Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Kitabu kiitwacho Aya za Shetani kilichoandikwa na Suleiman Rudish kinauzika Ulaya na Marekani, Je Waislamu wanakikubali? Kama huamini kamuulize kiongozi wa kiroho wawaislamu Hayatolah Khaminey ni hukumu gani aliyompa Rudish mpaka akakimbilia uhamishoni Uingereza.
Kwahiyo kitabu cha Mohamed Said hakini tofauti na cha Aya za Shetani
Jinsi ninavyoona muelekeo wa mnakasha ni wazi ''fatigue''imetukummba.
Hata mimi sasa sipati maswali ya maana naona watu wanarudia humo kwa
mumo.
Si lazima tumalize kwa ''knockout.''
Tunaweza hata ikawa ''split decision.''
Hilo nalo si dogo.
Nimejitahidi kwa kiasi changu kueleza habari za wazee wangu na naamini
hata wale waliokuwa hawapendi historia hii kwa sababu moja au nyingine
wamesoma kitu.
Basi na tuishie hapa.
Au mnasemaje wanaukumbi?
Jinsi ninavyoona muelekeo wa mnakasha ni wazi ''fatigue''imetukummba.
Hata mimi sasa sipati maswali ya maana naona watu wanarudia humo kwa
mumo.
Si lazima tumalize kwa ''knockout.''
Tunaweza hata ikawa ''split decision.''
Hilo nalo si dogo.
Nimejitahidi kwa kiasi changu kueleza habari za wazee wangu na naamini
hata wale waliokuwa hawapendi historia hii kwa sababu moja au nyingine
wamesoma kitu.
Basi na tuishie hapa.
Au mnasemaje wanaukumbi?
Mzee ni kweli; ila kama utakubaliana na haya yafuatayo kwa jinsi ambavyo tumefika naamini mnakasha utakuwa umefikia kikomo. a. Ukubali kuwa hukuandika historia yote ya wapigania uhuru wa Tanganyika bali umeandika sehemu ya historia hiyo. b. Katika kuandika historia hiyo ukubali kuwa hukutafuta vyanzo vyote credible vya taarifa ulizotumia na badala yake umetumia vyanzo vya upande mmoja tu na ni vile vyenye muono wako tu ndivyo umekubali. c. Ukubali pia kwamba ili kufanya simulizi lako lionekane kuwa lina chembe ya historia imekulazimu kuweka kando majina ya wapigania uhuru wengine wote ambao ni Wakristu kwani kuwajumuisha miongoni mwa 'wazee wako' kutaharibu ile sura ya kuwa wapigania uhuru wengi wa mwanzo walikuwa ni Waislamu watupu kama unavyotaka watu waamini. d. Ukubali pia kwamba katika kupinga kwako dhulma dhidi ya Waislamu au Uislamu au Tanganyika kuna kasoro kwani unaamini Nyerere alikuwa na dhulma dhidi ya Waislamu kwa sababu ni Mkristu lakini unaamini Waislamu sasa hivi hawadhulumiwi chini ya utawala wa Kikwete - Muislamu. e. Ukubali pia kuwa hujajaribu hata kidogo kujenga mapatano kati ya Wakristu na Waislamu nchini na badala yake umekuwa ukichochea chuki kati ya watu wa pande hizi mbili kiasi kwamba unataka Waislamu wasiangalie adui yao kama mfumo wa kisiasa uliojengwa na CCM na wafikirie adui yao ni Kanisa na Wakristu. Ukikubali mambo haya matano tulipofikia hapa huu mnakasha utakuwa umefikia mwisho. Shukrani.
Mzee ni kweli; ila kama utakubaliana na haya yafuatayo kwa jinsi ambavyo tumefika naamini mnakasha utakuwa umefikia kikomo.
a. Ukubali kuwa hukuandika historia yote ya wapigania uhuru wa Tanganyika bali umeandika sehemu ya historia hiyo.
b. Katika kuandika historia hiyo ukubali kuwa hukutafuta vyanzo vyote credible vya taarifa ulizotumia na badala yake umetumia vyanzo vya upande mmoja tu na ni vile vyenye muono wako tu ndivyo umekubali.
c. Ukubali pia kwamba ili kufanya simulizi lako lionekane kuwa lina chembe ya historia imekulazimu kuweka kando majina ya wapigania uhuru wengine wote ambao ni Wakristu kwani kuwajumuisha miongoni mwa 'wazee wako' kutaharibu ile sura ya kuwa wapigania uhuru wengi wa mwanzo walikuwa ni Waislamu watupu kama unavyotaka watu waamini.
d. Ukubali pia kwamba katika kupinga kwako dhulma dhidi ya Waislamu au Uislamu au Tanganyika kuna kasoro kwani unaamini Nyerere alikuwa na dhulma dhidi ya Waislamu kwa sababu ni Mkristu lakini unaamini Waislamu sasa hivi hawadhulumiwi chini ya utawala wa Kikwete - Muislamu.
e. Ukubali pia kuwa hujajaribu hata kidogo kujenga mapatano kati ya Wakristu na Waislamu nchini na badala yake umekuwa ukichochea chuki kati ya watu wa pande hizi mbili kiasi kwamba unataka Waislamu wasiangalie adui yao kama mfumo wa kisiasa uliojengwa na CCM na wafikirie adui yao ni Kanisa na Wakristu.
Ukikubali mambo haya matano tulipofikia hapa huu mnakasha utakuwa umefikia mwisho.
Shukrani.
Na ndiyo maana akaulizwa, Mwinyi na Kikwete nao vipi? Mbona inapokuja kwa rais muislam basi hatajwi yeye bali serikali?mbona mengi yameshaelezwa ndani ya uzi huu.Kujaribu kuficha juu ya wapigania uhuru wengine na kujiweka yeye kama kiongozi na mwasisi wa TANU.Kushirikiana na kanisa kuwakandamiza waislamu nk yote haya na mengine yamewafanya mtoke povu wakristo
Baada kumfuatilia kidogo kuhusu hilo hapo juu, anatupa jibu hili...By Mohamed Said
Itabidi ufungue uzi mpya tuzungumze kila kitu katika hiyo Wizara na mambo yake.
Ila kwa sasa ikutoshe tu kuwa Insha Allah hivi karibuni zitasikika taarifa za NECTA.
Usidhani ni maskhara.
Mengine hata mimi sijaweza kuamini.
Hawa jamaa wataalamu kwelikweli.
Wanajua kuwazunguka Waislam.
Sasa hivi wanashughulika na shule za kata.
Maana zimejaza Waislam.
Kuwa na subra.
Tunae rais muislam na waziri wa elimu muislam. Wote hawa wanashirikiana na Kanisa kuwakandamiza waislam kielimu kama mlivyosema Nyerere alishirikiana na Kanisa kuwakandamiza waislam kielimu?
na ndiyo maana akaulizwa, mwinyi na kikwete nao vipi? Mbona inapokuja kwa rais muislam basi hatajwi yeye bali serikali?
Angekuwa ni rais mkristu wakati huu akina ponda na wenzake wanasota jela si mngesema kama wakati ule wa nyerere eti aliwakamata mashehe na kuwaweka ndani!?
Mohamed said akiulizwa hayo anakwepa na kusema anazungumzia historia ya tanu tu...lakini tukitega mgongo anakwenda mbele zaidi na kuzungumzia dhulma alizowafanyia nyerere waislam kwa kushirikiana na kanisa. Yote kuanzia kutowaenzi wapigania uhuru wa kiislam. Kuanzishwa bakwata. Kukandamiza waislam kielemu kupitia wizara ya elimu nk.
Hebu angalia hapa.
Baada kumfuatilia kidogo kuhusu hilo hapo juu, anatupa jibu hili...
Tunae rais muislam na waziri wa elimu muislam. Wote hawa wanashirikiana na kanisa kuwakandamiza waislam kielimu kama mlivyosema nyerere alishirikiana na kanisa kuwakandamiza waislam kielimu?
Mwanakijiji, Unatakiwa uerevuke kidogo na kupunguza ushabiki. Awali ya yote hakuna mtu binafsi anayeweza kuandika historia nzima ya nchi bali kila mtu anaandika baadhwi tu ya sehemu , sasa ni jukumu la Serikali kuzikusanya historia hizo na kurtoa historia ya nchi. Lakin pia naamini wazi hujakisoma kitabu cha Mohamed Said kwani ndanimwe ametaja mpaka wakristo na amewaeleza kwa vizuri tu kama walitenda vizuri na vile vile amebainisha hata baadhwi ya waislam kwa mabaya yao. nakushauri kisome Kisome kitabu cha Mohamed said KWA NIA YA KUELEWA basi mola atakusaidia utaelewa lakin kama utakisoma KWA NIA YA KUPINGA basi hasilan hautakielewa. Pole sanaMzee ni kweli; ila kama utakubaliana na haya yafuatayo kwa jinsi ambavyo tumefika naamini mnakasha utakuwa umefikia kikomo. a. Ukubali kuwa hukuandika historia yote ya wapigania uhuru wa Tanganyika bali umeandika sehemu ya historia hiyo. b. Katika kuandika historia hiyo ukubali kuwa hukutafuta vyanzo vyote credible vya taarifa ulizotumia na badala yake umetumia vyanzo vya upande mmoja tu na ni vile vyenye muono wako tu ndivyo umekubali. c. Ukubali pia kwamba ili kufanya simulizi lako lionekane kuwa lina chembe ya historia imekulazimu kuweka kando majina ya wapigania uhuru wengine wote ambao ni Wakristu kwani kuwajumuisha miongoni mwa 'wazee wako' kutaharibu ile sura ya kuwa wapigania uhuru wengi wa mwanzo walikuwa ni Waislamu watupu kama unavyotaka watu waamini. d. Ukubali pia kwamba katika kupinga kwako dhulma dhidi ya Waislamu au Uislamu au Tanganyika kuna kasoro kwani unaamini Nyerere alikuwa na dhulma dhidi ya Waislamu kwa sababu ni Mkristu lakini unaamini Waislamu sasa hivi hawadhulumiwi chini ya utawala wa Kikwete - Muislamu. e. Ukubali pia kuwa hujajaribu hata kidogo kujenga mapatano kati ya Wakristu na Waislamu nchini na badala yake umekuwa ukichochea chuki kati ya watu wa pande hizi mbili kiasi kwamba unataka Waislamu wasiangalie adui yao kama mfumo wa kisiasa uliojengwa na CCM na wafikirie adui yao ni Kanisa na Wakristu. Ukikubali mambo haya matano tulipofikia hapa huu mnakasha utakuwa umefikia mwisho. Shukrani.
Huku ni kuishiwa na kufilisika kwa hoja. Nilibainisha toka awali kuwa nina mashaka makubwa sana kitaaluma na huyu Y Nyerere kwani nilimwambia kuwa Tafiti yoyote inajibiwa kwa tafiti na sio vinginevyo. sasa hapa amejidhihirisha kuwa ni mtupu wa ilmu. Kwani sikutaraji kwa msomi yoyote kukifananisha kitabu cha S. Rushdie cha Satani verses na kitabu cha M Said. Kwani hicho satanic verses ni fiction na cha Mohamed Said ni cha Kitaaluma. Huwezi hata siku moja kuchanganya chumvi na sukari kisha ukajisifu. Pole sanaKitabu kiitwacho Aya za Shetani kilichoandikwa na Suleiman Rudish kinauzika Ulaya na Marekani, Je Waislamu wanakikubali? Kama huamini kamuulize kiongozi wa kiroho wawaislamu Hayatolah Khaminey ni hukumu gani aliyompa Rudish mpaka akakimbilia uhamishoni Uingereza. Kwahiyo kitabu cha Mohamed Said hakini tofauti na cha Aya za Shetani
Mzee Mohamed,Ahsante hilo ni shairi la John Dryden.
Linasomeka hivi:
Errors, like straws, upon the surface flow;
He who would search for pearls must dive below.
Kwa hakika katika historia hii uongo ukawa umezagaa
kote sasa kutafuta ukweli ikabidi nipige mbizi nende chini
ya bahari.
Huu ukweli umewashtua watu wengi sana.
Imekuwa tabu sana kukubali kuwa hiyo historia iliyokuwa ikisomeshwa
Miaka nenda miaka rudi haikuwa historia ya kweli.
Mambo mengi yalikuwa yamekwepwa tena kwa makusudi kabisa.
Vipi uandike historia ya TANU usimtaje Abdu Sykes?
Mzee ni kweli; ila kama utakubaliana na haya yafuatayo kwa jinsi ambavyo tumefika naamini mnakasha utakuwa umefikia kikomo.
a. Ukubali kuwa hukuandika historia yote ya wapigania uhuru wa Tanganyika bali umeandika sehemu ya historia hiyo.(AMEANDIKA HISTORIA YA WALE AMBAO WALIFUTWA KWA MAKUSUDI ILI KUFICHA MCHANGO WAO KATIKA UKOMBOZI WA NCHI HII,TUNASHUKURU TULIOKAWA HATUFAHAM SASA TUMETOKA GIZANI,UKIWEMO WEWE..!
b. Katika kuandika historia hiyo ukubali kuwa hukutafuta vyanzo vyote credible vya taarifa ulizotumia na badala yake umetumia vyanzo vya upande mmoja tu na ni vile vyenye muono wako tu ndivyo umekubali.(VYANZO VILIVOTUMIKA NI CREDIBLE NA VYENYE KUJITOSHELEZA,,KAMA WAMEKUBALI TAASISI KUBWA ZENYE WELEDI MKUBWA ULIMWENGUNI WA KUHOJI MANTIKI KAMA OXFORD,CAMBRIDGE NA HAVARD SEMBUSE WEWE??
c. Ukubali pia kwamba ili kufanya simulizi lako lionekane kuwa lina chembe ya historia imekulazimu kuweka kando majina ya wapigania uhuru wengine wote ambao ni Wakristu kwani kuwajumuisha miongoni mwa 'wazee wako' kutaharibu ile sura ya kuwa wapigania uhuru wengi wa mwanzo walikuwa ni Waislamu watupu kama unavyotaka watu waamini.(..:nono:
:nono:SI KWELI,WAPO WAKRISTU ALIOWATAJA,NA USIJARIBU KUPOTOSHA NDUGU,ILA KAANDIKA KWA KIAS KIKUBWA KUHUSU WAZEE WAKE AMBAO MOJA KWA MOJA ANAWAFAHAM NA ANA TAARIFA ZAO ZA KUTOSHA KAMA WALIVOKAWA NAZO KINA JULIUS KIPINDI HIKO LAKINI KWA MAKUSUDI YAO KABISA WAKAAMUA KUWAFUTA KATIKA HISTORIA HIYO,TUMPONGEZE NDUGU MOH'SAID KWA HILO)
d. Ukubali pia kwamba katika kupinga kwako dhulma dhidi ya Waislamu au Uislamu au Tanganyika kuna kasoro kwani unaamini Nyerere alikuwa na dhulma dhidi ya Waislamu kwa sababu ni Mkristu lakini unaamini Waislamu sasa hivi hawadhulumiwi chini ya utawala wa Kikwete - Muislamu.(KIPIMO CHA NYERERE CHA DHULMA YAKE NI KUDHARAU JUHUDI WALIZOZIFANYA WAASISI WA WA KUPIGANIA UHURU HUO KABLA YEYE HAJAKARIBISHWA MJINI NA KUJIVISHA KWA MABAVU JUHUDI HIZO ILI LEO APATE KUITWA MTAKATIFU,ILA TUNASIKITIKA HILO LIMEFELI KWA KIZAZI HIKI NA VIZAZI VYOTE VINAVOKUJA)
e. Ukubali pia kuwa hujajaribu hata kidogo kujenga mapatano kati ya Wakristu na Waislamu nchini na badala yake umekuwa ukichochea chuki kati ya watu wa pande hizi mbili kiasi kwamba unataka Waislamu wasiangalie adui yao kama mfumo wa kisiasa uliojengwa na CCM na wafikirie adui yao ni Kanisa na Wakristu. (KAMA KUELEZEA HISTORIA YA WAZEE WAKE KIUNAGA UBAGA NI KUCHOCHEA CHUKI DHIDI YA WAKRISTO NI UZANDIKI WA MANENO,UTUELEZE CHUKI HIYO IMECHOCHEWA KWA NAMNA GANI?KAMA ANGEKUWA MCHOCHEZI KWANI USIENDE KUMFUNGULIA MASHTAKA KORTINI AU KWANIN SASA NI MIAKA 15 KITABU HIKI KINASOMWA SERIKALI ISIMCHUKULIE HATUA NA HALI INAMFAHAM?UTAJA ONA HOJA ZAKO HAZINA MASHIKO NA UNAPATA UKAKASI KUUMEZA UKWELI HUU,JITAHID KUUVUMILIA TUH NA UUMEZE KIUTU UZIMA NDUGU?
Ukikubali mambo haya matano tulipofikia hapa huu mnakasha utakuwa umefikia mwisho.
Shukrani.(MJADALA HAUWEZ KUFIKA MWSHO HADI MKIRI KWA DHATI YA MIOYO YENU NA MJE MSHUKURU KWA DARSA MARIDHAWA KAMA HILI.
AHSANTE KWAKO MZEE MOH' SAID,UKWELI UNAZID KUDHIHIRI.