Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

haya bwana emirates gold member wasafiri wote wakikujua uliyekuwa rafiki wa Masubo...

usidhani we kupenda baikoko basi wote ni wapenzi wa baikoko, wengine huko kwenye baikoko hata hatupo si wapenzi wa baikoko...

Wapi nimekuambia napenda baikoko? Nimekuweka kwenye list ya baikoko nimeishakununulia na cheni upo hapo.
 
Ahsante sana na nimekuelewa. Niko hapa kujifunza na kuujua ukweli. Sipo hapa kwa hisia na akili za kidini dini.
 
Mbona unamtukana Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambaye alianzisha CCM, kuwa ni Zezeta. Kwa hiyo unamuheshimu Dr Slaa peke yake pamoja na Chadema.

CC: gombesugu,
naongelea ccm ya sasa sio ya kipindi kile kwasababu hata Dr alikuwa kule...
 
Last edited by a moderator:


Al Khalifa The Big Show,

Salaam Al Akhiy.

Nimekufahamu kwa utuvu mwingi,ni vyema kukumbushana yalo mema baina yetu.

Insha Allah tuko pamoja,nami sitabandua maguu yangu hapa jamvini,mpaka atakapoamua kuondoka Sheikh Mohammed,au labda yeye binafsi aniamrishe kuondoka/kunipumzisha.

Binafsi nafaidika mno na Ilm hii itolewayo bure hapa jamvini na Sheikh Mohammed kila kukicha. Mola tamzidishia mno ndugu yetu kipenzi Insha Allah,na kumuepusha na shari zoote atengenewazo kila kukicha!

Ahsanta.
 


Muheshimiwa Mag3,

Mbona unakuja na vitisho vya kutuwekea nembo za Serikali ya Mapinduzi hapa jamvini,ili iwe ndo nini, tuogope!?

Sisi wengine tukiona hiyo kitu/nembo tunakhis kutapika,tukikumbuka family zetu zilopoteza maisha katika yale maafa na mauaji ya 1964.

Haya ni mambo ya kizamani mno na yashapitwa na wakti nawe unajua hilo.

Kumbe kama unadai yakuwa Sheikh Mohammed alishawahi kutamka maneno hayo hapo juu kama ulivyotaja,sasa yanini mnaendelea kumuuliza maswali hayohayo,na kumbe jibu mnalo/kishakupeni!?

Onyesheni "uchochezi,ugaidi,na uhaini" wa Sheikh Mohammed Said,mpaka sasa uko wapi!?...wekeni hapa ili woote kwa pamaoja tuujadili kama kweli unakhalis/qualify hivyo vipimo mizani za hizo shutuma zenu!

Ahsanta sana.
 
mi sipo huko,hayo ni mambo yako sheikh wangu... mi na cheni wapi na wapi.

Najua hauwezi kukubali haya mambo huwa yanakwenda kwa siri, mbona wapenda kuvaa kikuu, ha haa ha walahi wanikosha mkuu wa chuo napenda chuo chako kisafi sana.

Cc.. gombesugu,
 
Last edited by a moderator:


Muheshimiwa Mag3,

Unaona sasa mtu mzima umeadhirika ndani ya jamvi...yaani kwa kifupi "umeanguka kifudifudi".

Kuna vijana wako kama kama kawaida yao wakakupa na "LIKE",lakini siwalaumu. Wao mara nyingi hufikiri wewe na Nguruvi3 ndo mabingwa wao na "mnajua kila kitu" saana!?ahaha!!

Kama vile siku zoote Sheikh Mohammed anavyokuambieni kistaarabu... yakuwa sisi hizi Historia zimo ndani ya majumba yetu na tumeishi/tunaishi nazo,nyinyi mpaka mkasome kwenye vitabu tena vilivyoandikwa na Missionaries/"Wavumbuzi wenu"!?

Ahsanta sana.

Cc;Ritz
 
Najua hauwezi kukubali haya mambo huwa yanakwenda kwa siri, mbona wapenda kuvaa kikuu, ha haa ha walahi wanikosha mkuu wa chuo napenda chuo chako kisafi sana.

Cc.. gombesugu,


Shariff Ritz,

Don't bother others if they judge you,because they don't know who you are.

Dogs bark if they don't know the person!

Ahsanta.
 
Mapovu ya nini mkuu? jaribu kukubali kukosolewa. kwani sio kweli kwamba "std English" huwa wanasema "If i were..." badala ya "If i was..." kama ulivyo andika wewe?


Gwalihenzi,

Sometimes taking "no shit" involves bringing harm to another.

You are free to sing and dance as long as you entertain. I'm not trying to attack you,so please don't take it that way!

Ahsanta sana.
 
Gwalihenzi,

Sometimes taking "no shit" involves bringing harm to another.

You are free to sing and dance as long as you entertain. I'm not trying to attack you,so please don't take it that way!

Ahsanta sana.
Sweet melody!
 
Shariff Ritz,

Don't bother others if they judge you,because they don't know who you are.

Dogs bark if they don't know the person!

Ahsanta.

Al Habiby gombesugu,

When the head of the family dies, that family breaks up...ha haa haaa ha!
 
Last edited by a moderator:
Duh zomba Roman Catholic ni wakristo wala sijawahi kusikia wakristo wa madhehebu mengine wakiwalalamikia waCatholic wenzao.


Roman Catholics wangapi na wengineo wangapi kati ya wakiristo?
 
Last edited by a moderator:
Al Habiby gombesugu,

When the head of the family dies, that family breaks up...ha haa haaa ha!



Shariff Ritz,

Pole saana kwa usumbufu woote niliousikia umekupata wewe pamoja na Family yako...nasikia hamkupata hata tone la usingizi kwa simu za Mtwara jana usiku kucha! Dah! Pole sana ndugu yangu!

Je vipi wanao wale waduchu maskini nasikia nao hata Skuli wameshindwa kwenda asubuhi hii kwa kusinzia...dah!...hizi simu za Mtwara zimekuletea tafrani kubwa ndugu yangu...inalazim Mag3 akutake radhi wewe na Family yako pia!?



Nasikia Wamakonde woote wa Mtwara na Family ya Mzeee Lawi Nangwanda Sijaona,wamehuzunika pita kiasi kusikia kashfa zilizoletwa hapa jamvini na Mag3 dhidi ya Shujaa wao,ndugu yao kipenzi na Mkristo mtiifu Mzee Sijaona!

Nasikia ati wanatuma ujumbe kuja hapo D'Salaam kukutana na ndugu yao mwingine Mwana Mtwara mwenzao Al Khalifa The Big Show,ili kujua khatua za kufanza.

Lakini nakhis Muheshimiwa Mag3,ataomba radhi tu maana yeye ni "mstaarabu" japo kiduchu na pia ni "mtoto wa mjini"!ahaha!!

Unajua kitendo hicho,ni kama vile leo atokee mtu kudai yakuwa Nyerere alikua ni Muislamu safi wa kisirisiri na alikua anaswali swala tano kila siku na kufunga mpaka Ramadhani!?

Hivi unafikiri Mama Maria,Kanisa Katoliki, wale Makasisi wa Peramiho pamoja na hawa wafuasi wa "Mwalimu" woote tulionao humu Jf,watajisikia vipi!?...hii ni hatari mno!!

Ahsanta.

Cc;Al Khalifa The Big Show
 
Mohamed Saida,

Historia ya AA,TAA na TANU huijui,

Wewe unajua vikundi vya walevi wa kariakoo tu ambao walijivika kilemba cha TAA

Sio kweli kuwa Mwalimu hakuandika katiba ya TAA-TANU na badala yake alinakili katiba ya chama cha ukombozi cha Ghana cha CPP,

Mimi hilo la kunakili ama kutonakili halina neno kwangu,

Hoja nikuwa Mwalimu Nyerere alipojiunga na TAA alikuta ni kikundi cha wanywa ghahawa na wacheza bao wasiokuwa na hata KATIBA tu,

Kilikuwa ni kikundi cha Walevi/wapenda starehe tu,

Mwalimu kalisema wazi katika hotuba yake ya muago hapa Dar kuwa alipojiunga alianza kukifufua chama na kuandika KATIBA na kukipa malengo/Ideology/Filosofia ya kudai UHURU,

Nitaomba ninukuu maneno yake hapa chini





Sasa nakuuliza Mohamed Said na wafuasi wako kuwa,

Kabla ya Mwalimu Nyerere kujiunga na kuchaguliwa kuwa Rais wa TAA hapo mwaka 1953, TAA ilikuwa na mlengo/Filosofia/Ideology gani?


Kumbuka maswali yetu bado yapo mezani yanasubiri majibu yako!

 
Bado tunamsubiri@Mohamed Said atoke katika "closet" hili atupe ilm juu ya maswali ya Nguruvi3 "
1. Nani aliandaa mapinduzi na nani alimuomba mwenzake msaada ni TANU au ASP
2. Je, mapinduzi ni halali au ni haram?
3. Viongozi waliofanya kazi na Nyerere kutoka zanzibar ni wasalaiti wa Uislam na vibaraka au ni wana mapinduzi?
4. Je, wznz wanasherehekea mapinduzi kwa akili au ni uzumbukuku hasa tukijua yalilenga kuua Uislam kwa kupitia Nyerere"
 
Duh zomba Roman Catholic ni wakristo wala sijawahi kusikia wakristo wa madhehebu mengine wakiwalalamikia waCatholic wenzao.

Ngongo,

Una maana kwa hapo Tanzania/Tanganyika,au dunia nzima hujawahi kusikia malalamiko hayo ya "Wakristo wengine" dhidi ya Roman Catholics!?

Embu kipata nafasi tafuta kijitabu hiki na uchungulie hizo bayana zake japo kiduchu;

Is Roman Catholicism Christian!? by Dr. John Henry 2001

Niwie radhi kwa kuingilia kati ya bayana yako ndugu yangu, na nakusihi usinifanzie hamaki kwa ihsan yako.

Ahsanta.
 
Nimekuja, natoka Ulaya, tena masomoni. Muda mfupi tu jamaa hawa wakaniamini haraka sana – katika muda wa miezi mitatu. Wakanichagua Rais wa TAA. Hapo ndipo nilianza shughuli mpya ya kuandika katiba ya TAA na kuipa madhumuni hasa ya shabaha ya kuleta uhuru [/QUOTE]



Sasa nakuuliza Mohamed Said na wafuasi wako kuwa,

Kabla ya Mwalimu Nyerere kujiunga na kuchaguliwa kuwa Rais wa TAA hapo mwaka 1953, TAA ilikuwa na mlengo/Filosofia/Ideology gani?[/QUOTE]



Yericko,

Nafikiri kwa sasa Sheikh Mohammed Said itakuwa taabu kukujibu wewe direct kama mleta madai/shutuma dhidi yake.

Kwa sababu yeye ni Scholar/Historian na pia ana hishma na taadhima ilo kubwa mno ndani na nje ya nchi.

Amekuja hapa Jf na kuwa-verified na watu woote wanamjua yeye ni nani. Ndo maana unamuona yuko mindful na ethics,standard na procedure takriban zoote za kitaaluma. Tafauti na wahuni wengi hapa jamvini tunaowashuhudia kila kukicha wakimshambulia na kumkebehi tena wakiongozwa nawe binafsi!

Kwa kifupi,tatizo ni kuwa wewe binafsi kwa upande wako verification yako ina utata/fraudulently verification,ambapo sio tu ni Academic dishonesty but can also amount to criminality.

Kwa hiyo ili uwe/tuwe fair kwa Sheikh Mohammed Said,inalazim wewe binafsi uache kumuuliza maswali kwa sababu kama hizo nilizoziakinisha hapo juu ni kuwa credibility/reliability yako ina utata mwingi,na kumbuka wewe ndie mleta Thread/Mada hii...na kuanzia ni hapo kwenye hiyo cheating ulofanza hapa Jf ya Kuji-verify kama Yericko Julius Kambarage Nyerere,kumbe inabainika
si kweli!?

Kumbuka shutuma za "Uchochezi,Ugaidi na Uhaini" kama ni za kweli na zikibainika ni nzito mno. Kwa hiyo kwakuwa tupo hapa kubainisha yayo,inatulazim tufuate taratibu makhusus tena kwa uangalifu na umakini mwingi and leave no stone unturned!

Sheikh Mohammed,haitajiki ku-prove lolote/chochote...nyinyi/wewe ndo yatakiwa ubainishe hizo tuhuma zako kwa kina!!

Tafadhali naomba usitafute sympathy kutoka kwa jamaa/wafuasi zako hapa jamvini, yakuwa hii ni personal attack,la hasha!...huu ni ukweli wa kitaaluma na pia tunajaribu kuweka mambo sawa huku pia tukijaribu kuwa fair kwa Sheikh Mohammed Said.

Ahsanta.

Cc;Ritz,The Big Show
 

Zingatia SHERIA za JF bila shuruti, ukilazimisha SHURUTI inakuangukia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…