Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Maulaga,

Naomba uonyeshe hapa hadhwaran,pahala gani nilipompa LIKE huyo "mtukanaji". Au umechanganya yale majibizano ya kisiasa na hoja dhidi ya Nyerere na matusi!?

Tafadhali,mimi niko karibu mno na huyo Nyerere kuliko unavyofikiri na namtetea huku nje na kumlindia hishma yake kila kukicha kwa niyajuayo mema alofanza na nilikua nakubaliana nae. Kuna vitu mambo mengine/facts nijuazo sitaweza asilan kuyaweka hapa jamvini hata iweje. Kama vile asemavyo Sheikh Mohammed,yakuwa hawa ni Wazee wetu na wajibu wetu kuwastiri.

Kipata fursa kiduchu pitia bayana zangu za awali kwa Ihsan yako ndugu yangu Maulaga.

Kwa kifupi kwa hapa jamvini,zaidi ya huyo Jasusi labda na Andrew Nyerere ambae sijamuona kuchangia tangia nimefika hapa;basi hakuna mwengine ambae anaweza kunishinda kwa kumjua na ukaribu nilokua nae huyo Nyerere wako.

Hicho ni kwa kifupi tu ndugu yangu,na nimependa mno jinsi ulivyonikanya nami natumai utafurahia majibu yangu kwako.

Ahsanta na tuendelee nam mnakasha.
Ndugu yangu gombesugu, sijui ulitaka kusema nini hapo nilipo weka red!Kama ulighadhibishwa na matusi ya Gwalihenzi na ukaomba jamii hapa JF iyakemee basi na upande wa pili yaani matusi ya Zali la Mentali yalipaswa kukemewa na wewe muungwana. Ajabu ulikaa kimya kana kwamba hukuyaona! hapo ndipo unaposhangaza!
 
Ndugu yangu gombesugu, sijui ulitaka kusema nini hapo nilipo weka red!Kama ulighadhibishwa na matusi ya Gwalihenzi na ukaomba jamii hapa JF iyakemee basi na upande wa pili yaani matusi ya Zali la Mentali yalipaswa kukemewa na wewe muungwana. Ajabu ulikaa kimya kana kwamba hukuyaona! hapo ndipo unaposhangaza!

Nadhani hata wewe ni muungwana ulipaswa kukemea matusi aliyokuwa anatukwanwa Mohamed Said, na wanaukumbi wengine lakini ulikaa kimya bila kuonyesha chochote.

Au mwenye jukumu la kukemea matusi jamvini ni Sharrif gombesugu, tu.

Tuendelee kusemezana kwa lugha ya ushui Inshaaalah.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu gombesugu, sijui ulitaka kusema nini hapo nilipo weka red!Kama ulighadhibishwa na matusi ya Gwalihenzi na ukaomba jamii hapa JF iyakemee basi na upande wa pili yaani matusi ya Zali la Mentali yalipaswa kukemewa na wewe muungwana. Ajabu ulikaa kimya kana kwamba hukuyaona! hapo ndipo unaposhangaza!

Maulaga,

Kama ujuavyo mimi ni Mgeni mno hapa Jamvini na Jamii Forum kwa Ujumla.

Na pia mimi kwa kuwa ni Mswahili nikatumia ule msemo yakuwa "Uingiapo mji wa vipofu nawe fumba lako jicho".

Kwa kifupi ulitakiwa unisifu japo kiduchu,kwa sababu pamoja na ule ugeni wangu nilijaribu ku-highlight hiyo issue kwa wenyeji wangu/Senior Members.

Na kuanzia sasa sitatumia hilo neno Nyerere wako asilan. Lakini na hili pia nilishawahi kulalama hapo awali;yaani hapa jamvini pana baadhi ya watu wanajiona yakuwa Nyerere ni kama vile wana hati miliki nae...na sisi wengine hatutakiwi asilan kumjadili au hata kumtaja bila kunasibishwa na chuki ya Ukatoliki au chuki binafsi dhidi ya "Mwalimu"!?

Ndo maana nilipoanza kutumia hiyo Nyerere wao/wako.

Nina mengi ya kukwambia ndugu yangu Maulaga,lakini nakuomba utulie na upitie posts zangu kwa utuvu. Maana hicho ndicho kitu pekee kitachoni-exonarate mimi dhidi ya hizo allegations zako.

Katika ile hoja yako nyingine ulidai yakuwa Nyerere anaonewa na hayupo hapa kujitetea,kwa hili yawezekana ni kweli. Lakini ukadai yakuwa Allah na Mtume Muhammad wanaweza kujitetea!? Hili si kweli abadan!....Mtume Muhammad hawezi asilan kuja hapa kujitetea dhidi ya kashfa na matusi ya Gwalihenzi...maana naye pia alikua ni mwana-Adam wala hakuwa na hatakuwa Mungu asilan!

Nakushukuru mno ndugu yangu Maulaga kwa ustaarabu wako wa kunirekebisha japo kiduchu.

Shukran.
 
Swadakta nimeiweka Vatican makusudi nisikie tunashukuru kama Vatican siyo nchi basi nitaitoa kwenye hiyo orodha.

gombesugu, Jasusi, Mdondoaji,

RITZ,
Umemshika Yericko pabaya! naona sasa unataka Mwanakijiji aje hapa kukanusha ya Yericko kuwa Vatikan ni nchi! halafu Yericko huyu huyu ndie alikuwa akishirikiana na Mwanakijiji kusisitiza Vatikan ni nchi! labda kwa kuwa leo ni weekend jamaa kasahau kuwa Vatikan ni nchi! hembu tungoje labda jumatatu baada ya mastarehe ya weekend huenda akaja kukanusha!
 
Nadhani hata wewe ni muungwana ulipaswa kukemea matusi aliyokuwa anatukwanwa Mohamed Said, na wanaukumbi wengine lakini ulikaa kimya bila kuonyesha chochote.

Au mwenye jukumu la kukemea matusi jamvini ni Sharrif gombesugu, tu.

Tuendelee kusemezana kwa lugha ya ushui Inshaaalah.
Matusi ni matusi tu, yanatakiwa kukemewa bila kujali anayetukanwa ni nani! sasa unapoona Mohamed anatukanwa ukaumia lakini Nyerere akitukanwa unapongeza hapo kuna hitilafu! Tuwe wakweli na kweli itatuweka huru.
 
Last edited by a moderator:
Swadakta nimeiweka Vatican makusudi nisikie tunashukuru kama Vatican siyo nchi basi nitaitoa kwenye hiyo orodha.

gombesugu, Jasusi, Mdondoaji,

mbona katika yale mambo yao ya kidini vatican wanasema nchi sawa sawa na iran leo hii wanaikana ama kweli njia ya muongo ni fupi
 
Last edited by a moderator:

Yericko,

Huna moja ulijualo katika historia ya TANU.

Nakuwekea hapa mambo yalivyokuwa Lindi usiku wa kushusha bendera ya Waingereza na
kupandisha bendera ya Tanganyika huru 9 December 1961:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] [FONT=&]But the two most remarkable occasions in Nyerere’s second trip to the south were firstly the tawaswil performed on Nyerere by Sheikh Yusuf Badi himself with a few selected Muslims and sheikhs in attendance; [FONT=&][1][/FONT] the second was the karam (Muslim lunch) hosted by Mussa Athman Lukundu the head foreman of Dockworkers’ Union in Lindi in his honour.

This was a great honour shown to Nyerere; it is the highest expression of love and respect any Muslim can show to a non-Muslim.

[/FONT][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [FONT=&]The finest hour for Lindi was the Independence Day, 9 th December, 1961.

Sheikh Badi, the poet was asked by TANU to write the independence speech to be delivered by Yusuf Chembera before the colonial District Commissioner as the representative of the outgoing British administration.

The speech was dictated by Sheikh Badi and was written in Arabic script by Chembera.

As a young boy Chembera was sent to Sheikh Yusuf Badi by his father to study Islamics and was under his tutorship until when he completed his studies.

Sheikh Badi did not find any speech written by a mortal worth the occasion.

Sheikh Badi
dictated to his former student the dua kunut (prayer) which is recited by Muslims in every fajir (morning) prayer.

Midnight on the 9 th December, 1961 was a great moment for both teacher and student, as the people assembled at the golf course heard Chembera reciting the famous dua.

But soon after independence, the educated Christians began to undermine what they perceived as uneducated Muslim leadership in TANU.

Suleiman Masudi Mnonji was detained under the Preventive Detention Act of 1962 for ‘mixing religion and politics’, and other veterans were thrown out of leadership positions. [/FONT]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[FONT=&][FONT=&][1][/FONT][/FONT][FONT=&] Tawaswil is a special prayer conducted privately in which Allah's mercy and help is sought
and invoked through references to good deeds of the prophets and walii (saints) in the Muslim
history.

Kutoka ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...''
[/FONT]


Mzee MS; Sina budi kuuliza. Haya hapa juu ni maelezo mazuri sana ya kilichotokea. Mimi nikisoma ni kuwa wazee hawa wa Lindi walimfanyia Nyerere mpaka ibada ya kiislamu kwa vile WAZEE hawa walikuwa ni waislamu. Naamini kama angealikwa na Makalasinga wanaounga mkono TANU pia wangeendesha masuala haya kama wenzao waislamu kule Lindi. Sasa nakusihi kuwa CREDIT pia mpe na mpokeaji (NYERERE)kwa ule uelewa na TOLERANCE YA DINI ZA WENZAKE KUWA HAIKUMPA SHIDA YEYE KAMA MKATOLIKI KUCHANGANYIKA NA WATANGANYIKA WENZIE WAISLAMU, WAKIRISTO, WAHINDU HATUJUI NA DINI ZIPI TENA KUFANYIWA KARAMU, KULA NAO, NA HATA DUA ZAO. Mimi naliona taifa lilikuwa na mwelekeo wa kuvumiliana tangu wakati huo. Au sijaelewa agenda???
 
Kwa wanajamvi;

Nimeona kunapengine jitihada za makusudi za kupotosha wasomaji juu ya bango nililoweka siku za awali juu ya mpasuko EAMWS na aliyekuwa anaiongoza wakati ule ambaye pia alikuwa mufti wa Tanzania. Japokuwa nilionyesha vipande vya paper ya Dr. Iddy Ziddy vilivyoelezea kilichomkumba na kuikumba EAMS lakini nimesoma posting fulani humu ambazo zina lego la kuwapotosha wasomaji.

Ile paper nii hapa na unaweza kuisoma online.

JSTOR: An Error Occurred Setting Your User Cookie

Ukifanikiwa kuipata, sasa pitia hiyo paper kisha mkono kwa mkono kagua ile posting niliyoifanya wakati ule.
 
Matusi ni matusi tu, yanatakiwa kukemewa bila kujali anayetukanwa ni nani! sasa unapoona Mohamed anatukanwa ukaumia lakini Nyerere akitukanwa unapongeza hapo kuna hitilafu! Tuwe wakweli na kweli itatuweka huru.

maulaga,

Ukinisoma vizuri humu ukumbini sijawahi kumpongeza yeyote anayemtukana Nyerere.

Mara nyingi ninachofanya humu jamvini ni kuwatetea wazee wetu pamoja na Masheikh wetu wanaokejeliwa na kufanyiwa dhihaka.

Nadhani wewe umeshuhudia wanavyoitwa wazee wetu.

Bahati mbaya hata wewe upo kimya matusi yanapotolewa dhidi ya wazee wetu.
 
Last edited by a moderator:
gombesugu,

..naomba ufafanuzi kidogo.

..umesema ktk shughuli zako za kila siku unamtetea sana Mwalimu Nyerere.

..sasa kwanini hapa JF unapojumuika na wa-Tanzania wenzako unatumia msamiati "Nyerere wenu" au "Nyerere wako"??
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu, huyo gombesugu ni mtu wa ajabu sana; katika posti yake ya kwanza alisema hivi, nanukuu;


Nilimstahi sana gombesugu nilipomezea upotoshaji mkubwa ailoufanya hapo juu; amechanganya ama kwa makusudi au kwa kutojua chaguzi mbili zilizofanyika Zanzibar...ule wa mwaka 1961 na ule wa 1963. Kama amefanya kwa kutojua namsamehe lakini kama kafanya kwa mtindo ule ule wa mwalimu wake wa darsa, simwachi ng'o...kama nilivyowahi kusema, uongo ukiachwa na kurudiwa rudiwa mwishowe huwanasa wasiofanya jitihada za kuhoji na hapo ndipo mimi huamua kuliita koleo kwa jina lake.

Hapa chini narudia matokeo ya chaguzi zote mbili...katika uchaguzi wa mwaka 1961 ZPPP na ZNP zilikubaliana kuachiana nafasi wakati huo Abdulrahman Babu akiwa bado ni mwanachama wa ZPPP. Matokeo ya uchaguzi huo ni kama inavyooneana hapa chini;

Uchaguzi wa mwaka 1961

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD] [TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
Chama
[/TD]
[TD]
Kura
[/TD]
[TD]
%
[/TD]
[TD]
viti
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
ASP
[/TD]
[TD="width: 78"]
45,172
[/TD]
[TD="width: 84"]
50.6%
[/TD]
[TD="width: 54"]
10
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
ZPPP​
ZNP​
[/TD]
[TD="width: 78"]
31,681​
12,411​
[/TD]
[TD="width: 84"]
35.3%​
13.9%​
[/TD]
[TD="width: 54"]
13
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kuhama kwa Abdulrahman Babu na kuanzisha chama cha UMMA Party kulileta athari kubwa kwa chama ZPPP kwani kwenye uchaguzi wa mwaka 1963, UMMA Party waliiunga mkono ASP ingawa nayo ZNP iliweza kufaidika japo kidogo kama inavyoonekana hapa chini; (to tell the truth ZNP wa arab-dominated)

Uchaguzi wa mwaka 1963

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
Chama
[/TD]
[TD]
Kura
[/TD]
[TD]
%
[/TD]
[TD]
viti
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
ASP
[/TD]
[TD="width: 78"]
87,085
[/TD]
[TD="width: 84"]
54.21%
[/TD]
[TD="width: 54"]
13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
ZNP​
[/TD]
[TD="width: 78"]
47,950​
[/TD]
[TD="width: 84"]
29.85%​
[/TD]
[TD="width: 54"]
12​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
ZPPP​
[/TD]
[TD="width: 78"]
25,609​
[/TD]
[TD="width: 84"]
15.84%​
[/TD]
[TD="width: 54"]
6
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Sasa shuhudieni hivi viroja; inakuwaje ASP ipate kura 87,085 lakini iambulie viti 13 huku ZNP iliyopata kura 47,950 ikizoa viti 12? Hizi ndizo kura eti zilizompa Sultani uhalali wa kuendelea kuvikalia kimabavu visiwa vya Zanzibar! Hizi kura zina tofauti gani na zile za Kaburu Voster wa Afrika Kusini au mlowezi Ian Smith wa Rhodesia? Yaani kura moja ya mwarabu ni sawa na kura mbili za mwafrika!
JokaKuu, mwambie Al Akhiy gombesugu kwamba madhila waliyofanyiwa ndugu zake hayafikii yale waliyofanyiwa waafrika wa Zanzibar chini ya wakoloni kutoka Oman kwa karne nenda rudi. Wakati akitafakari la kufanya mpe pia info kwamba si wote wanaompinga Mohamed Said ni Wakristo ama wana Chadema, ni kwamba tu adui wa adui yako mwombee heri; kwangu hakuna adui wa hili taifa langu ninalolipenda zaidi ya CCM.
Mag3,

Kwa faida ya wanajamvi tufahamishe waafrika wa Zanzibar ni kina nani, halafu nyie Chadema mnamchukuliaje mfadhili wenu Mustafa Sabodo, wa chama chenu Chadema ni Muhindi au Mwafrika.

Tofauti na maoni ya wengi mimi napendekeza Dr. Slaa aongezewe mshahara; huo wa milioni saba kama ni kweli hautoshi kwani haulingani na kazi anayoifanya. Gharama ya elimu hata kama itadaiwa ni ghali haiwezi kufikia gharama ya ujinga! Elimu anayoitoa Dr. Slaa kwa Watanzania haina bei...hebu fikirieni siku Watanzania wote kwa ujumla wao baada ya elimu kuwaingia wanaamua kuipa likizo CCM, chama cha mafisadi, chama cha wezi, chama cha walafi, chama cha wauaji...fikirieni mali zitakazookelewa, tembo watakaookolewa, maisha yatakayookolewa, huduma mbalimbali zitakavyoboreshwa!...do I need to go on? really?

Mshahara anaolipwa Dr. Slaa hautoshi!


Naona hapa umeamua kupambana mpaka dakika za mwisho hili kiongozi wako wamlipe pesa nyingi pamoja na kukopa milioni 150 bado hazimtoshi, siku mkija kuchukuwa nchi walaahi sijui itakuaje ndiyo mtalipana mamalioni ya mishahara.

Uchaguzi wa mwaka 1963

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
Chama
[/TD]
[TD]
Kura
[/TD]
[TD]
%
[/TD]
[TD]
viti
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
ASP
[/TD]
[TD="width: 78"]
87,085
[/TD]
[TD="width: 84"]
54.21%
[/TD]
[TD="width: 54"]
13
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
ZNP​
[/TD]
[TD="width: 78"]
47,950​
[/TD]
[TD="width: 84"]
29.85%​
[/TD]
[TD="width: 54"]
12​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
ZPPP​
[/TD]
[TD="width: 78"]
25,609​
[/TD]
[TD="width: 84"]
15.84%​
[/TD]
[TD="width: 54"]
6
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Sasa shuhudieni hivi viroja; inakuwaje ASP ipate kura 87,085 lakini iambulie viti 13 huku ZNP iliyopata kura 47,950 ikizoa viti 12? Hizi ndizo kura eti zilizompa Sultani uhalali wa kuendelea kuvikalia kimabavu visiwa vya Zanzibar! Hizi kura zina tofauti gani na zile za Kaburu Voster wa Afrika Kusini au mlowezi Ian Smith wa Rhodesia? Yaani kura moja ya mwarabu ni sawa na kura mbili za mwafrika!
Hapa kama kawaida yako baada ya kuchakachuwa na kuficha source ya majedwali yako hili utimize lengo lako la kuwadanganya wanaukumbi wanaofutilia huu mnakasha basi mie kwa faida ya wanaukumbi nawawekea ulipoyatoa hayo majedwali kisha ukayachakachuwa haya hapa chini.
[TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH]Party[/TH]
[TH]Votes[/TH]
[TH]%[/TH]
[TH]Seats[/TH]
[TH]+/-[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Afro-Shirazi Party[/TD]
[TD]87,085[/TD]
[TD]54.2[/TD]
[TD]13[/TD]
[TD]+3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar Nationalist Party[/TD]
[TD]47,950[/TD]
[TD]29.9[/TD]
[TD]12[/TD]
[TD]+2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar and Pemba People's Party[/TD]
[TD]25,609[/TD]
[TD]15.9[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]+3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Invalid/blank votes[/TD]
[TD]2,866[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Total[/TD]
[TD]163,510[/TD]
[TD]100[/TD]
[TD]31[/TD]
[TD]+8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5, align: left"]Source: Nohlen et al.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
References


  • ^ Nohlen, D, Krennerich, M & Thibaut, B (1999) Elections in Africa: A data handbook, p880.

[TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH]Party[/TH]
[TH]Votes[/TH]
[TH]%[/TH]
[TH]Seats[/TH]
[TH]+/-[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Afro-Shirazi Party[/TD]
[TD]36,698[/TD]
[TD]43.2[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD]+5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar Nationalist Party[/TD]
[TD]32,724[/TD]
[TD]38.5[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]New[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar and Pemba People's Party[/TD]
[TD]15,541[/TD]
[TD]18.3[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]New[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Total[/TD]
[TD]84,963[/TD]
[TD]100[/TD]
[TD]22[/TD]
[TD]+16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5, align: left"]Source: Nohlen et al.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
madhila waliyofanyiwa ndugu zake hayafikii yale waliyofanyiwa waafrika wa Zanzibar chini ya wakoloni kutoka Oman kwa karne nenda rudi.
Kwa faida ya wanaukumbi tufahimishe uafrika ni nini? hapa chini huyu anayewapa cheki viongozi wa Chadema ni mwafrika au muhindi?
DSC_9468.JPG
 
Mzee MS; Sina budi kuuliza. Haya hapa juu ni maelezo mazuri sana ya kilichotokea. Mimi nikisoma ni kuwa wazee hawa wa Lindi walimfanyia Nyerere mpaka ibada ya kiislamu kwa vile WAZEE hawa walikuwa ni waislamu. Naamini kama angealikwa na Makalasinga wanaounga mkono TANU pia wangeendesha masuala haya kama wenzao waislamu kule Lindi. Sasa nakusihi kuwa CREDIT pia mpe na mpokeaji (NYERERE)kwa ule uelewa na TOLERANCE YA DINI ZA WENZAKE KUWA HAIKUMPA SHIDA YEYE KAMA MKATOLIKI KUCHANGANYIKA NA WATANGANYIKA WENZIE WAISLAMU, WAKIRISTO, WAHINDU HATUJUI NA DINI ZIPI TENA KUFANYIWA KARAMU, KULA NAO, NA HATA DUA ZAO. Mimi naliona taifa lilikuwa na mwelekeo wa kuvumiliana tangu wakati huo. Au sijaelewa agenda???

Wickama,
Hilo ulisemalo la Nyerere wala halina ubishi hata kidogo.

Labda la kujiuliza.

Wakatoliki wa Peramiho walikuwa wapi wakati akina Sheikh
Badi wanapambana na Mwingereza?

Nadhani agenda sasa iko hadhir.
 
Wickama,
Hilo ulisemalo la Nyerere wala halina ubishi hata kidogo.

Labda la kujiuliza.

Wakatoliki wa Peramiho walikuwa wapi wakati akina Sheikh
Badi wanapambana na Mwingereza?

Nadhani agenda sasa iko hadhir.

Kazi ya kasisi Maranta ilihusu maeneo yote ya kihuduma Tanganyika ikiwemo Peramiho,

Sasa sijui unatazamaje juu ya hilo?
 
Wickama,
Hilo ulisemalo la Nyerere wala halina ubishi hata kidogo.

Labda la kujiuliza.

Wakatoliki wa Peramiho walikuwa wapi wakati akina Sheikh
Badi wanapambana na Mwingereza?

Nadhani agenda sasa iko hadhir.

Ok I get your point. Will you blame catholics for the defeat that Abdulwahid Sykes suffered at the hands of Nyerere at Arnatoglu Hall as well?
 
Ritz,

..Sabodo ni Mtanzania mwenye asili ya Kihindi.
 
Last edited by a moderator:
Ok I get your point. Will you blame catholics for the defeat that Abdulwahid Sykes suffered at the hands of Nyerere at Arnatoglu Hall as well?

Wickama,
Nimeeleza huko nyuma kuwa wazo la kumpata kiongozi mmoja kuwaunganisha
Watanganyika wote alikuwanalo Abdu Sykes siku nyingi na 1950 alijaribu sana
kumshawishi Chief David Kidaha Makwaia ajiunge na TAA ili wamchague kuwa
rais wa chama.

Chief Kidaha hakutaka.

Ilipofika 1952 Abdu alipokutana na Nyerere akampa fikra ile na Nyerere akakubali.
1953 Nyerere akachaguliwa kuwa rais wa TAA na 1954 TANU ikaundwa.

Abdu hakuwa mtu wa kupenda madaraka.
Hawezi kulaumiwa mtu kwa Abdu kumleta Nyerere pale New Street na kumjulisha
kwa wanamji.

Katika historia hii yake ndipo unapomsoma Abdu anapendeza.

Enzi hizo akiendesha Mercedes Benz na kijana mdogo akijiweza sana.
Vijana wenzake wakimuheshimu sana pamoja na Nyerere.

Yapo mengi lakini ya nini hayo yote?
 
Ritz,

..Sabodo ni Mtanzania mwenye asili ya Kihindi.

Jokakuu,
Chadema kupokea Takrima toka kwa kada wa CCM tafsiri yake nini? ni kichekesho kwa Chama kinachodai ni Wapinzani huku wanapokea Takrima toka kwa kada wa Chama tawala! Sabodo ni kada wa CCM au CDM? haingii akilini kada 1 kupenda vyama 2 tofauti! hapa kuna usiri fulani tunaomba akina Jokakuu watufichulie!
 
Muheshimiwa Mag3,
Tatizo ni yakuwa tuna mitazamo tafauti,ambalo pia ni jambo jema sana khasa kitaaluma.

Lakini tatizo jingine linipalo dhiki na madhila mengi,ni yakuwa nakuhisi wewe ndugu yangu Mag3 ni Mbaguzi wa rangi. Jambo ambalo ni hatari na khasara kwa Taifa letu changa.

Hayo majedwali yako hapo juu mimi binafsi na wewe ndugu yangu twajua yakuwa hizo informations/statistics ni fake na ni upotoshwaji wa Historia mkubwa mno!

Lakini napenda fursa kwa leo nirejee kiduchu kwenye huo ubaguzi wako wa rangi. Hivi Mag3 na wenzio woote hapa jamvini tangia lini mmeanza kuwa na Imani,huruma,majonzi,empathy,sympathy,sikitiko na labda pia kufikia kilio cha "ndugu zenu WaZanzibary Weusi"!? Halafu hizi definitions zenu za "Arabs","Africans","Bantu","Comorians" na mengineyo mengi,ndio mwanzo wa machochezi na kuhatarisha amani ya nchi.

Kuna baadhi ya Thread humu ndani nimeona ati huyo Mwanakijiji,amefikia hadi ya kujipa dhamana na authority ati ya kujua ni kiwango gani cha senti,hao WaZanzibary walipwe ili watolewe kwenye muungano!? Yaani imefikia huyo Mwanakijiji anajifanya yeye ni Fiscal Activist na kupangia Taifa/WaZanzibary kiasi gani cha senti wapewe ili waondoshe "gubu lao" kwa WaTanganyika!? Ama kweli hapa JF pana viroja vingi mno!

Ndo maana mimi binafsi,huwa nakuoneni yakuwa wengi wenu ni Wazandik tu. Yaani mnakuwa upande wa WaZanzibary pale tu inapo-suit matakwa na vigezo vyenu vya kibaguzi!? Sisi watu wa Madrassa hiyo tunaita Fitnatil Al Maaarifa.

Haya si ndo mambo mlokua mkimfanyia kebehi Sheikh Mohammed hapa jamvini,alipokua akitaja baadhi ya Makabila ya wenye mji/Wazee wetu hapo Mzizizma!?

Kama nilivywahi kunena hapo awali,haya majambo ya Race Issue ni very complex subject. Inalazim muwe waangalifu japo kiduchu,khasa mnapokua kwenye Public Forum kama hapa.

Mimi nina personal experience kutokana na family background yangu,kwa hiyo nazungumza kitu ninachokifahamu kwa undani na khatari zake kwenye Family au Taifa letu.
Kwa kumalizia napenda kama kipata fursa japo kiduchu,rejea baadhi ya bayana zangu za awali khasa ile niliyokua nikijadiliana na ndugu yangu Nyambala,na nilijaribu kuweka tahadhari kwa Taifa letu WaTanzania,kwa kutumia kigezo/mfano wa nchi ya Sudan.

Lazim leo ninene hapa barazani;yaani kuna wakti nafikira kama siku tukijaaliwa kukutana popote pale basi hata mimi pia waweza kuniona au kuniita yakuwa sio MTanzania/MTanganyika, khasa kutokana na hizo definitions zenu za urangi na Makabila. Jana nilikua nawasomea wanangu/wajukuu zako ambao ni viduchu mno khadith za kulalia/bed time reading. Basi ghafla nikakukumbuka wewe Babu yao Mag3,je utakubali kuwa wao nao pia ni WaAfrika/WaTanzania siku ukiwaona/wakija kukuamkua!?

Kaa chini kwa utuvu ufikirie haya majambo kwa kina...huna haja ya kujilazimisha kujibu kwa pupa na zogo. Tumia busara nyingi ulonazo kwa utaratibu na madhubuti.Insha Allah tuendelee na mnakasha,na nakutakia w'end njema.
Ahsnata.Cc;Ritz
Gombesugu nami nakuamkua huko ughaibuni ulipo. Je, kulikoni?

Naona umeguswa sana na suala la rangi. Nikufahamishe kuwa suala la rangi kwa ZNZ ni jambo ambalo huwezi kuliepuka katika siasa zake. Nadhani unajua kuwa hivi karibuni wapo viongozi waliotoa kauli za kuonyesha wazi urangi ulivyotamalaki visiwani.

Ni suala la historia na litabaki kama lilivyo kwasababu uwezo wa kupindua historia haupo isipokuwa kwa wachache waliojaaliwa. Ili kuipindua historia inabidi ujivike joho la uongo, fitna al maarifa kwa kutumia CD,paper au vitabu. Vyovyote iwavyo historia inabaki kama ilivyo na huko visiwani Urangi ni sehemu yake.

Kuna mahali umemgusa Mwanakijiji kuhusu masuala aliyoongelea ingawa umepindisha kidogo ili kutoa taswira unayoitaka na siyo iliyoongelewa.

Nalazimika kuingia hapa kwasababu katika nyuzi hiyo aliyochangia Mwanakijiji nami pia nilichangia.
Na hapa naweka rekodi sawa.

Aliyeleta hoja ya kugawana kila kitu pasu kwa pasu ni mzanzibar.
Mzanzibar huyo alidai kuwa muungano ukivunjika itabidi kugawana kila kitu kwa kuzingatia kuwa BoT ina mtaji wa 12.5%.

Katika majibu na langu likiwemo, tulisema kuwa hiyo haina taabu lakini basi kila kitu kiwekwe mezani.
Kwamba znz haijawahi kuwa na bajeti ya ulinzi na usalama, elimu ya juu, imekuwa inapata 7% zamani 4% ya pato la taifa, huduma za bure kama umeme, mishahara ya wastaafu, mishahara ya wafanyakazi wa SMZ hadi masheikh, kuziba nakisi ya bajeti ambayo ni pengo mara 3 kuliko pato la znz n.k.

Pesa zote hizo zinatoka Tanganyika na kwa Watanganyika kwasababu znz haina uwezo.
Haina uwezo kwa kuzingatia kuwa pato lake la mwaka ni bilioni 120 ambazo haziwezi kuendesha wizara ya mambo ya ndani ya muungano au basi hata vikosi viwili vya jeshi.

Kwa mantiki hiyo, 12.5 ya znz itawekwa mezani, lakini haitaishia hapo itabidi na makando kando mengine yawekwe mezani pia ili haki itamalaki. Kwa msingi huo znz itajikuta inalazimika kulipa na si kulipwa.

Hapo ndipo inaposemwa kuwa znz waondoke katika muungano salama salimini hawana kitu cha kudai, vinginevyo watakuwa wanakaribisha matatizo. Ili kuondoa Gubu wao waende zao taratibu.

Hapo hakuna suala la fiscal activist ni suala la ukweli na kama ni uongo, basi hebu tufahamiane wapi unapodhani kuna wahka ulioleta staftashi katika kiwango ulichoonyesha.

Kuhusu znz kutumika pale penye ''mafao''kwa Watanganyika, nadhani hilo halina ukweli.
ZNZ haina mafao na Mtanganyika ya aina yoyote.

Suala la muungano lipo wazi kuwa kama wamechoka na wanaona wanaonewa, basi wao kwa pamoja na viongozi wao waondoke Tanganyika warudi kwenye nchi yenye neema.
Ingawa wzn wengi wasingependa muungano uvunjike kwa manufaa wanayoyapa, hilo halizuii wao kuamua hatima yao wakitaka.

Lakini pia usisahau kuwa suala la Urangi linakuzwa sana na wzn wenyewe. Wanapomwita Karume Mnyasa, Mwinyi Mndengereko n.k. maana yake wanawagawa watu wao.

Kwamba ili uwe mznz halisi lazima uwe na nywele za ''katani'' midevu ya nguvu at least kuonyesha una unasaba mwingine na si wandengereko au Wanyasa.

Hapo ndipo ftina al maarufu ilipo kwahiyo kumlaumu Mag3 kwa kuweka anayoyafahamu kuhusu historia si kumtendea haki.Unapaswa uwasote vidole wzn ambao hutambuana kwa rangi kwanza.

Na mwisho, pengine uwaase wznz wenzako kuwa hizi habari za mkafir n.k. ndizo zinazozaa hisia za urangi.
Kwamba ukitoka bara ni chogo, na kama umezaliwa visiwani ni chogo mdogo.
Asiye chogo lazima awe na yale niliyoyasema hapo, ikiwa ni pamoja na karangi ka kiarabu japo kwa kuibia.

Khair Inshallah basi mjulie hali ahli wako na vijana.

cc. Al-akhyi wote,waungwana,wanajamvi na 'makafir'
 
Back
Top Bottom