Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Wickama,
Nimeeleza huko nyuma kuwa wazo la kumpata kiongozi mmoja kuwaunganisha
Watanganyika wote alikuwanalo Abdu Sykes siku nyingi na 1950 alijaribu sana
kumshawishi Chief David Kidaha Makwaia ajiunge na TAA ili wamchague kuwa
rais wa chama.

Chief Kidaha hakutaka.

Ilipofika 1952 Abdu alipokutana na Nyerere akampa fikra ile na Nyerere akakubali.
1953 Nyerere akachaguliwa kuwa rais wa TAA na 1954 TANU ikaundwa.

Abdu hakuwa mtu wa kupenda madaraka.
Hawezi kulaumiwa mtu kwa Abdu kumleta Nyerere pale New Street na kumjulisha
kwa wanamji.

Katika historia hii yake ndipo unapomsoma Abdu anapendeza.

Enzi hizo akiendesha Mercedes Benz na kijana mdogo akijiweza sana.
Vijana wenzake wakimuheshimu sana pamoja na Nyerere.

Yapo mengi lakini ya nini hayo yote?

UONGO usiokifani,

Tumeshaeleza sana juu ya uongo wako usiojua hata kuutetea,

Nyerere ameanza kuhudumu katika siasa tangu mwaka 1945 ndani ya AA, Abdul kaibukia TAA mwaka 1948, sasa hapo nani mkongwe wa siasa za Tanganyika?

Unadanganya watu kuwa Abdul Sykes hakupenda kuwa kiongozi ilihali alishindana na Nyerere marambili? 1953 katika TAA, na 1954 katika TANU

Nachukia sana nikimuona mzee ni muongo
 
Gombesugu nami nakuamkua huko ughaibuni ulipo. Je, kulikoni?

Naona umeguswa sana na suala la rangi. Nikufahamishe kuwa suala la rangi kwa ZNZ ni jambo ambalo huwezi kuliepuka katika siasa zake. Nadhani unajua kuwa hivi karibuni wapo viongozi waliotoa kauli za kuonyesha wazi urangi ulivyotamalaki visiwani.

Ni suala la historia na litabaki kama lilivyo kwasababu uwezo wa kupindua historia haupo isipokuwa kwa wachache waliojaaliwa. Ili kuipindua historia inabidi ujivike joho la uongo, fitna al maarifa kwa kutumia CD,paper au vitabu. Vyovyote iwavyo historia inabaki kama ilivyo na huko visiwani Urangi ni sehemu yake.

Kuna mahali umemgusa Mwanakijiji kuhusu masuala aliyoongelea ingawa umepindisha kidogo ili kutoa taswira unayoitaka na siyo iliyoongelewa.

Nalazimika kuingia hapa kwasababu katika nyuzi hiyo aliyochangia Mwanakijiji nami pia nilichangia.
Na hapa naweka rekodi sawa.

Aliyeleta hoja ya kugawana kila kitu pasu kwa pasu ni mzanzibar.
Mzanzibar huyo alidai kuwa muungano ukivunjika itabidi kugawana kila kitu kwa kuzingatia kuwa BoT ina mtaji wa 12.5%.

Katika majibu na langu likiwemo, tulisema kuwa hiyo haina taabu lakini basi kila kitu kiwekwe mezani.
Kwamba znz haijawahi kuwa na bajeti ya ulinzi na usalama, elimu ya juu, imekuwa inapata 7% zamani 4% ya pato la taifa, huduma za bure kama umeme, mishahara ya wastaafu, mishahara ya wafanyakazi wa SMZ hadi masheikh, kuziba nakisi ya bajeti ambayo ni pengo mara 3 kuliko pato la znz n.k.

Pesa zote hizo zinatoka Tanganyika na kwa Watanganyika kwasababu znz haina uwezo.
Haina uwezo kwa kuzingatia kuwa pato lake la mwaka ni bilioni 120 ambazo haziwezi kuendesha wizara ya mambo ya ndani ya muungano au basi hata vikosi viwili vya jeshi.

Kwa mantiki hiyo, 12.5 ya znz itawekwa mezani, lakini haitaishia hapo itabidi na makando kando mengine yawekwe mezani pia ili haki itamalaki. Kwa msingi huo znz itajikuta inalazimika kulipa na si kulipwa.

Hapo ndipo inaposemwa kuwa znz waondoke katika muungano salama salimini hawana kitu cha kudai, vinginevyo watakuwa wanakaribisha matatizo. Ili kuondoa Gubu wao waende zao taratibu.

Hapo hakuna suala la fiscal activist ni suala la ukweli na kama ni uongo, basi hebu tufahamiane wapi unapodhani kuna wahka ulioleta staftashi katika kiwango ulichoonyesha.

Kuhusu znz kutumika pale penye ''mafao''kwa Watanganyika, nadhani hilo halina ukweli.
ZNZ haina mafao na Mtanganyika ya aina yoyote.

Suala la muungano lipo wazi kuwa kama wamechoka na wanaona wanaonewa, basi wao kwa pamoja na viongozi wao waondoke Tanganyika warudi kwenye nchi yenye neema.
Ingawa wzn wengi wasingependa muungano uvunjike kwa manufaa wanayoyapa, hilo halizuii wao kuamua hatima yao wakitaka.

Lakini pia usisahau kuwa suala la Urangi linakuzwa sana na wzn wenyewe. Wanapomwita Karume Mnyasa, Mwinyi Mndengereko n.k. maana yake wanawagawa watu wao.

Kwamba ili uwe mznz halisi lazima uwe na nywele za ''katani'' midevu ya nguvu at least kuonyesha una unasaba mwingine na si wandengereko au Wanyasa.

Hapo ndipo ftina al maarufu ilipo kwahiyo kumlaumu Mag3 kwa kuweka anayoyafahamu kuhusu historia si kumtendea haki.Unapaswa uwasote vidole wzn ambao hutambuana kwa rangi kwanza.

Na mwisho, pengine uwaase wznz wenzako kuwa hizi habari za mkafir n.k. ndizo zinazozaa hisia za urangi.
Kwamba ukitoka bara ni chogo, na kama umezaliwa visiwani ni chogo mdogo.
Asiye chogo lazima awe na yale niliyoyasema hapo, ikiwa ni pamoja na karangi ka kiarabu japo kwa kuibia.

Khair Inshallah basi mjulie hali ahli wako na vijana.

cc. Al-akhyi wote,waungwana,wanajamvi na 'makafir'


Haiwezekani,haingii akilini hata kidogo,
Mtu mzima na akili zake atoke zake kuoga na kuingia nyumba ya bui bui kubadilishia nguo zake huku akitaraji wapita njia na jirani zake wasiione aibu yake,hilo haliwezekani hata kidogo...

Kwenye bandiko lako hili kwa mtu mwenye akili timamu anang'amua wazi wazi mantiq yako..!

Pole sana...
 
Barubaru,

..sasa mambo ya kusomesha watoto yameingiaje hapa??

..nani amekwambia wanawe Mwalimu hawajasoma, na hakuna aliyefika chuo kikuu?

..hivi unafikiri kila mzazi anayependa mwanawe afike chuo kikuu, anafanikiwa ktk lengo hilo?

..mimi namshukuru Mwalimu kwamba wakati wa utawala wake elimu ya Tanzania ilikuwa ni ya viwango.

..ilikuwa ukihitimu form 4, 6, University, kweli unakuwa umewiva kulingana na daraja ulilofikia siyo kama miaka hii.

..kuhusu mapigano mkoani Mara, wakati wa Mwalimu hali haikuwa mbaya kama sasa hivi. wakati wa Mwalimu hali ya usalama ilikuwa nzuri kuliko sasa hivi.

..wewe mwenyewe si ulikimbia kwenu Znz kuja kuishi na kusoma huku Tanganyika?? Sasa hata kwa hilo humshukuru hata kidogo Mwalimu Nyerere??

cc😡Jasusi, Mag3, Wickama, Kadogoo, Ritz, Nguruvi3

Waache hao wa pembeni, je unaweza nitajia mmoja tu ambaye kabla kifo chake alikuwa na Degree kama hu msema kweli?. Kumbuka nawafahamu vizuri sana na nilikuwa nao karibu sana nilipokuwa Mwanza.

Na ninapozungumza mambo ya mkoa Mara jua naujua vizuri sana nimewahi kukaimu mara nyingi sana wakti akiwa madarakani niambie ni wakti gani ulitulia? au zilikuwa kuna siri kubwa na kuminywa kwa habari ndiko kulikoleta amani.

Uzizungumze jambo ambalo huna uhakika nalo kumbuka ninachoandika nakijua na naweza yakinisha hata kwa muumba.

Kuhusu Ilmu ni popote pale kwani wazazi wangu walikuwa walipa kodi wazuri sana kutokana na biashara zao, hivyo mi sikubahatika kusoma bure bali Wazazi wangu walinisomesha kwa kodi walizokuwa wanalipa Serikalini na walilipa pesa nyingi sana nami nikasoma toka darsa la nne mpaka UDSM bila mushkirah.

POLE SANA.

cc😡Jasusi, Mag3, Wickama, Kadogoo, Ritz, Nguruvi3

 
Yericko,
Sheikh Badi alikuwa mpigania uhuru.

Mbona hutulii kwenye hoja?

Hoja yako yamsingi ilikuwa kwanini wakristu wa Peramiho hawakupambana na Muingereza?

Mimi nikakujibu kuwa Kazi ya kasisi Maranta katika kuhudumu kwa harakati za ukombozi Tanganyika, na Peramiho ilikuwa ni wajibu wake!
 
Ritz,

..Sabodo ni Mtanzania mwenye asili ya Kihindi.

Nashukuru kwa jibu lako murua.

Na Nyerere je asili yake ilikuwa wapi?

Hata mbunge wenu wa Chadema Mwanza Nyamagani Wenje ni Mtanzania mwenye asili ya Kenya.

Sabodo ni mwafrika au siyo mwafrika hapa ndiyo nataka kujua.
 
Last edited by a moderator:
Gombesugu nami nakuamkua huko ughaibuni ulipo. Je, kulikoni?

Naona umeguswa sana na suala la rangi. Nikufahamishe kuwa suala la rangi kwa ZNZ ni jambo ambalo huwezi kuliepuka katika siasa zake. Nadhani unajua kuwa hivi karibuni wapo viongozi waliotoa kauli za kuonyesha wazi urangi ulivyotamalaki visiwani.

Ni suala la historia na litabaki kama lilivyo kwasababu uwezo wa kupindua historia haupo isipokuwa kwa wachache waliojaaliwa. Ili kuipindua historia inabidi ujivike joho la uongo, fitna al maarifa kwa kutumia CD,paper au vitabu. Vyovyote iwavyo historia inabaki kama ilivyo na huko visiwani Urangi ni sehemu yake.

Kuna mahali umemgusa Mwanakijiji kuhusu masuala aliyoongelea ingawa umepindisha kidogo ili kutoa taswira unayoitaka na siyo iliyoongelewa.

Nalazimika kuingia hapa kwasababu katika nyuzi hiyo aliyochangia Mwanakijiji nami pia nilichangia.
Na hapa naweka rekodi sawa.

Aliyeleta hoja ya kugawana kila kitu pasu kwa pasu ni mzanzibar.
Mzanzibar huyo alidai kuwa muungano ukivunjika itabidi kugawana kila kitu kwa kuzingatia kuwa BoT ina mtaji wa 12.5%.

Katika majibu na langu likiwemo, tulisema kuwa hiyo haina taabu lakini basi kila kitu kiwekwe mezani.
Kwamba znz haijawahi kuwa na bajeti ya ulinzi na usalama, elimu ya juu, imekuwa inapata 7% zamani 4% ya pato la taifa, huduma za bure kama umeme, mishahara ya wastaafu, mishahara ya wafanyakazi wa SMZ hadi masheikh, kuziba nakisi ya bajeti ambayo ni pengo mara 3 kuliko pato la znz n.k.

Pesa zote hizo zinatoka Tanganyika na kwa Watanganyika kwasababu znz haina uwezo.
Haina uwezo kwa kuzingatia kuwa pato lake la mwaka ni bilioni 120 ambazo haziwezi kuendesha wizara ya mambo ya ndani ya muungano au basi hata vikosi viwili vya jeshi.

Kwa mantiki hiyo, 12.5 ya znz itawekwa mezani, lakini haitaishia hapo itabidi na makando kando mengine yawekwe mezani pia ili haki itamalaki. Kwa msingi huo znz itajikuta inalazimika kulipa na si kulipwa.

Hapo ndipo inaposemwa kuwa znz waondoke katika muungano salama salimini hawana kitu cha kudai, vinginevyo watakuwa wanakaribisha matatizo. Ili kuondoa Gubu wao waende zao taratibu.

Hapo hakuna suala la fiscal activist ni suala la ukweli na kama ni uongo, basi hebu tufahamiane wapi unapodhani kuna wahka ulioleta staftashi katika kiwango ulichoonyesha.

Kuhusu znz kutumika pale penye ''mafao''kwa Watanganyika, nadhani hilo halina ukweli.
ZNZ haina mafao na Mtanganyika ya aina yoyote.

Suala la muungano lipo wazi kuwa kama wamechoka na wanaona wanaonewa, basi wao kwa pamoja na viongozi wao waondoke Tanganyika warudi kwenye nchi yenye neema.
Ingawa wzn wengi wasingependa muungano uvunjike kwa manufaa wanayoyapa, hilo halizuii wao kuamua hatima yao wakitaka.

Lakini pia usisahau kuwa suala la Urangi linakuzwa sana na wzn wenyewe. Wanapomwita Karume Mnyasa, Mwinyi Mndengereko n.k. maana yake wanawagawa watu wao.

Kwamba ili uwe mznz halisi lazima uwe na nywele za ''katani'' midevu ya nguvu at least kuonyesha una unasaba mwingine na si wandengereko au Wanyasa.

Hapo ndipo ftina al maarufu ilipo kwahiyo kumlaumu Mag3 kwa kuweka anayoyafahamu kuhusu historia si kumtendea haki.Unapaswa uwasote vidole wzn ambao hutambuana kwa rangi kwanza.

Na mwisho, pengine uwaase wznz wenzako kuwa hizi habari za mkafir n.k. ndizo zinazozaa hisia za urangi.
Kwamba ukitoka bara ni chogo, na kama umezaliwa visiwani ni chogo mdogo.
Asiye chogo lazima awe na yale niliyoyasema hapo, ikiwa ni pamoja na karangi ka kiarabu japo kwa kuibia.

Khair Inshallah basi mjulie hali ahli wako na vijana.

cc. Al-akhyi wote,waungwana,wanajamvi na 'makafir'

nGURUVI3,

Si vizuri kuongelea jambo usilokuwa na ujuzi nalo. Mimi ni mmoja niliyewahi kukupambanualia kwa kina sana huo mgao ukoje na nikakupa mpaka reference na wapi unaweza kuzipata lakin naona umekuwa mvivu kufanyia kazi.

Kwa sababu umegusa katika eneo langu la uchumi kuhusu huo mgao. Kwa leo nakupa reference hii kwa faida ya wana ukumbi wote. Katika BOT kuna kuna kitengo katika Serikali hizi mbili kinachoshughulikia na kuangalia maslahi ya nchi hizi mbili yaangi Tz bara (Tanganyika na Znz kinaitwa JOINT FINANCE COMMISSION (JFC) na afisi zao zipo pale Sukari house Dar es salaam.
Nakusihi fuatilia taarifa zao zitakupa mwanga mzuri sana kuhusu gawiwo hilo la BOT na sio kuleta maneno ya Sunday school.



Kuhusu hiyo kuitwa chogo mbona jambo la kawaida sana. Hata mimi nilipokuwa nafanya kazi bara nilikuwa naitwa MPEMBA. Je na mimi nichukie hilo. Kama umekaa Mwanza na wasukuma kuna mambo kama hayo pia kuna wasukuma halisi na wengine wakuja wakiitwa wadahama. sasa jua utani ni sehemu ya kukuza mahusiano kama mtatumia vizuri lakin vile vile ni sehemu ya kuvunja mahusiano kama mtatumia vibaya. sasa maamuzi ni yenu kusuka au kunyoa.

Pole sana ahali yangu.

wasalimie wapendwa wote, wanajamvi wote.
 
Wickama, unajua kuna watu ambao wapo tayari kuridhika na udanganyifu hata kama fikra zao hazikubaliani.

Jasusi #15050 kaweka dhahiri shahir kuhusu watoto wa Nyerere, sasa Barubaru aje akanushe kama si kweli.

Baada ya jitihada za kumshambulia Nyerere kwa masimulizi, ngano na mikoba kushindwa sasa wanamgeukia kuhusu watoto wake.
Tumesikia kuhusu Virago vya mwalimu, mtaa na chumba alichoishi. Tena tukatajiwa hata siku tumbo lilipochafuka!
Hizo zote ni hila na mbinu chafu walizofuzu kutoka kwa mzee kwa ubani wa ''kufyonza ilm''

Kuhusu mapigano ya wakurya, nimempa challenge moja tu. Kwamba, anitajie taifa moja tu duniani ambalo jamii zake hazina migongano! ninataka taifa moja tu.

Anasema Nyerere hakuwa mzalendo, basi kama ni hivyo taifa hili halijawahi kuwa na kiongozi mzalendo!

Nguruvi3,

Awali ya yote nimesikitika sana timu yangu Simba kufungwa na Yanga 2-0. lakin yote ndio mpira kuna kufunga na kufungwa. Ni wakti wa Malkia wa Nyuki na Ismail Aden Rage kujipanga upya kwa ajili ya ligi.

Mimi binafsi kama mchumi naweza kumchambua Nyerere kiuchumi zaidi kuwa ALIFELI vibaya sana na hali zote mlizonazo pamoja na rasilimali zote mumezidi kuwa masikini sababu ni SIASA za Nyerere.

Nitakupa ushuhuda nikiwa wizara ya fedha kuna fedha alikuwa analazimishwa zipelekwe kwa wapigania uhuru wa Swapo na ANC wakti wananchi wa Tz wakiwa wanakula unga wa yanga. kwa hiyo utaona alipenda sana kujipendekeza kwa nchi za nje na kulaza wananchi yake na njaa na majanga.

Alikuwa TAJIRI wa siasa lakin masikini wa uchumi na hivyo kukosa uzalendo wa kuweza kuinua uchumi wa nchi yake.

Ni yeye aliasisi Rushwa na Ulanguzi kutokana na siasa zake kiasi cha kufanya raia wake waishi kwa taabu na dhiki kubwa kukesha kwenye foleni za hata sabuni zakufulia na kuogea achilia mbali unga, mchele na maharage.

Alipiganisha vita vya Uganda kwa nia ya kumrejesha Rafiki yake Obote madarakani na kuuwa kabisa uchumi wa nchi yake na kuwaongpea mfunge mikanda ya kiuchumi kwa miezi 18 jambo ambalo ameshindwa kuwaeleza mfungue mikanda hiyo mpaka anakwenda kaburini.

Kwa vigezo hivyo nashawishika kusema kuwa hakuwa MZALENDO kwa taifa lake bali alipenda kupewa sifa binafsi.

sasa naomba uniainishie uzalendo wake uko wapi

 
JokaKuu,
Barubaru ni miongoni mwa wale ambao wanaamini ukisema uwongo mara kwa mara inageuka kuwa ukweli. Watoto wa Mwalimu, Andrew Nyerere alikuwa mwanajeshi, John alikuwa air force. Makongoro sote tunajua. Emi Magige ni engineer. Madaraka amesoma Canada, anayo M.A. Anna Nyerere anazo digrii mbili alisomea Canada. Sasa sijui anazungumzia watoto wa Mwalimu gani. Lakini tumeshamzoea huyu kwa kauli za uwongo. Na kuhusu mapigano ya Mara yameanza miaka kumi na sita iliyopita. Wakati wa Mwalimu Wakurya walikuwa wakiogopa sana kwani akisikia kuna chokochoko alikuwa anawasomba viongozi wote wa koo na kuwaweka likizo. Lakini tumeshamzoea Barubaru, na hatutachoka kumsahihisha na kumpa elimu.
i

Hao wanajeshi je unajua wote walifukuzwa. Huyo wa Air force ngerengere alifukuzwa na wa china japo alikuwa mahiri sana kuongea kichina.Uliza utaelezwa.

Na hao wengine wote kama walipata degree basi wamepata degree zao baada ya baba yao kuondoka madarakani.Lakin jiulize je walisoma skuli gani za Sc na kama yupo aliyewahi kwenda High sch skuli gani?

Naomba uchunguze hilo kisha nikosoe kama nitakuwa nimenena uwongo

usitake niseme meng

 
Nimezungumza kama mtanzania yeyote yule anaekereka na uchochezi wa Mohamed Said,Sijabeba undugu damu katika hili.

naona huna la ziada...watu wanakuletea na evidence..we unapiga porojo tuu...huna unachojua zaidi ya umbeya wa kisiasa...! Mohamed Said ni Shujaa wa Kiihistoria...! tunasubiri kitabu chako cha UGAIDI naona hiko kitakuwa ni NGANO za VULI kabisa....maana utangulizi wake tu waonyesha kijana unapenda kudandia hoja....u know nothing
 
Muheshimiwa Mag3,

Nashukuru kwa kunitumia salaam kupitia kwa ndugu yetu JokaKuu,nami nimekuja mwenyewe ili tuamkuane uzuri.

Kwa kifupi hiyo Historia ya Zanzibar nami pia naijua kwa kina na kiundani mno kwa minajil ya uwezo nilojaaliwa nao. Japo hii haina maana yakuwa ati wewe nawe hujui kitu,hasha mwandani wangu!

Tatizo ni yakuwa tuna mitazamo tafauti,ambalo pia ni jambo jema sana khasa kitaaluma.

Lakini tatizo jingine linipalo dhiki na madhila mengi,ni yakuwa nakuhisi wewe ndugu yangu Mag3 ni Mbaguzi wa rangi. Jambo ambalo ni hatari na khasara kwa Taifa letu changa.

Hayo majedwali yako hapo juu mimi binafsi na wewe ndugu yangu twajua yakuwa hizo informations/statistics ni fake na ni upotoshwaji wa Historia mkubwa mno!

Lakini napenda fursa kwa leo nirejee kiduchu kwenye huo ubaguzi wako wa rangi. Hivi Mag3 na wenzio woote hapa jamvini tangia lini mmeanza kuwa na Imani,huruma,majonzi,empathy,sympathy,sikitiko na labda pia kufikia kilio cha "ndugu zenu WaZanzibary Weusi"!? Halafu hizi definitions zenu za "Arabs","Africans","Bantu","Comorians" na mengineyo mengi,ndio mwanzo wa machochezi na kuhatarisha amani ya nchi.

Kuna baadhi ya Thread humu ndani nimeona ati huyo Mwanakijiji,amefikia hadi ya kujipa dhamana na authority ati ya kujua ni kiwango gani cha senti,hao WaZanzibary walipwe ili watolewe kwenye muungano!? Yaani imefikia huyo Mwanakijiji anajifanya yeye ni Fiscal Activist na kupangia Taifa/WaZanzibary kiasi gani cha senti wapewe ili waondoshe "gubu lao" kwa WaTanganyika!? Ama kweli hapa JF pana viroja vingi mno!

Ndo maana mimi binafsi,huwa nakuoneni yakuwa wengi wenu ni Wazandik tu. Yaani mnakuwa upande wa WaZanzibary pale tu inapo-suit matakwa na vigezo vyenu vya kibaguzi!? Sisi watu wa Madrassa hiyo tunaita Fitnatil Al Maaarifa.

Haya si ndo mambo mlokua mkimfanyia kebehi Sheikh Mohammed hapa jamvini,alipokua akitaja baadhi ya Makabila ya wenye mji/Wazee wetu hapo Mzizizma!?

Kama nilivywahi kunena hapo awali,haya majambo ya Race Issue ni very complex subject. Inalazim muwe waangalifu japo kiduchu,khasa mnapokua kwenye Public Forum kama hapa.

Mimi nina personal experience kutokana na family background yangu,kwa hiyo nazungumza kitu ninachokifahamu kwa undani na khatari zake kwenye Family au Taifa letu.

Nipo huku nje ya nchi kwa miaka mingi mno,tangia nakaribia "Alamatu'l Bulugh". Na nimetembea pahala na nchi nyingi mno kutokana na kibarua/Taaluma yangu. Nimekutana na watu na Historia nyingi zisizo mipaka na nimeona athari nyingi saana zitokanazo na huo ubaguzi wa rangi na ukabila ulokuingia kichwani.

Nilialikwa kupitia hapa kibaruani pangu,kwenye zile sherehe za ule "Uhuru wa South Sudan". Yaani nilitokwa na machozi mengi. Niliona vituko na mambo mengi kwa zile siku chache nilizokuwapo pale. Nilithibitisha zaidi jinsi gani Wazungu/Wakoloni walivyo mahiri na mastadi kwenye kutumia "Government machines" zao,influences na massive contacts walizonazo...ili kuendeleza madhila kutugombanisha WaAfrika,na wao wakiendela kuchota hizo rasilimali zilizopo hapo. Hii nayo pia ni topic ndefu mno,na bila ya shaka wewe mwenzangu itakuwa waijua uzuri zaidi yangu kutokana na huo umri wako ulowahi kukutajia hapa jamvini!?

Kwa kumalizia napenda kama kipata fursa japo kiduchu,rejea baadhi ya bayana zangu za awali khasa ile niliyokua nikijadiliana na ndugu yangu Nyambala,na nilijaribu kuweka tahadhari kwa Taifa letu WaTanzania,kwa kutumia kigezo/mfano wa nchi ya Sudan.

Nakuheshimu saana ndugu yangu,na pia napenda kuchukua fursa hii kukupa mwaliko rasmi katika Thread yetu mimi na ndugu yangu JokaKuu itakapokua tayari. Itahusu na kunyambua kiundani Nyerere na Mozambique,walakin tumekubaliana yakuwa ndani yake tutaweka na vikorombwezo vingi,khasa hiyo khabari ya Race Relation/Issue.


Lazim leo ninene hapa barazani;yaani kuna wakti nafikira kama siku tukijaaliwa kukutana popote pale basi hata mimi pia waweza kuniona au kuniita yakuwa sio MTanzania/MTanganyika, khasa kutokana na hizo definitions zenu za urangi na Makabila. Jana nilikua nawasomea wanangu/wajukuu zako ambao ni viduchu mno khadith za kulalia/bed time reading. Basi ghafla nikakukumbuka wewe Babu yao Mag3,je utakubali kuwa wao nao pia ni WaAfrika/WaTanzania siku ukiwaona/wakija kukuamkua!?

Kaa chini kwa utuvu ufikirie haya majambo kwa kina...huna haja ya kujilazimisha kujibu kwa pupa na zogo. Tumia busara nyingi ulonazo kwa utaratibu na madhubuti.

Insha Allah tuendelee na mnakasha,na nakutakia w'end njema.

Ahsnata.

Cc;Ritz


Ukisikia kuweweseka ndiyo huku, Mag3 kaleta jedwali lenye data ulizotuhumu kuwa si za kweli. Sasa wewe ilibidi uje na jedwali lako lenye data za kweli kupinga hoja kwa hoja. Badala yake umekurupukia name calling na accusations zisizo na mashiko. Let me tell u something openly inaonekana unasumbuliwa na kaugonjwa ambako ni mix ya ulimbukeni na inferiority complex. I could be wrong but that is the way I see it. Ndiyo maanna badala ya kujibu hoja kwa hoja lazima ulete ngoonjera ndefu ya historia ya maisha yako, familia yako which is just a b.l shyt. Lakini nadhani hiyo ndiyo namna unafikiri itafanya hoja zako ziaminike and there goes my point. You are the very person who claim to be ridiculed kwa sababu ya dini yako kwamba oooh wanywa kahawa, madrassa, na upuuzimwingine. Cha kushangaza wewe mwenyewe ni bingwa wa kuridicule others almost in every post unayotuma. Jibu hoja kwa hoja usilete vioja.


Halafu jingine naona mbonyezo like huwa unakuwewesesha mno, anyway utazoea taratibu. Demokrasia ya JF inaruhusu mtu yeyote ku-like post yeyote and they are entitled to their own reasoning.
 
Kwa sababu Musoma makabila wanauwana kwa kuchinjana unataka kulazimisha kila nchi zina ugomvi wa kikabali mie nakutajia kwa uchache nchi ambazo hazina migogoro ya kikabila.

1) Tuwalu

2) Nauru

3) Vatican

4) Brueni

5) Luxembourg

Kama hutaitaji zingine takutajia wewe umeita moja mie nimekupa tano.



Tehe tehe tehe!!!!!! hivi hizo nchi Tuwalu, Brueni, Luxembourg ziko wapi hopefully hutawaambia wanajamvi ni typo. (if u know the meaning of it anyways)

Hoja ni kuwa taja nchi ambayo haina migogoro ya kijamii wewe umeleta yako kuhusu migogoro ya kikabila. Where did u pulll that one from?
 
Wickama,
Nimeeleza huko nyuma kuwa wazo la kumpata kiongozi mmoja kuwaunganisha
Watanganyika wote alikuwanalo Abdu Sykes siku nyingi na 1950 alijaribu sana
kumshawishi Chief David Kidaha Makwaia ajiunge na TAA ili wamchague kuwa
rais wa chama.

Chief Kidaha hakutaka.

Ilipofika 1952 Abdu alipokutana na Nyerere akampa fikra ile na Nyerere akakubali.
1953 Nyerere akachaguliwa kuwa rais wa TAA na 1954 TANU ikaundwa.

Abdu hakuwa mtu wa kupenda madaraka.
Hawezi kulaumiwa mtu kwa Abdu kumleta Nyerere pale New Street na kumjulisha
kwa wanamji.

Katika historia hii yake ndipo unapomsoma Abdu anapendeza.

Enzi hizo akiendesha Mercedes Benz na kijana mdogo akijiweza sana.
Vijana wenzake wakimuheshimu sana pamoja na Nyerere.

Yapo mengi lakini ya nini hayo yote?

Sawa Mzee MS; Nakukumbusha ni WEWE ULIMWONYESHA Abdul Sykes akimsengenya Nyerere kwa Swahiba wake (Mwapachu) kuwa WANGEMWACHIAJE CHAMA MTU WASIYEMJUA. Then Abdul anagombea. Then, mtoto wa mjini mwenye Benz na heshima ya wana Dar, LOST (Labda; check orodha ya voters, for Catholics!!!) Wapo wengine pia hapo awali walimwomba Nyerere kugombea kwa kumuona anafaa na kwa kuona tangu Vedasto Kyaruzi aondoke, chama kilikuwa kinadorora (Msome Seaton-wewe hujaandika). Soma yule meneja wa Arnatoglu Hall (Phombe???) anavyohaha chama kiongozwe na Julius.

Mzee MS,somewhere in life you must face it; that your Abdul was not only a backbiter but also a bad loser. No president would have kept a backbiter and double dealer in his cabinet (as you have shown him yourself!!!!) If he was any good and trustworthy as you have trumpeted in this forum, he could have not fallen from grace for others. That is the bottom line.
 
Wickama,
Nimeeleza huko nyuma kuwa wazo la kumpata kiongozi mmoja kuwaunganisha
Watanganyika wote alikuwanalo Abdu Sykes siku nyingi na 1950 alijaribu sana
kumshawishi Chief David Kidaha Makwaia ajiunge na TAA ili wamchague kuwa
rais wa chama.

Chief Kidaha hakutaka.

Ilipofika 1952 Abdu alipokutana na Nyerere akampa fikra ile na Nyerere akakubali.
1953 Nyerere akachaguliwa kuwa rais wa TAA na 1954 TANU ikaundwa.

Abdu hakuwa mtu wa kupenda madaraka.
Hawezi kulaumiwa mtu kwa Abdu kumleta Nyerere pale New Street na kumjulisha
kwa wanamji.


Katika historia hii yake ndipo unapomsoma Abdu anapendeza.

Enzi hizo akiendesha Mercedes Benz na kijana mdogo akijiweza sana.
Vijana wenzake wakimuheshimu sana pamoja na Nyerere.

Yapo mengi lakini ya nini hayo yote?
Si kweli! Hapa ndipo hoja ya Mag3 inapokuwa na nguvu sana.
Mag3 ameweka wazi jinsi Nyerere alivyokuja mwaka 1946 (kama mwaka ni sawa) na akauliza wakati huo Abdul alikuwa na sifa gani katika siasa?

Nyerere alikutana na Dosa Aziz kabla ya kukutana na Abdul. Kwa uchache alikuwa ameshaanza kufahamiana na wanamji

Ama kuendesha Benz kama hilo lilitokea basi kwa nyakati hizo ilikuwa ni heshima kwasababu Watanganyika wengi hawakumudu kiatu sembuse Benz. Sasa kuheshimiwa ikiwa ni pamoja na Nyerere hayo ni maneno yako kwasababu hakuna mahali pamenukuliwa akisema hayo. Tunaheshimu sana mawazo yako binafsi na si ya kihistoria.

Wazee wote waliopigania uhuru wa nchi hii wanapaswa kupewa heshima.
Hakuna mwenye heshima kubwa au ndogo, heshima ni heshima.

Jitihada za kumpandisha Abdul awe Rais wa TAA na TANU kisha Tanganyika haziwezi kuzaa matunda kwa werevu.
Abdul atabaki kuwa na mchango wake na kuheshimiwa kwa hilo.

Jitihada za kumdhalilisha Nyerere ili kusafisha nyota ya Abdul hazitazaa matunda asilani.
Nyerere atabaki kuwa kiongozi wa TAA,TANU, Rais wa kwanza wa Tanganyika huru, mwenyekiti wa kwanza wa CCM.

Na hapa umetusadia sana kutambua kuwa kumbe hata Abdul alifahamu kuwa ipo haja ya kuwa na mtu mwenye uwezo wa kuwaunganisha Watanganyika. Kidaha alikataa, Nyerere akakubali. Swali ni kuwa je, lengo la Abdul kuwaunganisha Watanganyika kwa kumtumia Nyerere lilifanikiwa au la?
 
i

Hao wanajeshi je unajua wote walifukuzwa. Huyo wa Air force ngerengere alifukuzwa na wa china japo alikuwa mahiri sana kuongea kichina.Uliza utaelezwa.

Na hao wengine wote kama walipata degree basi wamepata degree zao baada ya baba yao kuondoka madarakani.Lakin jiulize je walisoma skuli gani za Sc na kama yupo aliyewahi kwenda High sch skuli gani?

Naomba uchunguze hilo kisha nikosoe kama nitakuwa nimenena uwongo

usitake niseme meng
Mkuu Jausi, Barubaru anasema watoto wa Nyerere hawakusoma highschool.
Ana mashaka na degree walizopata na anasema kama zilipatikana ni baada ya baba yao kufariki.
Mkuu, busara zako tafadhali
 
Sawa Mzee MS; Nakukumbusha ni WEWE ULIMWONYESHA Abdul Sykes akimsengenya Nyerere kwa Swahiba wake (Mwapachu) kuwa WANGEMWACHIAJE CHAMA MTU WASIYEMJUA. Then Abdul anagombea. Then, mtoto wa mjini mwenye Benz na heshima ya wana Dar, LOST (Labda; check orodha ya voters, for Catholics!!!) Wapo wengine pia hapo awali walimwomba Nyerere kugombea kwa kumuona anafaa na kwa kuona tangu Vedasto Kyaruzi aondoke, chama kilikuwa kinadorora (Msome Seaton-wewe hujaandika). Soma yule meneja wa Arnatoglu Hall (Phombe???) anavyohaha chama kiongozwe na Julius.

Mzee MS,somewhere in life you must face it; that your Abdul was not only a backbiter but also a bad loser. No president would have kept a backbiter and double dealer in his cabinet (as you have shown him yourself!!!!) If he was any good and trustworthy as you have trumpeted in this forum, he could have not fallen from grace for others. That is the bottom line.
Thanks Bro!
 
Haiwezekani,haingii akilini hata kidogo,
Mtu mzima na akili zake atoke zake kuoga na kuingia nyumba ya bui bui kubadilishia nguo zake huku akitaraji wapita njia na jirani zake wasiione aibu yake,hilo haliwezekani hata kidogo...

Kwenye bandiko lako hili kwa mtu mwenye akili timamu anang'amua wazi wazi mantiq yako..!
Pole sana...
Kinachonitia nguvu zaidi ni kuwa hoja zangu zinasimama kama zilivyo na zinabaki kuwa uchochoro wa personal attack. Nafahamu wazi kuwa kejeli, matusi na dharau huwa ni silaha za mwisho kabisa kutumika pale ambapo ghala silaha linapkuwa halina kitu.
 
nGURUVI3,

Si vizuri kuongelea jambo usilokuwa na ujuzi nalo. Mimi ni mmoja niliyewahi kukupambanualia kwa kina sana huo mgao ukoje na nikakupa mpaka reference na wapi unaweza kuzipata lakin naona umekuwa mvivu kufanyia kazi.

Kwa sababu umegusa katika eneo langu la uchumi kuhusu huo mgao. Kwa leo nakupa reference hii kwa faida ya wana ukumbi wote. Katika BOT kuna kuna kitengo katika Serikali hizi mbili kinachoshughulikia na kuangalia maslahi ya nchi hizi mbili yaangi Tz bara (Tanganyika na Znz kinaitwa JOINT FINANCE COMMISSION (JFC) na afisi zao zipo pale Sukari house Dar es salaam.
Nakusihi fuatilia taarifa zao zitakupa mwanga mzuri sana kuhusu gawiwo hilo la BOT na sio kuleta maneno ya Sunday school
Barubaru, wewe ni fundi sana wa kukimbia hoja.

Kwanza, ile ya Nyerere Mkuu Jasusi atakapoamka atakuja na zana, huwa sina shaka na maudhui yake. Tuliweke kiporo

Pili, nimekuuliza taifa moja tu duniani ambalo jamii zake hazina migogoro. Umekaa kimya.
Pengine unaunga mkono zile za Sharrif Ritz, endapo ni hivyo basi thibitisha ili tuendelee kuanzia hapo

Tatu, nimekuambia kuwa:
a) Zanzibar haina bajeti ya ulinzi na usalama tangu mwaka 1964. Kataa au kubali
b)Haina bajeti ya elimu ya juu tangia wakati huo. Kataa au kubali
c)Mishahara ya wastaafu inalipwa kutoka hazina Dar. Kataa au kubali
d) Mishahara ya SMZ inatoka Tanganyika. Kataa au kubali
e)Kwamba, wazanzibar hawajui gharama za huduma kama umeme. Kataa au kubali
f) Kwamba bajeti ya znz ni billion 630, mapato ni bilioni 120 pengo la bilioni 510 linazibwa na bajeti ya Tanganyika.
g)Kwamba ofisi ya makamu wa rais muungano inapewa hela tu(billion 32) kwa znz . Kataa au kubali
h) Kwamba znz inapata 7% ya mgao wa pato la taifa kwa kuchangia ''0'' katika pato hilo. Kataa au kubali

Sasa kama una hoja nyingine ya mgao, huu ni ukumbi iweke wazi. Hili la kusema kuna taarifa za siri si kweli.

Hoja ndizo hizo hapo juu. Ima ukabiliane nazo au ukunje jamvi kwa upande mmoja, upande mwingine ubaki ukisoma
 
Mag3,

Kwa faida ya wanajamvi tufahamishe waafrika wa Zanzibar ni kina nani, halafu nyie Chadema mnamchukuliaje mfadhili wenu Mustafa Sabodo, wa chama chenu Chadema ni Muhindi au Mwafrika.



Naona hapa umeamua kupambana mpaka dakika za mwisho hili kiongozi wako wamlipe pesa nyingi pamoja na kukopa milioni 150 bado hazimtoshi, siku mkija kuchukuwa nchi walaahi sijui itakuaje ndiyo mtalipana mamalioni ya mishahara.


Hapa kama kawaida yako baada ya kuchakachuwa na kuficha source ya majedwali yako hili utimize lengo lako la kuwadanganya wanaukumbi wanaofutilia huu mnakasha basi mie kwa faida ya wanaukumbi nawawekea ulipoyatoa hayo majedwali kisha ukayachakachuwa haya hapa chini.
[TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH]Party[/TH]
[TH]Votes[/TH]
[TH]%[/TH]
[TH]Seats[/TH]
[TH]+/-[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Afro-Shirazi Party[/TD]
[TD]87,085[/TD]
[TD]54.2[/TD]
[TD]13[/TD]
[TD]+3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar Nationalist Party[/TD]
[TD]47,950[/TD]
[TD]29.9[/TD]
[TD]12[/TD]
[TD]+2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar and Pemba People's Party[/TD]
[TD]25,609[/TD]
[TD]15.9[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]+3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Invalid/blank votes[/TD]
[TD]2,866[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Total[/TD]
[TD]163,510[/TD]
[TD]100[/TD]
[TD]31[/TD]
[TD]+8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5, align: left"]Source: Nohlen et al.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
References


  • ^ Nohlen, D, Krennerich, M & Thibaut, B (1999) Elections in Africa: A data handbook, p880.

[TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH]Party[/TH]
[TH]Votes[/TH]
[TH]%[/TH]
[TH]Seats[/TH]
[TH]+/-[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Afro-Shirazi Party[/TD]
[TD]36,698[/TD]
[TD]43.2[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD]+5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar Nationalist Party[/TD]
[TD]32,724[/TD]
[TD]38.5[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]New[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Zanzibar and Pemba People's Party[/TD]
[TD]15,541[/TD]
[TD]18.3[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]New[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Total[/TD]
[TD]84,963[/TD]
[TD]100[/TD]
[TD]22[/TD]
[TD]+16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5, align: left"]Source: Nohlen et al.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kwa faida ya wanaukumbi tufahimishe uafrika ni nini? hapa chini huyu anayewapa cheki viongozi wa Chadema ni mwafrika au muhindi?
DSC_9468.JPG
Ritz, watu wanaoishi Misiri, Libya,Algeria na Morocco ni waafrika? Je nchi hizo ni zakiafrika? ili uwe muafrika nilazima utimize vigezo gani? Serikali ya nyerere iliwateua akina Brayson na Jamal kuwa mawaziri, je hawa walikuwa waafrika? je kunatofauti kuwa Mtanganyika/Mtanzania na kuwa Muafrika?
 
Jokakuu,
Chadema kupokea Takrima toka kwa kada wa CCM tafsiri yake nini? ni kichekesho kwa Chama kinachodai ni Wapinzani huku wanapokea Takrima toka kwa kada wa Chama tawala! Sabodo ni kada wa CCM au CDM? haingii akilini kada 1 kupenda vyama 2 tofauti! hapa kuna usiri fulani tunaomba akina Jokakuu watufichulie!
Kadogoo, kada ni mtu gani?
 
Back
Top Bottom