Jakaya alitunukia wale wazee 17 ambao historia ya kivukoni inawakubali. Sio akina Kiyate, Plantan, Amir,..., kumbe unamkubali Jakaya ee? Matunda ya mfumokristo huyo.
Kipi kakisahau hapo zaidi ya wewe kuunga mkono alichosema?
Cha ajabu sasa: Wakoloni hao wakamkatalia Abdu kwenda Makerere kwa sababu ya umri mdogo lakini katika umri huohuo wakamkubalia kujiunga na jeshi. Hayupo. Alishafariki tangu 1968. Atatuthibitishia nani haya Yarabi!
MM,
Ushanijua mie mtu wa porojo.
Sasa nini kinakushughulisha?
Mzee Said, hebu jaribu kujitofautisha wewe kama msomi na wewe kama mpika majungu. Hayo maneno kuhusu Christian hayana ushahidi kwasababu wewe hukuwepo ndani ya mkutano.
Kwa kusikia fulani kasema halafu uje hapa utuambie huo ni ukweli, tafadhali sana, unakundi lako la wajinga si kila mtu ni mwanachama. Endapo hilo ndilo lingekuwa basi JK asingekuwa Rais.
Hivi unasahau kuwa kama si Wazanzibar Salim Ahmed ndiye alikuwa chaguo la chama! Please, haya maneno ya kwenye kahawa usituletee hapa. Uongo mkubwa! uzushi halafu unasema wewe ni kiongozi wa waislam! kwa sifa gani! usiudhalililishe Uislam. Wewe uza vitabu na dini waachie walioamini! khaa ! Uongo mchana, Mohamed unajidhalilisha sana
Mag3, Mohamed ameshindwa kukanusha kuwa nyumba za wazee wake zilikuwa na mgogoro na kwamba D.Cameron aliitoa nyumba hiyo. Kwa wale mnaoamini ngano huu ni ushahidi mwingine kuwa Mohamed anawalisha kile anachotaka, vingine ameficha. Sasa kuna ukweli kuwa nyumba anazosema zimejengwa na Familia ya Sykes siyo kweli.
Mohamed amekwenda mbali na kuonyesha jinsi gani Sykes walivyofisadi nyumba ya Cameron. Nadhani hata familia ya Sykes haitapenda kusikia haya kwasababu tu Mohamed is vocal.
Mtaje huyo mwenyekiti wa kamati ya medali; watu wakamuhoji unasubiri hadi afariki??????.
Kuwa na hisani mzee wangu, wengne humu tu wajukuu kwako tusaidie tupate kuyajua haya.
Mwaka 1985 John Malecela alikuwa mbali kabisa na Ikulu ya Mwalimu. Alikuja okolewa na Ali Hassan Mwinyi kwa kumteua kuwa RC, baadae balozi, kisha WaziriMkuu na Makamu wa Rais. Usijiingize kwenye majungu ya vijiwe vya Kariakoo.Ngoja mie nikutajie ni John Malecela. Nenda kamuulize.
Nguruvi3 Mimi ni kijana na kwa bahati nimeyaona pasi jicho la udini yanayoendelea nchi hii. Nakumbuka nikiwa sijafikisha umri wa kupiga kura mwaka 1995 nilikuwa nasikiliza na kufuatilia yale yaliyokuwa yanatokea kwenye uchaguzi ndani ya chama. Kwa kweli nilikuwa shabiki wa Kikwete tena kwa sababu tu alikuwa anaonekana kijana.Mzee Said, hebu jaribu kujitofautisha wewe kama msomi na wewe kama mpika majungu. Hayo maneno kuhusu Christian hayana ushahidi kwasababu wewe hukuwepo ndani ya mkutano.
Kwa kusikia fulani kasema halafu uje hapa utuambie huo ni ukweli, tafadhali sana, unakundi lako la wajinga si kila mtu ni mwanachama. Endapo hilo ndilo lingekuwa basi JK asingekuwa Rais.
Hivi unasahau kuwa kama si Wazanzibar Salim Ahmed ndiye alikuwa chaguo la chama! Please, haya maneno ya kwenye kahawa usituletee hapa. Uongo mkubwa! uzushi halafu unasema wewe ni kiongozi wa waislam! kwa sifa gani! usiudhalililishe Uislam. Wewe uza vitabu na dini waachie walioamini! khaa ! Uongo mchana, Mohamed unajidhalilisha sana
Mag3, Mohamed ameshindwa kukanusha kuwa nyumba za wazee wake zilikuwa na mgogoro na kwamba D.Cameron aliitoa nyumba hiyo. Kwa wale mnaoamini ngano huu ni ushahidi mwingine kuwa Mohamed anawalisha kile anachotaka, vingine ameficha. Sasa kuna ukweli kuwa nyumba anazosema zimejengwa na Familia ya Sykes siyo kweli.
Mohamed amekwenda mbali na kuonyesha jinsi gani Sykes walivyofisadi nyumba ya Cameron. Nadhani hata familia ya Sykes haitapenda kusikia haya kwasababu tu Mohamed is vocal.
Sasa hili sio jukwaa la porojo ndio maana watu wanashughulikia kila post inayo wekwa humu.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Mwalimu aliukuta mfumokristo ambao akina Sykes walienda vitani kuulinda na kuutetea!
Nguruvi3 Mimi ni kijana na kwa bahati nimeyaona pasi jicho la udini yanayoendelea nchi hii. Nakumbuka nikiwa sijafikisha umri wa kupiga kura mwaka 1995 nilikuwa nasikiliza na kufuatilia yale yaliyokuwa yanatokea kwenye uchaguzi ndani ya chama. Kwa kweli nilikuwa shabiki wa Kikwete tena kwa sababu tu alikuwa anaonekana kijana.
Sikumuona kuwa ni Muislam na hata miongoni mwetu walikuwepo wengi sana waliokuwa wanamtaka Kikwete au Salim japo hakuingia kwenye kinyang'anyiro. Na kumbuka hapo nilikuwa Musoma kwa akina Nyerere na hakuna niliyemuona akionyesha hisia za kidini. Rudi 2005 kwangu Salim ndio alikuwa chaguo na nafikiri wajumbe wengi tu wa NEC na mkutano mkuu walikuwa kwenye pande mbili kubwa za Salim na Kikwete...........humo wamo wakristo wengi tu na hawakuuona Uislam wa Kikwete/Salim.
Sasa hapo ndipo naposhangaa hivyo vyanzo vya MS ni vya aina gani. Na hapo huwa najiuliza:
Inawezekana wanaomwambia wanajua anapenda kusikiliza nini kwa hiyo wanampa ukweli uliopindishwa.
Au ni mtunzi mzuri wa ngano mwendelezo, unampa habari kidogo anaongezea nyama kwa wingi ili kufurahisha hadhira yake.
Au kuna mradi anoutumikia ambao unamtaka kujenga ovu lolote kuhusu Mwalimu/Ukristo kufurahisha wenye mradi.
Au ni njia rahisi ya kuwafanya Waislam wajione dhalili na kutofikiria kuweka mikakati ya kujikwamua ki-elimu ili yeye na wenzake wabaki "star" miongoni mwa wajinga!
Au ni chuki aliojengewa na yeye kuikuza kutokana na masimulizi na sasa anaweka "platform" ya kulipa kisasi.
Huwa siishi kujiuliza maswali napowasikia watu kama MS wakiweka jitihada ya kubomoa na kufarakanisha Taifa. Na kwa kweli ukimsoma katikati ya mstari utagundua kuna mwangwi wa wa moja ya maovu hapo juu. Na akishatia neno Uislam basiii wanyonge wake wananywea......Umpinge mtetezi wa "dini" thubutuuu.
Mohamed, sidhani neno uongo ni tusi.Nguruvi3,
Tulia kisha andika kama msomi.
Nimekusoma sipendi unapoandika namna hii.
Lugha ya ''uongo,'' shutuma nk. nk. nk. hainogeshi
mjadala.
Ila nitakupa kidogo katika mambo haya ya siasa.
Kuna kitu kinaitwa ''changing horses mid stream.''
Ikiwa hujui hiyo ni kitu gani jishughulishe kusoma
kidogo na hiyo ambayo kwako ni ajabu itakuwa si
ajabu tena.
Waarabu wana msemo, ''Sababu huondoa ajabu.''
Abdu ndie kila kitu kwenye kile kitabu chako. Kitabu kikijatengenezwa sinema ndie atakuwa "steringi". Ni vizuri watu tukamfahamu thoroughly.WC,
Kwa nini unajipa shida yote hiyo?
Na hapo ndipo tunapopingana na wewe zaidi na zaidi.
Unawadanganya waislam kuwa Mkapa aliposhinda kwenye nomination za CCM "hymns were sung"
Hivi wewe mzee, don't you even feel remorse when you tell misleading lies like these? Au zile nyimbo za Capten Komba ndio unaziita hymns? Hivi dini yako haikukatazi kutunga uongo?
Eti "christians were heard to whisper" were heard by who? Kwa kweli you are man with hate. Your hate has found a target. The target is Nyerere and christians, na hata tufanyanyeje, hatuwezi tukakubadilisha. You are a very dangerous man.
Abdu ndie kila kitu kwenye kile kitabu chako. Kitabu kikijatengenezwa sinema ndie atakuwa "steringi". Ni vizuri watu tukamfahamu thoroughly.