Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Pole sana

Asante mkuu nasikia FBI nao wako kwenye huu munakasha nawewe ni informer wao naona watu wanapigwa ban kama mchezo wewe unaendelea kutesa haya mkuu endeleeni kubaki wenyewe ambao hamtukani sisi wenye kutukana wacha tupumzike kama RADIO IMAAN 92.6 FM MOROGORO
 

Hivi unamjua Hannan Ashrawi? hujui kuwa ni Mpalestina Mkristo? au wewe unafikiri Waarabu wote ni Waislamu? hivi unajua Wapalestina Wakristo ni asilimia ngapi?

صور the pope visit to palestine picture‏


Papa akisujudu ardhi ya Palastina! Picha chini akiwa GAZA!





 


Mfumo kristo at work!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
yaani mkuu hata wewe unakubaliana na hoja dhaifu za boko haram kuhusu vita ya Kagera?

Hivi na wewe unakubaliana na wale walioamini kuwa Nyerere alikuwa na fikra sahihi? na zidumu? zitadumu kweli?
 
Sheikh Ponda ban,Radio Imani ban,Zomba ban,The big show ban, Ritz ban.Duuh sipati picha hasira mlizonazo.

Poleni sana wafia dini wa Gerezani....sisi wengine hatubabaishwi na hizi dini zilizokuja na meli pale bandarini.

Binafsi naamini Mungu yupo basi...hizo blah blah zingine na vitabu vyenu vilivyoletwa kwa majahazi na meli nawaachieni nyinyi.
 
Mfumo kristo at work!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu, mfumo kristo ndiyo unaotawala dunia mzima. Utaki unaacha.

Ila mimi siyo mfia dini kama wewe! Yaani wewe uko teyari kufa kwa hizi dini za kuletewa na wajanja na vitabu vilivyoandikwa na wajanja na wakatushushia pale bandarini. Shame on u!
 

Wewe huoni maaskofu na mapadre wanavyo kula ban za ardhini Askofu Laizer ban, padri Mushi ban,yule wa Moshi nae kala ban ha ha haa ngoja mimi niende kwenye mazoezi ya karate nikaweke mwili fit
 
Acha kutafuta visingizio bwana mdogo, JF inaendeshwa kwa kanuni zilizowazi kabisa, Ritz na wengine wote wanazifahamu fika. Kuhusu radio yenu Imaan 92.6 nashangaa sana kwanini serikali imetoa adhabu ndogo hivyo, ilitakiwa ifutwe kabisa na wamiliki wake wafikishwe mahakamani. Usiwahofie FBI bwana mdogo, kwani na wewe unajishuku? Mbona wanapeleleza wauaji wa padre kule Zanzibar, naamini hawatamuonea mtu wala hawatapokea rushwa kama ilivyo kwa sie waswahili.
 

Tusiichague CCM sawa! wewe unashauri tuchague chama gani mbadala? chenye uadilifu, kisichoegemea udini na ukanda?
 
Ritz, kala ban.
Hali ya nchi na uhuru wa maoni ni mbaya.Yaani agizo la Kikwete kwa waislamu linafanya kazi mpaka kwenye mitandao ya kijamii.
Ama kweli FBI wamekuja kazini Tanzania.
Hapa mwisho wake mpaka Mohammed atakula ban abakie Mwanakijiji na akina Yerico peke yao.Huko mitaani akina Mohammed na Ritz pia hawatokuwa salama.
Wazee wapigania uhuru wakirudi watashangaa watamani kurudi walikotokea kama ashabul Kahfi.
 
Mkuu, mfumo kristo ndiyo unaotawala dunia mzima. Utaki unaacha.

Ila mimi siyo mfia dini kama wewe! Yaani wewe uko teyari kufa kwa hizi dini za kuletewa na wajanja na vitabu vilivyoandikwa na wajanja na wakatushushia pale bandarini. Shame on u!

Utakutawala wewe SLEEPING GIANT ARE WAKE UP
 
Labda tusahihishe historia kidogo. Fundikira hakujiuzulu uwaziri wa sheria mwaka 1963 kwa sababu ya kutofautiana na Nyerere. Fundikira alikuwa waziri wa kwanza katika serikali ya Tanganyika kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa. Ilibidi ajiuzulu kwa sababu hiyo. Nyerere kuna sehemu alielezea kuwa Fundikira alipatikana na hatia lakini hakimu Muingereza aliona shida kumfunga jela. Fundikira akahamia Nairobi ambako alifanya kazi kwenye East African Community.
 
Wacha makelele bwana mdogo, soma tena kananu za JF na uhakikishe umezielewa, hakuna anayeonewa hapa ni hizo jaziba zenu na kutokutumia akili kunakowaponza. Ona sasa badala ya kutafakari jambo kwa akili unahama na kwenda kwenye mitizamo ya kipuuzi. Fikiri kwa kichwa usifikiri kwa moyo!
 
Sasa kwa lugha kama hizi ukila ban utashangaa?
 
Kumbe FBI mnaigwaya hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…