Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Duh Spike Lee Mzee wa kufyonza ilim leo kajitosa kuchangia ha ha ha ha ha ha.

Yericko Nyerere, hivi hiko kitabu chako kitapata wateja tanzania kweli, mbona kimekaa kama hadithi za sinema za kina Rambo na Jack Chain. Nimesoma huo ukurasa wako naona unazunguka tu na Osama mwanzo mwisho huelezi ugaidi ni nini.
 
Last edited by a moderator:
Duh Mohamed Said nimeamini wewe ni mtaalam wa kila kitu ungekuwa Dr basi wewe ungekuwa ni Surgeon,Pediatrician,Physician,Obstretrics & Gynaecology,Neorologist,Dermatologist,ENT Specialist..........Yaani kila jambo wewe unalijua kwa undani tena upo tayari hata kuandika kitabu ha ha ha ha ha ha.

Wild Card,
Mifano hiyo haifanani kabisa.

Ila nitakudokeza kitu wewe na jamvi.
Mfano wako usiishie kwa Rostam na Kikwete.

Tamithlia haitanoga.

Kuna "actors" watatu lazima waingie kwenye
"scene."

Hawa ni Julius Nyerere, Benjamin Mkapa na Prof. Malima.
Hapo "movie" itakamilika.

Sasa tuje kwenye "location."
Tutakuwa Dar kisha Chimwaga Insha Allah.

Ukiyataka haya fungua uzi Insha Allah ntakuja kutoa darsa.
Nchi yetu ina historia na "intrigues" zake zinatisha.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Abdu ndie aliyemtangaza Mwalimu hapa Dar! Unaweza kuwa sahihi Mzee Mohamed. Tuliyaona mambo yanayofanana na haya kati ya Rostam Aziz na Jakaya wetu. Kumbuka tu jambo moja, kitu chema hujiuza chenyewe, kibaya lazima kijitembeze. Kuna kitu Abdu alikiona ndani ya Mwalimu hadi akaamua kuwa karibu naye kiasi hiki. Wengi tunamshukuru kwa hilo.

Wild Card,
Abdu alikuwa binadamu.

Ile nafasi ya urais wa TANU hakukitaka kwa kuwa alijua nini kiwepo pale
ili kipatikane chama chenye nguvu na umoja.

Ndiyo maana Abdu kabla ya kufahamiana na Nyerere 1953 yeye alimtaka
Chief David Kidaha Makwaia aje awe rais wa TAA kisha waunde TANU na
Chief Kidaha awe rais wa TANU.

Ndipo ninaposema kila wakati TANU kaunda Abdu.

Ndiyo maana unaona kadi ya kwanza ya TANU Nyerere, kadi ya pili Ally
Sykes na kadi ya tatu ya TANU Abdu Sykes.

Hivi si vitu vilivyokuja kwa bahati mbaya.
Vina hostoria yake.

Wild Card,

Historia hii ndiyo inayojaza jamvi sasa tunakimbilia watazamaji 150,000.

Uliza maswali ya maana nikupe majibu ya maana.
 
Mzee wangu Mohamed Said unafurahisha sana hivi unaweza kuijenga nyumba halafu ukamwachia jirani tena jirani mwenyewe katokea mbali ?.Vipi kadi namba 1 apewe Nyerere wakati si mwanzilishi mbona hoja zako zinakosa mashiko ?.Unataka kunimbia TANU haikuwa na uchaguzi Mzee wangu unajidhalilisha mchana kweupeeeeee.


Wild Card,
Abdu alikuwa binadamu.

Ile nafasi ya urais wa TANU hakukitaka kwa kuwa alijua nini kiwepo pale
ili kipatikane chama chenye nguvu na umoja.

Ndiyo maana Abdu kabla ya kufahamiana na Nyerere 1953 yeye alimtaka
Chief David Kidaha Makwaia aje awe rais wa TAA kisha waunde TANU na
Chief Kidaha awe rais wa TANU.

Ndipo ninaposema kila wakati TANU kaunda Abdu.

Ndiyo maana unaona kadi ya kwanza ya TANU Nyerere, kadi ya pili Ally
Sykes na kadi ya tatu ya TANU Abdu Sykes.

Hivi si vitu vilivyokuja kwa bahati mbaya.
Vina hostoria yake.

Wild Card,

Historia hii ndiyo inayojaza jamvi sasa tunakimbilia watazamaji 150,000.

Uliza maswali ya maana nikupe majibu ya maana.
 
Wild Card,Abdu alikuwa binadamu.Ile nafasi ya urais wa TANU hakukitaka kwa kuwa alijua nini kiwepo paleili kipatikane chama chenye nguvu na umoja.Ndiyo maana Abdu kabla ya kufahamiana na Nyerere 1953 yeye alimtakaChief David Kidaha Makwaia aje awe rais wa TAA kisha waunde TANU naChief Kidaha awe rais wa TANU.Ndipo ninaposema kila wakati TANU kaunda Abdu.Ndiyo maana unaona kadi ya kwanza ya TANU Nyerere, kadi ya pili AllySykes na kadi ya tatu ya TANU Abdu Sykes.Hivi si vitu vilivyokuja kwa bahati mbaya.Vina hostoria yake.Wild Card,Historia hii ndiyo inayojaza jamvi sasa tunakimbilia watazamaji 150,000.Uliza maswali ya maana nikupe majibu ya maana.
Hii ya TANU kaunda Abdu inafanana na ile ya CHADEMA kaunda Mtei! Angalau wewe sio mtu wa kufikiri kwa ufupi namna hiyo. Usimpende Abdu kwa kumdunisha Mwalimu. Unaujua vizuri uwezo mkubwa wa Mwalimu katika SIASA na UONGOZI. Mwalimu hakuwa mtu kusubiri Abdu aunde TANU. Kwamba Abdu hakuutaka URAIS wa chama alichokiunda yeye, halafu akawa mgombea, hilo tuwaachie wenye akili walitafakari.
 
Gombesugu,
Yericko.

Hapana mchezo huyu ni mwamba.
Anasema "Desert One" hapo kakusudia "Desert Storm."

Hilo ndilo buku lake linalosimamiwa na Ubalozi wa Marekani.
Anaandika "Cliton" badala ya "Clinton."

Anatamba anasema mimi si chochote najua habari za Kariakoo.

Masikini hajui kuwa mimi nimesoma historia ya Marekani kisha
nikashindilia na Politics of Industrial States.

Nikisoma hiyo riwaya hata sijui kama namsoma yeye au tafasiri
ya riwaya za Kimarekani.

Sheikh, hapo umemsaidia proof reading ingawa kwa kumbeua. Hata hivyo, hadi hapo andiko halijapoteza wala kupotosha kimantiki kama ilivyo andiko lako kumtaja Marmo kama Mbunge wa Monduli!
Sitetei makosa yake, lakini nashangazwa na jinsi unavyobeua kazi ya mwenzako wakati yako ina upotishaji wenye kupumbaza kielimu.
Ningekuheshimu zaidi kama ungekosoa kwa nia ya kumsaidia kuja na andishi bora zaidi.
p
 
vipi tena leo umeamkaje,mbona matusi na pumba zako tulishapumzika nazo jamvini humu?
Moh said kakuweka kwenye 'lists',hata mimi nilikuweka ngoja nikutoe kidogo kisha nitakurudisha unapostahili..
Akili zako kama mkokoteni ulioubeba,hazichangui cha kubeba,ziwe taka taka,uchafu n,k n,k,nakuwia radhwi,,
nachokujibu ni kwamba Moh Said hahitaji utetezi wa mtu,sembuse utetezi wangu?
Moh Said ni mwalimu wangu,me nalamba buti zake tuh,utetezi wangu haumwongezei chochote,kwaiyo tafuta lingine la kuongea tuzid kukudharau,au ongeza kipimo cha matusi hapo utaeleweka..
Wewe sisi tunakufanya kama kikaragosi,ama sanamu la michelini,yan sehemu ya kujipumzishia na kujistarehesha,
kama punching box,we si ni kanjanja?
Umekuwa mtu wa kusubiri watu waandike wewe uje utukane,sisi tunakuwia radhwi kwa hilo,tunadokoa dokoa kisha tunakuacha ukale viroba vyako,um-zima wa afya lakini?
Nakusalim sana..
The BIG SHOW umesahau leo ni weekend GWALIHENZI ikishafika weekend akili zote anaacha nyumbani ili asizisahau kule kwenye kiti kirefu moja moto moja baridi msamehe bure
 
Wild Card,
Abdu alikuwa binadamu.

Ile nafasi ya urais wa TANU hakukitaka kwa kuwa alijua nini kiwepo pale
ili kipatikane chama chenye nguvu na umoja.

Ndiyo maana Abdu kabla ya kufahamiana na Nyerere 1953 yeye alimtaka
Chief David Kidaha Makwaia aje awe rais wa TAA kisha waunde TANU na
Chief Kidaha awe rais wa TANU.

Ndipo ninaposema kila wakati TANU kaunda Abdu.

Ndiyo maana unaona kadi ya kwanza ya TANU Nyerere, kadi ya pili Ally
Sykes na kadi ya tatu ya TANU Abdu Sykes.

Hivi si vitu vilivyokuja kwa bahati mbaya.
Vina hostoria yake.

Wild Card,

Historia hii ndiyo inayojaza jamvi sasa tunakimbilia watazamaji 150,000.

Uliza maswali ya maana nikupe majibu ya maana.

Mzee MS unadhani hawaelewi ni kiburi tu kinawasumbua na usishangae wanapobisha sana kwasababu wanataka kupata ilmu wasipo bisha wanajua mnakasha umekwisha wasamehe bure waendelee kupata" maalumati" ndugu zetu hawa katika Adam,hata mtoto mdogo anaweza kubishana na mtu mzima akamwambia hunijui ntakupiga maskini kumbe hana lolote ndio hawa jamaa zetu humu jamvini
 
Rits,
Mimi nimekipata hicho kitab0kwa kweli huyo Mzee akili zake zitakuwa zina hitilafu kidogo,
Hata jeuri ya kuvaa viatu vya shigongo hana,atawezea vipi kumwingia Moh Said?
Ati anasema maheruhi wa mapenzi,,anahubiri mapenzi?
Katika nchi maskini?inashika nafasi za mikiani duniani,then jitu lije kuhubiri mapenz kweli?
Ukiona mtu mzima kama huyo kaamua kuyanadi mapenzi wazi wazi na kuacha mambo ya msingi ya nchi hii,inabid ujiulize mara mbili mbili sana,.
Amekosa haya huyo mzee..

Big Show, hapa wewe na Ritz mnafanya personal attack, mmeiweka hoja ya mnakasha kando na kuanza kumvamia mtu.

Big Show, ni ukosefu wa maarifa kuvilinganisha vitabu hivi viwili vyenye maudhui tofauti.

Sioni busara kuijadili Riwaya ya Mapenzi katika Jukwaa la Siasa, ni kuchichea ghadhabu na kupotosha kwa makusudi hoja iliyopo mezani. Ni sawa na kuleta sarakasi za Bungeni kwa kupotosha hoja mahsusi kwa manufaa ya kiitikadi.
 
Non sense..!
Ridiculousness,,
I will associate your blah blah with fourth escape route..

fourth escape route,inasema,,
hii nairudia tena kwako,
inasema...

The fourth escape route is to blame muslims,that muslims they hate secular education..!,they prefer maulid and madrasa rather than secular education,,..!
The imbalances persists because,muslims especially along the coast such as lindi,mtwara,tanga,bagamoyo and pwani and etc dislike schoooling.
Those who follow this line of thinking convict themselves of inconstisency.It is the muslims who are demanding proportional representation in education.They can not be accused of disliking education.At an rate,that does not tell us why,a century a go,the germans built schools along the coast and the vast majority of their eager students were muslims.
Answer this question..
WHY SHOULD OUR INDPENDENT GOVERMENTS FAIL WHERE THE COLONIAL ADMINSTRATION SUCCEEDED??..

Our Madras or maulids..?

That is BIG SHOW. One and the ONLY. Posts a lot of Good Stuff. Unfortunately Bwana you need to expand on what you call "successes". I will however try. Others ("mission-educated") will help. Big Show; Colonial governments "succeeded" because (i) they used brutality and terror tactics (refer Maji Maji atrocities and losses of lives). If you visit Moshi go to what used to be TANU office (under the germans it was their government office, you will find it located on the opposite side of Kicheko internet shops. An iron post/tower from which the germans publicly hanged offenders is just infront of that building, you can imagine its terror on the locals. Moshi was not the only place (ii) they succeeded because we africans in Tangayika were tribes (Lord Twining has a paper on this-The last Nine years of Tanganyika), not a country or nation. The only empire at that time was Zenj empire, this had no millitary mighty and its borders remained obscure. Itself had to borrow help from Oman to keep off the portuguese. Hence arrival of germans was met with scattered tribal resistances not national resistances (iii) but give the devil his due, these guys enabled us become a country. They succeeded this because Mr Big Show my tribe never revolted at the inclusion of your tribe in what we now call Tanganyika (iv) colonisers also succeeded because they could easily play the divide and rule game, chief against chief or clan against clan. The defeated become slaves and their women are taken (v) colonialists succeded because of superior technolgies they worked with (from war to agriculture). Not every effort was a success, read about the Groundnut scheme you will note they were also human (vi) They succeeded because every goddamn person in Tangayika including imams and bishops paid poll tax and they had no worry in collecting it (vii) but perhaps you believe they succeded in making the lives of muslims better?. I will challenge you on this. Please provide proof that the muslim community actually benefitted under either Germans or the British. Better start with the era of the Sultan Said of zenj and chronologically present your case on how the muslims of Kamachumu/Kahama/Machame/Kyella were better off under the trio. I will read it with pleasure.

Now as to why their first schools were along the coast; (i) The coasts/ports were their arrival points. Shipping of materials and mail all arrived via the sea at that time. These were logical and logistically points of convinience for anybody in that period (ii) as to why their eager students were muslims; these were the people on the location around the schools. Remember, islam had preceeded christianity in these areas for nearly 600 years and logically all communities would tend to be muslims; enthusiasim and brilliance of the students however was based on personal drive and God given tallents not because they were moslems. Ask anybody who has shared classes with people from Maasai communities. Many are just too bright Big Show, thanks to Ngai!!!! (iii)Now, because of easy of freighting materials to mother countries, and using the sea for transportation, it is for that reason most of the crop estates were also located withing shipping distances and these were again along the coast. The fact that Kigoma, Mara, Rukwa, Kaliua and other hitherland areas were termed as "Labor Reserve areas" is not because the population in those areas were of lesser quality.

I hope i have tried to answer your "semester" question. Big Show!!!!! Ustadh, ukiuliza tulia Bwana, onja tende kidogo kisha frame swali tena, wewe vipi?????? Take it easy Tuko pamoja. I enjoy your articles.
 
Sheikh, hapo umemsaidia proof reading ingawa kwa kumbeua. Hata hivyo, hadi hapo andiko halijapoteza wala kupotosha kimantiki kama ilivyo andiko lako kumtaja Marmo kama Mbunge wa Monduli!
Sitetei makosa yake, lakini nashangazwa na jinsi unavyobeua kazi ya mwenzako wakati yako ina upotishaji wenye kupumbaza kielimu.
Ningekuheshimu zaidi kama ungekosoa kwa nia ya kumsaidia kuja na andishi bora zaidi.
p
Wimana
Waswahili wanasema "Nyani haoni...."
Fortunately, Moh anajiita mswahili wa kariakoo. Atakuwa anafahamu msemo huu.
 
Last edited by a moderator:
Big Show, hapa wewe na Ritz mnafanya personal attack, mmeiweka hoja ya mnakasha kando na kuanza kumvamia mtu.

Big Show, ni ukosefu wa maarifa kuvilinganisha vitabu hivi viwili vyenye maudhui tofauti.

Sioni busara kuijadili Riwaya ya Mapenzi katika Jukwaa la Siasa, ni kuchichea ghadhabu na kupotosha kwa makusudi hoja iliyopo mezani. Ni sawa na kuleta sarakasi za Bungeni kwa kupotosha hoja mahsusi kwa manufaa ya kiitikadi.
Wimana

Did you expect anything better from the duo?
Pamoja na tofauti zetu za kimtizamo, point za maana (kutoka kwenye kundi la mzee Moh) anazitoa Moh Said mwenyewe. Afadhali hata Ritz mara moja moja. Wengine wote wa upande ule, ni mwendo wa taarab, mashairi, ngonjera na bongoflava tu.
 
Last edited by a moderator:
vipi tena leo umeamkaje,mbona matusi na pumba zako tulishapumzika nazo jamvini humu?
Moh said kakuweka kwenye 'lists',hata mimi nilikuweka ngoja nikutoe kidogo kisha nitakurudisha unapostahili..
Akili zako kama mkokoteni ulioubeba,hazichangui cha kubeba,ziwe taka taka,uchafu n,k n,k,nakuwia radhwi,,
nachokujibu ni kwamba Moh Said hahitaji utetezi wa mtu,sembuse utetezi wangu?
Moh Said ni mwalimu wangu,me nalamba buti zake tuh,utetezi wangu haumwongezei chochote,kwaiyo tafuta lingine la kuongea tuzid kukudharau,au ongeza kipimo cha matusi hapo utaeleweka..
Wewe sisi tunakufanya kama kikaragosi,ama sanamu la michelini,yan sehemu ya kujipumzishia na kujistarehesha,
kama punching box,we si ni kanjanja?
Umekuwa mtu wa kusubiri watu waandike wewe uje utukane,sisi tunakuwia radhwi kwa hilo,tunadokoa dokoa kisha tunakuacha ukale viroba vyako,um-zima wa afya lakini?
Nakusalim sana..
THE BIG SHOW, acha kutoka mapovu, vumilia uchungu mtoto wa kiislam! unajinasibu kuwa na malezi mema kumbe huna tofauti na watoto wa mitaani yaani machokoraa! kwa ujinga wako na wafuasi wako unadhani wewe ndio mwenye haki ya kuwakashifu na kuwadharau watu wengine hapa jamvini huku hilo zee lako pumbavu kama wewe likusifie eti unamawazo ya maana! pole sana,hivi ulipo mumwagia matusi Yericko Nyerere ati hana adabu kwa kutangaza kuandika kitabu chake ulitaka tukusifu? Wewe na hilo zee lako hamna maana yoyote ni wapuuzi tu. Kaa pembeni na ujinga wako waachie wenye akili waandike vitu vyao, wewe na upumbavu wako kaa ukiandika lugha zako za kifedhuri " ati watu watu wana valia suruari kwenye makalio" ulitaka wavalie kichwani? Au kwakuwa unaliabudu hilo zee lako jongo ulitaka na sie tukubaliane na ----- wake? hatujakosa akili kama wewe mpuuzi ebo!
 
Wild Card,
Abdu alikuwa binadamu.

Ile nafasi ya urais wa TANU hakukitaka kwa kuwa alijua nini kiwepo pale
ili kipatikane chama chenye nguvu na umoja.

Ndiyo maana Abdu kabla ya kufahamiana na Nyerere 1953 yeye alimtaka
Chief David Kidaha Makwaia aje awe rais wa TAA kisha waunde TANU na
Chief Kidaha awe rais wa TANU.

Ndipo ninaposema kila wakati TANU kaunda Abdu.

Ndiyo maana unaona kadi ya kwanza ya TANU Nyerere, kadi ya pili Ally
Sykes na kadi ya tatu ya TANU Abdu Sykes.
.


Kama Abdul ndiye aliteunda TANU kwanini asiwe na kadi namba moja? Kwa heshima yake?
 
Hii ya TANU kaunda Abdu inafanana na ile ya CHADEMA kaunda Mtei! Angalau wewe sio mtu wa kufikiri kwa ufupi namna hiyo. Usimpende Abdu kwa kumdunisha Mwalimu. Unaujua vizuri uwezo mkubwa wa Mwalimu katika SIASA na UONGOZI. Mwalimu hakuwa mtu kusubiri Abdu aunde TANU. Kwamba Abdu hakuutaka URAIS wa chama alichokiunda yeye, halafu akawa mgombea, hilo tuwaachie wenye akili walitafakari.

Wild Card,
Inawezekana ni ujuvi.
Inawezekana pia ni kutojua historia ya Tanganyika.

Halikadhalika inawezekana na hasad na mengine mengi
kwako wewe kufananisha siasa za kikoloni na siasa hizi
za wakati huu tulionao.

Hakika mimi nakubaliana na wewe Nyerere si mtu wa
kusubiri Abdu Sykes aunde TANU Nyerere unavyoona
wewe ni mtu wa kuunda chama chake.

Tatizo liko hapa inawezekana kweli Nyerere alikuwa na
fikra ya kuunda TANU toka Butiama.

Na ikiwa utakuja ushahidi wa hilo labda alipata fikra hizi
kwa baba yake Chief Burito au kwa namna yoyote ile nani
atapinga?

Abdu mimi nasema kaunda TANU kwa sababu historia yake
yote kuanzia kwa baba yake ndiyo hiyo za siasa za mapambano
na ukoloni.

Huo mfano wa yeye na Chief Kidaha ni mmoja wa mifano hiyo.
Ukitaka mingene na iko mingi utarudi nyuma kwa baba yake na
yeye mweyewe katika maisha yake hadi TANU ikaaundwa 1954.

Ikiwa Nyerere aliunda TANU uwanja ndiyo huu uletwe ushahidi.

Isiwe Nyerere kuunda kwake TANU unafungamanishwa na historia
yake na Abdu Sykes na TAA pale New Street.

Lameck Bugohe mmoja wa waasisi wa TANU alipata kuandika makala
katika Raia Mwema akasema yeye alikuwa na fikra ya kuunda TANU
Mwanza katika miaka ya awali ya 1954.

Mimi niliandika makala ya kumuunga mkono.

Katika makala ile alilaumu wana historia kujikita kwa Nyerere bila ya
kufanya utafiti kwa wanasiasa wengine wa wakati ule yeye akiwa
mmojawapo.

Kuasisi TANU si milki ya Abdu Sykes peke yake yawezekana wako wengi
walikuwa na fikra kama zake.

Huu ni wakati muafaka kwa sisi kusikia habari za wazalendo hawa pamoja
na historia ya Nyerere katika juhudi zake za kuasisi TANU ama iwe Butiama,
Makerere au Tabora.
 
Mfumo Kiristo unavyofanya kazi juzi bungeni tumemsikia mbunge wa Chadema Mh Joseph Selasini akitoa shutuma nzito kuwa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM kuwa kuna udini.

Tuhuma hizo ninatokana itikadi za watendaji wakuu wa chuo hicho Prof. Idris Kikula na Prof Shaban Mlacha.

Hakuna hata Mkiristo humu jamvini ambaye amepingana na Selasini hata hawa ambao wanasema Mohamed Said ni mchochezi.
 
Sheikh, hapo umemsaidia proof reading ingawa kwa kumbeua. Hata hivyo, hadi hapo andiko halijapoteza wala kupotosha kimantiki kama ilivyo andiko lako kumtaja Marmo kama Mbunge wa Monduli!
Sitetei makosa yake, lakini nashangazwa na jinsi unavyobeua kazi ya mwenzako wakati yako ina upotishaji wenye kupumbaza kielimu.
Ningekuheshimu zaidi kama ungekosoa kwa nia ya kumsaidia kuja na andishi bora zaidi.
p


Winama,
Yericko hana alichoandika.

Huo si uandishi ni vichekesho.

Msome Mohamed Said na tatizo la ugaidi kama alivyoeleza katika mkutano we maudhui hiyo Chuo Kikuu Cha Ibadan mwaka 2006:

The United States is more concerned with international terrorism while Africa is obsessed with domestic terrorism.

The question which the United States should reflect upon is that why is it that the United States is considered a legitimate target for attackby terrorists?

In the answer probably lies the key to solving the problem.
It is a pity that terrorism as a field of inquiry is yet to be taken up by actual victims of terrorism.

The inquiry has been monopolised by scholars from societies which at most have suffered one or two bomb attacks.

This erodes the realities of the subject as would beperceived by the actual victims of terrorism whose lives have seen nothing but sufferings.

Selective sampling will always as a rule provide wrong premise.

Today the world knows what took place in Auschwitz from the victims who went through the extermination camps during the Holocaust.
[1]

We are yet to get first hand experience of terrorism from those who had lived andexperienced it in Vietnam, Afghanistan, Iraq, Nicaragua etc. documented with the same intensity as the world had documented the holocaust.

Why do Muslims' eyes fill with tears when they watch on TV fighter bombers of the United States Army raining bombs on Iraq and Afghanistan; or Israel American made fighter bombers raining bombs on refugee camps in Gaza.

Why do some Muslims rejoice sometimes with chants of ‘Takbir Allahu Akbar' when a suicide bomber strikes?

Why some Muslims do not show remorse when asuicide bomber kills?

Why is it that we now have ‘refuseniks' - soldiers in theIsrael Defence Force (IDF) who refuse to kill for unjustified cause?

This belief is also encroaching into the United States forces in Iraq.

Why a suicide bomber is romanticised in certainparts of the world and is rejoiced as a hero while an American soldier is seen as a villain?

The United States should reflect on these sentiments.
Reasons for the reign of terror in Kenya,Uganda and Zanzibar, Rwanda and other places are known.

The United States with its array of social scientists and research centres should be able to come up with conclusive findings on the root cause of terrorism and why America has become a terrorist target.

Post-independence Kenya has experienced bomb attacks when in 1975 a bus stand was bombed in Nairobi followed by another bomb attack on Norfolk Hotel in 1980.
[2]

Mtwara a small town in southern Tanzania was bombed several times by Portuguese war planes during the struggle for liberation of Mozambique.

Neither Kenya nor Tanzania internationalised the bombing of its territory because both countries knew why they were under attack.

Tanzania was being attacked by the Portuguese with the cognisance of the United States because it was the spring board forguerrillas fighting White supremacy and foreign domination in Mozambique, Angola Namibia and South Africa.

Is it really difficult for the United States to know why it is now being targeted?


[1] See‘The Last Days of Auschwitz 50 Years Later: Untold Stories From the Death Camp,' Newsweek,January 16, 1995.
[2]Norfolk Hotel was bombed on New Year's Eve 1980. 15 people werekilled, including 2 Americans, 85 were injured, and half the hotel wasdestroyed. The owners are members of a Kenyan Jewish family. It seemed the attack was motivated by revenge against Kenya by Palestinians for aiding the Israeli commando team that rescued hostages hijacked by Palestinians at Entebbe airport in Uganda in July1976.
 
Wild Card,
Inawezekana ni ujuvi.
Inawezekana pia ni kutojua historia ya Tanganyika.

Halikadhalika inawezekana na hasad na mengine mengi
kwako wewe kufananisha siasa za kikoloni na siasa hizi
za wakati huu tulionao.

Hakika mimi nakubaliana na wewe Nyerere si mtu wa
kusubiri Abdu Sykes aunde TANU Nyerere unavyoona
wewe ni mtu wa kuunda chama chake.

Tatizo liko hapa inawezekana kweli Nyerere alikuwa na
fikra ya kuunda TANU toka Butiama.

Na ikiwa utakuja ushahidi wa hilo labda alipata fikra hizi
kwa baba yake Chief Burito au kwa namna yoyote ile nani
atapinga?

Abdu mimi nasema kaunda TANU kwa sababu historia yake
yote kuanzia kwa baba yake ndiyo hiyo za siasa za mapambano
na ukoloni.

Huo mfano wa yeye na Chief Kidaha ni mmoja wa mifano hiyo.
Ukitaka mingene na iko mingi utarudi nyuma kwa baba yake na
yeye mweyewe katika maisha yake hadi TANU ikaaundwa 1954.

Ikiwa Nyerere aliunda TANU uwanja ndiyo huu uletwe ushahidi.

Isiwe Nyerere kuunda kwake TANU unafungamanishwa na historia
yake na Abdu Sykes na TAA pale New Street.

Lameck Bugohe mmoja wa waasisi wa TANU alipata kuandika makala
katika Raia Mwema akasema yeye alikuwa na fikra ya kuunda TANU
Mwanza katika miaka ya awali ya 1954.

Mimi niliandika makala ya kumuunga mkono.

Katika makala ile alilaumu wana historia kujikita kwa Nyerere bila ya
kufanya utafiti kwa wanasiasa wengine wa wakati ule yeye akiwa
mmojawapo.

Kuasisi TANU si milki ya Abdu Sykes peke yake yawezekana wako wengi
walikuwa na fikra kama zake.

Huu ni wakati muafaka kwa sisi kusikia habari za wazalendo hawa pamoja
na historia ya Nyerere katika juhudi zake za kuasisi TANU ama iwe Butiama,
Makerere au Tabora.

Mohamed Said,

Hii mipini unayoweka ni ushahidi tosha kuwa historia za AA, TAA, TANU, zote zinaanzia Dar es Salaam.

Kama kuna mtu anataka kujilidhisha amsome Nyerere hapo juu kwenye maandishi ya blue anakiri mwenyewe kuwa kaanza siasa za Dar es Salaam na wazee wa Dar es Salaam.

Hakika tumejua mengi kupitia darsa lako Inshaa'Allah tutajua zaidi ya haya.
 
Acha zako za uchakubimbi wa hoja hapa,

Mwaka huu mbona mtajuta?mmechokoza nyuki msikimbie,mmetaka chai kwanin mlalamike mnaungua?
Msikmbie nje ya mada,na umwambie jamaa yako yapo mengi ya kusema kuisadia nchi hii lakini si mapenzi,mungu hataki mambo hayo..
Hivi wewe mpumbavu kwanini usijitoe kwenye huu mnakasha na ukabaki msomaji wa hoja za wenzio? Hivi huu upumbavu unao uandika hapa unadhani nani anaufurahia zaidi ya huyo mzee wako mpuuzi na mchochezi MOHAMED!
 
The BIG SHOW umesahau leo ni weekend GWALIHENZI ikishafika weekend akili zote anaacha nyumbani ili asizisahau kule kwenye kiti kirefu moja moto moja baridi msamehe bure
Boko, sijawahi kuonja pombe katika maisha yangu, nakushangaa sana kukosa akili na kuwa shabiki mjinga unayeamini kila kitu cha hovyo cha mchochezi Mohamed na kumuhukumu ulevi kila anayepingana naye hapa. Kwa maelezo yake mlevi wa kutupwa ni huyo jamaa yako wa gesi haitoki Mtwara, yeye ndiye husimulia yanayotokea kwenye mikao ya pombe kila mara hapa jamvini.
 
Back
Top Bottom