Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #6,041
Sasa hapo unataka maelezo? Mimi ni muandishi in the sense that I have a degree in journalism and I have worked in the media profession. Mimi si mwandishi in the sense that I have not published anything worthwhile. Context. Mukhtadha.
Unalo jengine?
Acha uwongo mwingine wewe. Mwanza siyo Mara. Ni Wakurya peke yao walio na hii mila ya mwanamke kuoa mwanamke mwingine. Na wala hujui historia yake. Si kwamba huyo mwanamke anaolewa na huyo mama ila mama anamlipia mahari ili watoto atakaozaa wawe wa kwake. Na lengo lake lilikuwa ni kudumisha ukoo kwa mfano kama mama hakuzaa watoto. Usidanganye hapa na kujifanya mjuzi kama ulivyofanya kwenye ule mjadala wa makabila ya Kenya na Uganda.
Mkuu mbona niliwahi kumsikia Mwalimu mwenyewe akizungumzia suala hili - alisema hata kabila la Wazanaki kuna tamaduni za aina hiyo, siyo kwa wa Kurya TU. Kwani Mwanza na Mara kuna umbali gani mpaka mtu ashindwe kuelewa tamaduni za huko?
Hehehe mkuu kazi kwelikweli kujadiliana na hawa wwatu, inabidi hekima na maarifa viwe mbele, bila kusahau uvumilivu, sometimes wanauzi kwelikweli lakini inabidi ujishushe kulinda sheria za jf.
Nimejifunza mengi na ninaendelea kujifunza mengi juu ya viumbe wa aina ya Ritz, zomba, barubaru, kichwakigumu na kiranja wao Mo'Said.
Hawa ni kiungo mhuhimu kwenye minakasha kama hii.
Sasa hapo unataka maelezo? Mimi ni muandishi in the sense that I have a degree in journalism and I have worked in the media profession. Mimi si mwandishi in the sense that I have not published anything worthwhile. Context. Mukhtadha.
Unalo jengine?
Pilipili usiyoila inakuwashia nini? tatizo lenu wapumbavu kama nyie mnadhani mna akili kumbe mko uchi wa mnyama ndani ya mabichwa yenu!ignorant people at work
Kweli siku hizi vichaa nao wanajiita wazima!pole sana bwana sheikh ubwabwa, hapa sio kwako, rudi madrasa ukasomeshwe!zomba kuna huyu mtu anaitwa gwalienzi usishindane nae anatakupelekwa mirembe
Yericko alisema Mwalimu Nyerere ni baba yake mzazi,mimi nimesema tu,that is news to me,sina taarifa. Mama yake mzazi ni nani?
Kweli siku hizi vichaa nao wanajiita wazima!pole sana bwana sheikh ubwabwa, hapa sio kwako, rudi madrasa ukasomeshwe!
Wewe endelea kulamba mabuti ya mzee mchochezi Mohamed Saidi kwa kuwa huna uwezo wa kuchambua mambo kibwengo wewe!Tupo katika post ya 6058 hivi sasa,
Lakin bado unaendelea kuandika mashudu tuh hapa,
Hutafuti panapokufaaa??
Ombi maalum kwa Shekh Mohamed Said:
Shekh kama utaridhia naomba jina la wazee wetu wa Kiimani waliopigania uhuru tuwaenzi kwa jina la Mashahidi kwani tunaona upinzani mkubwa toka upande wa pili wakisikia jina la Wazee wetu linawachoma sana! hivyo ukibadilsha na kuwaita Mashahidi au Asshuhadaa nadhani watazidi kuchanganyikiwa lakini huenda likachangia kusomwa dua nyingi toka kwa raia waadilifu!
Asante!
Mohamed Said, unaweza kuamini kwamba kwa kukwepa kujibu hoja za msingi unapata hifadhi ya muda, hapana unajidanganya...nakukumbusha kuwa hii ni JF...you can run but you wont be able to hide! Mimi narudi kule kule kwa EAMWS...
EAMWS ilianzishwa na jumuiya ya Ismailia mwaka 1945 mjini Mombasa, Kenya na wakati tawi lake linaanzishwa hapa nchini kulitokea upinzani mkali kutoka kwa jumuiya ya Kiislaam iliyojulikana kama Al Jamiatul Islamiyya ya Tanganyika iliyoanzishwa mwaka 1933 na unayopenda sana kuinukuu Mohamed Said. Uhusiano huu mbaya ulileta uhasama mkubwa na kutolelewana baina ya hizi jumuiya mbili...sasa maswali kwako Mohamed Said unayedai ulifanya utafiti wa muda mrefu na kuhoji mamia ya watu na viongozi mbalimbali;
Mohamed Said, naamini majibu ya hayo maswali unayo kama kweli ulifanya utafiti wa muda mrefu kama unavyodai ingawa kwa upande mwingine inaonekana serikali haikuwa na tatizo lolote na Aga Khan na sana sana ushirikiano ulizidi kujengeka na kuimarika hata baada ya EAMWS kuvunjwa. Inasemekana kabla ya serikali kuchukua hatua hiyo uongozi wa Ismailia ulikuwa unasononeka sana kwa vitendo vya kuingiliwa katika mipango yake na masalia ya AMNUT na waliishukuru sana serikali kwa kuingilia kati.
- Je, jumuiya ya Ismailia iliyoiunda EAMWS iliwapokeaje waliokuwa viongozi na wanachama wa AMNUT?
- Je, kiongozi wa jumuiya ya Ismailia, AgaKhan, aliridhia hayo masalia ya AMNUT kuvamia jumuiya yake?
- Je, Aga Khan aliridhia malengo ya EAMWS, kubadilika na kujikita katika upinzani kwa kupambana na serikali?
- Je, wakati wa kuvunjwa EAMWS mwaka 1968, jumuiya ya Ismailia chini ya Aga Khan ilikuwa na msimamo gani?
- Je Mohamed Said katika utafiti wako, uliwahi kuuhoji uongozi wa Ismailia kuhusu kuvunjwa kwa chombo chao walichokiunda wenyewe?
- Na kama uliwahoji, nani hao uliowahoji na upi ulikuwa ni msimamo wao kuhusiana na hatua iliyochukuliwa na serikali?
Wewe endelea kulamba mabuti ya mzee mchochezi Mohamed Saidi kwa kuwa huna uwezo wa kuchambua mambo kibwengo wewe!
Kama hutaacha kujipendekeza kwa mzee mchochezi Mohamed Saidi, watoto wako watakuja chapa viboko hata kaburi lako mjinga wewe!Uwezo wako wa kujenga hoja naufananisha na jins mzgo ulivokufanya kwenye Avatar yako,,
Ukitaka kufaham uwezo wako usipate tabu,tazama Avatar yako..
Mohamed Said,
..unaweza kutuletea risala "moto wa Waislamu ukiwaka" aliyoisoma Bilal Rehani Waikela mbele ya Mwalimu Nyerere?
..je, ni kweli Bilal Waikela, aliposoma risala hiyo, alimnyooshea bakora Raisi Mwalimu Juliasi Nyerere?
..je, hudhani kwamba risala hiyo ilikuwa ya vitisho, na kuijaribu mamlaka ya Raisi na Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania??
cc: Ritz, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, zomba, Jasusi, Mag3
Naam,hoja hujibiwa kwa hoja na sio chengachenga,nadhani bwana Mohamed ametambua ya kwamba alichoandika ni uchochezi na wala sio ukweli halisi.
Usihukumu usichokijua. Sijawahi kusoma DSJ. Jaribu Howard University Marekani na University of Maryland College Park tuone.Hatushangai..
Product za DSJ HIZI..
HONGERA NDUGU MWANDISHI..