TBC hawajuhi kama wewe ni mtoto wa Nyerere.
Mwalimu alikuwa na mambo mengi sana ya kulifanyia Taifa hili. Hili la kupanga medali ni dogo sana. Hili linafanywa na ofisi ya WaziriMkuu.Kwanini asiweze? au unatujulisha kuwa uwezo wake ulikuwa mdogo?
Nyerere anashindwa kuipata hotuba ya Nyerere. Kwi kwi kwi kwi teh teh teh teh! tuombe Big Show asiione hii.
Nyumbani hawana?