Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kokote ambako UISLAM umetamalaki na kukomaa kwa sana nchi hii hakuna maendeleo KIELIMU. Kwa maana hiyo na maendeleo mengine hayapo. Huu ni ukweli mchungu kidogo ambao hata hivyo ulianza kufanyiwa kazi na Mwalimu kwa kutaifisha mashule mengi tu na kutenga nafasi maalum za sekondari kwa ajili ya watoto wa maeneo haya kama ilivyokuwa kwa jamii za wafugaji.Haisaidii sana kuukana ukweli huu au kuhamishia matatizo haya kwa mtu/watu au jamii nyingine.
 
Nikusaidie kitu.Enzi za Nyerere professional hazikuwa zinazingatiwa bali mambo yote Chama kimeshika hatamu za uongozi. Kila pahala siasa inatawala.Lakin kumbuka nimekulia Tz na kuzunguka karibu nchi nzima wila zote za Tz Bara najua mengi. Kumbuka kuwa unaposema Mbeya mtu yoyote huko atakwambia wanatoka wanyakyusa lakin kumbuka kuna makabila mengi sana wakiwemo wapangwa, wasafwa na wengine.Unaposema Mara watu wote watakwambiia wanatoka wakurya, lakin kuna makabila mengi sana kule wakiwemo wang'oreme, waikizu, wazanani na wengine wengi tu.Kwa bahati najua sana utendaji na uwezo wa Nyirabu na hata warioba kwani kwa namna moja au nyingine niliwahi kufanya nao kazi hivyo ninachozungumza nalinganisha na uwezo wao kikazi na utendaji wao. wapo wengi lakin naona tuishie hapa kwani ni upendleo wa dhwahir.
 

Mtu yeyote mwenye akili timamu akisoma hiyo hotuba ya Nyerere ataelewa kwamba huyu jamaa alikuwa mnafiki sana.

Haiingii akilini kumfahamu Abdul Sykes eti wakati amerudi kutoka Uingereza na baada ya kukaa pale Pugu kwa mda ndio aje Dar es Salaam kutaka kujua viongozi wa TAA ni kina nani. Alifahamishwa kuhusa TAA tangu yuko Makerere na akashauliwa kuacha kuanzisha chama kingine badala yake afungue tawi la TAA pale. Baada ya kurudi Makerere akachaguliwa kuwa Katibu wa TAA wa jimbo la Tabora. Aliwezaje kufungua tawi kule Makerere na baadaye kukubali kuwa Katibu wa TAA wa jimbo bila kumfahamu Abdul Skyes ambaye katika kipindi chote hicho alikuwa Katibu wa Chama?

Labda kama akili zake zilikuwa sio nzuri hivyo akakubali kuacha chama chake alichotaka kuanzisha na akajiunga na chama kingine bila kujua viongozi wa juu ni kina nani na nini malengo ya chama chao.
 
Wanachekesha sana!.
Kila tunachokifanya sisi sicho.
Tukipokea misaada inaitwa pesa za kigaidi na haramu.Lakini zile zao ndio safi.
Tukiandika vitabu vya kwetu sivyo,vya kwao ndio sahihi hata kama vinapotosha msingi wa jambo.
Tukitangaza.Sisi hatujui na hatujafikia viwango.Wao ndio wanaojua kazi hiyo.
Tukichapisha magazeti wanasema tunaandika vibaya,wao ndio wanaojua kuandika.
Tukijenga chuo wanasema hatufundishi vizuri kama wao.
Ilimradi kila tunachojenga wao wanabomoa.Imesema kweli Qur'an kuhusu tabia zao za husuda.
Akina Nguruvi wanajidai kututolea machozi ya mamba.Eti tufanye kama fulani na fulani tusilalamike......kama kwamba tuliyofanya huko nyuma tulifundishwa na yeye(wao).Na kama kwamba hayo tuliyofanya tayari yamesalimika na fitna zao.
 
Medali aloopewa Abdu na mdogo wake ni ile ya wao kuwa miongoni mwa waasisi 17 wa TANU. Miaka 50 ya uhuru ndio ilikuwa mahala pake. Kwani ulitaka wapewe lini hasa! Mzee Mohamed, wewe ni wa kuhangaishwa na mambo madogo kama haya? Hata Mwalimu alipewa medali ile siku hiyohiyo na Mama Maria akaipokea kwa niaba yake. Mwalimu hakuwa mtu wa kujikweza na kujitukuza mwenyewe. Aliacha tuzo hizi wazitoe watu wengine.
 

Mohamed,
Umeuliza swali zuri. Kipi kilichofanya Kikwete ampe marehemu Abdulwahid na Ally Sykes medali baada ya miaka 50 ya uhuru? Jibu lake linaweza kuwa VERY interesting. Lakini nadhani ni bora kila mtu aspeculate kivyake vyake.
 

WC,

warabu wanasema hivi " Ujinga usio na khasara ni bora sana Kuliko Ilmu isiyo na Faida".

Unajuwa katika sehemu zilizofata na kutamalaki mila na desturi za Uislam ndizo sehemu zilizostaharabika sana hakuna mauaji ya vikongwe, watu kutembea na magovi, kukeketa, kuchuna ngozi na kunyofoa viungo vya albino na hata mateso kwa akina mama. Kwani Utamaduni wa kiislam unahimiza sana Utu na kuthamini hilo.
 
Misri wanakeketa, wewe!
 
Kama alivyomwaga mboga na Ugali wake umemwagwa.Yeye sie muasisi wa TAA iliyozaa TANU.
 

Naona sasa unataka kulazimisha Bao.

Pole sana
 

Rudia kuisoma hotuba hiyo kwa umakini na kwa utulivu kijana,

ukikurupuka hivyo bila shaka utaibuka na dhana hiyo.

Tofautisha kipindi yupo Makerere na kipindi yupo Scotland, ukifanya hivyo utaielewa hiyo hotuba ndugu yangu.
 
Sasa hapo mbona na ninyi mnapingana na Mohamed Said? Yeye anasema Nyerere alifahamiana na Abdul Sykes mwaka 1953 or thereabouts. Therefore alipokuwa Makerere hakufahamiana na Abdulwahid Sykes. Kipi msichoelewa hapo? Mwageni mboga lakini msimwage akili zenu.
 
Misri wanakeketa, wewe!

Uijui Misri naomba uisome vizuri.

Itazame haponchini kwenu maeneo ya pewani kama Mtwara, lindi, Pwani, Znz na tanga mambo niliyobainisha hapo juu yote yapo na linganisha na mara, Mbeya na kwengineko.


Pole sana
 
Uijui Misri naomba uisome vizuri.

Itazame haponchini kwenu maeneo ya pewani kama Mtwara, lindi, Pwani, Znz na tanga mambo niliyobainisha hapo juu yote yapo na linganisha na mara, Mbeya na kwengineko.


Pole sana

Sijakuelewa. Unabisha kuwa Misri hawakeketi wanawake zao? Unabisha?
Soma hiki kipande:

Despite being legally banned, female genital mutilation in Egypt is on the rise, causing lifelong pains, health problems and even death for the women who undergo it. Islamists are pushing to legalize the procedure again.
Umm Mohamed lives in a part of Cairo where others dump their garbage. The 47-year-old Muslim woman has experienced many hardships in her life. Putting on a brave face, she says she is used to being daily surrounded by dirt and misery. But what really hurts, she admits, is the pain she personally had to endure 35 years ago.
When Mohamed was 12, nearly all parents from the quarter where she lived brought their daughters of the same age to a hair dresser. "We didn't know why," she says, "but we were all very excited, as each girl had just been given a new, white dress."
In celebration of the day, the girls' hands had been painted with henna. They were ever so proud. But then came the moment of shock: "Suddenly this man, who was really a stranger to us, started to undress us," she recalls. "Then he got out his razor blade." All the girls underwent the procedure which mutilated them for life - without narcotics and without even minimal hygene standards.
'How can my family do this to me?'
Mohamed bled for three days. When it didn't stop, her father went to the local baker for some ashes to cover up the wound. But the dirt only made everything worse. "I still remember asking myself how my family could do this to me," Mohamed says, tears clouding her eyes. Another girl from her neighbourhood, she adds, even died after the procedure.
 

Nafyonza Ilm tu hapa.
 
Rudia kuisoma hotuba hiyo kwa umakini na kwa utulivu kijana,

ukikurupuka hivyo bila shaka utaibuka na dhana hiyo.

Tofautisha kipindi yupo Makerere na kipindi yupo Scotland, ukifanya hivyo utaielewa hiyo hotuba ndugu yangu.

Wewe ndiye unayetakiwa kuisoma hoja yangu na ukishindwa kuilewa omba msaada kwa wenzako wakueleze huyu jamaa ana maana gani? Reasoning yangu iko wazi kabisa. Haina chenga hata kidogo.
 
Ndio maana huwa nawashangaa sana watu kama ninyi mnaposema ni WAISLAM pekee walioachwa nyuma nchi hii! Hivi wanaofanya vitendo hivi wana ELIMU kweli? Tutafakari
 
Wewe ndiye unayetakiwa kuisoma hoja yangu na ukishindwa kuilewa omba msaada kwa wenzako wakueleze huyu jamaa ana maana gani? Reasoning yangu iko wazi kabisa. Haina chenga hata kidogo.

Mimi nimeielewa vema hotuba hiyo, sina hata chembe ya shaka, ndiomaana nimeiweka hapo ili iwe kielelezo kwa wasioelewa na waliopotoshwa na Mohamed Said.

Narudia kukusihi kuwa irudie tena kuisoma kwa umakini kisha tenganisha vipindi vya Mwalimu akiwa Makerere na akiwa Scotland
 

Mimi sipo hapa kumuunga mkono mtu yeyote wala kumpinga mtu yeyote. Kama unataka kuchangia kuhusu hoja niliyoiweka karibu lakini usinihusishe na mtu yeyote.
 

Sina haja ya kuirudia. Nimeisoma nimeielewa na nikatoa hoja yangu baada ya kuisoma na kuilelewa. Kama unataka kuchangia kwenye hoja yangu basi unachotakiwa kufanya ni kuiwakilisha hoja yangu jamvini halafu uipinge hoja hiyo kwa hoja. Sasa unapotaka kupinga hoja ya mtu kisanii kwa kumwambia arudie tena kusoma haitakusaidia. Wewe chambua hoja yangu na elezea wapi nimekosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…