Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


G,

Silalamiki husema.
Kulalamika kunatokana na neno "ulalamishi."

Hapana haja ya kuvutana katika hili.
 
Ushahidi kaambiwa kabisa wakati anapeleka CV zake kaambiawa kabisa nyie watu wa madrasa mnamatatizo.

Dogo katafuta kazi online kapata Japan saizi yupo huko.

Sijui unataka ushahidi gani tena.

Je jibu hili nilitakiwa hadi nikutumie pm kama Ami anavyodai? Na ni sawa kwamba mi sijui hii ni forum? Sina interest ya kuendelea kujadiliana nawe. Asante kwa kujibu hata hivyo na sitoi comment yoyote kwa sasa.
 
Last edited by a moderator:
G,

Silalamiki husema.
Kulalamika kunatokana na neno "ulalamishi."

Hapana haja ya kuvutana katika hili.
Haja ipo Mohamed Said, labda nikuulize, kama mnasafiri na chombo baharini ikatokea mmoja wenu anakitoboa chombo kwa makusudi ili maji yaingie na kukizamisha chombo chenu,je mtabaki mnamchekea na kumshangilia?
 

Na wewe rudi kinyumenyume mpaka NECTA utakutana na mfumo Kirsto.
 
Je jibu hili nilitakiwa hadi nikutumie pm kama Ami anavyodai? Na ni sawa kwamba mi sijui hii ni forum? Sina interest ya kuendelea kujadiliana nawe. Asante kwa kujibu hata hivyo na sitoi comment yoyote kwa sasa.

Sawa kaka siku njema.
 
Last edited by a moderator:
uhuru day,nyerere,s car sorrounded by well wishers-back then it was all harmony unlike now,whereby a few bogus elements are pushing on a distabilising agenda


Haya maandamano mbona yanafanana na ya CUF! maana naona vibarakashia na baibui(Hijab) kwa wingi! inamaana Dar waliishi Waswahili tu? jamaa wa upande wa pili wako wapi? huu ni udini!
 

Unaweza kujua vipi hiyo ratio? mbona unaomba kitu kisichowezekana? Hivi kweli unaweza kupata ratio hiyo? how? jaribu kupendekeza njia ya mtu kufanya...
 
uhuru day,people go berserk-kwa mbali naona ki bajaj kumbe hizi bajaj ni za siku nyingi


Sasa umezidi! haya ni maandamano ya CUF huko Pemba! we wacha kudanganya watu hapa! huoni vibarakashehe na hijabu hapo? Uhuru uliletwa na dini zote! usitubandikie picha za Waislamu pekee! kama unasema kweli bandika picha za Wasio Waswahili!
 
Unaweza kujua vipi hiyo ratio? mbona unaomba kitu kisichowezekana? Hivi kweli unaweza kupata ratio hiyo? how? jaribu kupendekeza njia ya mtu kufanya...

Unapata ukienda wizarani.

Mbona Mzee Mtei aliipata ratio ya wajumbe wa tume ya katiba.
 
Reactions: Ami
Mohamed Said, wewe na Ritz mmepanga muwe mnaulizana vimaswali vya kishikaji ili wewe upate pa kutolea ngano zako na kujipatia ujiko wa bure. Walimu tunaita "guiding questions". Najua nia yako Mohamed ni kutaka kuudanganya umma kuwa Listowel hakuandika habari za kutosha kwa sababu alinyimwa taarifa na Abdu taarifa ambazo wewe ulikuja kupewa zote! loo!! aibu Mohamed!
 

Kama unaona kupanga ni rahisi nakupa ushauri jikusanyeni wote mpange maswali muulizane ili Mohamed Said akose hoja.

Kama ungekuwa mfuatiliaji usingeandika hivyo mimi nimemuuliza Mohamed Said kuhusu Judith wiki mbili zimepita leo nikakumbusha ndiyo kanijibu.

Bado John Illife ajajibu.
 
Kama unaona kupanga ni rahisi nakupa ushauri jikusanyeni wote mpange maswali muulizane ili Mohamed Said akose hoja.
Michezo ya kipuuzi kihivyo mnweza ninyi na huyo mwalimu wenu Mohamed!
 

Kuna ushahidi wa kimazingira na Polisi wameshapata ushahidi huo kuwa kuna Chama kimoja cha upinzani kinahusika na sakata la Ulimboka na Kibanda! Lengo lao ni kuchonganisha Wananchi na Serikali ili waaminiwe ktk uchaguzi mkuu wa 2015! amini usiamini!
 

umesahau na wachinjaji na wazee wa baraza mahakamani
 
Na wewe rudi kinyumenyume mpaka NECTA utakutana na mfumo Kirsto.

Huo Mfumo Kristo ndani ya NECTA ni kinyago mmekitengeneza wenyewe halafu kinawatisha.
Wewe ulipenya vipi kwenye huo mfumo. Ndugu zako walipenya vipi kwenye huo mfumo.
Mwema, Othman, Asharose n.k n.k walipenya vipi kwenye huo mfumo.......kwa sababu hawakuwa
kwenye nafasi walizonazo leo kabla ya kupitia NECTA.

Na ukisema walibahatika utakuwa umewafedhehesha sana. Na Mtu akitia juhudi kwenye Elimu unampongeza.
Wewe wape support hao wanaotangaza kuna Mfumo Kristo. Laiti ungejua itakuja kuwa kitanzi baadaye (kama
bado hakijawa) kwa hawa watoto wenu kwa kujihisi dhalili na kukata tamaa usingeunga mkono hizo ngano.

Tena kwa mwanafunzi mwenye bidii ndogo darasani ukimwambia kuna dude Necta linawapunja, ndio umempa
sababu za kuacha shule kabisa. Kama wa kike anaolewa kabisa, ataendeleaje na shule wakati hajui majaaliwa
yake?
 

mkuu umemaliza kila kitu..
 
Na wewe rudi kinyumenyume mpaka NECTA utakutana na mfumo Kirsto.

ukiambiwa thibitisha haya; utasema nimeambiwa kwenye muhadhara na shehe po.nda mcheza karate ambae hata ilmu hakuna kichwani
 

Unasema sehemu zenye Waislam wengi hakuna muamko wa elimu hebu tusaidie.

Tanzania na hizi nchi ambazo zina Waislam wengi Dubai, Oman, Iran, Uturuki, Saudia Arabia, Indonesia, Qatar, Jordan, Kuwait, Singapore, wapi kuna elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…