Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nafikiri ukitaka kupata data nzuri. Jiulize baada ya uhuru wenu Makanisa yeni yaliweza kujenga skuli ngapi, Hospital ngapi?

Jiulize kwanini hizo zote ulizo orodhesha zilijengwa kabla ua uhuru wenu?


Hilo si la kujiuliza linajulikana wazi kuwa baada ya uhuru licha ya kutaifishiwa shule zao wakristo wamejenga shule nyingi kuliko mwanzo, hospitali na zahanati, na hata vyuo vikuu. Na sote tunafahamu kuwa miaka 45 baada ya uhuru waislamu walipewa BURE chuo kikuu pale Morogoro. Kwa ujumla sijawahi kuelewa wanachokidai hawa wenzetu!
 
Last edited by a moderator:

Asante kwa mchango huu maana katika athari ulizotaja huku mojawapo imeshanipata. Hata hapa kazini na mtaani naishi nao kwa tahadhari maana nahisi wana chuki dhidi yangu. Yote kwa sababu ya propaganda za chuki za akina Mohamedi Saidi na Radio Imani yao.
 
watu wa kumshukuru Nyerere ni wengi sana

"Another example of his humanitarian approach
took place in January 1964, when he gave temporary
residence in Dar es Salaam to the deposed Sultan of
Zanzibar. The British government had agreed to give
political asylum to the deposed Sultan, who was camping
on a ship somewhere in the Indian Ocean. While making
the necessary arrangements for the Sultan's transfer to
his asylum home in Britain, the British government
requested the government of Kenya to give temporary
residence to him and his large entourage, as life on the
small ship was becoming unbearable. Kenya refused.
The British government then put the same request to
Tanzania. Mwalimu Nyerere the humanist and respecter
of human dignity, quickly agreed. The Sultan landed and
stayed in Dar es Salaam until the day of his departure to
the United Kingdom"
 
Kiliochangu,
Umenigusa. Kuna mahali nimemuuliza Mohamed kama juhudi za Nyerere kutaifisha shule za makanisa ili waislamu nao wawe na nafasi ya kusoma, kwa maoni yake, zilikuwa na ufanisi wa kiasi gani? Hakunijibu. Badala yake ananielezea mambo ya NECTA. Sijui kama hii NECTA ilikuwepo enzi za Nyerere. Yeye mwenyewe Mohamed kasoma shule ya wakatoliki, St. Joseph pale Forodhani. Leo hii hawezi kusimama mbele ya waislamu wenzake na kuwaambia hii taaluma ya kuandika na kusimulia vizuri niliipata kwenye shule iliyokuwa ya misheni. Hawezi, kwa sababu itamsuta!
 

Jasusi.
Mzee Mohamed kuna vitu vya msingi hajavigusa kuhusiana na hali ya elimu iliopo hapo Tanzania. Kuna picha anayotaka kutengeza kuwa Wakristo wote wamesoma, au wote wanamaisha mazuri kwa kua nchii hii inawapendelea Wakristo.Sijui kama hajawahi kuona Wakristo maskini wakutupa na wengine hata hawajui kusoma, sijui anaishi na Wakristo wawapi. Nawafahau wengi tu wanamaisha magumu. Pia nawafahamu vijana wengi wa Kikristo waliosoma kwa kujibana kwao na wazazi wao, ukisema hawa watu wamepewa upendeleo utakuwa hujawatendea haki hata kidogo, utakuwa hujaheshimu juhudi.

Lakini Mohamed hasemi kwanini miaka yote karibu 800 kabla ya Wakristo kuja hapa Tanzania, waislamu hawajajenga hicho chuo kikuu.
Mimi nafikri utamadauni na mazingira ndio yamewafanya Waislamu waonekane kama hawajasoma. Uislam wa Tanzania una asili yake kwa sehemu kubwa Oman japo upo pia katika Iran, n.k. Oman pamoja na utajiri wa mafuta na gesi ni miaka ya 80 ndio wamejenga Chuo Kikuu, hiyo itakupa picha kwamba walivyokuja na Uislam hapa kwetu pia waliicha. Lakini haya Mohamed Said hataki kuyasema.

Eti Nyerere alipendelea Wakristo lakini akashindwa kupendelea watoto wake na familia yake???.

Dr Njozi naye kwenye kitabu chake amemnukuu baba wa Taifa Mwalm Nyerere akihojiwa na gazeti la Kikristo akisema natekeleza mafundisho ya YESU kwa vitendo (tafsiri yangu). Sasa sijui neno hilo ubaguzi wake upo wapi ikiwa hata Waislam wanasema wanamuamini YESU??.
 

Labda alivyokuwa hapo St Joseph,ili kuruka vikwazo vya elimu kwa waislam,alikuwa anatumia jina la kikristo Mohamed Said tunaomba ufafanuzi
 
Last edited by a moderator:
Jasusi, kilio changu, Son of Alaska,

..wakati nakua, shina letu la CCM, yaani nyumba 10, lilijumuisha eneo la kanisa.

..Mwenyekiti wa shina, na mjumbe wetu wa nyumba 10, alikuwa ni Mzee wa Kiislamu.

..alikuwepo baba mmoja mtumishi wa kanisa, lakini ana tabia ya ulevi, na kumpiga mkewe.

..yule mama mke wa mtumishi wa kanisa siku nyingine mambo yakimzidia alikuwa anakimbilia kujisalimisha na kutafuta usuluhishi kwa mjumbe wa nyumba 10, yaani yule Mzee wa Kiislamu!!

..hiyo ndiyo Tanzania ambayo wengine tumekua tukiiona, sasa haya yanayotokea leo kwa kweli yanashangaza sana. WHAT HAPPENED TO US??

..SHULENI tulikuwa hatuulizani dini madarasani, au mabwenini. siku za kuabudu zilikuwa ni Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili. siku hizo wanafunzi walikuwa wanakwenda kuabudu na tukimaliza tunakuwa kitu kimoja tunapambana na MASOMO.

..nakumbuka nikisoma shule ya bweni, wakati wa mwezi wa RAMADHANI, Waislamu walikuwa wanapikiwa special diet kwa ajili ya futari na daku. sasa mtu anapodai serikali ilikuwa ikiwakwaza Waislamu kielimu kwa kweli nashindwa kumuelewa.

..MALUMBANO ya dini ipi ni bora au ya kweli, sikuwahi kuyasikia nikiwa shuleni. MIZOZO ya kidini kwamba upande mmoja unaonea upande mwingine nayo sikuisikia shuleni. This is a new thing to some of us.
 
Last edited by a moderator:

Joka Kuu,

Hata mie nazikumbuka siku hizo.
Kimetokea kitu gani?

Nani kasababisha fitna hii?
nyeje tujikwamue na dhahama hii?
 
Msome vizuri Yericko Nyerere. Itifaki ya chakula anachokula Rais ina taratibu zake. Wewe na mimi wake zetu ndio uhai wetu. Mama Maria Nyerere aliwahi kurudi kwao, Komuge alikozaliwa akakaa huko kwa zaidi ya miaka 8.
Msamehe tu kwakuwa hataki hata kujifunza bure tu hapa, je shule za akina Rwakatare atakanyaga kweli? Si atasingizia mfumo kristu?
 
Last edited by a moderator:
Labda alivyokuwa hapo St Joseph,ili kuruka vikwazo vya elimu kwa waislam,alikuwa anatumia jina la kikristo Mohamed Said tunaomba ufafanuzi
Son... Ukiweka kejeli unaniwekea ugumu kufanya mjadala. Jasusi nimemjibu labda kama hajaliona. Jasusi siwezi kumpuuza. Ni ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:
Usipende kutafuniwa tu ili wewe umeze,

Nenda pale magogoni ikulu mapokezi tu, waulize kuwa unataka mnadhimu wa ikulu na muambata wa Kikwete, watakuitia mtu huyo wa Musoga, ambae ni tester ya JK popote na anaaminiwa kuliko hata mama Salma!

Usipende kuokota maneno mtaani kuleta JF wewe unamuongelea Mzee Mtawa.

Kwanza hujui chochote bora ungekaa kimya JK anasafiri kila siku nje ya nchi na mikoani huyo mzee yupo Dar huko kote wewe ndiyo unamuonjea chakula.
 
Jasusi, Hata mie nazikumbuka siku hizo. Kimetokea kitu gani? Nani kasababisha fitna hii? Tufanyeje tujikwamue na dhahama hii?

Ukibadili tu mlengo wako wa uchochezi na ukaamua kuwahamasisha watoto waislamu waende shule, pia ukiwaambia ukweli kuwa tatizo la elimu kwa waislamu sio NECTA bali ni nyinyi waislamu, haya yote yatabaki historia na pengine hayatakumbukwa kabisa!

Utaifa wetu utalindwa na watanzania wenyewe ambao ni mimi,wewe na wale
 
Usipende kuokota maneno mtaani kuleta JF wewe unamuongelea Mzee Mtawa.

Kwanza hujui chochote bora ungekaa kimya JK anasafiri kila siku nje ya nchi na mikoani huyo mzee yupo Dar huko kote wewe ndiyo unamuonjea chakula.
Wewe kweli ni mjinga na hautapembuka kamwe! Unarukia majina ya watu utadhani unakunywa pombe za ngomani ndugu?

Jana umekurupuka na kuropoka kuwa Mwenyeti wa kamati ya medali zile mnazozililia ni Mzee John Malecella, tena ukaja na picha kabisa, tukakukanya kuwa funga domo lako,

Kisha hapa jioni nilikupa kazi uende pale ikulu uuombe kumuona huyo tester wa jk lakini hujaenda kisha unakuja na umbeya mwingine!

Jitulize omba ujulishwe usijifanye kila kitu unakijua,

Kule mombasa lazima uvikwe khanga ndugu!
 
Huyu ndiyo anafundisha watu historia ya Tanganyika na anataka kutunga kitabu hebu msomeni vizuri.

Ukiona mtu anaparomosha matusi hujue hoja zimesha bahati mbaya sitokurudishia tusi watu wanakusoma.
 
Nanren,

Unailezea Al Jamiatul Islamiya kwa hisia zako pamoja na fikra zako halafu hapo hapo unaomba Mohamed Said, akujibu.

Ritz
Ni namna tofauti tu ya majadiliano. Wewe kwa mfano huwa unauliza maswali wakati majibu unayo. Mimi nimeamua kumchokonoa Mohamed Said kwa hisia zangu ili afunguke.
Ulichonifurahisha ni kuwa umeweza kutambua "hisia na fikra" zangu kwenye post yangu lakini umeshindwa kutambua "hisia na fikra" kwenye posts/simulizi za 'watu wengine'...
 
Last edited by a moderator:
Hili hata Mzee wetu Mohamed kalisema. Kasema pia jinsi Mwalimu alivyomwona mke wa marehemu Abdu kando ya barabara akasimamisha msafara wake kwenda kumsalimia yule mama.

WC,

Huyo alikuwa Bi Mluguru biti Mussa mama yake Abdu Sykes.

''Siku moja Nyerere akiwa ndani ya msafara wake wa
mapikipiki akienda Gerezani kufungua mradi wa
viwanda vidogo vidogo, msafawa wake uliingia Mtaa
wa Sikukuu ukawa unaelekea mitaa ya Kiungani.

Nyerere akiwa ndani ya benzi lake alikuwa akitupa
macho huku na huku akiangalia mitaa yake aliyokuwa
akiikanyanga kwa miguu enzi za kudai uhuru.

Bila shaka msafara ulipopita Kipata na Sikukuu Nyerere
aliiangalia nyumba ya Mzee Mtamila, msafara ulipoingia
Sikukuu na na Kirk kuna shaka alinyoosha shingo yake
kuangalia nyumba aliyoijua sana, nyumbani kwa
Abdulwahid Sykes na mama yake Bi Mluguru.

Hapa jicho la Nyerere likagongana na sura ya Bi Mluguru
aliyekuwa amejipanga mstari pamoja na wananchi wengine
kuangalia msafara wa Nyerere.

Alipotambua kuwa yule mama aliyesimama alikuwa Bi Mluguru,
Nyerere aliamua gari yake isimame na kwa ghafla dereva wake
alisimamisha gari.

Nyerere alitoka nje ya gari akamwendea Bi Mluguru kumwamkia.

Mapikipiki yalisimama madereva wamepigwa na butwaa.

Wanaangalia nyuma wanamuona Nyerere anazungumza na mama
mmoja mtu mzima.

Haraka walinzi wakawa wamemzunguka Nyerere na Bi Mluguru.

Kwa hakika kitendo kile kilikuwa cha kushangaza.

Nyerere alipoondoka na msafara wake nyuma aliacha gumzo kubwa.

Ilikuwa miaka michache baada ya kifo cha Abdulwahid.

Walioijua historia ya Nyerere na marehemu Abdulwahid Sykes kitendo
kile cha kiungwana cha Nyerere hakikuwashangaza.''
 
Unajua na mimi huwa najikuta nafurahi mwenyewe wanapomuuliza hivi..Au wakati mwingine watamuuliza "hivi ile nyumba ya tatu mtaa wa Kipata ni ya nani?".

Basi Mzee atatiririka kwa kuremba lugha haswa!

P,

Ikiwa hupendezewi mimi kueleza kwetu nieleze tu naweza
nikaacha tukashika mengine yenye faida kwa wengi.
 
Hawa ndiyo wasomi wetu wa Tanzania tena unasema una PhD endelea kuwadanganya kina Mag3, Nguruvi3, Jasusi, lakini watu makini huwezi kuwadanganya.

Acha uongo nani kakuambia Oman wana utajiri wa mafuta sijui umeipata wapi hii.

Acha uongo eti Oman mwaka huu ndiyo wamejenga chuo kuu sijui umeipata wapi hii.

Oman wana vyuo vikuu zaidi ya 30 nakutajia vichache tu.


1) Uraimi University

2) Dhofar University

3) Sultan Qaboos University

4) The University of Nizwa

5) Oman Medical College

Angalia sana usipende kuokota maneno vijiweni kuleta JF.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…