Zingatia SHERIA za JF bila shuruti, ukilazimisha SHURUTI inakuangukia!
Shariff Ritz,
Pole saana kwa usumbufu woote niliousikia umekupata wewe pamoja na Family yako...nasikia hamkupata hata tone la usingizi kwa simu za Mtwara jana usiku kucha! Dah! Pole sana ndugu yangu!
Je vipi wanao wale waduchu maskini nasikia nao hata Skuli wameshindwa kwenda asubuhi hii kwa kusinzia...dah!...hizi simu za Mtwara zimekuletea tafrani kubwa ndugu yangu...inalazim Mag3 akutake radhi wewe na Family yako pia!?
Nasikia Wamakonde woote wa Mtwara na Family ya Mzeee Lawi Nangwanda Sijaona,wamehuzunika pita kiasi kusikia kashfa zilizoletwa hapa jamvini na Mag3 dhidi ya Shujaa wao,ndugu yao kipenzi na Mkristo mtiifu Mzee Sijaona!
Nasikia ati wanatuma ujumbe kuja hapo D'Salaam kukutana na ndugu yao mwingine Mwana Mtwara mwenzao Al Khalifa The Big Show,ili kujua khatua za kufanza.
Lakini nakhis Muheshimiwa Mag3,ataomba radhi tu maana yeye ni "mstaarabu" japo kiduchu na pia ni "mtoto wa mjini"!ahaha!!
Unajua kitendo hicho,ni kama vile leo atokee mtu kudai yakuwa Nyerere alikua ni Muislamu safi wa kisirisiri na alikua anaswali swala tano kila siku na kufunga mpaka Ramadhani!?
Hivi unafikiri Mama Maria,Kanisa Katoliki, wale Makasisi wa Peramiho pamoja na hawa wafuasi wa "Mwalimu" woote tulionao humu Jf,watajisikia vipi!?...hii ni hatari mno!!
Ahsanta.
Cc;Al Khalifa The Big Show
Mohamed Saida,
Historia ya AA,TAA na TANU huijui,
Wewe unajua vikundi vya walevi wa kariakoo tu ambao walijivika kilemba cha TAA
Sio kweli kuwa Mwalimu hakuandika katiba ya TAA-TANU na badala yake alinakili katiba ya chama cha ukombozi cha Ghana cha CPP,
Mimi hilo la kunakili ama kutonakili halina neno kwangu,
Hoja nikuwa Mwalimu Nyerere alipojiunga na TAA alikuta ni kikundi cha wanywa ghahawa na wacheza bao wasiokuwa na hata KATIBA tu,
Kilikuwa ni kikundi cha Walevi/wapenda starehe tu,
Mwalimu kalisema wazi katika hotuba yake ya muago hapa Dar kuwa alipojiunga alianza kukifufua chama na kuandika KATIBA na kukipa malengo/Ideology/Filosofia ya kudai UHURU,
Nitaomba ninukuu maneno yake hapa chini
Sasa nakuuliza Mohamed Said na wafuasi wako kuwa,
Kabla ya Mwalimu Nyerere kujiunga na kuchaguliwa kuwa Rais wa TAA hapo mwaka 1953, TAA ilikuwa na mlengo/Filosofia/Ideology gani?
Kumbuka maswali yetu bado yapo mezani yanasubiri majibu yako!
Yericko,
Mimi nimekuelezea kuanzia siku ya kwanza baba yako anakutana na Nyerere pale
Stanley Street/Sikukukuu.
Nimekutajia hadi mapenzi yalikuwapo baina ya shangazi yako Sophia na mumewe
Mbilinyi kwa Abdu Sykes.
Sikuishia hapo nimekueleza hadi ushoga wa Bi Mluguru biti Mussa na Bi Mugaya
ambae wewe ni bibi mzaa baba yako.
Nimekueleza mengi ya maisha ya zamani Dar es Salaam kati ya baba yako na
wazee wangu mmojawapo babu yangu Shariff Attas.
Haya ni mambo ya ndani kabisa.
Nimekuwekea hadi barua za baba yako ambazo hadi leo ziko katika majadala
ya Sykes na haya yote nimefanya ili unitambue kuwa mimi naijua historia hii.
Ijaza yangu kwako ni kebehi.
Inanishangaza sana hasa pale unapomkebehi Abdu Sykes rafiki kipenzi cha
baba yako.
Leo nataka nikupe hili moja ulifikiri.
Iweje nyaraka za baba yako ziwe mikononi mwa Abdu na ziwe katika hifadhi
hiyo sasa miaka 60.
Wanaukumbi hebu hapa chini tumsome Mzee Amir H. Jamal.Amir H. Jamal (Indian & Hinduist) 3[SUP]rd[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the Presidet's Office.
Yericko,
Tahadhar kuna watazamaji 200,000 + wanakusoma.
Wewe ni mtoto wa Nyerere si kijana wa kawaida.
Adabu uoneshayo itavuma nyuma kwa wazee wako walivyokulea.
Sasa usiwatukanishe baba na mama yako.
Tunaweza tukajibizana kwa heshima bila jeuri na kuonesha kibri.
Allah akipenda utakuwa na umri mrefu na utakutana na watu wengi.
Adabu ndiyo kinga na silaha yako.
Mtu asifiwi kwa ujuvi.
Nakuwekea hapa jinsi nilivyoiandika TAA wakati Dk Kyaruzi na Abdu Sykes
wanachukua uongozi:
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] TAA Political Subcommittee, 1951[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] No records exist which show that the African Association a clear official policy or programme on the countrys political situation.
To understand the direction of African politics as they appeared at that time one need to observe the behaviour of the leadership and its reaction to different African problems.
Abdulwahids first move was to form what was known as TAA Political Subcommittee [1] comprising himself as secretary; Sheikh Hassan bin Amir as the Mufti of Tanganyika; Dr Kyaruzi; Mwapachu; Said Chaurembo who was the liwali at Kariakoo local court; John Rupia and Stephen Mhando.
The task given to this committee was to deal with political issues in the country.
The creation of this committee was a turning point in the history of organised politics in colonial Tanganyika.
Throughout the entire twenty-one years of its existence, the African Association had functioned under a non-political constitution.
For the first time, in 1950, TAA under new leadership gave itself political status, not by changing the existing constitution, but by forming a political committee within the Association. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The committee represented a diversity of interests and its members had different personal abilities and backgrounds.
Sheikh Hassan bin Amir, though originating from Zanzibar was the Mufti of Tanganyika and represented the dominant Muslim interests and the local political power base.
Behind him were all sheikhs, tariqa khalifas and the general Muslim community.
Thus were included the very few Muslim elite who, although not committed Muslims, recognised the power and force behind Muslim institutions.
Said Chaurembo represented the Zaramo tribesmen of Dar es Salaam and surrounding districts. John Rupia from Mission Quarter was rich African businessman and party financier.
He was also representative of old and outgoing leadership.
Stephen Mhando, a radical schoolteacher and outspoken Bondei from Muheza, represented the Makerere school.
Among the members of the committee Abdulwahid was the only person representing a multiplicity of interests.
He was one of the party financiers, a member of the TAA intelligentsia and a leading personality in Al Jamiatul Islamiyya; he and Mwapachu represented young Muslim modernists.
The TAA political subcommittee merged young and old leadership; allied old Muslim conservatives to young Muslim modernists on one hand and the Christian elite on the other.
It was the alliance that would lead to the defeat of British colonialism in Tanganyika. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Having established the political committee, Abdulwahid settled down to write to all TAA branches in the territory in order to revitalise them.
A major issue facing Abdulwahid and the political committee was the status of Tanganyika as a mandate territory.
Abdulwahid engaged Earle Seaton, a lawyer from Bermuda based in Moshi, and attached him to the committee to advise them on constitutional law and decolonisation of mandate territories under foreign rule.
The United Nations Trusteeship Council had already sent its first visiting mission to Tanganyika in 1948; but not much was gained from this mission.
The TAA headquarters in Dar es Salaam under Dr Kyaruzi and Abdulwahid with the backing of the political committee was now rising from its deep slumber.
What was now required were serious issues to stimulate the minds of the young intellectuals.
The TAA leadership did not have to look far.
These issues came in the form of the Constitutional Development Committee set up by Governor Edward Twining and the Meru land evictions.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[1] Annual Report of the Secretary of Tanganyika African Association, 7 January, 1951.
Sykes' Papers.
Al Khalifa The Big Show,
Salaam Al Akhiy.
Nimekufahamu kwa utuvu mwingi,ni vyema kukumbushana yalo mema baina yetu.
Insha Allah tuko pamoja,nami sitabandua maguu yangu hapa jamvini,mpaka atakapoamua kuondoka Sheikh Mohammed,au labda yeye binafsi aniamrishe kuondoka/kunipumzisha.
Binafsi nafaidika mno na Ilm hii itolewayo bure hapa jamvini na Sheikh Mohammed kila kukicha. Mola tamzidishia mno ndugu yetu kipenzi Insha Allah,na kumuepusha na shari zoote atengenewazo kila kukicha!
Ahsanta.
Hapana, sijawatukana wazazi wangu wote waliopigania uhuru wa Taifa hili,
Nilichoelezea ni mlengo wa chama/kikundi walichokuwa wanaiishi tu,
Bila shaka umenisoma mzee!
Zingatia kuna maswali yapo mezani yanasubiri hekima zako mkuu!
Talib Gobesugu, well said.
Mohamed Said should use his brutal analytical skills and adept ability to analyse the political landscape before, during and after Mapinduzi in Zanzibar to convey his analysis to 207K the likes of pain killer and mbagalans
Pain killer and Mbalagans are anxious to hear from this ''great scholar''
Please advise him to respond to the following concerns
1. Nani aliandaa mapinduzi na nani alimuomba mwenzake msaada ni TANU au ASP
2. Je, mapinduzi ni halali au ni haram?
3. Viongozi waliofanya kazi na Nyerere kutoka zanzibar ni wasalaiti wa Uislam na vibaraka au ni wana mapinduzi?
4. Je, wznz wanasherehekea mapinduzi kwa akili au ni uzmbukuku hasa tukijua yalilenga kuua Uislam kwa kupitia Nyerere
The same Gombesugu came back swinging defending mzee on technical ground.
Mohamed has miserably fail to respond to Yericko's question regarding the cabinet picture as presented by Mag3
Hizi mbinu za ku-divert attention from the core issue zinajulikana.
Hatuna sababu za kwenda kwingine kama hajaweza kusema neno kuhusu maswali hayo.
Akishindwa kutoa neno hiyo ni uchochezi wa hali ya juu, fitna na farki.
Wazanzibar wanaumia sana wanaposikia ndugu zao wamekufa kwa ajili yao halafu wanadhalilishwa kiasi hicho.
Hiyo paper ya Mtikila so far ina matundu mengi sana. Hatutaingia huoko tupo hapa namba 1-4.
207K na hasa wznz wanasubiri hoja zitolewe ufanunuzi.
Mtu aulize 1+1= ngapi, halafu umjibu eti nenda kwenye vitabu vingi vimetoa majibu!!!!al-akyi please
Nikweli umeeleza yote tena yote kabisa na sidhani kama umebakiza, maana mpaka sukari na chumvi alivyopewa umesema!
Lakini niseme wazi kuwa mimi nimesimama hapa kama mtanzania yeyote anapinga upotoshaji wa historia na kupandikiza chuki miongoni mwa NYOYO za Watanzania waliohuru kifkra!
NGANO zoooooote ulizozisimulia kimantiki hazina MASHIKO, kwakuwa hazisimami kwenye mizani ya historia ya NCHI!
Juu ya kile ukiitacho "NYARAKA za Mwalimu Nyerere"
Naomba niwaambie wanajamvi wenye weledi kuwa SIO nyaraka za mafaa kwa Mwalimu Nyerere, laiti zingekuwa na mafaa, leo zingekuwa chini ya hifadhi ya Mwalimu Nyerere!
Hapa tayari unataka kuwadanganya walimwengu kuwa Mwalimu Julius Nyerere "alimuogopa" Abdul Sykes mpaka kutelekeza nyaraka zake,
Huu ni Uzushi,Uchochezi,Ulaghai na Uhaini tunaousema hapa tangu january 12,2013,
Hivi huyo Mwalimu Nyerere unaetembea ukimtukana kila pembe ya dunia, na unaemtukana hata ukiwa usingizini kuwa alikuwa MDINI,DIKTETA, GHIRIBA,MFITINI nk, ndie aliyenyimwa NYARAKA ZAKE toka kwa Abdul Sykes?????
Uongo kuuunda ni rahisi sana lakini kuutetea ni vigumu sana!
Yericko,
Nimekuiwekea hapa kwa mukhtasari TAA ilikuwaje kabla ya baba yako.
Huna la kusema?
Ulikuwa unaufahamu uhusiano wa Seaton na Abdu Sykes.
Unajua ni Abdu ndiye aliyemjulisha Seaton kwa baba yako?
Unaujua mchango wa Seaton katika TANU?
Unajua baada ya msaada wake wote ule TANU ilirudisha
fadhila kwa Seaton baada ya uhuru?
Yericko,
Unatoa shingo unasema ati mimi siijui historia ya TAA/TANU...
Siko hapa kufanya ubishi mimi niko hapa kueleza yale ambayo
kwa kweli si wengi mlikuwamnayajua.
Nikikaa hapa kufanya ubishi watazamaji watatukimbia.
Wanaukumbi, zaidi ya 200.000,
Nimepigiwa simu tena kutoka Canada familia ya Amir H. Jamal wanalalamika kuwa wamesoma jana JF baba yao amefutwa kwenye Uislam na kupewa dini ya Hinduist, wanakanusha wanasema Mzee wao alikuwa Muislam wanaomba waombwe radhi, Mag3, haya hapa chini maneno yako msije kusema nafanya "Spinning" kama kwaida yenu ha haa haa.
Wanaukumbi hebu hapa chini tumsome Mzee Amir H. Jamal.
[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="class: n, colspan: 2"]Honourable
Amir Jamal
MP
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: lavender, colspan: 2"]Permanent Representative of Tanzania to the United Nations in Geneva
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]In office
1988–1993
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]President
[/TH]
[TD]Ali Hassan Mwinyi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: lavender, colspan: 2"]Minister of Finance
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]In office
1980 – 1983
Prior terms: 1965-1972 / 75-77 / 79-80
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]President
[/TH]
[TD]Julius Nyerere
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: lavender, colspan: 2"]Member of the Tanzanian Parliament
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Constituency
[/TH]
[TD]Morogoro
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: lavender, colspan: 2"]Personal details
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Born
[/TH]
[TD]c. 1921
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Died
[/TH]
[TD]21 March 1995 (aged 73–74)
Vancouver, Canada
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Nationality
[/TH]
[TD]Tanzanian
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Political party
[/TH]
[TD]CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Other political
affiliations
[/TH]
[TD]Tanganyika African National Union
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Spouse(s)
[/TH]
[TD]Shasu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Children
[/TH]
[TD]4
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Religion
[/TH]
[TD]Islam
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Yericko Nyerere,Mohamed Saida,
Historia ya AA,TAA na TANU huijui,
Wewe unajua vikundi vya walevi wa kariakoo tu ambao walijivika kilemba cha TAA
Sio kweli kuwa Mwalimu hakuandika katiba ya TAA-TANU na badala yake alinakili katiba ya chama cha ukombozi cha Ghana cha CPP,
Mimi hilo la kunakili ama kutonakili halina neno kwangu,
Hoja nikuwa Mwalimu Nyerere alipojiunga na TAA alikuta ni kikundi cha wanywa ghahawa na wacheza bao wasiokuwa na hata KATIBA tu,
Kilikuwa ni kikundi cha Walevi/wapenda starehe tu,
Mwalimu kalisema wazi katika hotuba yake ya muago hapa Dar kuwa alipojiunga alianza kukifufua chama na kuandika KATIBA na kukipa malengo/Ideology/Filosofia ya kudai UHURU,
Nitaomba ninukuu maneno yake hapa chini
Sasa nakuuliza Mohamed Said na wafuasi wako kuwa,
Kabla ya Mwalimu Nyerere kujiunga na kuchaguliwa kuwa Rais wa TAA hapo mwaka 1953, TAA ilikuwa na mlengo/Filosofia/Ideology gani?
Kumbuka maswali yetu bado yapo mezani yanasubiri majibu yako!
Baada ya wewe kuwatukana hawa Wazee hebu msome Nyerere hapa chini anavyowaelezea hawa wazee.Historia ya AA,TAA na TANU huijui,
Wewe unajua vikundi vya walevi wa kariakoo tu ambao walijivika kilemba cha TAA
Wanaukumbi nadhani tumesoma Nyerere mwenyewe anavyowaelezea hawa Wazee ambao wanaitwa walevi hebu ngoja tuendelee kumsoma huyu Yericko amabaye anajinasibisha kuwa Nyerere ni baba yake mzazi lakini mtoto wa kwanza wa Kambarage Nyerere, Andrew Nyerere hamtambui."Mimi nimeanza siasa na wazee wa Dar es Salaam; na wazee wa Tanzania. Nimeanza nao mapema sana; mapema kweli. Nilirudi kutoka masomoni, Uingereza Oktoba 1952 miaka 33 nyuma. Wakati huo nikiwa kijana mdogo wa miaka thelathini na kidogo hivi.
Wanaukumbi hebu chini tumsome Nyerere mwenyewe anavyowaelezea hawa wanywa ghahawa na wacheza bao.Hoja nikuwa Mwalimu Nyerere alipojiunga na TAA alikuta ni kikundi cha wanywa ghahawa na wacheza bao wasiokuwa na hata KATIBA tu,
Kilikuwa ni kikundi cha Walevi/wapenda starehe tu,
Wanaukumbi nadhani mmeona hawa wazee wanaoitwa walevi walivyokuwa wazalendo kwa mujibu wa Nyerere mwenyewe. tuendelee kumsoma Yericko hapa chini.Miezi minne baada ya kuanza kazi Pugu nikawa ninakuja Dar es Salaam, kwa mguu; kila Jumamosi. Baadaye wazee wakanipa baiskeli nikawa ninakuja mjini kukutana na wenzangu; kufanya mikutano.
Hivyo ndivyo tulivyofanya. Wazee wakaniamini upesi sana. Tukawa na uhusiano mkubwa sana. Wadogo wenzangu wengine walikuwa Abdul Sykes, Abass Sykes (mdogo wake), Dosa Aziz waliokuwa wengi ni wazee.
Katika kuhutubia mikutano yangu, nilikuwa nikisema: Wazee na Ndugu zangu! Wazee hasa ndio walikuwa na mikutano ya awali ya TAA na TANU. Walikuwa na msimamo wa hali ya juu kabisa! Hawakuyumba hata kidogo! Vijana walikuwa na mashaka. Wengine walikuwa na vikazi vyao, waliogopa kuvipoteza.
Hapa unauliza suali dhahifu kabisa jibu lake anakujibu Nyerere hapa chini.Kabla ya Mwalimu Nyerere kujiunga na kuchaguliwa kuwa Rais wa TAA hapo mwaka 1953, TAA ilikuwa na mlengo/Filosofia/Ideology gani?
Sasa jiulize Nyerere alitaka kuanzisha chama cha siasa wakati yupo chuo wakamwambia tayari Tanganyika wameishaanzisha TAA, wakifuta chama chao waanzishe matawi sasa hawa Walevi nani aliwaandikia katiba ya TAA mpaka Nyerere mwenyewe akaamua kufuta chama chake, inamaana alikuwa hajuhi katiba ya TAA, wewe kila siku humu unasema muanzilishi wa chama cha AA Matola, ha haa haaa.Ndugu Mwangosi akapata barua hiyo. Alikuwa miongoni mwa waliopata barua hiyo. Akaniandikia nikiwa Makerere akasema: wewe kwanini unataka kuanzisha chama kipya? Kipo chama. Kipo chama cha TAA (Tanganyika African Association).
Kwa hiyo la maana siyo kuanzisha matawi, maana chama kipo na matawi yameenea; la maana ni kwamba hicho chama chenu mfute, na muanzishe tawi la Tanganyika African Association.
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa.... muereze arewee chezea mzee Mohamed Said tukisema tunafyonza ilm hatutanii haya yote tungejuaje mzee MS hapo umemshika pabaya wapare wanasema "umgura afande mdhuti"Yericko,
Mimi nimekuelezea kuanzia siku ya kwanza baba yako anakutana na Nyerere pale
Stanley Street/Sikukukuu.
Nimekutajia hadi mapenzi yalikuwapo baina ya shangazi yako Sophia na mumewe
Mbilinyi kwa Abdu Sykes.
Sikuishia hapo nimekueleza hadi ushoga wa Bi Mluguru biti Mussa na Bi Mugaya
ambae wewe ni bibi mzaa baba yako.
Nimekueleza mengi ya maisha ya zamani Dar es Salaam kati ya baba yako na
wazee wangu mmojawapo babu yangu Shariff Attas.
Haya ni mambo ya ndani kabisa.
Nimekuwekea hadi barua za baba yako ambazo hadi leo ziko katika majadala
ya Sykes na haya yote nimefanya ili unitambue kuwa mimi naijua historia hii.
Ijaza yangu kwako ni kebehi.
Inanishangaza sana hasa pale unapomkebehi Abdu Sykes rafiki kipenzi cha
baba yako.
Leo nataka nikupe hili moja ulifikiri.
Iweje nyaraka za baba yako ziwe mikononi mwa Abdu na ziwe katika hifadhi
hiyo sasa miaka 60.
Kwanza nikusihi mkuu unapoandika sema "BAA YETU" na sio "BABA YAKO"
Ukiona inakukereketa kuita BABA YETU basi sema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!
Ukisema "baba yako" unaninipa ubora mimi na kuwafanya wengine wasijibu
Mwalimu Nyerere ni Baba wa Watanzania wote wake kwa waume, wazee kwa vijana na watoto!
TENA hii fidia iko nje nje. Out of court settlement- MS tafuta wazee hao wakachukue hela. AT least some good will come out of thisMzee Mohamed,Wazee wako, wapigania uhuru wa Tanganyika wa ukweli kisha Waislam waliosahaulika hakuna aliye hai akadai fidia kwa mkoloni kama wale wa MAUMAU-KENYA ambao watalipwa? Au upiganaji wao ulikuwa ni wa migahawani na kwenye vibanda vya biashara vya Kariakoo? Lile kabati la Abdu haliwezi kufidiwa?
Yericko Nyerere,Kwanza nikusihi mkuu unapoandika sema "BAA YETU" na sio "BABA YAKO"
Ukiona inakukereketa kuita BABA YETU basi sema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!
Ukisema "baba yako" unaninipa ubora mimi na kuwafanya wengine wasijibu
Mwalimu Nyerere ni Baba wa Watanzania wote wake kwa waume, wazee kwa vijana na watoto!
Hapa unajifanya kupunguza makalin baada ya kubanwa hapa chini unaendeleza majigambo, ha haa haa.Ukisema "baba yako" unaninipa ubora mimi na kuwafanya wengine wasijibu
Nielewe mkuu, nimesema alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere sio TANU.
Ndugu sio kila kitu utakifahamu katika historia ya nchi hii,
Mimi Mwalimu Nyerere kama Baba yangu mzazi, nakufahamisha tangu sasa kuwa Chifu Marealle alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere (kiuchumi)
Alimnunulia gari, suti, na nauli alimpa ya kwenda umoja wa mataifa.
Si kila kitu kitawekwa katika simulizi.
Boko haram,Weeeeeeeee sisi sio wa hivyo tena usirudie tena! katika uislamu ni haramu kujinasibisha na baba ambae sio baba yako na nimeshakwambia siku nyingi komaaa namalizia na nukta.