Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Umehamaki sijasema ni wa Dar nimesema akijulikana kama mtu wa Dar.
Kwahiyo baada ya mkataba wake kwisha alirudi Burundi. Kuna mahali anaunganishwa unganishwa sana na harakati za waasi. Anyway sijui. Sasa ilikuwaje huyu alikuwa anaratibu shughuli za ndani za misiikiti kupanga mikakati akiwa mfanyakazi tu wa washirika la ''Kimataifa''.
Na hawa world muslim league waliwezaje kuingia na kufanya shughuli hapa nchini maana kwa maandiko yako Tanzania ikiwa chini ya mfumo hairuhusu kujiunga na mashirika ya kiislam. Hili limekaaje Mohamed.
Platozoom,
Unataka kujadili ni mie habari ya ''chapati...''
a
hatutaki kujadili mambo ya chapati,Ditopile aliwahi sema sisi hatujui kula chapati tumekuja mjini na gari la jicho mmoja(train)
Unajua nachokijadili, acha kunilisha hoja.Chapati si msingi wa nilichokiandika. Kama ingekuwa nimeandika ili
tujadili chapati pengine wewe ndiye ulikuwa wa kwanza. Usijikurupushe!
OO, Na hii sijui ndio reasoning gani jamani toka kwa Great thinker! hivi hujui kuwa unapomwambia Msichana Mwanamwali kuwa unataka kumposa halafu anyamaze bila kujibu hujui kuwa amekubali ombi lako? au wewe Mzee ungeendelea tu kumwambia hayo hayo?
Son...
Kwa Nyerere Abdu hakuwa ''huyo Sykes...''
Wala Abdu si '' one among many...''
Kisa cha Abdu na Nyerere ni kisa kingine.
Ni kisa cha udugu...mama zao wakaja kuwa mashoga.
Wakikesha pamoja Stanley Street nyumbani kwaa Abdu
wakisuka mbinu za kuisukuma TANU mbele...
Mzee Said tafadhali bwana; kama haya yangekuwa kweli na unaamini ni kweli ungefunga safari japo moja kwenda kwa Mama Nyerere kwa heshima ya Abdul na mamake kumuuliza swali juu ya ukaribu wa familia ya Nyerere na Abdul na ni kitu gani kiliwakosanisha.
Ungekuwa na ule uungwana wa heshima tu. Yaani, hata pamoja na chuki yote uliyonayo juu ya Nyerere na utawala wake ungeonesha uungwana wa kusema "Mama Maria" -si lazima umuite mama kama hujisikii - "nimeandika mengi kuhusu Abdulwahid Sykes na harakati za Nyerere na jinsi alivyomuingiza Nyerere katika siasa na jinsi familia yake ilivyotoa hisani kubwa kwenu; na nimesikia mengi kwa wazee wangu tangu nikiwa mdogo lakini kwa vile wewe ulikuwepo toka wakati huo na una kumbukumbu zako naomba unisaidia maswali haya tu"...
Yaani kama ungekuwa na ule uungwana wa heshima... ukiwa unajua huo ukaribu wa ushoga baina ya kina Sykes na Nyerere...
Lakini, well I KNOW that won't happen...
Mama Maria atakuambia nini ambalo ulikuwa hulijui... tena Mkatoliki Mkristu..???
Mohamed Said you still have time-its not late-nakala ya nne ukiweka hayo mambo,sales zinapanda-una retire gracefullyMzee Said tafadhali bwana; kama haya yangekuwa kweli na unaamini ni kweli ungefunga safari japo moja kwenda kwa Mama Nyerere kwa heshima ya Abdul na mamake kumuuliza swali juu ya ukaribu wa familia ya Nyerere na Abdul na ni kitu gani kiliwakosanisha.
Ungekuwa na ule uungwana wa heshima tu. Yaani, hata pamoja na chuki yote uliyonayo juu ya Nyerere na utawala wake ungeonesha uungwana wa kusema "Mama Maria" -si lazima umuite mama kama hujisikii - "nimeandika mengi kuhusu Abdulwahid Sykes na harakati za Nyerere na jinsi alivyomuingiza Nyerere katika siasa na jinsi familia yake ilivyotoa hisani kubwa kwenu; na nimesikia mengi kwa wazee wangu tangu nikiwa mdogo lakini kwa vile wewe ulikuwepo toka wakati huo na una kumbukumbu zako naomba unisaidia maswali haya tu"...
Yaani kama ungekuwa na ule uungwana wa heshima... ukiwa unajua huo ukaribu wa ushoga baina ya kina Sykes na Nyerere...
Lakini, well I KNOW that won't happen...
Mama Maria atakuambia nini ambalo ulikuwa hulijui... tena Mkatoliki Mkristu..???
P...
Umetaja chapati.
Mimi nilishangaa mahali fulani alipokataa kwamba tiketi ya Shirika la Meryknol haina maana yeyote lakini
wakati huohuo akielezea hisani zoote alizofanyiwa Nyerere mpaka za kupikiwa chapati. Na nikamwambia
kuna mambo mengine kama hayo ni kawaida mwenyeji kumkirimu mgeni kwa taratibu za Jamii zetu za Ki-tanzania.
Na nikamwambia wazi Ni aibu tu inayomzuia angeweza hata kuelezea Nyerere alikuwa anakula kilo ngapi kwa
siku akiwa kwa Abdu. Na ukimsoma between the lines unaona dharau fulani hivi, sijui kama ingekuwa yeye
ndiye aliyekuwa anamkirimu Nyerere masimango yake yangekuwaje!
Nilipouliza tena vipi hisani alizowafanyia Wazee wako mbona yeye alikuwa kimya. MS anadai kwa taratibu
za Pwani Mgeni anakirimiwa siyo yeye kumkirimu mwenyeji, apparently anamaanisha Nyerere hajawafanyia
chochote wazee wake!
tumeshakwambia na tunarudia hii lugha yako kama tuko kariakoo shimoni au Hariz action mart hapa si mahala pake.msomo unakuja na lugha ya "unajipunja" inatufanya to doubt credentials zako,tunaomba ufanye shule kama ilibidi uende sio umebahatisha
"Son...
Unajipunja...
Nami nakuacha hivyo ulivyo ya nini nikupe faida"
Mohamed Said you still have time-its not late-nakala ya nne ukiweka hayo mambo,sales zinapanda-una retire gracefully
Son...
Nina kitabu kipya pamoja na toleo la tatu la kitabu cha Abdu Sykes.
Huyu alikuwa mfadhili big time,na wala humsikii popote-huyu ufadhili wake sio kibaba cha mchele bali ni megabucks-wewe ushangai nimekuja na hiyo 33% na MS aja doubt
Son...
Nina kitabu kipya pamoja na toleo la tatu la kitabu cha Abdu Sykes.
Kinapatikanaa wap hcho nikanunue
Kinapatikanaa wap hcho nikanunue
Thinka,
Bado kipo kwa mchapaji.
Kwahiyo baada ya mkataba wake kwisha alirudi Burundi. Kuna mahali anaunganishwa unganishwa sana na harakati za waasi. Anyway sijui. Sasa ilikuwaje huyu alikuwa anaratibu shughuli za ndani za misikiti kupanga mikakati akiwa mfanyakazi tu wa washirika la ''Kimataifa''.Nguruvi,
Sheikh Rukara wala si mtu wa Dar es Salaam.Alikuja Tanzania kama mfanyakazi wa World Muslim League.
Kwahiyo baada ya mkataba wake kwisha alirudi Burundi. Kuna mahali anaunganishwa unganishwa sana na harakati za waasi. Anyway sijui. Sasa ilikuwaje huyu alikuwa anaratibu shughuli za ndani za misikiti kupanga mikakati akiwa mfanyakazi tu wa washirika la ''Kimataifa''.
Na hawa world muslim league waliwezaje kuingia na kufanya shughuli hapa nchini maana kwa maandiko yako Tanzania ikiwa chini ya mfumo hairuhusu kujiunga na mashirika ya kiislam.
Hawa World Muslim league walikuwa wanafanya shughuli gani kiasi kwamba mfumokrkristo ambao hauruhusu Tanzania kuwa na mahusiano na mashirika ya dini ya kiislam ukawasahau.
Na vipi huyu mfanyakazi wa kigeni aliweza kumiliki Nyumba na kujihusisha na shughuli za harakati za waislam nchini.
Mohamed, hili tuliweke sawa lisije likaleta utata kwa vizazi vijavyo kama la EAMWS.
cc Mwanakijiji, Mag3, JokaKuu, Jasusi, Ritz, Platoozom, Wickama, Raphaerl,Big show
Dr. Slaa alikwishatoa ufafanuzi juu ya MOU. Na nadhani uzi huo umo humu ndani ya mnakasha huu. Hakuna fedha za walipa kodi zilizochotwa ila naona wewe ni mmoja wa wale wanaoamini kuwa uwongo ukirudiwa mara kwa mara watu wataamini kuwa ni ukweli.
Nguruvi,
Swali lako umelielekeza sipo.
Hayo ni ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Hapa ndipo nashindwa kabisa kuelewa lengo la Mohamed Said ni nini anapotoa madai ya uongo kama haya baada ya kujifungia chumbani na kutunga upuuzi kama huu na kuuita ukweli na kuna watu wanaamini hizi ngano. Ni kweli Julius Nyerere alikuwa Mwalimu katika shule ya St. Francis Pugu, shule iliyomilikiwa na Kanisa Katoliki lakini hakuwa mwajiriwa wa Kanisa, alikuwa mwajiriwa wa serikali na alilipwa na serikali (He was a civil servant) Ni serikali ndiyo haikufurahishwa na yeye kujiingiza katika siasa na katu si Kanisa...Kanisa liliendelea kushirikiana naye na kumpa msaada ilipolazimu katika harakati zake za kisiasa hata baada ya kujiuzulu Ualimu. Ni uongo, ni ulaghai na ni udanganyifu usiovumilika kwa mtu anayedai kafanya utafiti kuhubiri upuuzi huu.Wamishionari hawakuweza tena kumvumilia Nyerere kuwa mmoja wa walimu katikashule yao. Hatima ile ile iliyowasibu wazalendo wengine kabla yake sasailimkabili Nyerere. Aliambiwa ama abakie mtumishi mtiifu wa kanisa au ajiuzulu; Kanisa halikuweza kukaa kimya na kumuangalia Nyerere akiwatumikia mabwanawawili. Nyerere alilipeleka tatizo hili kwa Clement Mtamila, Mwenyekiti waKamati Kuu ya TANU. Mtamila aliitisha mkutano wa kamati kuu nyumbani kwake mtaawa Kipata na TANU ilijadili tatizo hilo. Tarehe 23 Machi, 1955 Nyererealijiuzulu ualimu.
Ndio mwanzo wa kumbaka mtoto wa watu kwa sababu unafikiri kasema "ndiyo"... mawazo ya kizazi gani sijui hichi... kama ukimya ni kukubali basi Mohammed Said - mwalimu wako - amekubali mengi sana katika mjadala huu.