Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mwalimu wetu Mohamed Said, tulizana huku unatusoma taratibu huku unapata faruda.


namimi nitamletea ming'oko na chikandanga kutoka Ntwara abadilishe diet kidogo..
Huku anawasoma hawa mufilisi wanavozid kutapa tapa...!,,kesho nitamletea vipopooo...
 
Last edited by a moderator:
namimi nitamletea ming'oko na chikandanga kutoka Ntwara abadilishe diet kidogo..
Huku anawasoma hawa mufilisi wanavozid kutapa tapa...!,,kesho nitamletea vipopooo...

Yericko Nyerere,

Nimeuliza kuhusu TAGSA anasema ameishijadili huko nyuma walivyokuwa wanafanya harakati zao Tanga, alivyona TAGSA anadhani ina uhusiano na Tanga.

Kwenye mnakasha mimi nipo toka unapoanza mpaka leo hakuna sehemu yeyote watu wamejadili kuhusu TAGSA.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:


Thats why mimi nasema Julius was very bright..!
Hawez kuacha damu ya mtoto Dull mithili ya yericko,kwaiyo yeye aliipoona Neno TAGSA moja kwa moja akalandanisha na TANGA sio?
Ha ha ha,,halafu then anasema kaandika kitabu kisha ubalozi wa marekani ukakipa support kweli?
Americans are smarter than that..!
Atafute jingine yericko,hapa kauanika ujinga wake wazi wazi...
 
Last edited by a moderator:
Ritz, muuza gahawa anauliza tena mwaka 1950 Idara ya Maelezo na habari ilikuwa inachapa magazeti katika kuongeza nguvu ya TANU.

Naomba kwa faida ya JF yataje majina ya hayo magazeti na baadhi ya majina ya waandishi wake.

Cc.. Pasco.
 
Last edited by a moderator:
Ili umjadili Nyerere unapaswa umjue ni mtu wa namna gani.
Tofauti na hivyo hutomuelewa kamwe, jalibu kupitia hotuba zake unaweza ukapata majibu kulingana na maswali yako.
 
Ili umjadili Nyerere unapaswa umjue ni mtu wa namna gani.
Tofauti na hivyo hutomuelewa kamwe, jalibu kupitia hotuba zake unaweza ukapata majibu kulingana na maswali yako.

Hotuba zake huwa sizisikilizagi kwa sababu huwa anasema yale ambayo hatendi
 

MGASHI;
Hivi kuvimba shavu ni dalili ya kupona?
 
THE BIG SHOW,wewe ni kiumbe duni sana, acha kumuiga huyo shetani mtaka fujo wako na hiyo zuga ya kitoto ya kuweka watu kwenye huo upuuzi wenu mnaouita list yenu! kwa mlivyo mazuzu na mlio watupu vichwani hizo list zenu hazina madhara kwa yoyote yule!
 

Ndugu yangu Ritz

Inaonyesha wazi kupenda kujua hadithi za vibarazani,

Tunajadili historia ya Tanganyika kwa mapana yake,

Hatufanyi rejea ya yale tuliyoyajadili,

Ikiwa kuna jambo tulilisahau linalohusu historia ya Tanganyika na wewe walijua ni vema kuwahabarisha wanajamvi kuliko kuleta kejeri kwa mambo ambayo tayari tulishayajadili hapa!

Narudia tena, sitajibu hoja ambayo tayari ilishajadiliwa hapa!!


Tuwe werevu kwa mafaa ya taifa!
 
Last edited by a moderator:

Nafikiri unatakiwa ukue katika haya.

Kumbuka wasomaji wengi tulijikita katika paper aliyoitoa Balozi wa marekani na sio pahala gani na hicho ndio Mohamed said alikijibu huko Ibadan.

Siku zote wasomi tunajikita katika maudhui na sio bla bla na hatuwezi hukumu kitabu kwa jalada lake.

hebu msome vizuri uone alikusudia nini. Mimi nilifikiri ungesimama na kusema Balozi huyo hakusema hayo bali alimsingizia na hivyo paper yake ni batwili?

labda swali la kisomi. Je siku hiyo balozi huyo hakuyasema hayo Mohamed said alichokiandika? naomba jibu hapo.

Pole sana


 

Yericho.

Nilipo Bold nimeyapenda sana hayo maneno yako.

Na kwa kusimamia maneno yako hayo niliyo BOLG na ku UNDERLINE ningefurahi sana kama msomi ungetupa kisa halisi ili nasi tujua uongo wa MS upo wapi.

Kusema au kumwita mtu muongo lakin wewe uonyeshi uongo wake uko wapi na ukweli unasimama wapi hiyo sio lugha au ustaharabu wa wasomi walioelimika.
unaomba darsa lako la kisa cha Bw Attas
T

 

Ahsantum.

Kwani ni mimi ndie nilieleta wazo la kuufanyia ukarabati msikiti huo na waliofanya Ukarabati ni mashemeji zangu nimeoa dada yao Nasriyah Saleh Al Nahdi.

Nitakuja insh'Allah katikati ya Shaaban.

 

Ni uongo wa Mohamed Said tu kutaka kumfifisha Mwalimu Nyerere,

Katika rejea zote za Mwalimu Nyerere nilizonazo na nilizosoma kwa mbali,

Hakuna jina la binadamu aitwa Shariff Attass ambae alikuwa mlinzi wa Mwalimu Nyerere ama rafiki wa kushibana wa Mwalimu Nyerere,

Bahati nzuri sana Mwalimu kaandika kumbukumbu nyingi sana ya mapito yake katika siasa, akiwataja marafiki na wahisani wake,

Ni jambo la kushangaza kama hakumtaja anaetajwa kuwa alikuwa alikuwa mlinzi wake,

Mwalimu anasema Omar Sisco ametoka nae mbali tangu siku TANU inashinda uchaguzi, na Mwalimu anachaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Kwanza Tanganyika!

Sasa Shariff Attass wa Mohamed Said alikuwa wapi?

Uongo ni kazi sana ndugu zangu,
 
Ahsantum.

Kwani ni mimi ndie nilieleta wazo la kuufanyia ukarabati msikiti huo na waliofanya Ukarabati ni mashemeji zangu nimeoa dada yao Nasriyah Saleh Al Nahdi.

Nitakuja insh'Allah katikati ya Shaaban.


Barubaru,
In Sha Allah Mola atukutanishe.
 

Huna unachokijua nimekuwekea maswali ambayo ni mapya umeshindwa kujibu.

Lini kwenye huu uzi watu walijadili TAGSA.

Lini kwenye huu uzi watu walijadili Pan-African Movement of East and Central Africa (PAFMECA).
 

Barubaru,
Mie mzito sana wa kurudisha moto kwa moto kwa kuwa najua nyoyo
zinaumia vipi.

Lakini hebu pekua tumsaidie kijana wetu aonyeshe wapi nimesema
Shariff Attas alikuwa mlinzi wa Nyerere.

Kwanza anaijua hadhi yake?

Ikiwa kweli ana shajara za Nyerere kitu ambacho naamini hawezi kuwanazo
kwa sababu zilizo wazi na aseme hizo shajara zimeeleza nini kuhusu Abdu
Sykes na historia ya TANU.
 
Ahsantum.

Kwani ni mimi ndie nilieleta wazo la kuufanyia ukarabati msikiti huo na waliofanya Ukarabati ni mashemeji zangu nimeoa dada yao Nasriyah Saleh Al Nahdi.

Nitakuja insh'Allah katikati ya Shaaban.


Barubaru,

Kina Munif umeoa kwao Allah hawazidishie mara ya mwisho nimeonana na Mzee Islam wakati wanakaa Aggrey pale msikinitini Qibratein. Nyumba yao mtaa wa Aggrey na nyamwezi.
 
Last edited by a moderator:

Barubaru,
Mie mzito sana wa kurudisha moto kwa moto kwa kuwa najua nyoyo
zinaumia vipi.

Lakini hebu pekua tumsaidie kijana wetu aonyeshe wapi nimesema
Shariff Attas alikuwa mlinzi wa Nyerere.

Kwanza anaijua hadhi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…