Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mimi na wewe nani anatokwa na povu.
Kama kawaida yako na mzee wako umeamua kuikimbia hoja ya msingi. Ni kukumbushe hoja ni kwamba neno la kiingereza "gentlemanly" ambalo ni "adjective" ulilitumia kimakosa na hivyo kuharibu maana uliyokusudia! upo hapo?
Nyambala,

Arrogance is not gentlemanly.[/QUOTE]
 
Mie napita tu hapa.Nilikuwa naangalia kama Nyambala ametoka machimboni na yale majawabu ya sensa,naona bado.
Baada ya kumsoma Gombesugu narudi kwenye baraza yangu ya haluwa na kashata.
Baadae InshaAllah nitafungua kontena la futi 20 tu(sio kama lile la Dr.Slaa) niangalie kama ile kanzu yako size 62 itakuwemo.
 
Nyambala,

Arrogance is not gentlemanly.

Perhaps if u would have known that I was in reply to the post below ungefahamu why I did something that hade neva been done by me b4.

 
Nyambala,
Nami nikudokeze?

Mimi maritime.
Huu uwanja wangu ulonipa mkate wangu wa kila siku.

Hiyo haina shida twende kazi!!!!!!!!! Lakini unayakumbuka haya maandishi yako hapa chini? Maana ndiyo asili ya why I told u wht am doing, na kama umewahi kuona mimi nikitamka hivyo kwenye mada hii plse iambie hadhira. All in all tunaweza hata kuanzia huko kwenye maritime, though I know u have neva done uhandisi anywayz lete darsa nikupe darsa.


 

Mkuu unatakiwa utoke huko kwenye kudhania mambo ya kipuuzi ya ooh wale wa gahawa, haluwa na kashata, au sijui nani anaruhusiwa kuchinja, wagalatia etc. . Hiyo ni mijadala ya kitoto and u will neva c me there. Pls twende na kinachoendelea hapa. Bring it on!

Halafu ona ulivyokosa direction ghafla yameingia mambo ya Dr. Slaa, contena, kanzu which is all bull shyiiiiiiiiiiit!
 
@Kadogoo,

..nimekuwekea bandiko toka gazeti la serikali Daily News kukuthibitishia kuwa Prof.Malima ndiye waziri wa mwisho wa fedha wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.

..kama hujaridhika na ushahidi huu, nieleze kwasababu ninao mwingine.



Kama ni kweli Mzee Ms ameponyoka ingawa alishindwa kujitetea. Bado la Mbunge wa Monduli.
 

Historia haiwi historia kwa vile wewe unaijua hivyo; historia inakuwa historia kama ndivyo ilivyotukia. Kinachobishaniwa hapa siyo kile unachokijua au hukijui ni kile unachodai kilitukia. Sasa ukidai hivyo watu wana haki ya kukuuliza kama kweli kilitokea na tafsir ya maana yake. Utaona wengine hatubishani kabisa mambo ya mtaani kwenu, na wazee wako na nani alikuwa anapika na kuuza vitumbua au nini. Tunabishania yale ambayo unadai yalitokea na kujitokeza kwenye historia yetu..
 

Eti,Inspector General wa police, Hamza Aziz amekataa kutii amri ya Rais Nyerere ya kumkamata Sheikh Hassan bin Amir.
Nyerere huyu tunaemjua au mwingine?? Hizi porojo nyingine!!!! ndio maana nilikuuliza nana hasa mlengwa wa vitabu vyako???
 
Asante sana mzee w hekima,
 
Eti,Inspector General wa police, Hamza Aziz amekataa kutii amri ya Rais Nyerere ya kumkamata Sheikh Hassan bin Amir.
Nyerere huyu tunaemjua au mwingine?? Hizi porojo nyingine!!!! ndio maana nilikuuliza nana hasa mlengwa wa vitabu vyako???

Hata mtoto wa shule za vidudu ataipinga ngano ya Mohamed kwa uzushi wa aina hiyo.
 

Mohamed,
Kweli hawana herufi P lakini mwalimu wangu wa Lugha akiiandika herufi P huwa anaandika با halafu anaongeza nukta moja chini na herufi B kuwa na nukta mbili ndipo inapokuwa P!!!

Nisiharibu mjadala wa Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar! MS kama kichwa cha mnakasha ulivyo, ni vipi umehusishwa na kudhihaki wapigania uhuru wa Zanzibar? na tunangoja kwahamu sana mada ya Profesa K. Malima bila kumsahau Swahib wako Yericko naomba mkaribishe ktk mnakasha tena kwani naona siku hizi anajaribu kukukwepa sana!
 
 
 
Last edited by a moderator:
Mkuu The Big Show, Mohamed tushamzima,

Ameleta uzushi kuwa Mwalimu alisema hakumbuki cheo cha Abdul Sykes,

Sisi tumemwambia ni uongo, Mwalimu alitamka wazi kuwa Abdul alikuwa katibu wa Taa mwaka 1952 wati Nyerere anajiunga na TAA,

Akaja na uzushi mwingine kuwa nauli ya Mwalimu kwenda UNO kwa mara ya kwanza alizichanga Dosa Azizi na Idd Faiz Mafingo kupitia TANU,

Lakini sisi tukamwambia ni UONGO, nauli ya tiketi ya kwenda na kurudi ilikatwa/ilitolewa na kanisa katoliki kupitia shirika lake la USA la Maryknoll Sisters chini ya padre Art Will akishirikiana na makasisi kadhaa akiwemo Maranta, Warsh, Bobs nk

Je mpaka hapo unaamini tu kuwq Mohamed Said anachakutetea hapa?
 
. Halafu soma hii hapa.
Apart from Dossa Aziz who had met Nyerere briefly at TAA's general conference in April, 1946, Kasella Bantu himself and Denis Phombeah, nobody at the TAA headquarters had ever heard of Nyerere
Nyerere alikuwa katibu wa tawi la Tabora. Ukishasema HQ ina maana ilikuwa inajua nani anaongoza chama na eneo gani. Unless HQ ilikuwa ndio nchi nzima sentensi hii ina mashaka makubwa. Hata hivyo Nyerere alipokutana na Dosa hakuna shaka waliongelea kuhusu chama na hasa HQ. Kwa mantiki hiyo Dosa atakuwa amemweleza nani anafanya nini HQ na hapo jina la Abdul lazima litokeo. Sijui kama kuna ukweli kuwa Nyerere aliksikia habari za Sykes akiwa Uingereza kupitia Mwapachu.
Hapa anaonyesha jinsi Nyerere alivyokuwa dhalili mbele ya Abdul. Lakini anajichanganya kwasababu experience ya siasa alikuwa nayo kuanzia Tabora alipokuwa katibu wa Tawi, Makerere alipotaka kuanzisha TAWA na Uingereza alipokuwa exposed katika world politics. Kulinganisha watu hawa wawili ni kutafuta udhalili wa mmoja wapo. Tuwaheshimu kama historia ilivyo na si kutumbukiza chuki, fitna na husada katika historia iliyojikamilisha bila chumvi, hamira au magadisoda Hapa tunaona uwepo wa Nyerere ndio uliozaa neno Nationalist na si Uislam. Hili ni jambo jema
. Political debates among the young nationalists now shifted from topics of internal discontent to leftist international issues concerning government and self-determination for the African people
Ahaa kumbe hawa watu walikaa kama nationalist kwa ajili ya kumkomboa mwafrika. Jambo jema kwasababu inaonyesha hawakukaa kama waislam bali nationalist. ) Hapa Mohamed ameshabadili historia kwa utashi wake. Amesema Nyerere aliongea na kundi pekee la waislam. Ukweli ni kuwa aliongea na wazee wa Dar es Salaam kama alivyokuwa anaongea nao wakati akaitaka kulihutubia taifa. Hakuna mahali popote panapoonyesha Nyerere alifanya hivyo kwa ajili ya waislam. Mohamed ameondoa neon Nationalist kama tulivyoona hapo juu na kuja na kitu ambacho hakikuwepo katika historia au ukweli.
Hata leo JK anapoongea na wazee wa Dar es Salaam haongei nao kama waislam, ndivyo ilivyokuwa kwa Mkapa na Mwinyi. Ni chumvi na hamira ili ngano iumuke na wala si ukweli au historia. Nadhani hata Tabora ilikuwa ni hivyo na Nyerere aliweza kutia mguu na kuwa katibu wa tawi. Aliokwenda kuonana na Abdul Nyerere ahakufanya hivyo bila makusudio. Hata hivyo inaonekana wazi kuwa elimu yake ilikuwa msaada kwa TAA na hivyo bila kujali imani yake uwezo wa kuwa na political base ulikuwepo, lilikuwa suala la muda tu. . Si kweli, Nyerere alianza siasa kabla ya kuonana na Abdul Sykes. Mwaka 1947 alipokutana na Dosa hakukutana naye kama mwakilishi wa wanafunzi au wakulima. Alikuwa katibu wa tawi na hata Makerere alishakuwa na political ambition.Mtu aliyewahi kuhudhuria mkutano mkuu wa TAA haiwezekani awe ameanza siasa baada ya kukutana na Abdul. After Abdulwahid and Nyerere had gone out, voting began. Anajichanganya hapa .Kama matokeo yalishapangwa kwanini kuwe na utata huu. Kura zinaonyesha zilipigwa kwa mikono sasa ni kweli kuwa hakukuwa na ukweli kwa watu wengine ambao ulijulikana baada ya uchaguzi hadi watu wawili au watatu tu watuambie kilichotokea. Na matokeo ya kupangwa kwanini kura zirudiwe mara tatu.Then Mo anaweka historia yake mwenyewe kutoka chumbani
There was no way Nyerere could defeat Abdulwahid in Dar es Salaam of 1950s. Abdulwahid was not defeated in that election. Very few Muslims had confidence in mission-educated Christians
 
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3 au kwa lugha ya kihehe Miungu wa tatu, wewe ni kiboko, najivunia sana uwepo wako katika uzi huu.

Heshima kwako mkuu!
 

Ndomana tukawa tunasema nyerere aliasisi mfumo kiristo na kuwachukia waislam wenye mcmamo kumbe alikuwa analipa fadhila kwa nauli aliyopewa na kanisa kwenda un kama ni kweli hilo usemalo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…