Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ujumbe mtamu sana huu umfikie rafiki yetu kipenzi Barubaru!
 
Kwasasa tupo na vijana waktz ambao ndio waathirika wa ngano zako, mda utaturuhusu kuhudumu katika kitabu
 

1988 rais akiwa ni muislamu mwenzio,
Lakini lawama zipo kwa Julius Nyerere ambae hakuwa na cheo chochote ndani ya chama au serikalini,

Yaani alikuwa mkulima tu wa pale Mwitongo
 

Wapi kasema hivyo?
Huo ni uchochezi wa Mohammed Said au ni uongo wako?

Muasisi wa AA sio Klest Sykes na Bin Sud bali ni Mwalimu Cesil Matola (rais) na Klest Sykes (katibu)

Mohamed Said haifamu vema historia ya A
 

Wapi kasema hivyo?
Huo ni uchochezi wa Mohammed Said au ni uongo wako?

Muasisi wa AA sio Klest Sykes na Bin Sud bali ni Mwalimu Cesil Matola (rais) na Klest Sykes (katibu)

Mohamed Said haifamu vema historia ya AA, yeye kabobea na historia ya gerezani
 
What about Nyerere?Swali likaja...Jibu langu: About what?Ukumbi mzima ukaangua kicheko.Hawa ni wajuzi ukiwafumbia fumbo wanategua hapo hapo.Nikawapa na pp nilotoa Chuo Kikuu Zanzibar kuhusu Sheikh Hassan bin Amir."...and Mohamed you knew all these people who made history?"Baru mie nimesimama mbele yao nacheka tu na kumshukuru Allah.Ati anasimama mtu hapa free for all anataka kunitisha mimi na kitabucha kufikirika...

Mh! Mwaka 1948-1950 haukuwepo duniani. Hata mimba yako haikuwepo. Wazungu gani hao ulikwenda kuwazuga kwa simulizi hizi nao wakakukubali? Mzee Mohamed Said unatisha.
 

Ni bingwa wa ngano za masika
 
Mohamed kwanza nikuambie kuwa acha kudanganya watoto na vijana.
Hili la African event unalisema sana. Umesahau kuwa kulikuwa na Africa Now na magazeti mengine.
Magazeti hayo yalikuwa yanazuiliwa si kwasababu ya Habari zako muongo mkubwa wewe!

Yalikuwa na habari nyingi za kuusakama ujamaa na pengine kuelezea hali ya mambo ambayo by then ingewatia hasira sana wananchi. Nakumbuka katika moja ya makala ni ile ya ambayo iliielezea kwanini serikali ijenge uwanja mkubwa wa ndege ambazo ni za kigeni badala ya kuendeleza bonde la ruvu ili kujitosheleza kwa chakula.

Lakini unaposema yalikusanywa, yalikusanywa kutoka wapi wakati kuna nakala majumbani kwa watu.
Unachotaka kusema hapa ni kuwa Polisi waliingia kila nyumba kukusanya na kuchoma moto.

Mzee Said, hivi huwa unapata tija gani unapokuwa muongo! Muogope mwenyezi mungu.
Narudia Mohamed, stop this cheap popularity!
You erode the little respect as story teller of our times
 

Punguza jazba kunywa maji kidogo pumzika sehemu au jitulize kwanza kisha rudi kwenye mnakasha.
 
Punguza jazba kunywa maji kidogo pumzika sehemu au jitulize kwanza kisha rudi kwenye mnakasha.
Mwalimu aagize magazeti yakusanywe halafu Mzee wetu huyu aachwe tu! Mzee Mohamed hakumfahamu Mwalimu au kwa kweli ni muongo sana. Ingekuwa kuna watu kufufuka, Mwalimu afufuke, arudi madarakani,wala asingehangaika na dagaa akina Ponda!

Mzee Mohamed anajua kilichowafika Masheikh na wazee wake waliojaribu kuleta chokochoko za kidini miaka ile.
 
Anadai gazeti lilikusanya na dola kisha likachomwa moto, chini ya amri ya nyerere, ukweli nikuwa mwaka 1988 huo rais alikuwa ni Mwinyi, Nyerere hakuwa na cheo chochote nchini zaidi ya cheo cha familia yake tu.

Na zaidi kuthibitisha uongo wake ni kuwa hakukuwahi kutokea msako wa nyumba hadi nyumba katika historia ya nchi hii mpaka leo hi wakusaka magazeti yoyote achilia mbali hilo gazeti analolisema hapa.

Huu ni uzandiki wa wazi, uzushi huu ni hatari kwa taifa.
 

Sasa kama Mohamed Said ni muongo andikeni basi huo ukweli wenu tuusome.

Umesikia tamko la maaskofu wanalalamika na mfumo wanataka kuchinja.

Sasa hivi hakuna tena kuhudhuria misiba wala sherehe wala kualikana Wakirsto na Waislam chakula kila mtu ale chakula chake na kuanzia sasa Wakirsto wawe na bucha zao na Waislam wawe na bucha zao.

Waislam hawewezi kula nyamafu na nguruwe.

Hapa ndiyo Maaskofu walipotufikisha kutokana na mfumo Kirsto.
 

Nguruvi,

Umehamaki.
Mimi sitafuti umaarufu kwa yoyote kwa kuwa sina shida ya umaarufu.

Umeandika Africa Now la Peter Enahoro.
Hili letu lilikuwa Africa Events la Mohamed Mlamali Adam.

Uhariri wa Enahoro si wa Mlamali.
Sera za magazeti yao zilikuwa tofauti kama mbingu na ardhi.

Ngoja nikuongezee kingine kikuudhi zaidi.

Mimi na Mlamali tuliondolewa katika gazeti hilo kwa shinikizo...

Vinginevyo gazeti lisingefunguliwa fedha zake kutoka BOT kwenda
Uingereza.

Ni kisa kizuri.

Ahmed Yahya akashika nafasi ya Mlamali lakini hakuacha kunipa kazi
ambazo AE walichapa bila ya jina langu nikawa ''Special Correspondent.''

Kisha nikenda pale ofisini kwao Banner Street London tunacheka sana.

Ukisoma habari zangu kila siku utaghadhibika na kila siku utaniita ''muongo
mkubwa.''

Watazamaji ndiyo waamuzi kama mie nawavunga ama nawapa khabari za kweli.
 

Mohamed,
Mlamali Adam kapotelea wapi?
 
Ilimradi useme tu.
Ulichokanusha na kukubali ni kitu hicho hicho.
Ikiwa serikali kusemwa kuhusu kujenga uwanja mkubwa wa ndege ilifanya nongawa,sembuse kusemea jambo kubwa kama historia ya nchi ikimshushua Nyerere!.
Ilimradi haijatajwa ni gazeti toleo namba ngapi na liliandika kuhusu nini kati ya yale serikali iliyotaka yasisomwe basi kauli ya Mohammed Said itakuwa na uzito zaidi kuliko kukanusha kwako hasa kwa vile yeye alikuwa akifuatilia nyendo za hayo magazeti kinyume na wewe ambaye hukuwa na shauku yoyote nayo.
Sasa hivi kumekuwa na kasi ya kasi ya kuwakamata waislamu kwa makosa yanayoanza kulalamikiwa na maaskofu.Nani utamdanganya kuwa waislamu hawajakamatwa kwa shinikizo la mfumokristo?.
Wakristo kusema kweli mnatia aibu kwa kuogopa hata vivuli vyenu.
Nyerere asisemwe kwa yale aliyofanya tena maovu.
Waislamu wasitoe maoni kuhusu Muuungano
Waislamu wasilalamike kuhusus NECTA
Waislamu wasioneshe uozo wa takwimu za sensa
Waislamu wasidai mali zao zilizoporwa
Halafu waislamu wakubali kula nyamafu,wakikataa wanatiwa ndani na kusingiziwa magaidi.
Nyinyi muko Ovyo kabisa!.Ndio maana Ulaya watu wamekimbia hii dini yenu na kujiunga na Manchester
Hata Yesu angerudi angewashangaa wafuasi wake mlivyobadilika
 
Punguza jazba kunywa maji kidogo pumzika sehemu au jitulize kwanza kisha rudi kwenye mnakasha.

Ritz,

Umesahau kitu.
Umesahau kumwelekeza namna ya kunywa maji.

Kwanza akae kitako.
Kisha anywe maji funda tatu.
 
Mohamed,
Mlamali Adam kapotelea wapi?

Yuko London.
Ukimtaka fika nyumbani kwa Mohamed Abubakar High Bannet.

Kila Alkhamis kuna uradi wa Attas pale utamkuta yeye ndiye
Sheikh Mkuu wa London kwa Watanzania.

Anatafsiri vitabu na kufungisha ndoa hapo mjini.
 
Ritz,

Umesahau kitu.
Umesahau kumwelekeza namna ya kunywa maji.

Kwanza akae kitako.
Kisha anywe maji funda tatu.

Baada ya hapo anatakiwa kumshukuru sana Allah.

Mara nyingi ahmaki za namna hiyo zinasababisha heart disease and stroke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…