Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #8,361
Jf haina dini, kabila, wala rangi, zingatia sheria zake tuHali ya nchi na uhuru wa maoni ni mbaya.Yaani agizo la Kikwete kwa waislamu linafanya kazi mpaka kwenye mitandao ya kijamii.
Ama kweli FBI wamekuja kazini Tanzania.
Hapa mwisho wake mpaka Mohammed atakula ban abakie Mwanakijiji na akina Yerico peke yao.Huko mitaani akina Mohammed na Ritz pia hawatokuwa salama.
Wazee wapigania uhuru wakirudi watashangaa watamani kurudi walikotokea kama ashabul Kahfi.
Wewe si ndie unawaambia hao jamaa zako mimi ni THE BIG SHOW?
Na nafurahi sana kusikia ivo,kwan kuna wenzako wengi wana ni PM sana kukejeli kuhus hilo,,
Sasa kama sio ni viroja ni nini??
Hamna hoja..
Sio wewe mwenyewe uliyetoa maoni haya kwamba radio imaan ifutwe kabisa mko wengi na mimi najua wewe ni proo CDM, kuhusu mimi kuogopa FBI si kweli mimi siogopi kiumbe aliyepita kwenye njia za mikojo mara mbili!na ameumbwa kwa malighafi ambayo ukimwambia aiweke mfukoni unatafuta ugomvi nae kumbe ndio material aliyo umbwa nayo,kumbe wamekuja kwaajili ya padri vipi wataenda na Geita tupe habari informerAcha kutafuta visingizio bwana mdogo, JF inaendeshwa kwa kanuni zilizowazi kabisa, Ritz na wengine wote wanazifahamu fika. Kuhusu radio yenu Imaan 92.6 nashangaa sana kwanini serikali imetoa adhabu ndogo hivyo, ilitakiwa ifutwe kabisa na wamiliki wake wafikishwe mahakamani. Usiwahofie FBI bwana mdogo, kwani na wewe unajishuku? Mbona wanapeleleza wauaji wa padre kule Zanzibar, naamini hawatamuonea mtu wala hawatapokea rushwa kama ilivyo kwa sie waswahili.
Jf haina dini, kabila, wala rangi, zingatia sheria zake tu
Tumia akili kidogo, kwani wewe hujui kwamba Mohamed Saidi ni mtu maarufu na hasa kwenye mihadhara? au unadhani mjadala kuhusu Kitabu chake ni mara ya kwanza kuja hapa Jf?Pole sana!
Inaonekana basi wazee wako walikuwa na heshima ya kweli na mapenzi kwa Nyerere kuliko nyinyi watoto wao. Lakini kama wazee wako ndio hawa wazee wa Kitanganyika ambao walipendana kweli na udugu wa kweli na ndugu zao Wakristu; hawa ambao hawakutaka kumdhuru Nyerere - sababu ya Ukatoliki wake - akikaa katikati yao; hawa wazee ambao walikuwa tayari kwenda kulinda Kanisa ili Nyerere asali pale na wakienda naye kwenye kufanya dua na matambiko; hawa wazee hawa huko waliko lazima wakushangae unayoyasema dhidi ya Nyerere na kumdunisha mbele ya Waislamu watu ambao Nyerere aliwapenda, walimpenda, alisimama nao na yeye akasimama nao hadi mauti. Hii faraka uliyoianzisha wewe wala haina sifa wa kujitamba. Unapaswa ufikirie mara mbili unavyotumia majina ya wazee wetu hawa kuwagawanya Watanzania na kuchochea fitna kati yetu bila kuchoka.
Mkuu mbona unaonekana anajua mambo mengi kuhusu uhusiano wa jamaa zetu hawa Waislaam na Nyerere kabla ya uhuru, hii ndio mara yangu ya kwanza kuona unayahanisha vizuri tu. Kama sikosei M.S anazungumzia mahusiano ya Serikali ya awamu ya kwanza na Waislaam miezi michache baada ya kupata uhuru - ni kitu gani kilitokea mpaka wakafikia hatua ya kufarakana na baadhi ya Waislaam wanzilishi wa chama ambao wewe unasema na hapa nakunukuu "Wazee wa Kitanganyika ambao walipendana kweli na udugu wa kweli na ndugu zao Wakristu; hawa ambao hawakutaka kumdhuru Nyerere - sababu ya Ukatoliki wake - akikaa katikati yao" Mimi sina utaalamu wa kisaikolojia wa kumfikia Sigmund Freud lakini reading between the lines sina uhakika kama unayo yasema hapo juu huko sincere!! Ulikuwa na nia ya kuvuta wasomaji kwanza alafu baadae ndio uzungumzie uliyo kusudia, napata wakati mgumu kukuelewa kwa nini kila mtu anayezungumzia/kutoa mchango kuhusu historia ya kweli kuhusu Taifa letu wewe unamuona anamchukia Mh.Nyerere (R.I.P) nani Mtanzania mwenye akili timamu ambaye anaweza kuwa na ubavu wa kubeza beza mchango wa Kambarage au kumkosea heshima, hata Mohammed hakuna popote alipo mtukana/kumkosea heshima Baba wa Taifa.
Juzi hapa nilizungumzia kuhusu mzee wangu kutoa Landrover, Public Addressing System na kumpatia Kambarage kuhutubia wananchi, mzee wangu alivunja sheria za kikoloni bila woga; nilizungumzia vile vile kukutana kwangu na Mzee wa kikoloni aliyewahi kuwa PC Tanganyika na kitu gani alinieleza - lakini cha ajabu wewe ukaja na maswali ya kushangaza kidogo eti kwani Nyerere aliwachukia wazazi wangu au jamaa zangu!! Yaani unatumia tactics za ku-steer watu wazungumzie mambo ambayo yako biased na hayana ukweli wowote.
Hivi kwa nini baadhi yetu tumepania ku-derail mada!! Kinacho zungumziwa humu ni Historia ya Taifa letu kuanzia miaka ya 1920s mpaka tunapata uhuru sio DINI, kwa nini tunakazania mambo ya DINI tu? Kuna maswali yangu nayatayalisha kumuhuliza ndugu Mohammed Said, nina hakika atayajibu bila ya kuficha kitu kwamanufaa ya Wananchi wote specifically WAKRISTO.
Ushindi wa nini?kashinda nini?Na wewe tumia akili yako.
Sasa kama kina miaka 15 nakinajadiliwa hapa JF nakinazidi kuuzwa bila kupata ban hujui kwamba ni ushindi kwa Mohamed?
Pole sana!Sio wewe mwenyewe uliyetoa maoni haya kwamba radio imaan ifutwe kabisa mko wengi na mimi najua wewe ni proo CDM, kuhusu mimi kuogopa FBI si kweli mimi siogopi kiumbe aliyepita kwenye njia za mikojo mara mbili!na ameumbwa kwa malighafi ambayo ukimwambia aiweke mfukoni unatafuta ugomvi nae kumbe ndio material aliyo umbwa nayo,kumbe wamekuja kwaajili ya padri vipi wataenda na Geita tupe habari informer
Nakushauri ukapimwe akili inawezekana kabisa una maralia ya kichwa au unanyemelewa na maradhi ya akili! ninani ambaye hataonja mauti?Wewe huoni maaskofu na mapadre wanavyo kula ban za ardhini Askofu Laizer ban, padri Mushi ban,yule wa Moshi nae kala ban ha ha haa ngoja mimi niende kwenye mazoezi ya karate nikaweke mwili fit
Bwana mdogo huwezi kumshawishi mtu yeyote kwa kutokwa mapovu! jenga hoja. Sasa unakuja na story za kipumbavu za kwenye matambiko nani kakwambia sisi ni watu wa mizimu kama wewe? Ongea kama umesoma Mzumbe na sio Mbwinde eboo! wewe vipi?Hatuwez kuwaacha mkiruka ruka kama kuku mliochinjwa kwenye matambiko kisha mkaachwa mkiwa mnaruka ruka kwa maumivu vile na kuja hapa kuuharibu mjadala na hoja zinazotolewa,
Kama mmeishiwa hoja,tulien na msije na viroja vyenu visivo na mbele wala nyuma..
Huyo dogo hana anachokijua zaidi ya kupiga makele ya jaziba kumtetea mzee wake Mohamed Saidi hata bila hata kufikiri!kwani we umechangia hoja gani zaidi ya viroja, mi na wewe nani mwenye viroja? Nadhani we ndio mwenye viroja...
Weka hoja yako wewe!Wewe si ndie unawaambia hao jamaa zako mimi ni THE BIG SHOW?
Na nafurahi sana kusikia ivo,kwan kuna wenzako wengi wana ni PM sana kukejeli kuhus hilo,,
Sasa kama sio ni viroja ni nini??
Hamna hoja..
Asante sana Jasus kwa taarifa hii kwani kunawatu hapa wanatumia uislam wa Fundikira kama blanketi kufunika swala hilo. Nyerere mara nyingi alilizungumza jambo hilo alipokuwa anaonesha kukelwa na rushwa. Hakuwa anataja jina ila cheo. Sijui Mohamed anasemaje maana sijamsikia akigusia hilo ila kutaja sifa za kumbukumbu za majina ya vizazi!
Ustaadh Boko, nimevunja kanuni gani ya JF? wacha majungu bwana mdogo! Nilikushauri uwe unatumia akili na sio jaziba.Gwalihenzi anatii sheria?
Haswaa, na zaidi kuhusu kesi yake ya rushwa akiwa waziri.G,
Unataka nimzungumze Fundikira?
Ushindi wa nini?kashinda nini?
Nakushauri ukapimwe akili inawezekana kabisa una maralia ya kichwa au unanyemelewa na maradhi ya akili! ninani ambaye hataonja mauti?
Mzee wako Mohamed Saidi kakwambia yeye hakuandika kitabu kile kushindana, ila aliandika kueleza histohisia ya wazee wake wa Tandamti na Gerezani, sasa wewe na ushabiki wako unakuja na upuuzi wa ushindi. Tuamini umeamua kwenda kinyume na matakwa ya nabii wako?Umesema kinajadiliwa hapa JF mara kibao!!
Kina miaka 15!!
Bado hakina ban na kama anayosema kiko kwenye chapa ya tatu huoni kwamba ni ushindi?
Gwalihenzi anatii sheria?
Nikikuita mpumbavu itakuwa sahihi kabisa maana hufundishiki! utaogopaje kifo kitu ambacho hakiepukiki? mbona hukuogopa kuzaliwa. Kwa kiwango chako kidogo huwezi kuelewa Atheism!baki na umbumbumbu wako na endelea kulamba buti za mzee Mohamedi maana ndio kitu pekee unachokiweza.Duh Gwalihenzi maralia ya kichwa ni ugonjwa mpya au ndio broken swahili kumba hata nyie ma ATHIEST munaaminikuna mauti hapo tu ndio kiboko yenu mukisikia habari ya kifo munakuwa wadogo kama piriton