Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Kipo baadhi ya maduka hapa Dar,kama dar bookshop centre
Lakini waweza kukipata ukienda ubalozi wa USA, wao ndio wanakisimamia.
Gombe sugu kumbe na wewe ni muokoteza hoja kama Said, hahaha unamfahamu Lwakabamba lakini? Huyu aliwapa maisha wabongo pale Kist kuanzia malekchara, tvutorial assistants mpaka workshop instructors wa dini na makabila mbalimbali leo analinganishwa na huyo Rukala? ama kweli hili somo lenu la udini halina aibu.
Kuna kit nakisoma btn the lines, shule si mchezo bana yaani leo waliokuwa wa mjini kama nukuu lukuki za mchchezi said wanalamika kuonewa n a kudhulumiwa na mijitu isiyostaarabika kutoka bara hahahahahaha!!!!! Kweli waliosema elimu ufunguo wa maisha they were very right.
Wanajamvi,
Ubalozi wa Marekani wanasimamia kitabu cha Yericko Nyerere!
Hii ngoma pevu.
Sasa ngoma inogile.
Ubalozi wa Marekani...
Sasa wanauza vitabu vya Yericko...
Hii nina hakika imevunja rekodi ya JF?
Jamani msifanye maskhara hili jamvi zito.
Sasa barza itanoga.
Ritz hakikisha barza juisi na kahawa, haluwa
havipungui.
Ama mja omba Allah akujaalie akili zilizotimia.
Kinauzwa kiasi gani?
Kitabu ni cha kwako au cha ubalozi wa Marekani?
Kipo baadhi ya maduka hapa Dar,kama dar bookshop centre
Lakini waweza kukipata ukienda ubalozi wa USA, wao ndio wanakisimamia.
Yericko Nyerere,
Nimesoma hilo tangazo la "hadithi za kitabu chako". Vipi naona unaleta "mahubiri" na mikanganyiko mingi hapa jamvini. Hapo awali Mag3 nae pia alitaka kuleta "mada juu ya mada" lakini akatusihi kwa ustaarabu tutoe ushauri kama wanajamvi wenzie. Mimi binafsi nikamshauri kuwa isingekua idea njema maana, nalichelea kwenda nje ya hii mada/shutuma ulizoleta. Nastaajabu wewe unayafanza yaleyale!?
Nimejaribu saana kukufuatilia hapa jamvini,lakini kwa hizo "hadithi za kitabu chako" umejibainisha kwa yalo mengi. Kumbe ni wewe wala si Sheikh Mohammed Said aletae hasama baina yetu hapo nchini na chokochoko!
Lakini imekua vizuri kutujuza kuwa kumbe nyuma ya "pazia" ulojitahidi kujificha nalo kuna American Evangelism Ideology na State Dept. kwa kupitia ubalozi wao hapo nchini. Haina neno maana hizi chokochoko za wa-Amerika zinajulikana pahala pengi saana duniani na wamezianza karne kadhaa.
I'm afraid you failed terribly to prove most of us wrong...sorry!
Sio kwamba tunpiga makofi tu bali tunashangilia ushindi.Hebu msikize Mohammed
Hata Mzee Mwanakijiji nae ni kichekesho!.Nakumbuka yale maneno yako siku ulipoalikwa ubwabwa kule Marekani,kwamba Marekani hakuna chakula cha bure.Inaonekana hata marehemu Sykes alipomualika Aggrey alikuwa na fikra kama hiyo na kweli ndiyo mantiki.
Kichekesho ni akina Mwanakijji kumpa hadhi mgeni kuwa ndiye aliyeatoa wazo la kuasisi AA kuliko mwenyeji wake.Kwanini isiaminike kuwa wazo hilo lilikuwa kwa Sykes na pengine tu lilipata nguvu kwa ugeni wa Aggrey?.
Kwa hili sheikh Mohammed :rockon::israel:
Mkuu wangu, nini chaajabu hapo?Yericko nae ana kitabu?
Cha ngano za mapenz kama mwanakijiji au?
Eti kinasimamiwa na ubalozi wa marekani..!
Naona umeamua kuja kudanganya ikhuani...
Ni chakwangu mkuu,
Haijawa rasmi wao kukiuza,
Wanajiridhisha kwanza kisha mchakato wa kukiweka kiwe kwa lugha ya kiingereza utaanza,
Nilivitoa vitabu vichache kama sehemu ya majaribio ya soko tu,
Nimeshafanya mahojiano na baadhi ya vituo vya tv hapa nchini na nje ya nchi kukielezea kitabu hicho.
Mchakato wa Ubalozi wa USA hapa nchini ukikamilika bila shaka kitakuwa hewani rasmi kwa lugha ya kiswahili na kiingereza.
Samahani lakini unasema kitabu ni chako mwenyewe kinaelezea ugaidi inakuaje mpaka mchakato wake wahusike ubalozi wa marekani. Labda tufahamishe marekani wana maslahi gani na kitabu chako wanakulipa au umejitolea.
Kadogoo, Wickama,
..nadhani mwamko wa elimu ktk maeneo hayo ndiyo uliopelekea bakwata na taasisi nyingine nyingi kujenga shule huko.
..labda nikuulize; Bakwata mkoa wa pwani wana shule ngapi za sekondari, na wamezifungua lini? Kwa uelewa wangu mkoa wa Kilimanjaro ni kati ya mikoa yenye shule kongwe za sekondari za Bakwata.
..kuna jamaa yangu alinitonya kwamba, Kilimanjaro kulikuwa na shule ya misheni wakati wa mkoloni. Baada ya uhuru wazazi wakawa wanataka shule ya sekondari. What they did, ni kuikabidhi shule hiyo kwa Bakwata ambao walianzisha shule ya sekondari !! sasa tell me if that can happen ktk maeneo ya pwani.
..Shule za Bakwata zilizoko Kilimanjaro zinatia aibu kwasababu taasisi hiyo haina FUNDS za kutosha, pamoja UTAALAMU wa kuendesha shule hizo. Mimi nadhani wakiwezeshwa wanaweza kuwa wanatoa products nzuri tu.
NB:
..Nimeangalia matokeo ya Kirinjiko nimekuta wamefanya vizuri kuliko baadhi ya shule za misheni.
..Kwa kweli wanastahili pongezi kwa kuonyesha mfano kwamba INAWEZEKANA!!
..Sasa tunataka Feza na Kirinjiko zisambae kila pembe ya Tanzania.
cc: gombesugu, Nguruvi3
Ni chakwangu mkuu,
Haijawa rasmi wao kukiuza,
Wanajiridhisha kwanza kisha mchakato wa kukiweka kiwe kwa lugha ya kiingereza utaanza,
Nilivitoa vitabu vichache kama sehemu ya majaribio ya soko tu,
Nimeshafanya mahojiano na baadhi ya vituo vya tv hapa nchini na nje ya nchi kukielezea kitabu hicho.
Mchakato wa Ubalozi wa USA hapa nchini ukikamilika bila shaka kitakuwa hewani rasmi kwa lugha ya kiswahili na kiingereza.
Wewe huijui Bakwata! uliza Waislamu nini Bakwata! wala historia yake na harakati za Waislamu kutaka mabadiliko ndani ya chombo hicho kinacholindwa na Serikali huwezi kuamini! Msifumbe macho na someni Kitabu cha Profesa Hamza Njozi cha Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania ili kutambua nini Bakwata na juhudi za Serikali kuilinda dhidi ya Jumuiya yoyote ya Kiislamu!
Kama wewe unakiri kuwa Shule za Bakwata zinatia aibu kwanini Serikali inakubali kuilinda na kuitambua Bakwata ndio chombo halali cha Waislamu wakati Waislamu wenyewe hawaitaki? mwaka 1991 Waislamu wa nchi toka kila pembe ya nchi nzima walivamia Ofisi za Bakwata Kinondoni ili kuleta mageuzi lakini Serikali haikukubali na kulazimisha Ofisi irudi kwa wenyewe!
Siku hiyo Radio Tanzania msomaji wake akiwa Jackob Tesha saa 2 usiku taarifa habari wanatangaza Mapinduzi Bakwata! lakini baadae tumeona juhudi za Lyatonga Mrema kama Waziri wa Mambo ya ndani akitafuta mchango toka kanisani ili kuinusuru Bakwata!
Inaendelea........
Yericko, hongera sana kwa efforts. Binafsi i wouldnt care hata kama ningeambiwa review wanafanya ubalozi wa Cameroon. Issue kubwa ni kuwa kuna uhaba mkubwa sana wa vitabu vya Watanzania worldwide ukilinganisha na wenzetu kama Kenya au Uganda au Ethiopia. Ukija kwenye published papers ndio usiseme tena trend ni hiyo pia. Kwa hiyo people like yourself au Mzee MS lazima kuwa commended kwa efforts zenu. Tuelekeze jinsi ya kukipata kikiwa in the open. Good Luck
Kadogoo ukikutana na mwanangu tafadhali usimuanzishie stori eti Mkapa alivyokuwa Mhariri zamani leo kunamuathiri hadi anapata division zero. Kwa faida ya wanajamvi; Mwanza kuna shule ya Buhongwa Islamic ambayo baada ya kujipanga upya sasa nayo imeanza kuona positive results!!!! Ushahidi kuwa dawa ipo kwenye kujipanga na bidii sio majukwaa ya machozi.
Ajabu ni kuwa wanaochochea Simanzi/kukata tamaa/chuki ukiwauliza haya tufanye nini? HAWANA JIBU.
Nafikiri rejea historia vizuri na pata data sahihi.
Wakti wa Muungano wa Tanganyika na Znz mwaka 1964. Zanzibar ilikuwa na wasomi wengi kuliko Tanganyika in terms of ratio. Mwaka 1963 Znz ilikuwa na wasomi wengi kuliko nchi yoyote katika Africa mashariki kwa maana ya tanganyika, kenya na Uganda.
Na Znz ni nchi ya Kiislam kwa maana raia wake kwa zaidi ya 99.7% ni waislam.
Kwa manyiki hiyo utaona huko Tanganyika wengi wa waislam walipenda kusoma lakin mifumo ya kiutawala iliwabana sana na kukosa fursa za kusoma kabla ya uhuru wenu labda kuanzia 1950 mpaka 1961.
Nikikupa mfano hai kabisa kabla ya uhuru kwa waislam waliokuwa wanatokea kanda ya Pwani kwa wanaume skuli yao ya Sekondari ilikuwa ni Mzumbe Tu na kwa wanawake ilikuwa mangamba girls sec (mbayo sasa inaitwa mtwara girls) na hizi zilikuwa zinachukua wanafunzi wote bila kujali dini zao. lakin kwa wazao wa dini nyingine walikuwa na minaki, Pugu, chidya, ndanda n.k ambazo zilichukua wakristo watupu.
Fursa ndio ilikuwa chanzo cha kukosa ilmu kwa waislam ukilinganisha kwa wakristo wakti huo lakin ilimu ingetolewa sawa basi kila dini ingechangamkia..
Kadogoo nadhani una-point katika maelezo yako. Ila imagine wewe ni serikali unataka dialogue na waislamu. Haya utazungumza na wangapi? lazima mahali fulani pawe na aina ya uwakilishi. Mimi sitetei quality wala structure ya uwakilishi. Pili ni maumbile ya wanadamu kuzipenda nafsi zinazozifanyia hisani. Mtu anayepanda hadharani kukutusi una haja gani ya maongezi naye? Sishangai serikali kuwa karibu na bakwata. Lazima u-deal na yule ambaye hakukukwazi mno. Kisha nasema kama wewe na kila mwislamu jibu lake ni WEWE UNAIFAHAMU BAKWATA? tatizo litamalizika vipi? Vinginevyo basi tusubiri mpaka wafe wote, assuming ISRAIL ataanzia kwao sio kwako.
Kadogoo nadhani una-point katika maelezo yako. Ila imagine wewe ni serikali unataka dialogue na waislamu. Haya utazungumza na wangapi? lazima mahali fulani pawe na aina ya uwakilishi. Mimi sitetei quality wala structure ya uwakilishi. Pili ni maumbile ya wanadamu kuzipenda nafsi zinazozifanyia hisani. Mtu anayepanda hadharani kukutusi una haja gani ya maongezi naye? Sishangai serikali kuwa karibu na bakwata. Lazima u-deal na yule ambaye hakukukwazi mno. Kisha nasema kama wewe na kila mwislamu jibu lake ni WEWE UNAIFAHAMU BAKWATA? tatizo litamalizika vipi? Vinginevyo basi tusubiri mpaka wafe wote, assuming ISRAIL ataanzia kwao sio kwako.
Yericko, hongera sana kwa efforts. Binafsi i wouldnt care hata kama ningeambiwa review wanafanya ubalozi wa Cameroon. Issue kubwa ni kuwa kuna uhaba mkubwa sana wa vitabu vya Watanzania worldwide ukilinganisha na wenzetu kama Kenya au Uganda au Ethiopia. Ukija kwenye published papers ndio usiseme tena trend ni hiyo pia. Kwa hiyo people like yourself au Mzee MS lazima kuwa commended kwa efforts zenu. Tuelekeze jinsi ya kukipata kikiwa in the open. Good Luck