Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

THE BIG SHOW ndio huyu mchizi uliye mjibu...

Maneno ya Kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzake yanatia shaka sana,

Hiyo yote ni ishara ya kutojiamini,waza na endelea kuwaza mnayowazia,najua kwa jins akili zako zilivyo fupi huwez kujua na hutoweza kujua uhalisia wangu,nafurahi sana kwa jins unavyoweweseka na kivuli cha mtu mwingine hadi kufikia hatua ya kukilandanisha na mimi,

Hapa tunachofanya ni kuwatoa maana na kuonesha jins msivyoweza kutumia akili katika kung'amua mambo...

Bado utazid sana kuweweseka,ila all in all sisi tunajiskia faraja kwa jamii kubwa kuzid kuufam ukweli huu unaosemwa na Mohamed Said..
 
Last edited by a moderator:
Labda tusahihishe historia kidogo. Fundikira hakujiuzulu uwaziri wa sheria mwaka 1963 kwa sababu ya kutofautiana na Nyerere. Fundikira alikuwa waziri wa kwanza katika serikali ya Tanganyika kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa. Ilibidi ajiuzulu kwa sababu hiyo. Nyerere kuna sehemu alielezea kuwa Fundikira alipatikana na hatia lakini hakimu Muingereza aliona shida kumfunga jela. Fundikira akahamia Nairobi ambako alifanya kazi kwenye East African Community.
Asante sana Jasus kwa taarifa hii kwani kunawatu hapa wanatumia uislam wa Fundikira kama blanketi kufunika swala hilo. Nyerere mara nyingi alilizungumza jambo hilo alipokuwa anaonesha kukelwa na rushwa. Hakuwa anataja jina ila cheo. Sijui Mohamed anasemaje maana sijamsikia akigusia hilo ila kutaja sifa za kumbukumbu za majina ya vizazi!
 
Unashangaza sana,na unatia kichefu chefu hata kuendelea kukisoma hiko ulichokiandika..

Umeingiza maneno mengi sana katika andiko lako ya uzushi na uzandiki ili uendeleze na harakati zako za kuwatoa wasomaji walio wengi kuupata ujumbe unaostahiki,hivi kama kweli una nia ya kukosoa kwanin sasa ukosoe kwa kutumia uzushi?

wapi katika kitabu cha Mohamed Said aliposema yeye anashikilia maandiko yake na kile anachokieleza eti kwa kuwa wazee wake walikua mstari wa mbele katika kupigana uhuru basi na vizaz vyao vipewe jazaa ya aina fulan?kama vyeo na kadhalika?wapi ilipooneshwa hivyo katika mantik ya kitabu chake..

Na ni wapi alipoandika kitabu ku-attack christians?mbona unapotosha sana?

Kumbe sasa upo hapa ukipigana vita ya msalaba kutetea christians wenzako si ndiyo?

Na siwez kushangaa,kwa kila nimuonaye katika nyie mnaopinga wote ni christians,hakuna hata mmoja ambae kajitambulisha au kujionesha yeye ni mtu wa iman ya uislam,ni waz kbs nyinyi mmeamua kupigana Crusade war,lakini haitosaidia,kwan mliyoelezwa mmeelezwa kwa ushahid uliojitosheleza kabisa..


Hamna lolote mnalosi mamia zaid ya chuki zenu za kidini,wakati hapa kinazungumzwa kitu chenye uhalisia uliotukuka..

Haitawasaidia..
Umeenda haraka sana, na unamihemko sana,

Jitulize na soma mada hii kuanzia mwanzo kusha utaelewa mantiki ya mjadala huu.
 
Huu mjadala unaonekana umeisha.Hapa nawaonaa akina Ritz na Mohammed Said wakipasha moto misuli katikati ya uwanja.Watu majeruhi kama Mzee Mwanakijii ni wa kuokolewa.Anachofanya Mzee ni udowezi na usanii tu.
Wa kumuokoa hakuna kwa sababu refa na mashabiki bado wana matumaini nao huenda wakajibu au wawe wa mwisho kujibu halafu iwe mwisho.
Nilitamani nirudie kuchangia kule Ukweli kuhusu waasisi lakini nikakuta tayari kumefungwa.
Watetezi wakubwa wa Nyerere wanauliza maswali yaliyojibiwa au kujiuliza na kujijibu wenyewe bila kujua wanachokifanya.Hii ni dalili ya kuchanganyikiwa.

Sehemu nyingi wamesema eti historia ya Mohammed Said watu wameipuuza.hapo chini wanajipinga kwa kusikia kwenye gari





hapo ni 410 lakini jibu lilitoka tangu 282.


Mzee Mwanakijiji anapojibiwa tena anakaa kimya kusubiri vumbi litulie aje na swali jengine.Huu ni mjadala wa aina gani jamani?.




Yuko wapi Yerico?.Akirudi anauliza viswali vifupi vifupi.Mwenyewe amekubali kuwa Mohammed kaandika historia kutokana na utafiti.Huu si uchochezi bali ndio ukweli wenyewe.



Unajua kitu kilichopo ni baadhi ya watu humu kutaka kusafiria nyota za wenzao,wengine wanahisi kwa kujibishana na Mohamed Said,basi daraja lao litapanda na wataonekana kama ni watu wa maana kwa jamii wanaosoma mjadala huu,kumbe ndivo wanavozid kujidhalilisha na kuwafanya watu wazid kuwapuuza zaid,uzuri ni kwamba hata sekundu moja Mohamed said hajakimbia hapa kuwathibitishia na kuwapa ufafanuzi kwa kila wanachopata nacho shida kukielewa,

Wao hoja yao kuu humu ni uchochezi,tunawauliza wapi uchochez ulipooneshwa?hawana jibu zaid ya kuendelea kuweweseka na kutoa kauli za kifedhuri na kejeli..

Kila mtu atabakia na daraja lake,watu wenye darja kama Mohamed Said waacheni waendelee na madarja yao,hamtaweza kuwafikia,kifikra na upeo wao hata siku moja,mshukuru hii nafasi mnayoipata kuongea nae humu ndani,na mshukuru kupewa uhalsia wa historia kama hii..
 
Last edited by a moderator:
Maneno ya Kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzake yanatia shaka sana,

Hiyo yote ni ishara ya kutojiamini,waza na endelea kuwaza mnayowazia,najua kwa jins akili zako zilivyo fupi huwez kujua na hutoweza kujua uhalisia wangu,nafurahi sana kwa jins unavyoweweseka na kivuli cha mtu mwingine hadi kufikia hatua ya kukilandanisha na mimi,

Hapa tunachofanya ni kuwatoa maana na kuonesha jins msivyoweza kutumia akili katika kung'amua mambo...

Bado utazid sana kuweweseka,ila all in all sisi tunajiskia faraja kwa jamii kubwa kuzid kuufam ukweli huu unaosemwa na Mohamed Said..

bwana mdogo wa Mzumbe, hasira zote za nini, ila siku zote ukweli unauma...
 
Last edited by a moderator:
Hivi unamjua Hannan Ashrawi? hujui kuwa ni Mpalestina Mkristo? au wewe unafikiri Waarabu wote ni Waislamu? hivi unajua Wapalestina Wakristo ni asilimia ngapi?

صور the pope visit to palestine picture‏


Papa akisujudu ardhi ya Palastina! Picha chini akiwa GAZA!

images




images


Kwa ufinyu wao wa Akili wao wanafikiri kila mwarabu ni muislam na kila maandish ya kiarabu basi ni Qur an,

Ufinyu na unyonge wa fikra wa hali ya juu sana huo..
 
Haya yanafaa kwenye mihadhara yenu na sio hapa!

Kwani alieyaleta hapa ni Mohamed Said au nyie mnaodai Uchochezi?


Kwa aliyeanzisha hii thread amempa Mohamed credits nyingi.
Mmelikuza jina lake nakumpa nafasi yakuandika kwenye kitabu chake.
Binafsi nilikua sikijui kitabu chake lakini nitakitafuta.
 
Halafu na nyie Makanisani mkaamasishana lazima Dr Slaa tumchague.

Tuliona kule Sumbuwanga waumini walifukuwa Kanisani kwa kuipigia kura CCM.

Sasa hauoni tatizo hapa kama kuna udini Tanzania au udini kwako upo kwa Mohamed Said tu.

Ritz,
La misikitini lilikuwa la tz nzima.
La makanisani kama lilikuwepo basi liliishia huko sumbawanga, na inawezekana huyo padri ilikuwa kwa mapenzi yake.
Lakini kina illunga waliwezeshwa na ofisi kuu kuzunguka kuomba kura.
 
bwana mdogo wa Mzumbe, hasira zote za nini, ila siku zote ukweli unauma...

Tunajua ukweli unauma sana,,

Na tunajua ni kwa nini nyinyi mnaumia,ni kwa sababu ya ukweli huu unaosemwa unaosemwa.

Polen sana kwa maumivu mnayoyapata kwa ukweli huu unaosemwa na Mohamed Said..
 
Last edited by a moderator:
Kwani alieyaleta hapa ni Mohamed Said au nyie mnaodai Uchochezi?


Kwa aliyeanzisha hii thread amempa Mohamed credits nyingi.
Mmelikuza jina lake nakumpa nafasi yakuandika kwenye kitabu chake.
Binafsi nilikua sikijui kitabu chake lakini nitakitafuta.


Kila mtu analifaham hili..

Wamempa Credit nyingi tena za kutosha sana Mohamed Said

Tunawashukuru sana kwa hilo..
 
Kwani alieyaleta hapa ni Mohamed Said au nyie mnaodai Uchochezi?


Kwa aliyeanzisha hii thread amempa Mohamed credits nyingi.
Mmelikuza jina lake nakumpa nafasi yakuandika kwenye kitabu chake.
Binafsi nilikua sikijui kitabu chake lakini nitakitafuta.
Tumia akili kidogo, kwani wewe hujui kwamba Mohamed Saidi ni mtu maarufu na hasa kwenye mihadhara? au unadhani mjadala kuhusu Kitabu chake ni mara ya kwanza kuja hapa Jf?Pole sana!
 
kwa hiyo hayo mapovu yote ya nini?

Hatuwez kuwaacha mkiruka ruka kama kuku mliochinjwa kwenye matambiko kisha mkaachwa mkiwa mnaruka ruka kwa maumivu vile na kuja hapa kuuharibu mjadala na hoja zinazotolewa,

Kama mmeishiwa hoja,tulien na msije na viroja vyenu visivo na mbele wala nyuma..
 
Hatuwez kuwaacha mkiruka ruka kama kuku mliochinjwa kwenye matambiko kisha mkaachwa mkiwa mnaruka ruka kwa maumivu vile na kuja hapa kuuharibu mjadala na hoja zinazotolewa,

Kama mmeishiwa hoja,tulien na msije na viroja vyenu visivo na mbele wala nyuma..

kwani we umechangia hoja gani zaidi ya viroja, mi na wewe nani mwenye viroja? Nadhani we ndio mwenye viroja...
 
Tusiichague CCM sawa! wewe unashauri tuchague chama gani mbadala? chenye uadilifu, kisichoegemea udini na ukanda?
Tofauti na ccm, hakuna chama ambacho kishawahi kutawala nchi na kikatawala kwa ukanda au udini kama kipo nifahamishe.
Chochote kitakacho tawala tofauti na ccm, ccm ndo wanao pendelea ukanda. tofautisha maendeleo kama ya kilimanjaro, arusha, bukoba, mwanza na mikoa kama tabora, mtwara, lindi nk.......
Kote huko ni sera za ukanda na udini za ccm.
na kwanini ccm wanatoa mawaziri wengi kanda ya kasikazini? Kwanini isiwe magalibi au kusini.
 
kwani we umechangia hoja gani zaidi ya viroja, mi na wewe nani mwenye viroja? Nadhani we ndio mwenye viroja...

Wewe si ndie unawaambia hao jamaa zako mimi ni THE BIG SHOW?

Na nafurahi sana kusikia ivo,kwan kuna wenzako wengi wana ni PM sana kukejeli kuhus hilo,,

Sasa kama sio ni viroja ni nini??

Hamna hoja..
 
Last edited by a moderator:
mi navvojua wakat wa kufanya mitihan ya mwisho hatuandik majina bali namba za mitihan na ivyo ni vigumu kwa wasahaiishaj kujua kama mtahiniwa ni muislam au mkristo na kama ingelikua ivyo basi mimi na kaka zangu tunsingefaulu kuingia chuo kikuu
 
Back
Top Bottom