THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
THE BIG SHOW ndio huyu mchizi uliye mjibu...
Maneno ya Kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzake yanatia shaka sana,
Hiyo yote ni ishara ya kutojiamini,waza na endelea kuwaza mnayowazia,najua kwa jins akili zako zilivyo fupi huwez kujua na hutoweza kujua uhalisia wangu,nafurahi sana kwa jins unavyoweweseka na kivuli cha mtu mwingine hadi kufikia hatua ya kukilandanisha na mimi,
Hapa tunachofanya ni kuwatoa maana na kuonesha jins msivyoweza kutumia akili katika kung'amua mambo...
Bado utazid sana kuweweseka,ila all in all sisi tunajiskia faraja kwa jamii kubwa kuzid kuufam ukweli huu unaosemwa na Mohamed Said..
Last edited by a moderator: