Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


1,unasema mleta mashtaka ni mohamed said?yepi hayo?,hapa hakuna mshitakiw,upande haswa unatuhumiwa ni huo mnaouteea nyinyi
2.mtafiti ni mohamed said,ndiyo ni kweli kbs,na wewe hujalazimishwa kuamin,kukubali wala kukimeza hiki kilichopo,ni khiyar yako,povu la nin?
3,mhukum ni mohamed said?,kivp ss,watu wa ajabu sana nyinyi,kusema kwa ukweli nyinyi kunawauma nini,kipi kinachowafanya mkeshe kupinga ukweli unaojitangaza wenyewe?
Kisha ulivo juha mwshon eti unasema mtafit ilibid asiishie tuh kufanya takwimu kwa dsm,angekwenda lindi,tanga n,k,?
Hizi tu ulizopewa za dsm sehem ambayo mtafit anaifaham in and out unapinga,je huko za lindi na tanga ungeamini?.
Na unajua maaana ya sampling?
Kihiyo na kanjanja mkubwa..
 
Reactions: Ami
nayeye hayupo hapa kujitetea dhidi ya alichokiandika,yupo hapa kutoa elimu kwa wale ambao hawajui,na sio ninyi miliokalia ubishani tena kwa viroja bila hoja..
Ficha upumbavu wako tafadhali..

unathibitisha tu hoja yangu; nyie vijana endeleeni kuamini haya masimulizi ambayo mwanzoni wengine waliyapa heshima kidogo kuyaita "ngano" lakini kwa kweli ni porojo nyingi za kufurahisha baraza...
 
Matola,
Sawa.

Nakushukuru hilo sikuwa nalijua kuwa Makaburu
walikuwa wanaweza kuingia Tanzania.
Kwa Uandishi huu kweli wale vijana wasiokuwa na weledi hawawezi kukuepuka, maana umeiva na umekubuhu na unaweza kucheza rhumba kwa kadiri ya beat zinavyogeuka na ukaenda nazo sambamba. hongera sana Mzee.
 
Kwa Uandishi huu kweli wale vijana wasiokuwa na weledi hawawezi kukuepuka, maana umeiva na umekubuhu na unaweza kucheza rhumba kwa kadiri ya beat zinavyogeuka na ukaenda nazo sambamba. hongera sana Mzee.

Matola,

Nilitaka kukuonyesha ustaarabu lakini inonekana ustaarabu
unapouweka sipo unakuwa umeudhulumu.

Ukweli ni kuwa raia wa Afrika Kusini hawakuwa na ruksa ya
kuingia Tanzania.
 

ficha upumbavu wako mwenyewe... Wewe hua hauna hoja zaidi ya mipasho?
 

Hapo kwenye mstari, Mzee bin Sudi Manyema na Ibrahim Hamis Nubi.
Kuna wakati Nguruvi alikuuliza vipi wengine watiwe kabila zao na wengine waachwe hivyohivyo
kama si hila ya kuonyesha Wamanyema, Wazulu na Wanubi walikuwa superior kuliko wengine,
uliruka kimanga ukasema hujaandika hivyo!

Licha ya chuki za Kidini kuna kingine tumepata "Ilm" kutoka kwako, mbaguzi.
 
unathibitisha tu hoja yangu; nyie vijana endeleeni kuamini haya masimulizi ambayo mwanzoni wengine waliyapa heshima kidogo kuyaita "ngano" lakini kwa kweli ni porojo nyingi za kufurahisha baraza...

Leo umegeuka kuwa msemaji wa wazee.
 
Ok..

Kwahiyo hii hapo juu kwasisi tusio jua historia isingewekewa msisitizo ndo ilikuwa imepita hiyo.. Ndo ingekuwa reference.

Stop! Kuna wengine wataamini hivyo milele.
Wewe hulijui darsa la Mzee MS na aina ya wanafunzi alionao. Wapo waliolala hata uwaamshe
hawatoamka katu. Na wapo waliogutuka lakini wanajifanya hamnazo!
 
Kwa Uandishi huu kweli wale vijana wasiokuwa na weledi hawawezi kukuepuka, maana umeiva na umekubuhu na unaweza kucheza rhumba kwa kadiri ya beat zinavyogeuka na ukaenda nazo sambamba. hongera sana Mzee.

Anamiliki fikra za wepesi na kuhatarisha amani ya wengi, ni wakuogopwa
 
Mzee Mohamed Said wapigania uhuru toka Afrika kusini waliingiaje Tanzania, au unakataa hapakuwa na kambi zao Morogoro Mazimbu.Kuna yule dereva Dumisani alisababisha kifo cha Sokoine alishi vipi Tanzania ?.


Matola,

Nilitaka kukuonyesha ustaarabu lakini inonekana ustaarabu
unapouweka sipo unakuwa umeudhulumu.

Ukweli ni kuwa raia wa Afrika Kusini hawakuwa na ruksa ya
kuingia Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Yerico kafanya nini?.
Yaani huu uzi umeufanya ndio historia?.Angalia vizuri hapa Yerico ametoa shutuma kuwa historia ya Mohammed Said na watu wametetea na Yerico mwenyewe hana hamu tena na huu mjadala kwani hana cha ziada kusema.

Yaani unaona kuwa naye hajatafiti? Amebuni hiyo story? Tofauti iliyopo kati yake na Sheikh ni kuwa Sheikh amechapisha hard copy na Yericko ametumia soft copy na kupinga 'upotoshaji' wa Mohammed Said.
 
Yaani unaona kuwa naye hajatafiti? Amebuni hiyo story? Tofauti iliyopo kati yake na Sheikh ni kuwa Sheikh amechapisha hard copy na Yericko ametumia soft copy na kupinga i'upotoshaji' wa Mohammed Said.

Anataka nami niandike kitabu jambo ambalo sio la lalazima katika kupinga upotoshaji wa kizandiki kama aliofanya Mohamed Said
 

Mzee Said, Unatengeneza historia yako mwenyewe halafu unasema ni kweli...

Aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais 1982 alikuwa ni Cleope D. Msuya... endelea kuwapata hawa wadogo zetu tu...

Hapa bado naomba usaidizi wa ufafanuzi.. historia imenishinda kidogo...
 
Nimeziona,hata hivyo hili lisiwe nongwa.Unajuwa Mohammed Said ni binadamu hivyo hata angekuwa madhubuti kiasi gani hawezi kufanya kazi isiyokuwa na kasoro za hapa na pale.
Pamoja na hivyo hizi data alizotoa ilikuwa ni kisaidizi tu ya historia aliyokuwa anaandika.Maudhui makuu ni matukio ya kihistoria yaliyokuwa yametokea kabla na baada ya uhuru.Wahusika wakuu walikuwa ni Nyerere na wapigania uhuru aliokuja kuwapiga teke.Ukirudi kwenye msingi wa uzi huu na historia basi hata kama ukikutana na kasoro za hapa na pale atakuwa ametoa source za kutosha ambazo atakayeita ni ngano au ni uchochezi basi huyo ni mpuuzi wa mwisho.Upuuzi wake wala hautozuia wasomaji wengine kuamini historia hiyo iliyokuwa haikujulikana kabla.
Huu utiiifu wa kanuni za kitafiti naona mmezifanya kuwa ni jambo kubwa sana kiasi ya kutaka kututoa kwenye ajenda.Kumbuka hakuwa amefanya utafiti wa mfano kutoa kifaa bora cha kuingizwa kwenye injini za ndege za abiria kiasi kwamba kutowiana takwimu kidogo tu au kujitokeza kasoro baadae basi hakuvumiliki na inabidi ndege zote zishushwe chini kwanza kufanyiwa uchunguzi.
Zaidi ya hivyo ni kuwa yapo maandishi ambayo yalipaswa yawe makubwa zaidi kuliko kazi ya historia ya Mohammed Said na ambayo ukifuatilia tofauti zilizomo basi wala huwezi kuiweka nyumbani kwako.Naamini Nguruvi na Mwanakijiji mnazo Biblia zenu majumbani hebu jaribuni kufuatilia tofauti za aina hiyo.
 
Kabla ya Mohamed Said kuandika historia ulikuwa umepata kuwasikia kina Dr James Kwegyir Aggey, Phelps Stokes, Frederick Mchauru,
Swala si kuwasikiia tu, ila iwepo sababu ya kuwasikia.
Huyo mzee katuletea majina kwa nia ya kulisambalatisha taifa.
mnatuwekea majina na uchochezi juu.
Nini basi faida ya hayo majina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…