Kumbuka kabla ya kumtunukia medali hii alishamtunuku mwanae wa kuzaa kuwa IGP wa KWANZA mzawa. Huyo ndie Julius bwana.WildCard,
Baada ya Nyerere kutoa medali zake 3,979 baada ya siku chache kupita aligutuka akamualika Dossa Aziz Ikulu katika sherehe ya faragha akamtunikia medali.
Dossa Aziz wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika alikuwa mfadhili wa TANU.
Jiulize hizo medali nani aliziandaa.
WildCard,
Baada ya Nyerere kutoa medali zake 3,979 baada ya siku chache kupita aligutuka akamualika Dossa Aziz Ikulu katika sherehe ya faragha akamtunikia medali.
Dossa Aziz wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika alikuwa mfadhili wa TANU.
Jiulize hizo medali nani aliziandaa.
Kumbuka kabla ya kumtunukia medali hii alishamtunuku mwanae wa kuzaa kuwa IGP wa KWANZA mzawa. Huyo ndie Julius bwana.
Mwambie na mzee wetu Mohamed akiri kwamba kuingiza UDINI kwenye historia ya wazee wake ni kosa. akiri pia kwamba kumhukumu Mwalimu vile alivyomhukumu bila hata kumsikiliza ni kosa pia.Na mengi sana alikosea. Hakuwa malaika yeye. Na yeye mwenyewe alikiri kuwa yapo aliyofanya ambayo ni mabaya na mabaya yake yaachwe yasirudiwe. Na ndio maana ukaona moja la mabaya yake likaachwa, na wale walionyimwa heshima yao makusudi kabisa na Nyerere wakatunukiwa medali zao na Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete aka Chaguo la Mungu.
Mwalimu aliukuta mfumokristo ambao akina Sykes walienda vitani kuulinda na kuutetea!Kama alivyoitunuku Tanzania na mfumo kristo...kweli huyo ndie Julius bwana.
WC,
Medali zile alitunuku Nyerere mwenyewe na kuna mambo wewe
huyajui.
Mwenyekiti wa Kamati ile ya Medali yu hai ingawa sasa hivi
amestaafu.
Alimuuliza mbona watu fulani hawamo?
Nakupa changamoto tafuta jina la mwenyekiti huyi na uwajuvye
wanajamvi.
Ukilijua jina hilo kuna mengi utayapata.
Christians were heard to whisper to each other that they
should not again allow a Muslim to govern the country.
Hapa ndipo porojo zinapoanza; akishakufa utamtaja jina tushindwe kumuuliza. We mtaje tu watu wamuulize.
Watu wengine jamani; tumieni basi chembe za Ubongo kufikiri. Hivi kweli mnafikiria ni kwa sababu 'aligutuka'? Hivi umewahi kufikiria kuwa watu walioandaa medali hawakuliweka jina la Abdulwahid na baada ya sherehe Nyerere mwenyewe alikasirika na kuwaambia kwanini hawakumweka Dossa Aziz mle na ndio sababu akataka apatiwe kwani ni haki yake (alisahauliwa na Kamati lakini Nyerere alikumbuka?) Au inawezekana toka mwanzo Nyerere alitaka kumpa heshima ya pekee rafiki yake huyu kwa kumpatia Nishani yake Ikulu na kumtenga na wengine wote ili jina lake lisimezwe na wale wengine elfu tatu na ushehe?
Mnakubali kuwa kwenye sherehe ile mmoja wa wazee wa Mohammed Said Shehe Abdallah CHaurembo alipewa nishani na hilo mnaona si jambo baya lakini hamsemi Nyerere alimpendelea. Tumia ubongo basi kidogo kufikiri jamani mnatuangusha. Msikubali masimulizi ya hisia ya Mohammed Said. Kwa vile yeye kasema "Nyerere alikumbuka baada" basi wote mnaimba kama kasuku.
Watu wengine jamani; tumieni basi chembe za Ubongo kufikiri. Hivi kweli mnafikiria ni kwa sababu 'aligutuka'? Hivi umewahi kufikiria kuwa watu walioandaa medali hawakuliweka jina la Abdulwahid na baada ya sherehe Nyerere mwenyewe alikasirika na kuwaambia kwanini hawakumweka Dossa Aziz mle na ndio sababu akataka apatiwe kwani ni haki yake (alisahauliwa na Kamati lakini Nyerere alikumbuka?) Au inawezekana toka mwanzo Nyerere alitaka kumpa heshima ya pekee rafiki yake huyu kwa kumpatia Nishani yake Ikulu na kumtenga na wengine wote ili jina lake lisimezwe na wale wengine elfu tatu na ushehe?
Mnakubali kuwa kwenye sherehe ile mmoja wa wazee wa Mohammed Said Shehe Abdallah CHaurembo alipewa nishani na hilo mnaona si jambo baya lakini hamsemi Nyerere alimpendelea. Tumia ubongo basi kidogo kufikiri jamani mnatuangusha. Msikubali masimulizi ya hisia ya Mohammed Said. Kwa vile yeye kasema "Nyerere alikumbuka baada" basi wote mnaimba kama kasuku.
Sikuwa nimeliona hili. Kitabu chake kile kilitoka miaka 30 baada ya mhusika mkuu, Abdulwahid, kuzikwa.Hapa ndipo porojo zinapoanza; akishakufa utamtaja jina tushindwe kumuuliza. We mtaje tu watu wamuulize.
MM,
Ushanijua mie mtu wa porojo.
Sasa nini kinakushughulisha?
Hapa ndipo porojo zinapoanza; akishakufa utamtaja jina tushindwe kumuuliza. We mtaje tu watu wamuulize.
Mzee Said, hebu jaribu kujitofautisha wewe kama msomi na wewe kama mpika majungu. Hayo maneno kuhusu Christian hayana ushahidi kwasababu wewe hukuwepo ndani ya mkutano.There was tension in the conference hall as CCM
delegates voted to choose between Kikwete and Mkapa.
Christians were heard to whisper to each other that they
should not again allow a Muslim to govern the country.
And when Mkapa won hymns were sung.
Jasusi ndugu yangu haya mambo yanatisha lakini huu ndiyo ukweli wa hali ya
mambo nchini kwetu.
Unasema Nyerere asingeruhusu haya.
Nyerere alikuwa katika ule ukumbi wa Chimwaga Dodoma.Tumefikaje hapa?
MM,
Ushanijua mie mtu wa porojo.
Sasa nini kinakushughulisha?
Muhammad Ali alikataa kwenda vitani kule Vietnam. Abdulwahid Sykes yeye akaenda vitani kule Burma. Kumpigania Mfalme, Mkuu wa Kanisa la Anglican duniani. Historia!
WC,
Umesahau haya.
Babu yake alikuja Tanganyika hadi Pangani na Hermman von Wissman kutoka Mozambique.
Baba yake Abdu Kleist alipagana katika jeshi la Wajerumani chini ya von Lettow Vorbeck
tena akiwa Aide De Camp.
Abdu Sykes ndiye akapigana katika KAR akiwa na umri wa miaka 17/18 baada ya kumaliza
darasa la kumi Kitchwele African Government School badala ya kuingia Makerere College.
Kwahiyo mzee wewe watu tukuache tu upige porojo?
Kumbuka hili jukwaa sio la porojo ndugu yangu!
Cha ajabu sasa: Wakoloni hao wakamkatalia Abdu kwenda Makerere kwa sababu ya umri mdogo lakini katika umri huohuo wakamkubalia kujiunga na jeshi. Hayupo. Alishafariki tangu 1968. Atatuthibitishia nani haya Yarabi!WC,
Umesahau haya.
Babu yake alikuja Tanganyika hadi Pangani na Hermman von Wissman kutoka Mozambique.
Baba yake Abdu Kleist alipagana katika jeshi la Wajerumani chini ya von Lettow Vorbeck
tena akiwa Aide De Camp.
Abdu Sykes ndiye akapigana katika KAR akiwa na umri wa miaka 17/18 baada ya kumaliza
darasa la kumi Kitchwele African Government School badala ya kuingia Makerere College.