Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Wanaukumbi,

Nguruvi3, na Yericko Nyerere, tupeni majibu kubeba mikoba ya Chamwino kwenda Dodoma kupitisha sheria ya ugaidi, mpaka mkaandika na kitabu cha ugaidi.
 
Last edited by a moderator:

Sijui unatumia browser gani. Kuna moja wanaita SLIMBROWSER (mimi naitumia), hiyo ina facility ya ku-download moja kwa moja hizo video bila mzunguko wala maswali ya ku-register na ni fast. Jaribu ku-install uijaribu.

Good Luck
 
Wewe ndugu yangu ktk uraia una upeo mdogo sana...mtabaki kuwa careers tuu wa elimu.Mtu anaweza kupitisha script ktk generations zenu hata 6 bila nyie kuzijua, ila akaja kafir mmoja smart ktk vizazi akadecode scripts na matamshi mliyokaririshwa na akazijua na kuelewa alichoagizwa ,hata km ni kuwaua wote.Quran na Haddith zimekuwepo, na waislam wamezisoma na kuzikariri ili wahifashi,wamepewa motisha kuwa ndio dini ya kweli,na maandishi yae hayajawahi chokonolewa.Ila haichukui muda kwa kafiri kuvisoma hivyo vitabu na kuona shida nyingi sana ndani yake.Kuona vitu vingi vinavyopingana na Mungu wa Abrahamu.

Ulichoandika hakionyeshi popote kuwa waislam walishaifikisha TANU wala AA, TAA popote kimataifa.kupigana vita kama individual hakumaanishi kuwa taasisi uliyopo tayari imeshakuwa internationally recognised.Hakuna mahali panaonyesha hizo AA,au TAA au chochote kufanya kitu kimataifa.Na hii ni wazi hata Tanganyika yenyewe hakikuwa kimefika mahali...mikoa walikuwa na vyama vyao vya ushirika ambavyo ndivyo vilikuwa pia km vya kisiasa.

Soma hapa issue ya TANU mkoani kilimanjaro.Utaona jinsi hagi TANU na Nyerere walivyotumia hadi devide and rule na baadaye kuwahonga mangi wepesi ili TANU ikubalike ktk Mkoa wa Kilimanjaro.
[..............]Chaga people - Wikipedia, the free encyclopedia



Uongo upi sasa mbona mwenyewe unanithibitisha kwa quotes zako kuwa ni mkwel?My friend I know Islam and Muslims than you can ever imagine...Wazee wa kiislam wamekuwa wakitekwa kirahisi sana na kutumika sana,wengine kwa uzuri wengine kwa ubaya.Ni kuwavika kilemba cha ukoka na kuonyesha kuheshimu dini yao...Nyerere alikwenda mbali hadi kufuturu nao...kijana msomi mwenye akili ya kutisha,anayeweza ongea "Kikristu na Mzungu na kusikilizwa kwa heshima".Nyerere alishweza ongea na wazungu kwa ushawishi bila waongopa wala wabembeleza , wazee wa kiislam wasiojua utamaduni wa kizungu ni vipi wangemwacha? Wazungu wenyewe walimwamini Nyerere bila mpenda.Walimchukia ila walijua ni mwafrika pekee ambaye hawezi fanya ya maumau,wakaona ni bora zimwi likujualo kuliko hao akina sykes na wengine.Chama chao hakikua chama zaidi ya Kaumoja ka wazee wa kiislam ch akupigia soga.Hakikuwa kitu km Simba na Yanga...club ambazo hazijawa civilized kwa miaka yote.Sura tuionayo ni rangi tuu ya jitihada za watu wa mikoani.

Mahaba yapi unasema?Wale wazee walimwona msomi anaweza wawakilisha wasipoweza fika na kuwakilisha wazo la maana.Nyerere alikuwa akiwaelisha huku akishirikiana nao...na kufuata baadhi ya njia zao ili aweze kaa nao ,aliwashika wengi wa wale waliodhani anakaribia kuwa mwislam na hivyo kuupa heshima.I have seen it...nimekaa na waislam...nimesikia vilio vyao wanapokuta Vijana makini wanaofanya utendaji kwa ufanisi na kujua mambo...wengin huwa akili zao na roho zao huwatuma wajiulize kwanini sasa asiwe muislam km allah kamjalia ufahamu mkubwa...Mmoja niliwahi fanya nae kazi na nilimsaidia sana..mwishowe akaniambia,una elimu nzuri,unajua kazi yako, na allah,unajua maandiko vyema kwanini sasa uifuati dini yake?Nikaamulize kwanini usijiulize hilo swali kwa staili hiii."Hivi huyu mtu anamfuata Mungu gani aliyemsaidia kuwa na hivi vipawa?".Its only reasoning can be very wrong.
Hapa hujaonyesha wapi wala kupinga hoja yangu kuwa kiswahili hakikuongelewa na watanzania kwa idadi ya hata kukaribia nusu.Na hakuna niliposema watu hawakujua kiswahili basi Nyerere aliongea Lugha zote.Kwani wakalimani walikuwepo wengi sana ktk wasomi wa eneo husika.Na Nyerere alifanikiwa kwa hilo,kushika mzawa na kumpa cheo hata kwa level ya kitaifa.

Sasa umezidi kuonyesha jinsi gani uislam ulivyowafanya wadigo watu wa hovyo .Hadi Leo wadigo ni wavivu,wachawi, watumwa..huwa wanatumikishwa hata na waarabu koko wasiojiweza hata kujikimu.Umezisi kuwafungua watu macho kwanini hadi leo wadigo ni watu wa hovyo.Kwako wewe ni mashujaa..Nyie ndio mnaandika historia kinyumenyume..Nashukuru kuniletea quote ya vitabu vya hovyo kabisa vya design ya mzee mohamed..maandiko yao yote yanaonyesha uduni na ujinga wa wadigo,inaonyesha jinsi gani wamanyema waliutumia uislam kutawala watu wa pwani kirahisi ..huyu jamaa ktk harakati za ukombozi anatajirika wengine wanakuwa duni....?

Wanawaita Wkristu wasomi kuwa ni wasaliti,ila na wewe kwa akili zako za ndege huwezi jiuliza hata leo nani mwenye akili timamu atajiunga na CUF?Wadigo wote wajinga kama ulivyoeleza ulitegemea wachague njia sahihi?Watu hukombolewa kwa "Elimu na uelewa wa mambo" na si kwa ujinga.Yote haya yalikuwa ni udini tuu.Wadigo kwao kuwa na muarabu ndio uzalendo kwa vile ni dini moja na master wa asili ktk fikra zao.

Nashukuru sana kwa hii quote...hii ndio diference kt ya waislam na makafiri..makafiri wapo too open na wanaelewa vitu...mwandishi uliye mquote ni mjinga na mpuuzi..kaandika kitu kinachom betray ktk lengo lake kubwa.

Hivi ndivyo vitu viwafanyavyo waislam kuwa nyuma ya Wakritsu..."Jua kweli n akweli ikuweke huru".Kadiri mnavyozidi kuongeza bidii,ndivyo mnapata surprises...one kafiri can ride many muslims intelectually.Nyerere alifanya....na .

Kiswahili kilisukumwa sana na wajerumani na ingawa maeneo waliyopita waarabu na watu wa pwani ktk utumwa ndipo palizungumzwa kiswahili.Ila hadi leo kuna watu hawaji kiswahili Arusha,Bukoba,manyara.Kondoa,Mbeya, na shinyanga,kilimanjaro, etc..Hembu rudi miaka 50.

Sioni sababu ya kuweka habari za TANU Kenya.Kwani TANU imezaliwa mikononi mwa Nyerere ambaye alishaweza teka fikra za Wazee,kwa kuwaonyesha uwezo wake binafsi, kwa kiasi cha kuwashawishi kuwa anao uwezo wanaouhitaji zaidi ya yeyote ktk dini na ukanda wao.Na hivyo TANU tayari ilikuw aikienda ktk terms za Nyerere.Hiyo ilikuwa Test ya Kwanza ya Nyerere Kabla ya kwenda kukutana na vipingamizi kule kilimanyaro,kule Bukoba,na Iringa(The Renegades)..Nyerere mwenyewe hakupenda sana kilimanjaro ya kisiasa na Nguvu.Hata alipokwenda Mnadi Mkapa Kilimanjaro(Uwanja wa Makumbusho pale mjini Moshi)...alionyesha na alionyesha wazi kuwa Kilimanjaro ni ya kudhibiti.
 
Ritz nikizidi kuelimisha ....TAA haikuanzishwa hata na waafrica ila waingereza km kiitu kilichoitwa ""Discussion forum for African opinion". Na hii inaweza kuwa sababu ya Nyerere kuigeuza kuwa chama cha Kisiasa na kuja na TANU.


Kwa kiasi fulani waislam wamekuwa too naive na kujikuta wakitaka jenga hoja za hila na upotoshaji ktk uhuru wa hii nchi.Nyerere alikuwa na vitu "cutting edge".Hotuba yake UN hata waingereza hawakuipenda ila member wengine walipoisikia tuu wakawa upande wa Nyerere.

Waingereza pia walimpenda nyerere kwa vile alibanwa kwa fikra na imani zake mwenyewe za usaha wa matabaka ya rangi.Hii iliwafanya wajihisi kuwa salama zaidi kwake.
 

Mzee MS; At last. sasa baada ya kukushukuru, twende na tamaduni za hii thread, tuwekee sherehe ya kujua source ya "the larger PICTURE" au kama ni mawazo yako pia kuwa specific kuwa NI YAKO.

Tutajadiliana baada ya hiyo sherehe.
 
Mzee MS; At last. sasa baada ya kukushukuru, twende na tamaduni za hii thread, tuwekee sherehe ya kujua source ya "the larger PICTURE" au kama ni mawazo yako pia kuwa specific kuwa NI YAKO.

Tutajadiliana baada ya hiyo sherehe.

Wickama,
Nimeacha kutoa source kwa makusudi.

Ntawaomba wanajamvi mnistahamilie kwa hilo katika maelezo yangu
yote kuhusu Zanzibar.

Ikiwa kitabu nitawaeleza In Sha Allah.
 
Sijui unatumia browser gani. Kuna moja wanaita SLIMBROWSER (mimi naitumia), hiyo ina facility ya ku-download moja kwa moja hizo video bila mzunguko wala maswali ya ku-register na ni fast. Jaribu ku-install uijaribu.

Good Luck
Wickama,
Ahsante sana.
 
And I thought Amir Jamal was Ismailiya. Nipe tuisheni.

And you "thought" Swai was a Lutheran? And "Ismailiya" are Lutherans, isn't it?

And that is your proof ya "uchochezi" wa Mohamed Said.
 
Wickama,
Nimeacha kutoa source kwa makusudi.

Ntawaomba wanajamvi mnistahamilie kwa hilo katika maelezo yangu
yote kuhusu Zanzibar.

Ikiwa kitabu nitawaeleza In Sha Allah.

Mkuu,

Unataka tujadili kwakutumia fumbo la imani?
 


Kama umeshindwa kuelewa,hebu kaa kando kidogo,
Give us some space to learn..!,
Hoja zako ziko ni childish,
Kama umeshaona hilo unalolidhania ni sahihi sawa baki nalo,au waambie jamaa zako si sahihi na watakuelewa na watayaacha hapa hapa,
Ila sasa usijichukulie jukumu la kutoa conclusion na kuwasemea watu humu ndani,kila mtu hapa ana upeo wake na uwezo wa kufikiria mambo,
Kama ulichokiwaza na kukiona wewe kiko hivyo basi ahalan wasalan,kichkue hicho na ubakie nacho,

Halali haramu ina nin hapa??

Tanu au Asp nani alimtaka mwenzake msaada kiaje na ili iweje hali ya kuwa hoja zinajieleza zenyewe??

Kusurvive au kufail kwa uislam na usultan kunakujaje tena??

Kama umepuuzwa kujibiwa,basi jua hoja zako ni za kipuuz kweli,

Na mpuuzi dawa yake ni kupuuzwa,kuwa na staha na weledi basi,elimu inayomwagwa hapa ni kubwa,litambue hilo...
 
Mohamed Said.
Twakufuatilia kwa utuvu wa hali ya juu sana kuhusu hilo darsa la zanzibar,
Na washaanza kuingiwa na kiwewe kwa sasa,tafadhwali tafadhwali tumekaa kitako hapa kunyonya ilm hiyo,
Masalaam...
 
Last edited by a moderator:
Wickama,
Nimeacha kutoa source kwa makusudi.

Ntawaomba wanajamvi mnistahamilie kwa hilo katika maelezo yangu
yote kuhusu Zanzibar.

Ikiwa kitabu nitawaeleza In Sha Allah.

Sawa sheikh; Sawa utatuwekea especially kitabu na papers kwa jinsi unavyojieleza. Yabidi basi hata utushukuru na Nguruvi japo kwa vi-LIKE. Bila maswali yetu kukubana ungebembelezwa lini na Prishaz!!!! hahahahahah.



hebu tuliza roho bwana. Nina kibano kwa sasa.

Bee Gees - Night Fever (Video) - YouTube
 
Mkuu, hivi ni kweli kuwa mbunge wetu Murji kakamatwa?
 
Wanaukumbi huyu ndugu yetu naona bado anaendelea na porojo zake kuhusu historia ya Tanganyika na harakati za kutafuta uhuru.
Ritz nikizidi kuelimisha ....TAA haikuanzishwa hata na waafrica ila waingereza km kiitu kilichoitwa ""Discussion forum for African opinion". Na hii inaweza kuwa sababu ya Nyerere kuigeuza kuwa chama cha Kisiasa na kuja na TANU.
Wanaukumbi hapa juu tunamsoma ndugu yetu anatuambia TAA Haikuanzishwa na waafrika lakini hasemi ilianzishwa na na nani tusiandikie mate na wino upo hapa chini tumsome Nyerere mwenyewe.
https://www.jamiiforums.com/member.php?u=34266Wanaukumbi nadhani ingekuwa vyema huyo jamaa yetu angetuambia TAA imeundwa na kina nani atutajie na majina yao, hebu tumsome tena huyu jamaa yetu hapa chini.
Wanaukumbi hapa juu ndugu yetu anajaribu kumuwekea Nyerere maneno mdomoni kuhusu Waingereza hebu hapa chini tumsome Nyerere mwenyewe anavyowaelezea Waingereza amabao tunaambiwa walikuwa upande wake.
https://www.jamiiforums.com/member.php?u=34266Wanaukumbi nadhani tumeona tofauti ya maneno ya ndugu yetu na maneno ya Nyerere.
gombesugu, THE BIG SHOW,
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…