Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Nguruvi,
Lengo la Abdu lilifanikiwa pakubwa sana.
Kama wasemavyo Waingereza "The rest is history."

Kwa kweli mie sina tatizo la mtu atakuwa na tafsiri
gani ya historia ya wazee wangu.

Lengo langu ni kuisomesha hii historia ambayo kwa
muda mrefu ilikuwa haijulikani.

Hufarijika sana pale mnapopiga "critique" haikuwa
hivi ilikuwa vile nk.

Huko tulikotoka haya hayakuwapo.

Ndiyo sishi kusema mtu yuko huru kuamini historia
aionayo ndiyo kweli.
 

Huu mbini mie sijauelekeza kwako ni mahusisi kwa wanaukumbi ambao wanaofuatilia huu mnakasha.

Wewe endelea na porojo zako za mafaa.

Yericko umekwisha...ha haa ha.
 
Mimi nakesha hapa 24/7 na ikibid hata 365 kunyonya elimu kutoka kwa Moh Said na wengineo,na kuwabeza wengine wote wanaozuia na kukejeli elimu hii inayomwaga hapa bila tozo bila mashartii...
Naamini kubeza kwa msomi huendana na hoja na sio makelele! sote tunapenda kunyonya elimu inayotolewa na Mohamed, lakini Mohamed si mtume, anapokosea na watu wakamkosoa basi tusiwaone hao wanaomkosoa ni wabaya kiasi cha wewe kuwashambulia wao binafsi badala ya hoja zao!
 
Huu mbini mie sijauelekeza kwako ni mahusisi kwa wanaukumbi ambao wanaofuatilia huu mnakasha.

Wewe endelea na porojo zako za mafaa.

Umekwisha...ha haa ha.

mkuu Ritz, Ms, na wengineo poleni kwakazi nzito ya kuwaelimisha hawa ndugu zetu manake naona kazi ya kuelewa inakuwa nzito sana. Poleni sana mungu atakulipeni kwa kazi yenu nzito.
 
Kuna habari za kusikitisha ukumbini nadhani Mohamed Said, atatuelezea Inshaalah.

Wanajamvi,
Innalilah Wainnailaihy Rajuun.

Kwa Allah tumetoka na kwake ni marejeo yetu.

Bwana Ally Kleist Sykes amefariki dunia Nairobi.
 

Mkuu Ritz, hebu msome mzee Mohamed Said hapa chini kuhusu hadhi ya TAA;QUOTE=Mohamed Said;6386015].

Haya yote yalisababisha wakoloni kutoa Government Circular No. 5 na 6 mwaka
1953 kuionya TAA kuwa inaingilia siasa za Tanganyika.

Hii si dalili ya chama kudorora.
Yako mengi.

Chama kilidorora 1953 mara tu Nyerere alipochukua uongozi
Alonambia haya ni Dossa Aziz.

.[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Kadogoo,

..kwa kweli hili ni gumu.

..si tumeambiwa hata Dr.Slaa ana kadi ya CCM na anailipia.

..mimi naipenda CDM siyo kwasababu ni nzuri sana, but kwasababu CCM ni mbaya zaidi.

NB:

..nadhani masuala ya CDM yana thread nyingi sana. tujaribu kutowajadili ktk thread hii.

cc: Ritz, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru kwa jibu lako murua.

Na Nyerere je asili yake ilikuwa wapi?

Hata mbunge wenu wa Chadema Mwanza Nyamagani Wenje ni Mtanzania mwenye asili ya Kenya.

Sabodo ni mwafrika au siyo mwafrika hapa ndiyo nataka kujua.
Ritz,

..Sabodo siyo Mwafrika ni Muasia.

..sasa kwasababu ni raia wa nchi hii, basi ana haki zote sawa na sisi Waafrika.
 
Last edited by a moderator:
Barubaru,

..nimesikia Makongoro Nyerere alitoka JKT akaenda mstari wa mbele vita vya Kagera.

..mimi sidhani kama Mwinyi,Mkapa,au Kikwete, wanaweza kuruhusu jambo kama hilo kwa watoto wao.

..kumbuka kati ya hao kuna waliowatorosha watoto wao kwenda JKT.

..sasa hivi kwenye shule za kata, na hata zile kongwe za sekondari, it is very rare kukuta watoto wa viongozi.

NB:

..lile shairi lako la Watwana wakiamka...linazungumzia Znz??

cc: Jasusi, Ritz, nguruvi, Mohamed Said, Wickama
 
Last edited by a moderator:
Ritz,

..Sabodo siyo Mwafrika ni Muasia.

..sasa kwasababu ni raia wa nchi hii, basi ana haki zote sawa na sisi Waafrika.

Sudan, Misri, Chad, Morocco, Niger, hawa vipi ni waafrika?
 
Last edited by a moderator:
Huu ni msiba wa kitaifa, kila mtanzania unamuhusu,

Hakika tumepoteza hazina kuu ya tunu ya uhuru wetu,

Alisimama kidete kupigania uhuru kwa jasho na damu!

Mungu amlaze pema peponi mpigania uhuru wa Tanganyika Mzee wetu Ally Klest Sykes!
 
Wanajamvi,
Innalilah Wainnailaihy Rajuun.

Kwa Allah tumetoka na kwake ni marejeo yetu.

Bwana Ally Kleist Sykes amefariki dunia Nairobi.

Wanajamvi,
Nakuwekeeni hapa chini maneno ya Ally Sykes akijieleza mwenyewe kuhusu
nasaba yake na historia ya wazee wake.

Tulikuwa tumekaa ofisini kwake kiasi cha miaka 16 iliyopita yeye anazungumza
na mimi nimeshika kinasa sauti changu namsikiliza.

NImgependa ku ''share'' kumbukumbu hizi za mzee wangu Bwana Ally Sykes na
nyinyi ndugu zangu wana ukumbi katika siku hii ambayo ni ya majonzi makubwa
sana kwangu:

''My name is Ally Kleist Sykes. I was born in Dar es Salaam on 10 th September 1926 from Kleist Sykes Mbuwane, the son of a Zulu mercenary, Sykes Mbuwane and Bibi Mruguru bint Mussa who my father married in February 1923.

My father's other name is Abdallah but he never identified himself by this name. This is the name written on his tombstone, which today identifies his grave at the Kisutu Muslim graveyard in Dar es Salaam.

I was named Ally after my father's elder brother Ally Sykes, or Kattini Mbuwane, as he was known back home in Mozambique. My grandfather is from the Shangaan a Zulu clan, which originated from South Africa but settled in Mozambique.

The reason which caused the Zulu migration to Mozambique, was to run away from civil upheavals caused by the reign of Shaka, the Zulu King. My father was the second child; the first one was Ally Kattini who was born from Mbuwane's first wife back home.

My uncle Kattini was blind. When Mbuwane came to Tanganyika he came with him but he was later sent back home. The village, which my people settled, is known as Kwa Likunyi. I had the occasion to visit the village of our origins in 1952 and I was able to trace some members of our family.

At that time the country was under the harsh rule of the Portuguese. I will narrate the story of my travel to trace my people later on.


The history of my family begins at a village called Kwa Likunyi in the then Portuguese Mozambique about a hundred years ago. I learned most of the history of my forefathers from my father, Kleist Sykes. Kleist Sykes was born in Pangani in 1894.

His mother, my grandmother, was a Nyaturu from Central Tanganyika. My father always considered himself an aristocrat of sorts and had his own exceptional way of carrying himself.

He behaved and even dressed differently in comparison to other Africans. He was always immaculately dressed and all his existing photographs show him in suit and tie. He considered himself a modern man, a man of the times.

He was however very conscious of his Zulu origins and loved and longed for the country which he never set foot on. My father sentimental and melancholy used to talk about his father, Sykes Mbuwane, who he never even knew because Mbuwane my grandfather, died soon after my father was born.

My grandfather, Sykes Mbuwane, the Zulu mercenary and warrior from Inhambane died in Uhehe. Mbuwane died crossing River Ruaha returning from the campaign against Chief Mkwawa. He had seen cows crossing and he thought the water was shallow. Measuring himself up the Zulu warrior and others attempted to cross the river and were swept away and drowned.

My father's narration about his people was stories of wars and power of the white men over Africans. He used to narrate to us this history when we were young. I now can understand why that part of history was important to him.

That history was the only thing he could hold on about his people and tribe. Kleist was sentimental and melancholy because apart from us, his children he never had a living relative in Tanganyika.

Whatever relatives he had were left behind in Inhambane, Mozambique at the turn of the century even before he was born. Part of that history and indeed the history of our family has also been recorded together with the history of Tanganyika itself.

Kleist preserved this history through his own pen. And it was from Kleist's pen that many years after he had passed away that we now have an accurate account of those days long passed.

Before he died on 23 May 1949 my father left behind his memoirs in his long flowing Germany handwriting picked from a Germany school he attended in Dar es Salaam, as a child in early 1900s. These memoirs were later revisited by Abdulwahid my elder brother with his daughter Aisha Daisy Sykes, then an undergraduate student at Dar es Salaam University under the tutelage of Illife the renowned historian from Cambridge University.

A month before he died on 12 October 1968 Abdulwahid had had already assisted Daisy to complete her research assignment of prominent Africans in Tanganyika for a history seminar on the life of her grandfather. The aim of this project was to document the life history of our father, Kleist Sykes and his achievement in politics, education and business.


It was from his diaries, personal papers as primary sources and with the assistance of Daisy that Iliffe was able to research and write accurately on African Association and early colonial politics. This work was submitted to the History Department of University of Dar es Salaam in September 1968.

It was later published in 1973 in a book edited by Illife. It is a pity that Abdulwahid who was the main informant on the biography did not leave to see the fruits of his work.

Prior to publishing of my father's biography, little was known about the founding fathers of the African Association.
..''
 
Huu ni msiba wa kitaifa, kila mtanzania unamuhusu,

Hakika tumepoteza hazina kuu ya tunu ya uhuru wetu,

Alisimama kidete kupigania uhuru kwa jasho na damu!

Mungu amlaze pema peponi mpigania uhuru wa Tanganyika Mzee wetu Ally Klest Sykes!

Yericko,

Amin.

Msome mzee wetu Ally Sykes hapa akinieleza yaliyomtokea baada ya wao kuunda TANU:

''My transfer saddened Nyerere.

We all knew that the transfer was politically motivated as a way to weaken the new political party.

I also knew that so long as the British were in control of our country people like me who cherish aspirations for freedom will always be haunted and intimidated.

The government could have dismissed me from government service but that would have made me a martyr.

The best decision was to take me out of the political limelight in Dar es Salaam.

This feeling rather than dampen my enthusiasm for TANU increased my zeal to struggle and fight back against the British until independence was achieved.

Zuberi Mtemvu had warned me of the consequence in challenging the government.

In a letter which Zuberi Mtemvu wrote to me he had this to say, "You will never be transferred back to Dar es Salaam or earmarked not to have any responsible post for ever while in Government."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…