Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mohamed Said,
Stadio Azteca Mexico City inameza watu 105,000.
Sasa hivi tunaelekea North Korea Rungrado Stadium inameza watu 150,000.
Tukitoka apa takuambia tunaelekea wapi.
Kumekucha.
Na zaidi ya hapo, kuandika maandishi ikiwa ni pamoja na takwimu ambazo leo tunajua hazina ukweli huku ukiwaaminisha watu kwa miaka 15 si bahati mbaya ni makusudi.
Siamini katika vyuo ulivyotoa mihadhara na wasomi uliokutana nao hakuna hata mmoja aliyewahi kukueleza kuhusu mapungufu ya takwimu za utafiti wako. Bahati mbaya inaweza kuwa miezi au mwaka siyo miaka 15.
Lakini pia Mohamed anasababu! mathalan kumsema Kawawa kama makamu wa kwanza wa rais ilikuwa kutia uzito wa hoja zake. Pengine angekuwa hakukusdia angelieweza kurudi maktaba na kujiridhirisha kuwa hicho alichokiandika au kusudia kukisema kina ukweli.
Kuwaambia watu kwa miaka 15 kwamba Nyerere alifundishwa siasa na Sykes huku ukijua kuwa alikuwa msomi na alianza harakati hizo siku nyingi si bahati mbaya ni makusudi ili kufikia lengo.
orodha ni ndefu but the bottom line is, Mohamed anachokifanya ni makusudi wala si mapungufu.
Huwezi kuniambia amejua leo kuwa Maryknoll walitoa ticket au Nyerere alikuwa katibu wa AA Tabora kabla ya kukutana na Sykes! no! ni makusudi ambayo leo anakiri ni mapungufu ya kibinadamu. No thank you Sir!
Maeneo anayopingwa/yaliyoonyesha hisia za kupingwa kamwe hakuthubutu kuhadhiri hata kwa hisia tu.Na zaidi ya hapo, kuandika maandishi ikiwa ni pamoja na takwimu ambazo leo tunajua hazina ukweli huku ukiwaaminisha watu kwa miaka 15 si bahati mbaya ni makusudi.
Siamini katika vyuo ulivyotoa mihadhara na wasomi uliokutana nao hakuna hata mmoja aliyewahi kukueleza kuhusu mapungufu ya takwimu za utafiti wako. Bahati mbaya inaweza kuwa miezi au mwaka siyo miaka 15.
Lakini pia Mohamed anasababu! mathalan kumsema Kawawa kama makamu wa kwanza wa rais ilikuwa kutia uzito wa hoja zake. Pengine angekuwa hakukusdia angelieweza kurudi maktaba na kujiridhirisha kuwa hicho alichokiandika au kusudia kukisema kina ukweli.
Kuwaambia watu kwa miaka 15 kwamba Nyerere alifundishwa siasa na Sykes huku ukijua kuwa alikuwa msomi na alianza harakati hizo siku nyingi si bahati mbaya ni makusudi ili kufikia lengo.
orodha ni ndefu but the bottom line is, Mohamed anachokifanya ni makusudi wala si mapungufu.
Huwezi kuniambia amejua leo kuwa Maryknoll walitoa ticket au Nyerere alikuwa katibu wa AA Tabora kabla ya kukutana na Sykes! no! ni makusudi ambayo leo anakiri ni mapungufu ya kibinadamu. No thank you Sir!
Mzee ms,Nyambala,
Niwie radhi kwa kukujumuisha kwa neno nyie.
Ikiwa ushaitikadi pana uongo katika maelezo yangu hiyo ni sababu
tosha ya mtu yoyote kunipuuza kwa sababu muongo hana muamana.
Katika Uislam ikishathibiti kuwa mtu ni muongo huo ndiyo mwisho wake
neno lake haliaminiki tena.
Mimi ni Muislam na kwa kuwa umeniita muongo hapa ndiyo mwisho wetu.
Nguruvi,
Sikiri chochote mimi nazungumza.
Nikiri kwa nani na kwa lipi?
Jani la mpapai halina uwezo wa kumzuia mtu asizame.
Na tubaki na ile kilo ya nyama kutoka kwa Bassanio.
Shylock kasimama na kisu chake kikali sana anangojea
hakimu atoe hukumu akate nyama.
Na tuzunguke na makosa ya Mohamed Said ili tufute maneno
yote aloandika hapa.
Tusitoke kabisa hapa.
Huyu tumshampata.
Mimi wala sina haja ya kusikia tena habari za mwalimu wake
Sheikh Malik.
Mzee ms,
Usipendu kuchukulia kila jambo kwa ulahisi, kama kweli jambo ni lauongo nini madhala yake baadae?
Ukizingatia msimlizi yako yameegemea kwenye dini zaidi? Ungejalibu kutenganisha historia sambamba na dini za wana historia kote huko watu waingefika.
Tatizo lako ni mdini sana, hivi jiulize kwa uweza wake mungu, alishidwa kuumba kila nchi na dini yake?
Sasa kwanini aliumba watu wawe taifa moja lakini kila mtu na imani yake?
Tatizo chuki zako ziko kwa wakristo hasa wakatoriki, wakati ukiangalia wala nchi hii wako wa dini mbalimbali.
Leo hii husubutu kumnyooshea kidole kikwete hata afanyeje, angalia mauaji mbalimbali katika kipindi chake.
na laiti kipindi hiki, IGP, angekuwa mkristo sijuwi mngepayukaje huko misikitini saizi ponda yuko ndani kimya kama mmemwagiwa maji.
Labda wanjamvi wanataka kusikia habari zaidi za Malik. Mimi nilisema kabla na umethibitisha katika maandishi yako hadi ile sentensi ya mwisho.Nguruvi,
Mimi wala sina haja ya kusikia tena habari za mwalimu wake
Sheikh Malik.
Mundungus Fletcher, shukrani nyingi zikufikie popote ulipo...how I wish all people would look at things with an open mind like yours but sadly, this aint possible. How I wish all Tanzanians following this debate would do so with an open mind but unfortunately, this wont happen. An open mind is comfortable with differences and with a variety of lenses makes it possible to view issues from different perspectives. Without an open mind the eye sees only what the mind is prepared to comprehend...the eyes see only closed doors and is blind to many others that are wide open.Ritz
Mimi naamini sina upande. Inawezekana ninao lakini sijajua bado.
Nikweli nimesema sioni dhulma, lakini haimanishi siamini kuwa kunauwezekanao ipo ila mimi sijaiona bado, ndo mana mnakasha huu nimeupenda na nimeamua kuwa neautral ili nijaribu kuangalia kwa jicho la pili ushahidi yakinifu wa madai haya.
Mimi nipo hapa natafuta kwelj na ushahidi wa madai haya ya muda mrefu. Ndo mana nimepinga ushahidi wa Research ya Warsha kwasababu makosa yake yameokena na nikasema si vyema kutumia takwimu zile kama kielezo cha dhulma dhidi ya waislamu kwasababu haikuchukuliwa kitaalamu...
Ila pia kuna kitu nimeona labda ningepata ufafanuzi,
Kipindi cha uhuru mnasema Kanisa na Nyerere walikandamiza waislamu,
Wakati Yule sheikh msouth africa alivyorudishwa mkasema kanisa lika mshinikiza Mwinyi kumfukuza (manake mmemtoa Mwinyi kwenye makosa, kwamba kosa sio lake bali alishinikizwa)
Kipindi hiko hiko mnamlaumu waziri wa mambo ya ndani Mrema aliwakandamiza na kuwauwa Waislamu lakini Raisi Mwinyi hausishwi.
Kipindi cha Mwembe chai wakati wa Mkapa mkasema laana ya damu ya waislamu ipo mikononi mwake,
Kipindi hiki cha kikwete ambapo kuna viongozi waandamizi wengi sana waislamu, kuanzia Raisi, makamo wa Raisi, mkuu wa Polisi na kamanda Kova nae, mnasema kanisa ndo linashinikiza na kupiga vita, wamekamatwa wakina Ponda lawama hazijaenda kwa Kwikwete wala IGP wala kova bali kanisa.
Sasa je hamuoni mko selective jinsi mnavyo laumu?
Mnachagua nani wakumlaumu na wakumluka?
Lasivyo basi tuite dhulma zidi ya waislamu kutoka mfumo kristo, kanisa na waislamu wenyewe...
Ambapo tutarudi kwenye swali la msingi, Je hao waislamu wanaodhulumiwa mpaka na waislamu wenzao ni waislamu gani???
Ritz
Mimi naamini sina upande. Inawezekana ninao lakini sijajua bado.
Nikweli nimesema sioni dhulma, lakini haimanishi siamini kuwa kunauwezekanao ipo ila mimi sijaiona bado, ndo mana mnakasha huu nimeupenda na nimeamua kuwa neautral ili nijaribu kuangalia kwa jicho la pili ushahidi yakinifu wa madai haya.
Mimi nipo hapa natafuta kwelj na ushahidi wa madai haya ya muda mrefu. Ndo mana nimepinga ushahidi wa Research ya Warsha kwasababu makosa yake yameokena na nikasema si vyema kutumia takwimu zile kama kielezo cha dhulma dhidi ya waislamu kwasababu haikuchukuliwa kitaalamu.
As so for historia, kama Mzee Said alivyoiandika, nivigumu kwangu kujua ukweli kwasababu
Kwanza ni Historia na mimi sina utaalamu
Pili any events za historia lazima zisapotiwe na wana historia wengine kuipa uhalali wake. Lasivyo mtu yoyote anaweza akaweka event yake kwenye historia hata kama haikuwepo na kung'ang'ania ni kweli.
Lakini ushahidi huu wa hisrtoria nikasema nimeanza kuwa na wasiwasi nao kwasababu Mzee Saidi ameshaanza kuonesha makosa madogo madogo lakini yenye uzito mkubwa kwenye kitabu chake (na mwenyewe amekiri kama ni makosa ya kibinadamu) kiasi mtu unajiuliza how can believe the rest of the story....????
So mimi bado naheshimu madai ya watu wanaosema waislamu wanadhulumiwa na mfumo kristo, lakini bado natafuta ushahidi nijiridhishe.
Ila pia kuna kitu nimeona labda ningepata ufafanuzi,
Kipindi cha uhuru mnasema Kanisa na Nyerere walikandamiza waislamu,
Wakati Yule sheikh msouth africa alivyorudishwa mkasema kanisa lika mshinikiza Mwinyi kumfukuza (manake mmemtoa Mwinyi kwenye makosa, kwamba kosa sio lake bali alishinikizwa)
Kipindi hiko hiko mnamlaumu waziri wa mambo ya ndani Mrema aliwakandamiza na kuwauwa Waislamu lakini Raisi Mwinyi hausishwi.
Kipindi cha Mwembe chai wakati wa Mkapa mkasema laana ya damu ya waislamu ipo mikononi mwake,
Kipindi hiki cha kikwete ambapo kuna viongozi waandamizi wengi sana waislamu, kuanzia Raisi, makamo wa Raisi, mkuu wa Polisi na kamanda Kova nae, mnasema kanisa ndo linashinikiza na kupiga vita, wamekamatwa wakina Ponda lawama hazijaenda kwa Kwikwete wala IGP wala kova bali kanisa.
Sasa je hamuoni mko selective jinsi mnavyo laumu?
Mnachagua nani wakumlaumu na wakumluka?
Lasivyo basi tuite dhulma zidi ya waislamu kutoka mfumo kristo, kanisa na waislamu wenyewe...
Ambapo tutarudi kwenye swali la msingi, Je hao waislamu wanaodhulumiwa mpaka na waislamu wenzao ni waislamu gani???
Mohamed, si kuwa mwaka 1982 BAKWATA ilikuwa chini ya Warsha?Mohamed Said;5899356]After the Warsha-government crisis of 1982, the crisis left BAKWATA severely bruised and even more dependent on the government. BAKWATA was totally isolated from Musims
Ni nani alikuwa anafanya mawasiliano hayo?There were many correspondences from BAKWATAto the government requesting the government to ban Warsha and Masjid Quba and Islamic Centre and also requesting it to prevent independent leadership in mosques
Hapa walioikumbusha serikali ni BAKWATA ambao ni Waislam unless Mohamed aseme si waislam. Tuendelee muone anavyojichanganyaMuslims were electing anti BAKWATA leadership in their mosques.
BAKWATA reminded the government of its importance to control all mosques for the sake of ''peace and tranquillity.''
Kuwa puppet hakumuondoi mtu kamatia imani yake na kumpa imani nyingine.This exposed BAKWATA even more as a puppet of the government which was fully under the control and influence of the Church
Ni lazima uwe clear, serikali ilishauriwa na BAKWATA kama ndio maana yakoThe government was advised by the Intelligence to allow several youth organisations to beregistered and be allowed to play limited role in Muslim politics with the hope to create polarisation among youths and diffuse the tension
Serikali ilishauriwa vijana waunde orgamization ili ku-polarise movement. Serikali hiyo hiyo ikakataa ku-register TAYMAThis, the government believed would give BAKWATA as well as the government some breathing space.
A youth organisation Tanzania Muslim Youth Association (TAYMA) was registered but when Warsha sent its application for registration it was refused
Ilikuwaje organization iliyokuwa mentoired na Warsha ikaamua ku-lean kwa puppet BAKWATA.TAYMA'sleadership was untested, had no experience on how to deal with the ChrIt was overly co-operative to the Christian dominated government and BAKWATA
Hapa Mohamed kaficha kitu, haiwezekani organization aliyotaka kuisajili na serikali kukataa ikachukuliwa na BAKWATA on his watch! halafu anasema ikafa kwa kukosa kuungwa mkono na waislam akimaanisha ilikuwa ni ya BAKWTA. Sasa kama ni hivyo kwanini basi TAYMA isipate msaada wa BAKWATA na serikali kwasababu dili ilikuwa kuwa na organization za ku-polarize Warsha movement. Kwanini iliachwa ife wakati tunajua kuwa haikuwa ya wananchi bali serikali na BAKWATA? Hapa tu inaonyesha inconsistence kubwa sana and in fact it does not add up to anyone using 10% of his/her medulla Oblangata.TAYMA soon died a natural death for lack of Muslim support
Mohamed, hapa adui yako ni nani? Kwamba wewe una maadui tayari nchini, ni wapi hao?Muslim youths believed the only Muslim organisation fit to lead them was Warsha because it had the intellect, the will and the experience to confront the enemy.
Mundungus Fletcher, shukrani nyingi zikufikie popote ulipo...how I wish all people would look at things with an open mind like yours but sadly, this aint possible. How I wish all Tanzanians following this debate would do so with an open mind but unfortunately, this wont happen. An open mind is comfortable with differences and with a variety of lenses makes it possible to view issues from different perspectives. Without an open mind the eye sees only what the mind is prepared to comprehend...the eyes see only closed doors and is blind to many others that are wide open.
As Alexander Bell put it, "When one door closes, another opens. But we often look so regretfully upon the closed door that we dont see the one which has opened for us. Mwalimu Julius Nyerere as a leader opened so many doors for us but people with closed minds like Mohamed Said could only see those that, to them, appeared closed. People like Mohamed Said do a great disservice to a Society, they plant seeds of distrust and hatred among innocent young people without realizing it is the work of the demon in them that drives them to do so.
A closed mind blocks reason, blocks curiosity but worst of all blocks ordinary common sense, it diminishes the desire to seek knowledge, restricts perception and turns a human being to an equivalent of a zombie. Truth and falsehood become so intermingled that it becomes hard to separate fact from fiction and the earlier this is implanted in ones mind, the harder it is to believe anything different. Mohamed Said, having been indoctrinated by ideas from those close to him right from childhood, studied hard and knew exactly how to win who, what and when.
Mohamed Said is a victim of his own creation...the man actually really believes that he is a victim of Mfumo Kristo and a liberator of the oppressed, the Muslim community, and has a following to prove it. The delusion in his mind places him above all and anybody who does not agree with or dares challenge him is under the influence of the dreaded ogre, Mfumo Kristo. He earnestly believes he is fighting a holy war and I can bet anybody, there is nothing anybody else can do to remedy the situation unless he led the exercise himself.
God help Tanzania if ever this maniac gets his wishes for there is a very thin line separating his ill motives from those of the likes of Hitler or Osama bin Laden. Good thing is he is now well past his prime though the seeds he has planted may still flourish for a little longer...I give thanks to all those who have stood firm to call his ill motives and I still have trust in the people of this nation...the same way they rejected division along tribal and religious lines in the past, they will reject this evil endeavor that threatens our country's peace and stability.
God help Tanzania, God help the people of Tanzania!
Laiti Mohamed Said angejua kuwa uongo anaotunga unagunduliwa kurahisi na welevu bila shaka angefunika kombe haraka sana,Mohamed, si kuwa mwaka 1982 BAKWATA ilikuwa chini ya Warsha?Ni nani alikuwa anafanya mawasiliano hayo? Hapa walioikumbusha serikali ni BAKWATA ambao ni Waislam unless Mohamed aseme si waislam. Tuendelee muone anavyojichanganyaKuwa puppet hakumuondoi mtu kamatia imani yake na kumpa imani nyingine.
Kwahiyo ni waislam wa BAKWATA ambao ni puppet.
Sasa panaposhangza ni hapa ambapo Mohamed anasema under the influence of Church. Huu ulikuwa ugomvi wa waislam kwa waislam na kuihusisha serikali, vipi basi kanisa lionekane kuwa na mkono katika mzozo wa ''ndugu''
Kwamba BAKWATA kwa kuwa puppet wameshakuwa wakristo.
Hata hivyo endelea hapa chini uone jinsi Mohamed anavyojichanganya yarabi! Ni lazima uwe clear, serikali ilishauriwa na BAKWATA kama ndio maana yako Serikali ilishauriwa vijana waunde orgamization ili ku-polarise movement. Serikali hiyo hiyo ikakataa ku-register TAYMA
TAYMA's leadership was nothing out of ordinary and pursued a policy of conformity to the wishes of the government.
TAYMA however was able to built a schooland carry out several activities in the interests of Islam and Muslims of Tanzania. Few youths were attracted to it perceiving it as conformists organisation allowed to exist in order to appease and hoodwink Muslims.Ilikuwaje organization iliyokuwa mentoired na Warsha ikaamua ku-lean kwa puppet BAKWATA.Hapa Mohamed kaficha kitu, haiwezekani organization aliyotaka kuisajili na serikali kukataa ikachukuliwa na BAKWATA on his watch! halafu anasema ikafa kwa kukosa kuungwa mkono na waislam akimaanisha ilikuwa ni ya BAKWTA. Sasa kama ni hivyo kwanini basi TAYMA isipate msaada wa BAKWATA na serikali kwasababu dili ilikuwa kuwa na organization za ku-polarize Warsha movement. Kwanini iliachwa ife wakati tunajua kuwa haikuwa ya wananchi bali serikali na BAKWATA? Hapa tu inaonyesha inconsistence kubwa sana and in fact it does not add up to anyone using 10% of his/her medulla Oblangata.
Ukiisoma kama riwaya, mashallah hapo kutwa hutoki ndani. Tatizo ni kama utaamua kutumia akili ,page 10 humalizi.
Mohamed, hapa adui yako ni nani? Kwamba wewe una maadui tayari nchini, ni wapi hao?
Nyerere huyo-kila aspect ya decision making yeye alikuwa forefront-LEO hii katika karne ya ku google-hata mimi ambaye sijui history huwezi kuni feed kama kasuku-nitachimba,tunakushukuru kwa kutupa changamoto.
" His friends now urged that he must turn T.A.A. into a political organization, and pointed to Harry Nkumbula, 1 who is a neighboring Northern Rhodesia had organized the National congress party.
Nyerere began to study T.A.A'S constitution and the rules originally laid down by Sir Donald Cameron. In Britain, he had talked to many Ghanaians and analyzed Kwame Nkrumah's Constitution. Every day he realized more clearly that the Government would pay no attention to nationalist demands, however reasonable, unless they had the organized power of the people behind them. Only a political party would enable him to fight it out with the British. When on August 10, 1953, Twining banned civil servants from T.A.A., Nyerere wrote to protest against this:
In this Territory, the majority of educated Africans are in the civil service. Banning them from membership of political organization in the Territory. This, Your Excellency, is a serious blow to our political development. (August 10, 1953)
In Conclusion, he asked for a compromise which would enable civil servants to play some part in political organizations.
His letter was ignored. This high-handed treatment rankled.
It partly explains why Nyerere lifted the ban on civil servants joining Tanu after he had become Tanganyika's first president."
Mohamed, si kuwa mwaka 1982 BAKWATA ilikuwa chini ya Warsha?Ni nani alikuwa anafanya mawasiliano hayo? Hapa walioikumbusha serikali ni BAKWATA ambao ni Waislam unless Mohamed aseme si waislam. Tuendelee muone anavyojichanganyaKuwa puppet hakumuondoi mtu kamatia imani yake na kumpa imani nyingine.
Kwahiyo ni waislam wa BAKWATA ambao ni puppet.
Sasa panaposhangza ni hapa ambapo Mohamed anasema under the influence of Church. Huu ulikuwa ugomvi wa waislam kwa waislam na kuihusisha serikali, vipi basi kanisa lionekane kuwa na mkono katika mzozo wa ''ndugu''
Kwamba BAKWATA kwa kuwa puppet wameshakuwa wakristo.
Hata hivyo endelea hapa chini uone jinsi Mohamed anavyojichanganya yarabi! Ni lazima uwe clear, serikali ilishauriwa na BAKWATA kama ndio maana yako Serikali ilishauriwa vijana waunde orgamization ili ku-polarise movement. Serikali hiyo hiyo ikakataa ku-register TAYMA
TAYMA's leadership was nothing out of ordinary and pursued a policy of conformity to the wishes of the government.
TAYMA however was able to built a schooland carry out several activities in the interests of Islam and Muslims of Tanzania. Few youths were attracted to it perceiving it as conformists organisation allowed to exist in order to appease and hoodwink Muslims.Ilikuwaje organization iliyokuwa mentoired na Warsha ikaamua ku-lean kwa puppet BAKWATA.Hapa Mohamed kaficha kitu, haiwezekani organization aliyotaka kuisajili na serikali kukataa ikachukuliwa na BAKWATA on his watch! halafu anasema ikafa kwa kukosa kuungwa mkono na waislam akimaanisha ilikuwa ni ya BAKWTA. Sasa kama ni hivyo kwanini basi TAYMA isipate msaada wa BAKWATA na serikali kwasababu dili ilikuwa kuwa na organization za ku-polarize Warsha movement. Kwanini iliachwa ife wakati tunajua kuwa haikuwa ya wananchi bali serikali na BAKWATA? Hapa tu inaonyesha inconsistence kubwa sana and in fact it does not add up to anyone using 10% of his/her medulla Oblangata.
Ukiisoma kama riwaya, mashallah hapo kutwa hutoki ndani. Tatizo ni kama utaamua kutumia akili ,page 10 humalizi.
Mohamed, hapa adui yako ni nani? Kwamba wewe una maadui tayari nchini, ni wapi hao?
Kuna watu hupenda kuwafanya wengine dhalili sana.
Mtu ambaye anawajaza uongo ndugu zake na kuwatia hasira ili wafanye maamuzi hatari ni mtu wa
kuogopwa sana.
Na ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, ukishaanza kuila huachi - Mwalimu Nyerere
Leo unawabagua ndugu zako wa nchi ileile kwa kutumia hila ili upate wa kukuunga mkono,
Ukimaliza Kesho unawabagua ndugu zako wa Imani na dini ileile Pro BAKWATA V/S Non BAKWATA
Keshokutwa utawagawa wenzako wa Imani ilele, Superior Manyema, Nubi, Arab na Zulu V/S
dhidi ya akina mie Zaramo, Dengereko n.k.
Halafu hatma yake nini?
Son of Alaska," On October 10, 1953, there was a T.A.A. meeting in the little house with the beautifully carved Arab door which Sir Donald Cameron had built in New Street. Because T.A.A. was very low in funds, one of its rooms had been rented to an Asian, who was running a laundry. The other was the T.A.A. office.
In the small airless room Julius Nyerere sat on one chair at a decrepit desk, John Rupia on another chair, the Sykes brothers and Dossa Aziza perched on packing cases. Nyerere opened the meeting by saying that he had given much thought to T.A.A., but he could not transform it into a political organization. His friends were thrilled, as this meant that T.A.A. was finished and that they would now form a real political party."