THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Ritz,si kweli haya unayosema.Hayo ni kweli kabisa kwanza unatakiwa hujue Waislam kumpiga Nyerere hawajaanza kupitia kitabu cha Mohamed Said, wameanza kumpinga toka alipowakamata Masheikh na kuwaweka ndani baada ya uhuru.
Ritz,si kweli haya unayosema.
Kwanza naomba uweke sentensi sawa. Usitumie waislam maana kila mtu anaweza kuwa mwislam na uislam hauna hati miliki au application.Uislam ni imani na dini.
Ningeshauri useme ''baadhi ya waislam''.
Baada ya kusema hayo naomba nikuthibitishie kuwa baadhi ya waislam walimpinga Nyerere kabla ya uhuru.
Namnukuu Mohamed Said Mwakapopo aliyesema '' AMNUT ilianzishwa na waislam ili kumpinga Nyerere na kulikuwa na majaribio mawili ya kumuondoa katika madaraka ya uongozi wa TANU mwishoni mwa miaka ya 1950''.
Maana ya hii ni kuwa kabla ya uhuru, baadhi ya waislam kama AMNUT walishampinga Nyerere na hata kutaka kumuonodoa katika uongozi kwa kwa sababu ya Ukristo wake.
Baadhi ya Waislam walimuunga mkono na hawa ndio wengi waliotupatia uhuru wakiwemo akina Rehani Waikela, Sheikh Amir, Abdul Sykes,Bibi Titi Mohamed, Rashid Mfaume Kawawa, Chifu Abdallah Fundikira, Mzee Ngozi wa Moshi, Mzee Chaurembo, Mshume Kiyate, Mzee Kitundu, Mzee Mwapachu kwa uchache wa kuwataja.
Lakini pia lazima uelewe kuwa Uislam ni jina na mwislam ni muumini wa Uislam.
Si kila mwislam ni muumini ingawa ,muumini lazima awe mwislam.
Hivyo basi atumie jina la uislam kumpinga Nyerere si lazima awaye awe mwislam.
Ahsante
Ahsante, nimeandika kumbe ulishaandika.Ritz
Hebu tusaidie kidogo.
Nikisema kwa mfano: "waislam wanawachukia wakristo" au "waislam ni matajiri" hii itakuwa ni over-generalization. Si waislam wote wanawachukia wakristo na wala si wote ni matajiri.
Sasa unaposema "Waislam walianza kumchukia Nyerere wakati Masheikh walipotiwa kizuizuini", sidhani kama unamaanaisha waislam wote.
Kwa sababu hiyo basi naomba kujua aina za waislam tulionao hapa Tanzania. Je kuna watu tunaofikiri ni waislam (kwa mfano walioko Bakwata, surah ya maimam) kumbe sio? Je kuna madhehebu (kwa mfano: ibadhi, sunni, shia, ismailia nk) ambayo si waislam wa kweli? Ni nani anayeamua na kwa vigezo gani kuwa Abdukarim ni muislam na Jaffary sio muislam iwapo hawa wote wanafuata na kutimiza nguzo za uislam?
mzee kwenye sarcasm you are not very good at it... nice try though
kumbe habari yenyewe ya waikela ni uzushi.
Adui wa waislam wa Tanzania ni nani? na kwa nini?G,
''Uozo?''
Hebu fafanua.
Sijakuelewa unaposema ''nakiri'' sijui una maana gani.
Mimi ninasema kila mahali kuwa Nyerere akitajwa kweli
analaaniwa na si siri muulize Muislam yeyote hili atakuambia.
Jumapili iliyopita nilialikwa kwenye semina Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
mada yangu ilikuwa ''Jinsi Umoja wa Watanganyika Ulivyoshinda Njama za
Wakoloni.''
Hili jambo la kulaaniwa kwa Nyerere nimelieleza.
Wewe unashtuka kwa kuwa ni kitu kigeni kwako.
Mimi kwa mara ya kwanza nilisikia laana hiyo Mnazi Mmoja 1995 katika
muhadhara wa Muzdalifa ambao mimi nilikuwa nahadhir na mada yangu
ilikuwa ''Uislam na Siasa Tanzania.''
Binafsi mimi nasikitishwa kuwa hadi tumefika hali hii serikali yetu haitaki
kukubali kuwa tuna tatizo.
Gwalihenzi,
Kuwa unanisoma vizuri.
Nadhani hayo niliyoandika yamekudhihirishia kuwa nasimama katika kile
nilichokisema.
Usiniletee lugha za ''kukiri'' mimi nikiri kwa lipi.
Kukiri ndiyo nini na nakiri kwa nani?
Mimi naaandika, nasema na maneno yangu yapo katika maandishi na katika
sauti yangu.
Narudia sijasahau kitu chochote katika yale nilosema.
Ukipenda rudia kusoma hii post upya.
Tutafahamiana.
Adui wa waislam wa Tanzania ni nani? na kwa nini?
Duh! unatokwa mapovu bure! mbona maneno ya "kukiri"hukuambiwa wewe. Nilikuwa naongea na Ritz alipokuwa akibisha kwamba wewe hutumii misikiti na uislam kwa manufaa yako na chuki za kueneza uchochezi ambao utaleta maafa muda si mrefu. Jaribu kurudia tena maongezi yangu na Ritz. Kwa umri wako ukiwa una jaa gesi utapata kiarusi bure wakati tunahamu kuendelea kusikia ngano zako za Tandamti na Gerezani!G,
''Uozo?''
Hebu fafanua.
Sijakuelewa unaposema ''nakiri'' sijui una maana gani.
Mimi ninasema kila mahali kuwa Nyerere akitajwa kweli
analaaniwa na si siri muulize Muislam yeyote hili atakuambia.
Jumapili iliyopita nilialikwa kwenye semina Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
mada yangu ilikuwa ''Jinsi Umoja wa Watanganyika Ulivyoshinda Njama za
Wakoloni.''
Hili jambo la kulaaniwa kwa Nyerere nimelieleza.
Wewe unashtuka kwa kuwa ni kitu kigeni kwako.
Mimi kwa mara ya kwanza nilisikia laana hiyo Mnazi Mmoja 1995 katika
muhadhara wa Muzdalifa ambao mimi nilikuwa nahadhir na mada yangu
ilikuwa ''Uislam na Siasa Tanzania.''
Binafsi mimi nasikitishwa kuwa hadi tumefika hali hii serikali yetu haitaki
kukubali kuwa tuna tatizo.
Gwalihenzi,
Kuwa unanisoma vizuri.
Nadhani hayo niliyoandika yamekudhihirishia kuwa nasimama katika kile
nilichokisema.
Usiniletee lugha za ''kukiri'' mimi nikiri kwa lipi.
Kukiri ndiyo nini na nakiri kwa nani?
Mimi naaandika, nasema na maneno yangu yapo katika maandishi na katika
sauti yangu.
Narudia sijasahau kitu chochote katika yale nilosema.
Ukipenda rudia kusoma hii post upya.
Tutafahamiana.
Haya yanafaa kwenye mihadhara yenu na sio hapa!Views 84164 si haba,ujumbe umewafikia wengi sana,na wengi wanazidi nufaika kwa Elimu hii kubwa kupata kutokea katika historia ya nchi yetu,sisi na walio wengi wanaofuatlia mjadala huu hatuoni uchochez uko wapi,
Na hawa wanaopinga na kukejeli hawaeleweki hasa hoja zao za msingi ni zipi..
Nguruvi,
Mimi ukitaka kuninasibu kwa majina ya wazee wangu ni haya: Mohamed Said Salum Abdallah Samitungo Muyukwa Mwekapopo.
Vizazi saba hivyo nyuma.
Chunga spelling ya hayo majina.
Chifu Abdallah Said Fundikira alikuwa anaweza kwenda
nyuma vizazi kumi na tatu.
Aah! Mohamed, ustaadh, yamekuwa haya tena!Z,
Usipoteze muda wako hapa JF katika sijui historia ya uhuru.
Hawa Waswahili wakishalewa kahawa wanatunga ngano.
Historia ishaandikwa na Kivukoni College na hiyo ndiyo historia
ya kweli.
Duh! unatokwa mapovu bure! mbona maneno ya "kukiri"hukuambiwa wewe. Nilikuwa naongea na Ritz alipokuwa akibisha kwamba wewe hutumii misikiti na uislam kwa manufaa yako na chuki za kueneza uchochezi ambao utaleta maafa muda si mrefu. Jaribu kurudia tena maongezi yangu na Ritz. Kwa umri wako ukiwa una jaa gesi utapata kiarusi bure wakati tunahamu kuendelea kusikia ngano zako za Tandamti na Gerezani!
Yote poa tu, kwani kwa nchi maskini kama hizi zetu ambako hatuna kawaida ya kupima afya zetu mpaka tuumwe haitakuwa ajabu. Sasa nikitambua kuwa mungu yupo itabadili maumivu na madhara ya kiharusi?hao wanaoumwa sasa hivi ni kwakuwa hawajatambua uwepo wa mungu? mbona unaleta mambo ya watoto!Angalia kiarusi usijekupata wewe na siku hiyo ndiyo utatambua kuwa MUNGU yupo.
Ritz
Hebu tusaidie kidogo.
Nikisema kwa mfano: "waislam wanawachukia wakristo" au "waislam ni matajiri" hii itakuwa ni over-generalization. Si waislam wote wanawachukia wakristo na wala si wote ni matajiri.
Sasa unaposema "Waislam walianza kumchukia Nyerere wakati Masheikh walipotiwa kizuizuini", sidhani kama unamaanaisha waislam wote.
Kwa sababu hiyo basi naomba kujua aina za waislam tulionao hapa Tanzania. Je kuna watu tunaofikiri ni waislam (kwa mfano walioko Bakwata, surah ya maimam) kumbe sio? Je kuna madhehebu (kwa mfano: ibadhi, sunni, shia, ismailia nk) ambayo si waislam wa kweli? Ni nani anayeamua na kwa vigezo gani kuwa Abdukarim ni muislam na Jaffary sio muislam iwapo hawa wote wanafuata na kutimiza nguzo za uislam?
Ritz,si kweli haya unayosema.
Kwanza naomba uweke sentensi sawa. Usitumie waislam maana kila mtu anaweza kuwa mwislam na uislam hauna hati miliki au application.Uislam ni imani na dini.
Ningeshauri useme ''baadhi ya waislam''.
Baada ya kusema hayo naomba nikuthibitishie kuwa baadhi ya waislam walimpinga Nyerere kabla ya uhuru.
Namnukuu Mohamed Said Mwakapopo aliyesema '' AMNUT ilianzishwa na waislam ili kumpinga Nyerere na kulikuwa na majaribio mawili ya kumuondoa katika madaraka ya uongozi wa TANU mwishoni mwa miaka ya 1950''.
Maana ya hii ni kuwa kabla ya uhuru, baadhi ya waislam kama AMNUT walishampinga Nyerere na hata kutaka kumuonodoa katika uongozi kwa kwa sababu ya Ukristo wake.
Baadhi ya Waislam walimuunga mkono na hawa ndio wengi waliotupatia uhuru wakiwemo akina Rehani Waikela, Sheikh Amir, Abdul Sykes,Bibi Titi Mohamed, Rashid Mfaume Kawawa, Chifu Abdallah Fundikira, Mzee Ngozi wa Moshi, Mzee Chaurembo, Mshume Kiyate, Mzee Kitundu, Mzee Mwapachu kwa uchache wa kuwataja.
Lakini pia lazima uelewe kuwa Uislam ni jina na mwislam ni muumini wa Uislam.
Si kila mwislam ni muumini ingawa ,muumini lazima awe mwislam.
Hivyo basi atumie jina la uislam kumpinga Nyerere si lazima awaye awe mwislam.
Ahsante
Yote poa tu, kwani kwa nchi maskini kama hizi zetu ambako hatuna kawaida ya kupima afya zetu mpaka tuumwe haitakuwa ajabu. Sasa nikitambua kuwa mungu yupo itabadili maumivu na madhara ya kiharusi?hao wanaoumwa sasa hivi ni kwakuwa hawajatambua uwepo wa mungu? mbona unaleta mambo ya watoto!
Ritz unapata tabu na huyu jamaa anakupotezea muda ni hizi safari zinampa kichwa na viroba achana nae tuendelee na darasa la mzee MSKuna mzee mmoja alikuwa naye anajifanya ATHEIST akapatwa na maradhi ya moyo kalazwa hospital TMJ jamaa wamenda kumuangalia yupo analia tu anasema Mungu nisaidie nipone...nilishangaa sana kumbe dawa ya ATHEIST ni maradhi.
SASA hii kali,yaani chief Fundikira aliweza kwenda nyuma vizazi kumi na tatu,hii kwa afrika mbona haiwezekani,maana hicho kizazi cha kwanza si itakuwa kabla vasco da gama hajapita maeneo haya-hii data ni suspect
Ritz, wewe ni msomi achana na hizi story za kawaida sana. Mbona zipo nyingi sana hizo! nikupe nyingine hii; Jamaa mmoja alikuwa anaumwa sana akajua hana ndugu na akifa atazikwa na Manispaa, akahofu sana, mara sheikh mmoja akapita pale wodini, jamaa yule akamwita na kumwambia sheikh, "unajua miminilikuwa mkristo lakini usiku nimeota kuwa dini ya kweli ni uislam naomba kuanzia sasa hivi na mbele yako ni silim" Siku ya tatu akafa na kuzikwa kwa heshima zote za kiislam!Kuna mzee mmoja alikuwa naye anajifanya ATHEIST akapatwa na maradhi ya moyo kalazwa hospital TMJ jamaa wamenda kumuangalia yupo analia tu anasema Mungu nisaidie nipone...nilishangaa sana kumbe dawa ya ATHEIST ni maradhi.