[
QUOTE=Mandown;6099181]Jamanie ee, wale wazee wa Mohamed Said wanaanza kujitokeza wenyewe
Leo Gazeti la Mwananchi 10/04/2013 pg 14, kichwa cha habari "Asha Ngulumi: Mpiga debe wa Nyerere, alia kutothaminiwa"
link Asha Ngulumi:Mpiga debe wa Nyerere, alia kutothaminiwa - Habari Ya Ndani - mwananchi.co.tz
cc Mohamed Said
Mzee Mwanakijiji
Mwita Maranya
Mag3
Nguruvi3
Yericko Nyerere
THE BIG SHOW
Ritz
[
QUOTE=Mandown;6099181]Jamanie ee, wale wazee wa Mohamed Said wanaanza kujitokeza wenyewe
Leo Gazeti la Mwananchi 10/04/2013 pg 14, kichwa cha habari "Asha Ngulumi: Mpiga debe wa Nyerere, alia kutothaminiwa"
link Asha Ngulumi:Mpiga debe wa Nyerere, alia kutothaminiwa - Habari Ya Ndani - mwananchi.co.tz
cc Mohamed Said
Mzee Mwanakijiji
Mwita Maranya
Mag3
Nguruvi3
Yericko Nyerere
THE BIG SHOW
Ritz
Sasa unachokipinga ni nini? hayo hayajaandikwa?Acha kupotosha hiyo makala nimeisoma Mwananchi ndiyo wamefuata kwake Kinondoni kumuhoji na Florence Majani ndiyo kampinga hizo picha kwake Kinondoni.
Eee! bwana wee.Fuumo hiloo....Jokakuu,
Hivi Wafanyabiashara huwa wanawezeshwa au kupewa ruzuku na Serikali? Hapa panazungumzwa hali ya Serikali kupendelea dini moja dhidi ya dini zingine usichanganye mambo!
Kisa cha Kitwana Kondo kupoteza ubunge wa Kigamboni kinabaki kuwa kichekesho mpaka leo! Kitwana Kondo kupoteza ubunge ktk jimbo lake ni sawa na Dr. Slaa ashindwe ubunge jimbo la Karatu na mgombea wa CCM!
Kipindi cha utawala wa awamu ya 3 kilitawala kimabavu na kwa udikteta wa hali ya juu na kiliweza kuamua nani awe Mbunge na toka chama gani!
Ndio maana huko Zanzibar, CUF huachiwa washinde Pemba na kuwapora majimbo ya Unguja kwa lengo la kuwagawanya Wazanzibari! Ktk jimbo la Temeke CUF walikuwa wakishinda uchaguzi na kuporwa ushindi lakini kwa kuwa Mzee Kitwana Kondo alijaribu kuhoji mfumo Kristo ndani ya Bunge, chama chake kikamshugulikia ipasavyo!
Well my mistake. Nilidhani unataka Tolerence kwenye Dini.Mundungus Fletcher;
Mimi kusema Yesu si Mungu ni kwa mujibu wa Kitabu changu kitukufu! kusoma na kutangaza hayo ni haki yangu ya kidini na kikatiba! kama kusema Yesu si Mungu kutawahusisha Wakristo sio hayo tu mbona kuna mengi yaliyoko ktk Quran yanawahusisha Wakristo? sasa unataka nisusie kusoma kitabu changu kwa kuwa kitamhusisha Mkristo kwa namna moja au nyingine?
Ubishani huu hana mwisho trust me, Imani ni more than what is written in the Books.Wakristo hawawezi kudai Mtume Muhammad sio Mtume wa mwisho kwasababu hakuna ushahidi ndani ya Biblia kuthibitisha hilo bali Biblia inathibitisha kuja kwa Mtume Muhammad! lakini ktk Quran Allah anakanusha Uungu wa Yesu?
Mimi nimeongea na akina Suleiman Kitwara kule Kamunyonge,Musoma.Nguruvi.
Mkuu naomba uniletee uthibitisho kwamba kunamtu aliyeandika kwamba Nyerere alimuua Karume,halafu wewe kunajitiada gani ulishawahi kufanya kuwatafuta hao ulio wataja ukawauliza kuhusu aliyoandika mzee MS katika kitabu chake au wewe hukuwa na ubavu wa kuwafuata na kuwauliza kwasababu mimi habari zako zote ni za ku copy na kupaste sijawahi kukusikia ukisema uliongea na hata mtu mmoja walio kuwepo zama hizo ima aliye hai au aliyetangulia mbele ya haki so bro ushauri wangu kwako ili watanzania tusiendelee kudanganywa kama munavyosema huku mzee MS aliwashauri muandike kitabu chenu cha kupinga haya yaliyoandikwa na mzee MS kwasababu sio wote walio soma kitabu cha mzee MS wanapitia huu mtandao wa kijamii kuna wengine hawajui kitu kinaitwa jamii forum ingekuwa jambo la maana sana mkubwa.
Makanisani ameshamaliza kazi, sasa bado zamu ya kuwanunuwa Masheikh kazi imekwisha. Huyu jamaa bado sijaelewa pale ikulu kuna kitu gani anakitafuta. hii inatisha sana.
Mzee M,
Kupigwa marufuku kitabu cha Profesa Hamza Njozi na utawala wa Mkapa kama sio kujibu kiujeuri na kuonyesha mabavu ni nini?
Son...
Hebu ingia katika faharasha (index) ya kitabu changu angalia Rupia.
Utaona katajwa mara ngapi.
Mara 42.
Mimi nimeongea na akina Suleiman Kitwara kule Kamunyonge,Musoma.
Vijana wake walikuwa marafiki.Mzee huyu alikuwa mtaratibu na mcha mungu sana.
Hebu angali picha za mwanzo au muulize Mohamed huyu ni nani.
Sisi tukiongea nao hatupigi pua tunapata maarifa na kukupasia wewe. Post iliyopita nilikupa kitu kuwa nitapitia kwa Mzee Erasto Mangenya(chifu)una mjua huyo. Halfu December nitapita kule kwa akina Akili Daniel.
Umeshawahi kumsikia Mzee Hemed Mkali, hao tukiongea nao. Familia ya Magogo Mputa kwangu ni nyumbani.
Sisi wengine hatuna sababu za kujifaragua na kupiga pua, haaata! hekima tu.
Ndio maana tukimpeleka kona mzee huwa hatoki ila kwa time out!
Kuonana na wazee wetu ni hidaya na namshukuru mwenyezi mungu. Hakika tuna mengi tukieleza mtashtuka
Nshapata ugali kwa ndezi aliyeungwa na ngogwe. Ritz mashallah unatoka mate.
Mzee M,
Kupigwa marufuku kitabu cha Profesa Hamza Njozi na utawala wa Mkapa kama sio kujibu kiujeuri na kuonyesha mabavu ni nini?
kwani swali ni kutajwa tu au idadi ya kutajwa? Mzee Rupia humuoni kama mmoja wazee wako japo ni miongoni mwa vinara wa harakati za Uhuru na mchango wake unaweza kushindanishwa na yeyote...
Mimi nimeongea na akina Suleiman Kitwara kule Kamunyonge,Musoma.
Vijana wake walikuwa marafiki.Mzee huyu alikuwa mtaratibu na mcha mungu sana.
Hebu angali picha za mwanzo au muulize Mohamed huyu ni nani.
Sisi tukiongea nao hatupigi pua tunapata maarifa na kukupasia wewe. Post iliyopita nilikupa kitu kuwa nitapitia kwa Mzee Erasto Mangenya(chifu)una mjua huyo. Halfu December nitapita kule kwa akina Akili Daniel.
Umeshawahi kumsikia Mzee Hemed Mkali, hao tukiongea nao. Familia ya Magogo Mputa kwangu ni nyumbani.
Sisi wengine hatuna sababu za kujifaragua na kupiga pua, haaata! hekima tu.
Ndio maana tukimpeleka kona mzee huwa hatoki ila kwa time out!
Kuonana na wazee wetu ni hidaya na namshukuru mwenyezi mungu. Hakika tuna mengi tukieleza mtashtuka
Nshapata ugali kwa ndezi aliyeungwa na ngogwe. Ritz mashallah unatoka mate.
Wimana,
Nani Mohamed Said nani Annuur?
Mmh...we nawe bana; sijui ndio reasoning gani hiyo; basi Nyerere kutokujibu nako ni kujibu!
Mohamed Said muongeze huyo katika kitabu chako nakala ya nne