Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Niliwahi sema wazi kuwa TANU ni chama cha kiislam(chama cha wasilam wa Dar) ambacho kilibahatika mpata Nyerere ambaye alikifanya kikawa na taswira ya kitaifa bila kuua usilam..Wengi hawakuelewa sana

Nyerere ali struggle sana kuweza balance udini uliokuwa unaibuka kila mara,....hao waislam na uzao wa km akina Ritz bado wana ndoto ya kuifanya CCM kurudi ktk dyanamics za TANU.

Vitabu vingi vya hovyo vimeandikwa kwa vile watu wana papara na hawaangalii vitu kiuhasilia,wangeweza kuwa na point za kweli na muhimu ktk historia.

"Badala ya kusema Waislam pekee ndio wameleta uhuru, wangesema islam iliplay role kubwa ktk siasa za TANU".Hata leo wangepewa CCM yao.Kwani ktk uhuru ingekuwa TAA /TANU ya kiislam ya dar..basi isinge vuka kibaha na isiengekaa ivuke kibaa.Kwanini iende na vipi ingevuka wakati tayari zaidi ya Nusu ya watanzania walikuwa hawajui kiswahili,na uslam ulipiti anjia za watumwa? waislam wengine ni wale waliotaka uganga na uchawi ndio waliiigia dini.

Wanakumbi,

Huyu hapa na katika wale ndugu zetu ambayo waongozwa na chuki dhidi ya Wazee wa Mzizima, hebu ngoja tudadavue bayana zake kiduchu.
Niliwahi sema wazi kuwa TANU ni chama cha kiislam(chama cha wasilam wa Dar) ambacho kilibahatika mpata Nyerere ambaye alikifanya kikawa na taswira ya kitaifa bila kuua usilam..Wengi hawakuelewa sana
Hapo juu ndugu yetu amekiri kuwa TANU kilikuwa chama cha Waislam, ha ha haaa, baada ya kukiri anajaribu kumtafutia nafasi Nyerere kuwa ndiyo aliifanya TANU kikawa na taswira ya kitaifa, wakati Nyerere kaanza siasa na wazee wa Dar es Salaam 1952, Wazee wa Dar es Salaam wameanza kufaamika kimataifa acha kitaifa wakati wa AA 1930 wakati Nyerere ana miaka 8 sembuse TANU soma chini hapa.
Kleist Sykes (1894 - 1949) was a Tanganyikan political activist. He helped formed the Tanganyika African Association.
Sykes was born in Pangani to father Sykes Mbuwane, a Zulu mercenary hired by the German Empire, and a Nyaturu mother. After his father died, Sykes moved with his godfather, Effendi Plantan, to Dar Es Salaam, and would later fight for the Germans in the First World War.[SUP][1][/SUP]
After the war, Sykes worked for the Tanganyika Railway. He met Dr. James Aggrey, Ghanaian teacher, who inspired Sykes to form the Tanganyika African Association (AA) in 1929, along with friends including Mzee bin Sudi, Cecil Matola, Suleiman Mjisu and Raikes Kusi. In the 1930s, AA members built the organization's headquarters at New Street, where the Tanganyika African National Union would later be created in 1954.[SUP][1][/SUP]
Sykes was the first African to join the Tanganyika Chamber of Commerce, and the second African to serve in colonial Dar es Salaam's Municipal Council.[SUP][1][/SUP]
Sykes had three sons, Abulwahid, Ally, and Abbas, who would also have prominent careers in Tanzania.[SUP][1][/SUP]
Hapa chini unaelezea habari za uongo kabisa kutokana na fikra zako.
Nyerere ali struggle sana kuweza balance udini uliokuwa unaibuka kila mara,....hao waislam na uzao wa km akina Ritz bado wana ndoto ya kuifanya CCM kurudi ktk dyanamics za TANU.
Nyerere asingeweza kufanya chochote alikuwa Mkirsto peke yake kama kungekuwa na udini asingeza hata kakaa pamoja na hawa wazee hebu msome chini hapa Nyerere mwenyewe.
Siku moja, Dosa akanifuata Magomeni (Dar es Salaam). Akasema: Leo wazee wanakutaka. Wapi? Kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi Mkristo, wao Waislamu watupu. Wakaniombea dua za ubani. Tukamaliza.
Nadhani umeona Wazee walivyokuwa na mahaba na a Nyerere wakati wa harakati za uhuru.
"Badala ya kusema Waislam pekee ndio wameleta uhuru, wangesema islam iliplay role kubwa ktk siasa za TANU".Hata leo wangepewa CCM yao.Kwani ktk uhuru ingekuwa TAA /TANU ya kiislam ya dar..basi isinge vuka kibaha na isiengekaa ivuke kibaa.Kwanini iende na vipi ingevuka wakati tayari zaidi ya Nusu ya watanzania walikuwa hawajui kiswahili,na uslam ulipiti anjia za watumwa? waislam wengine ni wale waliotaka uganga na uchawi ndio waliiigia dini.
Wanakumbi huyu ndugu yetu sijui kaipata wapi kuwa wakati wa harakati za uhuru wa Tanganyika nusu ya Watanzania walikuwa hawajuhi kiswahili, kwa hiyo unataka kutuambia Nyerere alikuwa anajua kuongea lugha zote za Tanzania, ha ha haaa...nadhani wanaukumbi mmeona hoja dhahifu za huyu ndugu yetu. soma chini hapa harakati za TANU Tanga.
ILIKUWA ni huko Tanga tu katika historia ya Tanganyika kuwa dhana mpya katika siasa zaidi ya ule ubwana wa Wazungu uliongezwa katika uhusiano baina ya Waafrika na Waarabu. Dhana hii iliongezwa ndani ya mfumo wa siasa za Tanganyika ili kuwakinza Waafrika katika siasa. Hiki kilikuwa kitu ambacho Waafrika walikuwa hawajapambana nacho. Kwa zaidi ya karne moja walikuwa wamezoea ubwana wa Wazungu. Jimbo la Tanga lilibarikiwa na kuwa na Waafrika walioelimika sana. Waafrika hawa walikuwa kutoka kabila la Wabondei. UMCA ilikuwa imehama kutoka Zanzibar kwenda Magila katika Jimbo la Tanga mwaka 1875. Ukristo ulianzishwa na kustawi katika nchi ya Wabondei, na vivyo hivyo nafasi za elimu kwa watoto wa Wabondei. Katika lile wimbi la kuwania nafasi za elimu, watoto wengi wa Kiislamu walibatizwa. Ni jambo la kawaida miongoni mwa Wabondei kukuta majina kama Peter Saidi au John Ramadhani. Huu ni ukumbusho wa damu ya Kiislam katika Wabondei. Wabondei wengi walikwenda Makerere College na siasa za kizalendo zilipoanza baada ya Vita Kuu ya Pili, Wabondei walikuwa wamejaa katika utumishi wa serikali ya kikoloni. Gurudumu la historia ya Tanganyika likizungushwa na baadhi ya Wabondei, maarufu miongoni mwao wakiwa watu kama Martin Kayamba aliyejikomba sana kwa wakoloni, George Magembe mtu ambae huku alikuwa hayuko wala kule hayuko, hujui kama yupo na wazalendo au na wakoloni, Stephen Mhando; mzalendo mwenye msimamo mkali na na mdogo wake Peter.
Wabondei walikuwa ndiyo walimu, makarani, wakalimani mahakamani na maofisa wa ustawi wa jamii katika serikali ya kikoloni. Hili lilikuwa tabaka maalum la Waafrika, waliosomeshwa na wamishonari kuitumikia serikali ya kikoloni na katika kufanya hivyo kulitumikia Kanisa na Ukristo, uhusiano ambao ulikuwa wenye manufaa kwa pande zote mbili zilizokuwa zikishirikiana. Ilikuwa vigumu sana kwa Wabondei kutokana na upendeleo huo wasifikirie kwamba wana uhusiano maalum na Kanisa na serikali ya kikoloni. Hawa Waafrika wasomi kutoka shule za misheni na Makerere walikuwa watiifu kwa taasisi mbili zanye nguvu nchini, yaani serikali ya kikoloni na Kanisa. Kwa ajili hii basi, ilibakia kwa Wadigo Waislam wasiokuwa na elimu kama elimu ilivyokuwa ikiitikadiwa, kuunda TANU na kuongoza harakati za kudai uhuru.
Wamishionari waligundua kuwa Wadigo walikuwa wagumu sana kubatizwa na kuingizwa kwenye Ukristo kwa sababu ya imani yao thabiti katika Uislam. Kwa hiyo Wadigo hadi hii leo wamebakia kuwa kabila la Waislam. Baada ya kuukuta Uislamu umeimarika vyema katika pwani ya Tanga, wamishonari kwa kukataa kuhasimiana na Waislam, walianzisha misheni zao ndani zaidi mbali na pwani sehemu inayojulikana kama Misheni ya Magila. Hapa UMCA ilianzisha shule na hospitali. Wadigo walishikilia imani yao ya Kiislamu na wakabakia nyuma katika elimu kwa sababu ya kukataa kwao Ukristo. Kwa jili hii wakajinyima nafasi za kazi za madaraka katika seriklai ya kikoloni. Huku kuwapanga watu kwa tabaka kulikuwa na athari katika kuanzisha upinzani dhidi ya ukoloni kwa kuwa waliofadhiliwa na Kanisa walishindwa kupinga wakoloni kwa kuwa ukoloni na Ukristo walikuwa wamoja.
African Association huko Tanga ilikosa umoja baina ya wale walioitwa 'wasio na elimu na wasiojua kusoma' na wale wasomi ambao kutoka kwao wote hawa chama cha siasa kingeweza kuundwa. Waafrika wasomi, Wabondei waliunda vikundi vyao peke yao vya wasomi kutokana na juhudi za ofisa mmoja wa kikoloni. Vyama hivi vikijulikana kama Discussion Groups [SUP]167[/SUP] yaani, vikundi vya majadiliano, vilitarajiwa kutojihusisha na kisiasa na vilitiwa nguvu na serikali kuhimiza mijadala na kusoma vitabu. Katika muda wote wa uhai wa vikundi hivyo hawa wasomi wa Makerere walikuwa chini ya usimamizi wa afisa Mzungu.

African Association huko Tanga ilitawaliwa na watu wa mchanganyiko wa damu ya Kiarabu na Kiafrika. Hawa walikuwa watu wenye elimu ndogo. Kundi hili halikuwa na mkabala mzuri na Wabondei wengi wao wakiwa Wakristo wenye elimu. Kundi hili lililokuwa na damu ya Kiarabu lilijiona bora kwa daraja kuliko Waafrika weusi. [SUP]168[/SUP] Kama hivi vikundi viwili muhimu vingeweza kuzikusanya pamoja nguvu tofauti zao, vingeweza kuunda umoja wa siasa wenye uwezo mkubwa sana kama ile kamati ndogo ya siasa ya TAA iliyoundwa huko Dar es Salaam. Muungano huu ungeweza kuongoza harakati za kudai uhuru huko na halikadhalika ungeweza kupata mafanikio makubwa kwa kuwashirikisha wananchi katika kudai haki zao. Lakini kama ilivyokuwa, hizi kambi mbili zilikuwa hasimu; kila upande ukijitenga mbali na umma; wengine walijiona bora kwa sababu ya rangi ya ngozi yao na wengine walijiona bora kwa sababu ya elimu yao.
Gavana Edward Twining alipounda Constitutional Development Committee mwaka 1949, na kukaribisha maoni na mapendekezo kutoka kwa raia, TAA Tanga ilijikuta haina uwezo wa kuandika waraka. Uongozi wa Waarabu katika African Association haukuwa na elimu, maarifa au ujuzi uliotakiwa kutayarisha na kuandika waraka kwa serikali. Wasomi wa Makerere katika vile vikundi vya majadiliano waliinyakua fursa hiyo na kuandika waraka ambao uliwakilishwa kwa Gavana Twining.[SUP]169[/SUP] Pamoja na ukweli kuwa waraka ule uliandikwa na Waafrika wenye elimu kubwa kwa wakati ule, kwa hakika waraka ulikuwa na upungufu ukilinganisha na ule ulioandikwa na kamati ndogo ya siasa ya TAA, Dar es Salaam.[SUP]170[/SUP]
Mwaka mmoja baadae, katika mwaka 1951 ujumbe wa Umoja wa Mataifa ulipozuru Tanganyika, kile kikundi cha majadiliano, ingawa si wawakilishi wa wananchi kikifanya kazi yake nje ya TAA, kiliwasilisha waraka kwa ujumbe huo kikionyesha kuwa wao wanawakilisha maoni ya Waafrika. Hili lilizusha mzozo baina ya wasomi wa Makerere na ule uongozi wa Waarabu katika TAA.[SUP]171[/SUP] Haya makundi mawili yalijikuta hayana kusudio au muelekeo wenye maana, kidogo kidogo yalisahaulika. Kule Tanga mara chache watu waliihusisha ofisi ya TAA na siasa. Ofisi ya TAA inakumbukwa na kuhusishwa na mahakama ambako Kadhi, Sheikh Ali bin Hemed alihukumu jamii ya Waislam kwa kutumia sharia.
Lakini Tanga iliibuka mwaka 1955 na kukabiliana na serikali ya kikoloni kupitia juhudi binafsi za kikundi cha wafanyabiashara wadogo wadogo katika soko la Ngamiani. Kikundi hiki kiliongozwa na kijana Peter Mhando, katibu wa zamani wa kile kikundi cha majadiliano cha wasomi wa Kibondei. Akikiongoza kikundi hiki ambacho kilikuwa na Waislam, alikuwa baharia mstaafu, Hamis Heri Ayemba. Hamis Heri alikuwa Mmanyema kutoka kabila la Wakusu wa Belgian Congo. Peter Mhando alikuwa akifanya kazi kama mhandisi katia Noran Industries- wanunuzi wa nazi na watengenezaji sabuni pale Tanga. Hamisi Heri alikuwa na umri wa katikati na katika ujana wake alikuwa baharia na alipata kusafiri chombo kimoja na Abeid Amani Karume, ambae baadae alikuja kuwa rais wa Zanzibar. Baada ya Vita Kuu ya Pili, Hamisi Heri alirudi kwao Tanga ili aanze biashara. Heri alikuwa mtu aliyejikuza na kujielimisha mwenyewe; na alikuwa amesafiri sana. Hamisi Heri alizungumza vizuri sana Kiingereza na Kiarabu. Katika miaka yake ya mwanzo katika biashara, alikuwa dalali. Heri aliwashangaza wateja wake kwa uhodari wake wa lugha mbali mbali, akinadi bei kwa Kihindi au Kiarabu, kutegemea utaifa wa watu waliokuwepo pale mnadani.
Harakati za kudai uhuru zilipoanza Heri alikuwa ametajirika na mmoja wa Waafrika wenye kuheshimiwa sana mjini Tanga. Mhando alipochoshwa na kile kikundi cha maji
Chini hapa angalia harakati za TANU Kenya.
Mambo yalikuwa yanageuka dhidi ya Waingereza katika makoloni yake yote Afrika ya Mashariki. Wazalendo walikuwa wakifanya harakati zao na kuvuka mpaka mmoja wa nchi hadi mwingine bila matatizo. Ule wakati wa wao kusafiri kwa kificho na kufanya mikutano yao nyakati za usiku mafichoni ulikuwa umepita. TANU ilikuwa na nguvu ya sasa kuangali nje ya mipaka yake. Katika pwani ya Kenya katika mji wa Mombasa, kijana mmoja kutoka Moshi, Ismail Bayumi, aliyeajiriwa na Mombasa Municipal Council akivutika na mwenendo wa matukio ya kisiasa kama yalivyokuwa yakitokea katika Afrika Mashariki, aliwashawishi Watanganyika waliokuwa wakiishi na kufanya kazi Mombasa kuunda kile kilichokuja kujulikana kama Mombasa TANU Club. Sheria ya Kenya haikuwaruhusu Watanganyika kuunda chama cha siasa katika ardhi ya Kenya, kwa hiyo TANU Club ilisajiliwa kama chama cha starehe na ilikuwa na ofisi zake katika Barabara ya Lohana. Ismail Bayumi alichaguliwa rais wake wa kwanza. Lakini kwa hakika TANU Club ilifanya kazi kama chama cha siasa kwa niaba ya TANU, KANU na KADU kwa kiwango fulani. Wakati huo Jomo Kenyatta alikuwa Manyani akitumikia kifungo cha miaka saba gerezani kwa kuhusika na harakati za Mau Mau.
Tom Mboya aliitumia TANU Club kuifanyia kampeni KANU na kupigania kufunguliwa kwa Kenyatta kutoka gerezani. Kote nchini Kenya KANU ilikuwa ikiibuka kama chama cha wananchi wote. Wakati sera za KANU zilikuwa zile za mwelekeo wa kuwaunganisha wananchi wote dhidi ya ukoloni, KADU chini ya Ronald Ngala, kwa upande mwingine, ilikuwa na labda isemwe, ufahamu mfinyu, KADU ikifungamanisha sera zake na siasa za ukabila na utawala wa majimbo. Kwa hiyo KADU ilikuwa ikikusanya nguvu za upinzani wa makabila madogo dhidi ya KANU. KANU chini ya Kenyatta, Jaramogi Oginga Odinga na Tom Mboya, ilichukuliwa kuwa ni chama cha makabila mawili makubwa nchini Kenya, yaani Wakikuyu na Wajaluo ambayo yakiachiwa kutawala yatameza makabila madogo. Nchini Tanganyika ambako ushindani wa kikabila katika siasa haukuwepo, TANU Club ilijikuta kiitikadi inapenda kuwa karibu zaidi na KANU kuliko KADU.
TANU Club ilikuwa ikiandaa dansi katika Ukumbi wa Tononoka na dansi hizi zilikuja kupendwa sana na wanasiasa wa Kenya. Ilikuwa chini ya pazia la sherehe hizi katika Ukumbi wa Tononoka ndiyo wanasiasa wa Kenya na wale wa TANU Club walipata nafasi kupashana habari namna TANU ilivyokuwa ikiendelea nchini Tanganyika na nini TANU ingeweza kufanya huko Tanganyika ili kusaidia harakati za kudai uhuru nchini Kenya. Baada ya TANU Club kufanikiwa sana huko pwani uongozi wake uliamua kufungua tawi la TANU Club mjini Nairobi katika sehemu ya Pumwani. Tom Mboya na Ronald Ngala walikuwa mstari wa mbele katika sherehe zote za TANU Club, wakishiriki katika shuguli zake Mombasa na Nairobi.
Msukumo mkubwa wakati ule nchini Kenya ilikuwa kufanya kampeni ya nchi nzima kuwashinikiza Waingereza wamwachie huru Kenyatta aliyekuwa akichukuliwa na wananchi wote kama kiongozi na nguvu ya umoja wa Waafrika wa Kenya. Katika wimbi hili la kutaka Kenyatta afunguliwe kutoka gerazani, Tom Mboya alimdokeza Ismail Bayumi kuwa TANU ingeweza kusaidia katika kampeni hii ya kuwashinikiza Waingereza kumtoa Kenyatta kifungoni. Ismail alifikisha wazo hili makao makuu ya TANU mjini Dar es Salaam kwa kupitia mtu maalum aliyekuwa akiwasiliana na Tom Mboya na Nyerere kwa siri. TANU ilimtuma Bibi Titi Mohamed kwenda Kenya kuzitia shime harakati za kufunguliwa Kenyatta. Wazalendo nchini Kenya walikuwa wameshindwa kabisa kuwaingiza wanawake ndani ya KANU hivyo kuzinyima harakati za uhuru nguvu kubwa sana na ya kutegemewa ya akinamama. [SUP]175[/SUP] Huko Mombasa TANU Club ilifikiria kuwa kumleta Bibi Titi kuja Kenya kuifanyia kampeni KANU ilikuwa ni kitu kipya cha kuwahamasisha wanawake ndani ya KANU na kwa hiyo kuongeza nguvu mpya na kutia ari ya utaifa katika Kenya.

Bibi Titi alikuja Mombasa na kufanya mkutano Ukumbi wa Tononoka. Kwa kawaida kwa madhumuni ya kupata kibali mikutano hii ilikuwa inahesabiwa kama ni mikusanyiko ya kufanya sherehe siyo mikutano ya siasa na ilikuwa ikifanyika ndani. Lakini mkutano huu ulikuwa na umuhimu wake kwa sababu ya kuwako Bibi Titi Mohamed mjini Mombasa. Wengi walikuwa wamemsikia Bibi Titi lakini hawakuwa wamepata kumuona. Watu walijaa ndani ya ule ukumbi hadi nje kuzunguka viwanja vya Ukumbi wa Tononoka. Kwa kweli kwa hali yoyote mkutano ule usingeweza kuitwa kuwa ni mkutano wa wanachama wa TANU Club mjini Mombasa, au hata mkutano wa TANU Club Kenya nzima, kwa sababu wanachama wa KANU waliwazidi wanachama wa TANU Club kutoka Tanganyika.
Kenya ilikuwa bado haijaweza kumtoa hata mwanamke mmoja wa kiwango cha Bibi Titi. Kwa wakati ule kumwona mwanamke wa Kiislamu amesimama bila baibui akihutubia halaiki ya wanaume ilikuwa ni jambo la kushangaza sehemu za pwani, ambako wanawake walitembea huku wamejifunika mabaibui na hawakutakiwa hata kufanya kazi maofisini. Bibi Titi alifanya mikutano kule Mombasa na Nairobi akiwasisitizia watu wasikate tamaa wasimame pamoja hadi Kenyatta amefunguliwa kutoka gerezani. Habari za mikutano hii iliandikwa kwa mapana na marefu na magazeti ya Mombasa Times na Taifa Leo.
Miongoni mwa Wakenya kule pwani waliyofanya kazi karibu sana na TANU Club walikuwa Msanifu Kombo na Abdallah Ndovu Mwidau. Kombo na Mwidau kwa sababu ya mchango wao kwa KANU kupitia chama chenyewe na kupitia TANU Club wakaja kuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Kenyatta. Wazalendo hawa wawili baada ya uhuru wa Kenya wakawa watu wenye sauti kubwa kule pwani. Hakuna mtu kutoka pwani alikuwa anaweza kuteuliwa na kushika nafasi yoyote muhimu na Kenyatta bila Abdallah Mwidau na Msanifu Kombo kumuunga mkono. Mara tu baada ya kufunguliwa kutoka gerezani, Kenyatta alikwenda Mombasa kutoa shukrani zake kwa Msanifu Kombo, Abdallah Mwidau na TANU Club kwa msaada wao kwa KANU na kwa kufanya kampeni ya kufunguliwa kwake. Mkutano ulitayarishwa kule Tononoka na Kenyatta alikuja kutoa hotuba ya shukrani na kukutana na wanachama wa TANU Club.
 
Mohammed Said;

In the final analysis tunashukuru kuwa watanzania. Beatles hawa hapa. Enjoy


The Beatles - "20 Greatest Hits" (U.S. Version!) - YouTube



Sgt Pepper

The Beatles - Sgt Peppers Lonely Hearts Club Band (Full Album) (Remastered) - YouTube



Good weekend


Wewewewewewewewe
Wickama,
Kweli ni sahib wangu ahsante sana.

Basi ngoja nikupe kitu ni zaidi ya miaka 40 toka nimepiga ile nyimbo
''Things We Said Today'' lakini nakumbuka chords zake...

Opening G Minor, C Major, F kisha G.

Utamu uko kwenye hiyo opening kuna vamping kali sana ya George
Harrison.

Ahsante sana.
 
Yericko/Wickama
Naona hili jambo limewakaa sana na kwa hakika naona wanajamvi wengi
wanataka kunisikia.

Bismillah:

''The larger picture shows that the aim of the revolution was to overthrow patriotism in Zanzibaris which was opposed to Britain and Tanganyika under Mwalimu Nyerere.

In the eyes of the British at that time was that Zanzibar was already under the influence of Egypt under Gamal Abdel Nassir which would come to endanger the interest of Britain and its puppets in East Africa.

Sheikh Ali Muhsin was aware of this and that is why when he was being taken to jail he quickly sent someone to his Goan secretary to shred the paper which he had prepared for the Cabinet after his trip from Egypt.

The uncertainty by ZNP-ZPP leadership in the issue of security of Zanzibar wavering between dependence on Egypt and then coming back to Britain who did not want to believe that Zanzibar could be invaded by Tanganyika was the reason which made Zanzibar fall and could not rise up again until now.''

Wanajamvi,
Wameyataka wenyewe kazi kwao.
tunaomba hii kitu ifafanuliwe sisi wengine hatujaielewa,labda tuna matatizo ya lugha-aksante
 
tunaomba hii kitu ifafanuliwe sisi wengine hatujaielewa,labda tuna matatizo ya lugha-aksante

Son of Alaska,
Siye wewe peke yake usiyeelewa hii kitu. Yaani mapinduzi ya 1964 yalipindua uzalendo? Uzalendo ni nini? Kuwabagua waafrika weusi katika nchi yao wenyewe ni uzalendo? Kudumisha mfumo wa watwana na mabwana ni uzalendo? Sijaelewa kitu. Halafu Gamal Abdel Nasser aliyekuwa rafiki mkubwa wa Julius Nyerere aogopewe na Uingereza wakati huo huo Uingereza isimwogope Nyerere pia? Nasubiri ufafanuzi zaidi
 
tunaomba hii kitu ifafanuliwe sisi wengine hatujaielewa,labda tuna matatizo ya lugha-aksante

Son of Alaska,
Nilisema toka mwanzo.

Mmeyataka wenyewe.
Mbona ndiyo kwanza tunaanza safari?

Mara mshachoka?

Kuna course nilifanya zamani sana akinifundisha mwalimu Mholanzi:
''How to Read Difficult Passages.''

Tuliza akili na kama unaijua historia ya mapinduzi haitakuwa tabu.
Tabu itakufika kama umesoma historia za Wazungu.

Tayari nishaona propaganda za Wamishionari za Beit Ajaib nguzo zake
wamezikwa watumwa.

Jasusi anasema Waarabu wanawabagua Waafrika.
Ndiyo maana nilitulia tuliiii nakula faluda sitaki shida.

Niliyajua yatakayokuja.
Nyerere alimfunga Sheikh Ali Muhsin kwa miaka 10.

Hint: Jiulize kwa kosa lipi?
Ali Muhsin alipopata upenyo akatoroka nchi kavuka mpaka kwenda
Mombasa usiku wa manane peke yake kwa miguu akitokea Tanga wala
hana pasi ya kusafiria.

Kasaidiwa na Waislam kutoroka nchi.
 
Son of Alaska,
Nilisema toka mwanzo.

Mmeyataka wenyewe.
Mbona ndiyo kwanza tunaanza safari?

Mara mshachoka?

Kuna course nilifanya zamani sana akinifundisha mwalimu Mholanzi:
''How to Read Difficult Passages.''

Tuliza akili na kama unaijua historia ya mapinduzi haitakuwa tabu.
Tabu itakufika kama umesoma historia za Wazungu.

Tayari nishaona propaganda za Wamishionari za Beit Ajaib nguzo zake
wamezikwa watumwa.

Jasusi anasema Waarabu wanawabagua Waafrika.
Ndiyo maana nilitulia tuliiii nakula faluda sitaki shida.

Niliyajua yatakayokuja.
Nyerere alimfunga Sheikh Ali Muhsin kwa miaka 10.

Hint: Jiulize kwa kosa lipi?
Ali Muhsin alipopata upenyo akatoroka nchi kavuka mpaka kwenda
Mombasa usiku wa manane peke yake kwa miguu akitokea Tanga wala
hana pasi ya kusafiria.

Kasaidiwa na Waislam kutoroka nchi.

Tarati taratibu taratibu!

Twende hatua kwa hatu!

Wenzetu wakiomba ufafanulie wala usitie kinyongo, wafanyie hisani tu bila mawaa!

Ndio uungwana wa mwafrika
 
Yericko/Wickama
Naona hili jambo limewakaa sana na kwa hakika naona wanajamvi wengi
wanataka kunisikia.Bismillah:''The larger picture shows that the aim of the revolution was to overthrow patriotism in Zanzibaris which was opposed to Britain and Tanganyika under Mwalimu Nyerere.

In the eyes of the British at that time was that Zanzibar was already under the influence of Egypt under Gamal Abdel Nassir which would come to endanger the interest of Britain and its puppets in East Africa.

Sheikh Ali Muhsin was aware of this and that is why when he was being taken to jail he quickly sent someone to his Goan secretary to shred the paper which he had prepared for the Cabinet after his trip from Egypt.

The uncertainty by ZNP-ZPP leadership in the issue of security of Zanzibar wavering between dependence on Egypt and then coming back to Britain who did not want to believe that Zanzibar could be invaded by Tanganyika was the reason which made Zanzibar fall and could not rise up again until now.''
Wanajamvi, Wameyataka wenyewe kazi kwao.
Wamajamvi,hebu tuangalie kama maelezo hayo yanakidhi haja na kiu ya wasomaji

Kwanza unasema mapinduzi yalilenga kuondoa Uzalendo kwa wazanzibar uliokinzana na Uingereza na Tanganyika chini ya Nyerere(bold) kuonyesha kuwa yeye ni sehemu muhimu ya kuondoa uzalend.

Picha inayopatikana ni kuwa Nyerere ndiye kinara wa mapinduzi(rekodi)
Ukasema kwa mtazamo wa uingereza wakati huo, Zanzibar ingelikuwa chini ya ushawishi wa Misiri jambo ambalo lingehatarisha masiliahi ya uingereza na vibaraka wake Afrika Mashariki.

Kwa maneno mengine Uingereza haikuta kuiacha znz chini ya ushawishi wa misri ndiyo maana walimtumia kibaraka (puppet) kama Nyerere.(katika rekodi)

Ukasema Sheikh Mushin alimtuma mtu wakati akiwa jela kwenda kwa katibu wake ili wachane nyaraka alizotaka kuziwakilisha katika baraza baada ya ziara yake Misiri.

Mwisho ukasema kutoamini na kuyumba kwa msimamo kati ya uongozi wa ZNP-ZPP kuhusu uetgemezi kwa Misri au kutoamini kuwa Tanganyika ingeweza kuivamia znz ndiko kulikuwa anguko na znz haijaweza kusimama tena.

Kwa mtazamo huo, chini ya Sultan znz ilikuwa shwari na yenye uzalendo.
Umeshahu kuwa katika nchi za ukanda wetu znz ndiyo ilikuwa ya kwanza kufanya chaguzi zilizokuwa na matatizo.

Hassan Nassor Moyo, mwachama wa baraza la mapinduzi, oct 6 2012 akiwa bwawani alisema wazi kuwa mgogoro wa znz haukuanza baada ya mapinduzi au muungano, ulianza kuanzia miaka ya 1950.
Ni wakati huo Nyerere alikuwa hajawa rais.

Hoja zako pia zinashadidia mapinduzi yalichagizwa na Uingereza na Nyerere na wala ASP hawakuwa na mkono katika. Umesahau maneno ya A.Babu siku ya uhuru wa Zanzibar!!!
Mohamed akasema Karume alilala mtaani kwao siku ya mapinduzi kuonyesha kuwa alikuwa anungwa mkono na Nyerere

Hivyo ujumbe wa Mohamed kwa jamvi, Wazanzibar na dunia ni huu:

Kulikuwa na uzalendo mkubwa kabla ya mapinduzi na znz ilikuwa shwari.
Mapinduzi ilikuwa ni chagizo la Uingereza na Nyerere
Kwamba mapinduzi ya znz ni Haram
Walioshiriki mapinduzi hayo walifanya kitendo haram na hivyo wao ni madhalimu kama Uingereza na Nyerere
Walioshirkiana na Nyerere kama akina Moyo, Mwinyi, Natepe, Jumbe, Amour, Karume wote ni madhwalim
Kwamba,wznz hawapaswi kusherehekea mapinduzi kwasababu ni jambo la kidhalimu
Kwamba mauaji ya wznz yalisimamiwa na watu wa nje na hivyo Okello ndiye kiongozi wa kwanza wa znz
Kwamba yale aliyosema kuhusu Kassim Hanga huko nyuma sas anayakataa.

Mohamed Said, je, unathibitisha kuwa hayo niliyosema ndiyo uliyokusudia ili twende mbele na mnakasha?
 
Tarati taratibu taratibu!

Twende hatua kwa hatu!

Wenzetu wakiomba ufafanulie wala usitie kinyongo, wafanyie hisani tu bila mawaa!

Ndio uungwana wa mwafrika

Yericko,

Taratibu!?

We si unataka kusoma historia ya mapinduzi sasa nini tena aste aste.
Ushahemewa mara?

Tuendelee na darsa:


''For more than fifity years Zanzibaris have been driven by falsity which
have to large extent contributed to the infightings between Zanzibaris
thus effecting tranquility which is necessary for development which they
deserve.

Most books on the history of Zanzibar have not been written by Zanzibaris
and these books are full of malice and misinformation which create divisions
among the people on the basis of race emphasising on cruelty of of Arabs
without any proof on those allegations.''
 
Usitafute huruma kutoka kwa wanajamvi onyesha wapi umetukanwa au wapi wametukanwa wasomaji wa duru za siasa.

Ni kweli kule duru za siasa siyo kinachoandikwa kina mashiko kuna mengine utumbo tu.

Jenga tabia ya kuuzoesha moyo wako kukosolewa wala hakuna anayekuchukia ni hisia zako tu.

Kama kuna matusi ripoti kwa Mods au Invisible, sheria za JF na kanuni zipo wazi, tatizo lako umezoea kuandika bila kukosolewa wakati mwingine dawa chungu lakini inatibu.


Shariff Ritz,
Mie nilijipumzikia zangu na sababu najua hawa jamaa hawana moja walijualo
ukiondoa kuuliza maswali kama tuko Mkwajuni kwa Hakimu Nassoro Kiruka,

Basi angalau wawe na hiyo adabu ya kuuliza basi.
Wanauliza kama vile na wao ni wajuzi wa haya majambo.

Yericko ati anataka nisomeshe kwa spidi ya kinyonga.
Mwingine kajiibua na anajua mie simjibu anataka yakini kutoka kwangu.

Nawapa hii hapo chini iwashughulishe khasa kwa kuwa naona huu ni wakati
muafaka kwao kuyaelewa haya mambo.

Ati mimi nitapigwa mawe Zanzibar!:

''Mzee Abeid Amani Karume had great fear about Abdalla Kassim Hanga and his group.

If Hanga was able to plan the revolution with the help of Tanganyika and overthrow the
government in Zanzibar without involving him he too could be overthrown.

There was a big tug of war between Mzee Karume and Mwalimu Nyerere at the end of 1971
and the beginning of 1972.

According to reliable sources Mzee Aboud Jumbe wrote a letter and sent it to the mainland
with the aim of of wanting several matters to be reverted back to Zanzibar government.

Even before that there are several issues which the mainland had refused Zanzibar particularly
those which seem to interfere with sovereignty in Zanzibar.


Sorces says that Mzee Karume used to say on Nyerere "He has married us all and he now acts
like a husband in a house."

Karume and his team knew what Nyerere was up to and realised what he was doing to them.

In one of the most important early meetings between the Revolutionary Council and Tanzania
Cabinet in the mainland Nyerere chastised Zanzibar delegates like little kids and that called for
other means to confront him.

It was in 1971 or 1972 when Mzee Karume left Zanzibar with members of the Revolutionary Council
to go to and see Nyerere in Dar es Salaam with that letter written and signed by Mzee Aboud Jumbe
as Minister of State on union matters.

In the that meeting Mwalimu Nyerere asked: "Are these in this letter which you want? Mzee Karume
responded by telling him "Waulize hawa wanaume."

When asked all of them said "yes" three times.

Nyerere was very angry and he requested all the papers which were there to be collected and said
"the time for this is not yet ready!"

Mzee Karume replied: "Keep those papers and call us when the time comes!" Mzee Karume stood up
closed the meeting and returned to Zanzibar.


Mzee Karume went to Dar es Salaam with a strong delegation which had four proposals which had the
intention of giving back to Zanzibar its status as a country.

The letter which was signed by Mzee Jumbe wanted Zanzibar to have its own police force, Zanzibar
should share all ambassadorial positions on 50-50 basis in the Union between the Republic of Tanganyika
and Peoples Republic of Zanzibar.


There should be Zanzibar citizenship and Zanzibar should have its own currency.''
 

Yericko,

Taratibu!?

We si unataka kusoma historia ya mapinduzi sasa nini tena aste aste.
Ushahemewa mara?

Tuendelee na darsa:


''For more than fifity years Zanzibaris have been driven by falsity which
have to large extent contributed to the infightings between Zanzibaris
thus effecting tranquility which is necessary for development which they
deserve.

Most books on the history of Zanzibar have not been written by Zanzibaris
and these books are full of malice and misinformation which create divisions
among the people on the basis of race emphasising on cruelty of of Arabs
without any proof on those allegations.''

SITAKI kusomeshwa/kulishwa hayo uyaletayo bila kuhoji!

Nitayapokea kwa hoja sio kwa ngano!

Historia ya Zanzibar ninaifahamu wala haina mawaa kama unavyotaka kuuaminisha umma hapa!

Bandiko lako la kwanza linakinzana na kila msomaji hata awe hajawahi kuisoma popote historia ya Zanzibar!

Eti mapinduzi yale ya 1964 yakuwa ni HARAMU, kwamaana yaliondoa/yalifuta uzalendo na uhuru wa Wazanzibar chini ya Sultan???
 

Yericko,

Taratibu!?

We si unataka kusoma historia ya mapinduzi sasa nini tena aste aste.
Ushahemewa mara?

Tuendelee na darsa:


''For more than fifity years Zanzibaris have been driven by falsity which
have to large extent contributed to the infightings between Zanzibaris
thus effecting tranquility which is necessary for development which they
deserve.

Most books on the history of Zanzibar have not been written by Zanzibaris
and these books are full of malice and misinformation which create divisions
among the people on the basis of race emphasising on cruelty of of Arabs
without any proof on those allegations.''

Mohamed Said,

Along silence followed by mighty noise...ha haa haaa.

CC: gombesugu,
 
Last edited by a moderator:
Son of Alaska,
Nilisema toka mwanzo.

Mmeyataka wenyewe.
Mbona ndiyo kwanza tunaanza safari?

Mara mshachoka?

Kuna course nilifanya zamani sana akinifundisha mwalimu Mholanzi:
''How to Read Difficult Passages.''

Tuliza akili na kama unaijua historia ya mapinduzi haitakuwa tabu.
Tabu itakufika kama umesoma historia za Wazungu.

Tayari nishaona propaganda za Wamishionari za Beit Ajaib nguzo zake
wamezikwa watumwa.

Jasusi anasema Waarabu wanawabagua Waafrika.
Ndiyo maana nilitulia tuliiii nakula faluda sitaki shida.

Niliyajua yatakayokuja.
Nyerere alimfunga Sheikh Ali Muhsin kwa miaka 10.

Hint: Jiulize kwa kosa lipi?
Ali Muhsin alipopata upenyo akatoroka nchi kavuka mpaka kwenda
Mombasa usiku wa manane peke yake kwa miguu akitokea Tanga wala
hana pasi ya kusafiria.

Kasaidiwa na Waislam kutoroka nchi.

Wanajamvi,

Kumekucha watu wanakula faluda huku wanashusha mipini...chezea Mohamed Said,

CC: Ami, Boko haram, gombesugu, Mshume Kiyate, THE BIG SHOW, Barubaru, HASANALIS, Spike Lee,
 
Last edited by a moderator:
SIKI kusomeshwa/kulishwa hayo uyaletayo bila kuhoji!

Nitayapokea kwa hoja sio kwa ngano!

Historia ya Zanzibar ninaifahamu wala haina mawaa kama unavyotaka kuuaminisha umma hapa!

Bandiko lako la kwanza linakinzana na kila msomaji hata awe hajawahi kuisoma popote historia ya Zanzibar!

Eti mapinduzi yale ya 1964 yakuwa ni HARAMU, kwamaana yaliondoa/yalifuta uzando na uhuru wa Wazanzibar chini ya Sultan???


Yericko,
Hii ni nchi huru.

Amini historia yako lakini usitubughudhi nasi tunaposomesha yetu.
Wala mimi sitakuuliza chochote katika hayo unayoamini.

Uhuru wa kuamini upendacho ni wako hakuna wa kukuzuia.
 
Shariff Ritz,
Mie nilijipumzikia zangu na sababu najua hawa jamaa hawana moja walijualo
ukiondoa kuuliza maswali kama tuko Mkwajuni kwa Hakimu Nassoro Kiruka,

Basi angalau wawe na hiyo adabu ya kuuliza basi.
Wanauliza kama vile na wao ni wajuzi wa haya majambo.

Yericko ati anataka nisomeshe kwa spidi ya kinyonga.
Mwingine kajiibua na anajua mie simjibu anataka yakini kutoka kwangu.

Nawapa hii hapo chini iwashughulishe khasa kwa kuwa naona huu ni wakati
muafaka kwao kuyaelewa haya mambo.

Ati mimi nitapigwa mawe Zanzibar!:

''Mzee Abeid Amani Karume had great fear about Abdalla Kassim Hanga and his group.

If Hanga was able to plan the revolution with the help of Tanganyika and overthrow the
government in Zanzibar without involving him he too could be overthrown.

There was a big tug of war between Mzee Karume and Mwalimu Nyerere at the end of 1971
and the beginning of 1972.

According to reliable sources Mzee Aboud Jumbe wrote a letter and sent it to the mainland
with the aim of of wanting several matters to be reverted back to Zanzibar government.

Even before that there are several issues which the mainland had refused Zanzibar particularly
those which seem to interfere with sovereignty in Zanzibar.


Sorces says that Mzee Karume used to say on Nyerere He has married us all and he now acts
like a husband in a house.

Karume and his team knew what Nyerere was up to and realised what he was doing to them.

In one of the most important early meetings between the Revolutionary Council and Tanzania
Cabinet in the mainland Nyerere chastised Zanzibar delegates like little kids and that called for
other means to confront him.

It was in 1971 or 1972 when Mzee Karume left Zanzibar with members of the Revolutionary Council
to go to and see Nyerere in Dar es Salaam with that letter written and signed by Mzee Aboud Jumbe
as Minister of State on union matters.

In the that meeting Mwalimu Nyerere asked: Are these in this letter which you want? Mzee Karume
responded by telling him Waulize hawa wanaume.

When asked all of them said yes three times.

Nyerere was very angry and he requested all the papers which were there to be collected and said
the time for this is not yet ready!

Mzee Karume replied: Keep those papers and call us when the time comes! Mzee Karume stood up
closed the meeting and returned to Zanzibar.


Mzee Karume went to Dar es Salaam with a strong delegation which had four proposals which had the
intention of giving back to Zanzibar its status as a country.

The letter which was signed by Mzee Jumbe wanted Zanzibar to have its own police force, Zanzibar
should share all ambassadorial positions on 50-50 basis in the Union between the Republic of Tanganyika
and Peoples Republic of Zanzibar.


There should be Zanzibar citizenship and Zanzibar should have its own currency.''

Sheikh Mohamed Said,

Refusing and wanting at the same time, taratibu usifunguke sana.

Wamevutwa kwenye mtego wa taa wamenasa. ha haa ha.
 
Last edited by a moderator:
SIKI kusomeshwa/kulishwa hayo uyaletayo bila kuhoji!

Nitayapokea kwa hoja sio kwa ngano!

Historia ya Zanzibar ninaifahamu wala haina mawaa kama unavyotaka kuuaminisha umma hapa!

Bandiko lako la kwanza linakinzana na kila msomaji hata awe hajawahi kuisoma popote historia ya Zanzibar!

Eti mapinduzi yale ya 1964 yakuwa ni HARAMU, kwamaana yaliondoa/yalifuta uzando na uhuru wa Wazanzibar chini ya Sultan???

Vipi maswali yameisha waambie tena wenzako wapange maswali mapya Sheikh Mohamed Said, habari ingine angalia sasa mnavyotia huruma ha haa ha.
 
Last edited by a moderator:
SIKI kusomeshwa/kulishwa hayo uyaletayo bila kuhoji!

Nitayapokea kwa hoja sio kwa ngano!

Historia ya Zanzibar ninaifahamu wala haina mawaa kama unavyotaka kuuaminisha umma hapa!

Bandiko lako la kwanza linakinzana na kila msomaji hata awe hajawahi kuisoma popote historia ya Zanzibar!

Eti mapinduzi yale ya 1964 yakuwa ni HARAMU, kwamaana yaliondoa/yalifuta uzando na uhuru wa Wazanzibar chini ya Sultan???

Vipi maswali yameisha waambie tena wenzako wapange maswali mapya Sheikh Mohamed Said, habari ingine angalia sasa mnavyotia huruma ha haa ha.
 
Last edited by a moderator:

Shariff Ritz,

Tuna wajibu kuwaeleza hawa ndugu zetu mambo yalivyokuwa.
Mohamed Said,
Hujajibu hoja yoyote

1. Ni nani alimuomba msaada mwenzake kati ya TANU na ASP?
2. Hujasema kama mapinduzi ni halali au ni haramu
3. Hujasema waliofanya kazi na Nyerere ni dhalimu wa uislam au ni wanampainduzi
3. Hujasema wazanzibar wanapshereheka mapinduzi wanasherehekea udhalm au mapinduzi halali.

Katika post niliyotuma awali nimeweka sawa maelezo yako na tafsiri ya kile kinachoweza kutokana na nayo.
Kwa kipande cha kitabu hujajibu hoja. Na badal yake umezidi kuleta hoja zingine za kutatanisha

Kama yupo yoyote katika jamvi aliyemwelewa Mohamed, basi maswali hayo atusadie.
 
1. Ni nani alimuomba msaada mwenzake kati ya TANU na ASP?
2. Je,mapinduzi ni halali au ni haramu
3. Je,waliofanya kazi na Nyerere ni dhalimu wa uislam au ni wanampainduzi
3. Je,wazanzibar wanaposhereheka mapinduzi wanasherehekea udhalim au mapinduzi halali
Bismillah:
''The larger picture shows that the aim of the revolution was to overthrow patriotism in Zanzibaris which was opposed to Britain and Tanganyika under Mwalimu Nyerere.

In the eyes of the British at that time was that Zanzibar was already under the influence of Egypt under Gamal Abdel Nassir which would come to endanger the interest of Britain and its puppets in East Africa.

Sheikh Ali Muhsin was aware of this and that is why when he was being taken to jail he quickly sent someone to his Goan secretary to shred the paper which he had prepared for the Cabinet after his trip from Egypt.

The uncertainty by ZNP-ZPP leadership in the issue of security of Zanzibar wavering between dependence on Egypt and then coming back to Britain who did not want to believe that Zanzibar could be invaded by Tanganyika was the reason which made Zanzibar fall and could not rise up again until now.''
Wanajamvi
Nimeweka hoja na majibu
Kama yupo alielewa maelezo haya kwa mujibu wa Mohamed hapo juu,tunaomba atusaidie kudadavua hoja kama zilivyoletwa.
 
Back
Top Bottom