Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

WildCard,

Hakuna mahala popote Mohamed Said amesema kuwa TANU ni mali ya Abdul na Ally Sykes wala AA mali ya Kleist.

Mohamed Said kaeleza kwingi kuhusu waasisi wa AA, TAA, TANU, ametaja majina mengi ya wazee ambao walikuwa waasisi.
Dah! Wala haujasoma mahali alipoandika: "Abdu mimi nasema kaunda TANU kwa sababu historia yake
yote kuanzia kwa baba yake ndiyo hiyo za siasa za mapambano
na ukoloni." Hili kalirudia mara kadhaa bila kuchoka mzee wetu huyu!
 

gombesugu,

Poleni sana Allah ataafu Inshaa'Allah.

Maradhwi na mitihani ni yetu sote tumeumbiwa sisi binadamu.

Karibu sana mie napata chai ya maziwa ya ngamia na mkate wa chila na vipopoo!
 
Last edited by a moderator:
gombesungu,

Poleni sana Allah ataafu Inshaa'Allah.

Maradhwi na mitihani ni yetu sote tumeumbiwa sisi binadamu.

Karibu sana mie napata chai ya maziwa ya ngamia na mkate wa chila na vipopoo!


Mkate wa chillah nimeula sana jana,,
Mie nibakishie Vipopoo,wape leso naona jamaa wamehamaki tena..
 
Last edited by a moderator:

Mag3,

Nilihisi kuwa ungekuwa wa awali kunijibu!ahaha!!
Mbona unaleta maneno ya kwenye kanga hapa jamvini Mzee wangu?

Naona wewe na Nguruvi3,mnajipa dhiki kubwa kwa kuwasaidia Waislamu na kuipunguzia mzigo Serikali hapo.
Nguruvi3,ati anatafutia vibarua/ajira Waislamu na wewe unataka kuanza kunisomesha mimi english literature na grammar. Kwa hicho kizungu chako cha enzi ya mkoloni naomba upumzike tu Mzee wangu. Kwani huna jamaa au wajukuu zako huko mkoani/kijijini kwenye asili yako wenye dhiki ya elimu?

Kwa ustaarabu,ulitakiwa unisamehe si unajua mimi ni kati ya wale wa Madrasa? Kwa uchechefu wa elimu yangu pia italazim umlaumu mwalimu wangu na sahib yangu wa miaka mingi Dr. Peter Breunig wa pale Univ of Frankfurt.

Nakufahamisha,hiyo english kwangu ni baadhi tu ya four International languages ambazo niko fluent ukiondoa kiswahili. Kila mojawapo ya hizo lugha nazungumza kwa lafidh/accent yenye ladha ya kutamanisha!ahaha!!

Mag3,nasikitika kuwa tangu nimejiunga hapa tayari ulijifanya ushanijua na kunishuku. Kwa dasturi zenu hizo mtapata tabu saana. Kila anayekubaliana na hoja za Sheikh Mohammed Said,mnajitahidi kumpa dhiki na madhila ya kila namna.

Nastaajabu,mbona huyo mnafiki mwenzio aliyejaribu kufurukuta kujibu,ameonyesha japo kwa ufedhuli kuwa ujumbe umemfika? Inakuwaje wewe jambo usolifahamu linakushughulisha na utoe kibri?

Watu wangapi hapa wanaandika "utumbo" na message zao zina typographical errors na makosa kadhaa lakini tunastahamiliana na kujaribu kufahamiana?
Au unafikiri kila mtu ana wakati wa kupoteza ili ashinde kutwa kwenye laptop na kujibizana na wewe?

Tafadhali Muheshimiwa Mag3,wewe ni mmojawapo wa wakubwa wetu hapa jamvini nami binafsi nakustahi saana na nilishakufahamisha mara kadhaa hapo awali.

Tuendelee na mnakasha.

Shukran.

Ps; Some people miss the message,because they're too busy looking for the mistakes!
 
Na wewe nitafutie udini wa UDOM ambayo umetajwa bungeni na viongozi wa Chadema.
Kama upo upo tu, na kama haupo hautakuwepo.
Yule mbunge alosema kuna udini ana haki ya kusema kama ambavyo ww na wenzako msemavyo inchi hii ni ya mfumo kiristo.
Sema vigezo uvitumiavyo ww kuelezea huo mfumo huwa ni nadhalia zaidi.
Inchi hii hakuna mfumo zaidi ya maslahi ya ccm. Ndoo maana wapiga kelele wengi ni kina mwigulu, nape, wasila, lusinde, sitela manyanya nk...
Au hawa hawawaheshimu maasikofu? Si wangeilinda cdm ambacho msevyo ni chama cha kanisa.
 

Punguza udini mkuu,
Hivi ili upate ajira hapo u dom huwa wanapeleka vyeti vya ubatizo? Au pengo ndo huwa muajili mkuu?
Hii dhambi ya udini wako itakutafuna mpaka unaingia kabulini.
Udini wa mtu hauitaji muwe wengi sehemu ndo muwe wadini hapana.
Kama ww ukipewa kitengo wasiokuwa wa imani yako lazima watakoma punguza udini na kuwachukia wakristo.
 
Last edited by a moderator:

Sikuelewi unataka kusema nini ndugu yangu.
 

Hayo maneno ungemwambia Joseph Selasini Mbunge wa Rombo Chadema.

Wapi mie nimewachukia Wakiristo acha kuniwekea maneno mdomoni dini yangu inanikataza kuwachukuia watu wa dini zingine kwani sikuwaumba mimi.

Mimi kuelezea dhulma tulizofanyiwa wewe tafsiri yako ni kuuchukia Wakiristo.
 

Wickama,

I've just read your waste. You sound like you blundered into someone else nightmare. People like you and Mag3 can never truly make any compelling arguments at this "mnakasha". Most of your comments/posts make me cringe.

Brain dead Wickama,all you can see is just around the corner from your little street/village and pretend you know Muslims that well. So this is what people meant by the Zombie apocalypse,some become Zombies. After all Zombies don't have brain tissue that have electric neurons to make it function.

Damn Dummy! Who gave you the authority to speak on behalf of Muslims or Kadogoo? Wake up and get some sense in your head. There is no love or respect for Muslims in you,and I know it.

Muslims need an aggressive and intelligent response to the reality and issues they are facing right there in their own country.

Try to explain your anger,don't express it and you will immediately open the door to positive engagement and gradually we find solution/s together; instead of personal attack on me,being sarcastic to Muslims or create silly arguments.

Take care.
 
THE BIG SHOW,

Usijali ndugu takuwekea pamoja na faruda.

Ritz,

Nami pia jana nilipata faluda na leo asubuhi nimeamka na "breakfast" ya mbatata za urojo!ahaha!! Wallahi kupata wageni wa nyumbani kuna raha zake. Nasuburia maanjumati ya lunch,lakini nachelea mpaka wageni wakenda zao nami italazim nende Gym haraka saana!!ahaha!!


CC: The Big Show
 

gombesugu,

This is war against Islam.

The remedy of fire is fire.
 
Last edited by a moderator:
Salaam ndugu yangu Wickama na wengine mnaoshiriki mnakasha huu.Nimekuwanikifuatilia muendelezo wa mnakasha toka ulipo anza mpaka hii leo lengo langu kuu likiwa ni kufyonza ilm tu.Hakika nimejifunza mengi kwa ukimya wangu lakini kwa hili ulilofafanua ndugu yangu Wickama nimesukumwa name nitoe yangu machache.Wickama sikumbuki ni lini waislamu wa Tanzania waliachiwa fursa ya kujenga taasisi zao zenye nguvu na mipango thabiti kwa ajili ya kusimamia miradi yao ya maendeleo.kumekuwa na hofu kubwa miongoni mwa watawala kuwaachia huru waislam kupanga na kusimamia mikakati yao ya maendeleo.Hivi anapokuja mtu na kusema waislamu hawapendi shule anasahau kwamba ni haohao waislamu waliokuwa na wazo la kwanza la kujenga chuo kikuu na shule kila wilaya kupitia EAMWS.Kuna mtu anaikumbuka taasisi ya African Muslim Relief Agency wakati wa Awamu ya tatu walipokuja na mikakati mikubwa ya kujenga mashule yanayoeleweka pamoja na kuajiri walimu waliobobea kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kufundisha shule zao,nini kiliwakuta.Serikali ya Raisi Mkapa ilizuia source of funds zote kwa taasisi hiyo na kumtimua mlezi wake wa IRINGA kwamba ni gaidi.Wakati African Muslim wanapigwa vita upande mwingine mama Rwakatare alipewa all support. Naomba ndugu zangu wa imani nyingine tuelewe kwamba waislam hawaitaji msaada wala kuonewa huruma bali wanachotaka ni kupewa fursa sawa ili waendeshe mambo yao kama ndugu zetu wakristo mlivyo huru. Ahsante na mchana mwema
 

Uthman,

Ndugu yangu umekuja na michango yako humu jamvini na umejielezea kama Muislam.

Nakuomba sana tena sana kuwa na subra najua utashambuliwa sana na hawa ndugu zenu kuwa mvumilivu kwa kejeli, dhihaka, matusi.

Wewe ni mwenzetu kutoka madrasa karibu sana jamvini.
 
Last edited by a moderator:
Nanren,
.....nitakujibu.

Hakika nimesema, ''Alhammdulilah hakuna Mmanyema Mkristo.''.....

Maana yake, ''Shukurani zote zinamstahiki Allah.''

Sheikh Said, najisikia vibaya sana kusema unadanganya, tena unaitumia vibaya JF.

Mimi ni Mkristo, kwetu Kigoma ingawa sio Mmanyema kwa upande wa baba, mama yangu ni Mmanyema na ni Mkristo kwa kuzaliwa. Bibi mzaa mama ni Mkristo Mmanyema! Watoto wake wote ni Wakristo, baadhi ya wajomba wa bibi yangu Mkristo Mmanyema nao ni Wakristo Wamanyema!
Sheikh Said, najua wewe ni Mmanyema Muislamu, bila shaka unafahamu jina hili -Kasulwa. Ni kabila gani hawa?
 
Waislam wa Tanzania ni tofauti na wale wa Somalia, Afghanistan, Syria, Libya, Mombasa Republic, Iraq, Pakistan, Boznia, Chechnya,....?
 

Thanks.
Ninachokupendea mzee Moh, ni majibu haya ya ki-utu uzima. Hata kama sikubalini nawe kwa hoja, ninakukubali kuwa hapa umenijibu kwa busara kama za mzee Mwinyi na wazee wengine wa kiislam waliobobea.
Sawa.
Hata hivyo bado wewe ni mdini. Sio tu kwa sababu ya ile statement ya "christian manyema". Hebu angalia hapa chini mfano wa mtu ambaye ni mdini.

1. Mimi ni mkristo, ninamtetea Edward Lowasa kuwa ni mtu mzuri, kwa vile tu nafikiri ni mkristo mwenzangu, basi mimi ni mdini.


2. Mimi ni muislam, ninamtetea Jakaya hata pale anapochemsha, kwa sababu tu ni muislam mwenzangu, basi mimi ni mdini.

3. Mimi ni mkristo, ninaamua kupuuza mchango wa Kawawa au The Sykes na kuwakweza (kuwapa sifa wasiyostahili) Nyerere na Kambona kwa vile tu Nyerere na kambona walikuwa wakristo, basi mimi ni mdini. Na muislam anatakayepuuza mchango wa akina kambona na Nyerere na kuwapa sifa wasiyostahiki akina Kawawa na Sykes (kwa sababu tu ni waislam) naye atakuwa mdini.

4. Ninaona list ya majina labda wanao-join sekondari au chuo kikuu, ninaanza kuhesabu akina Ally, Hamis, Mohamed na ninalinganisha na majina ya Peter, Paul, Steven halafu ninatoa conclusion kuwa kulikuwa na waislam watatu na wakristo watatu- based on those names- huo ni mtazamo wa kidini.

5. Mimi ni mkristo, mkuu wa kitengo, ndani ya kampuni ya Azam, ninaangalia kwa majina na kuona wenye majina ya Paul, steven, tupo wachache sana, ukilinganisha na akina Said na Ramadhan. Basi wakati wa kuajiri, hata kama ni nafasi moja tu, ninaamua kumuajiri Clement ambaye amezidiwa sifa na Hussein na Abubakar. Ninafanya hivyo tu kwa vile Clement nahisi ni mkristo mwenzangu, basi hapo mimi ni mdini, japo tutakuwa wakristo watano dhidi ya waislam 200.

6. Makosa yanafanywa na muislam, ninayafumbia macho, kwa vile tu ni muislam mwenzangu, na yakifanywa na asiye muislam, basi ndio ninapiga kelele saaana, lazima mimi ni mdini.

7 Shida wanazipata wananchi wote wa dini mbalimbali na hata wasio na dini, lakini mimi nakuwa "naziona" na kuzilalamikia shida za watu wa dini yangu tu... huo ni udini.​

Hizo ni baadhi tu ya sifa za wadini. Mzee Mohamed Said pamoja kaka Ritz nyie mnazo baadhi ya hizo sifa hapo juu. Na kama yule wa UDOM aliyetajwa bungeni, ana sifa kama hizo, basi naye ni mdini.
 
Last edited by a moderator:
Waislam wa Tanzania ni tofauti na wale wa Somalia, Afghanistan, Syria, Libya, Mombasa Republic, Iraq, Pakistan, Boznia, Chechnya,....?

Umesahau na hizi Malaysia, Turkey, Brunei, Dubai, Iran, Qatar, Brunei, Oman, Kuweit, Abu Dhabi.
 

Ritz, kuna pointi ndogo huioni au kwa sababu ya udini ulionao unamuhukumu Mh Selasini. Yeye ametoa uthibitisho (ushahidi) kuwa UDom kuna udini, tena Wahadhiri ndio wanaoueneza kwa kuwataka Wanafunzi wa Kiislamu kuwatenga wasio wa dini yao. Kwa upeo wa Mh Nkamia, nasikitika wewe nawe ni hivyo, anadai ati ni kwa sababu Wakuu wa UDom ni Waislamu ndio maana Mh Selasini anakuja na hayo madai! Hizo ni akili za Punda! Kama Mh Nkamia na wewe mngefikiri nje ya box, Mh Nkamia angeomba mwongozo na kumtaka Mh Selasini athibitishe madai yake. Lkn bahati mbaya sana, ametanguliza dini yake kiasi cha kutoruhusu akili yake kushindwa kufikiri vema; dini yake imemfanya awe mjinga badala ya kumpa maarifa, na mbaya zaidi wewe na wengine wengi humu mmekubaliana na hoja yake duni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…