Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Yericko,
Hapana haja ya kuhangaika sana.

Historia ya TANU ya wanajopo wa CCM ipo.
Historia iloandikwa na MS ipo.

Kila upande umeeleza historia yake.

Kwa nini wewe leo jasho likutoke kuikataa
historia yangu?

Tuuachie umma uamue nani mkweli na nani
muongo.
 

OK; Baada ya salaam NADHANI,naona point ya Nicholas sasa. Kwa sababu siku zote serikali huwa inavitaka vyama kubaki kwenye yale mambo vilivyojiandikisha kufanya. Yaani, kama Yanga kesho hawawezi kuzuka na kusimamisha mbunge bila KUJIANDIKISHA kama chama cha SIASA. Hiyo Ban, itaendana na malengo ya kandikishwa TAA.

Una nyaraka nyingi za kina Sykes. Una mahali popote unapoweza kutuwekea humu JF;

1. Barua ya AA/TAA (before Nyerere)wakiomba rasmi kutambuliwa kama chama cha siasa kutoka mamlaka husika?
2. Una Malengo rasmi ambayo AA.....>TAA waliandikishwa nayo kwa registrar of associations wa Tangayika au yeyyote mwenye nayo atuwekee tujue walikuwa vipi? Na tuone ambayo political ni yapi? Sio general welfare!!!!

Kwa sababu bila kujiandikisha kama political party na chama kuwa na articles of association ambazo ni political, kauli za nani alisema/hakusema ni political party huku mtaani hazina pa kushika.Nadhani ndicho anachojaribu Nicholas kuweka across. Hebu tufate njia rasmi.

cc Nicholas, Yericko, Nguruvi
 


Kasema kuna a "Larger picture". Hoja za hayo masali you can be sure hazitajibiwa. Not by anybody in that camp. ONLY one was brave enough to say tukuchulie kwamba ASP waliomba (May God reward his courage). As far as i see that agenda has officially been closed. It is now back to AA-------->TAA which wont take time. Nicholas started this swaga, lets enjoy the show.
 
Ni kwamba ulikuwa hujui au?Mnayo kazi....huwa uongo wenu unawakost nyie zaidi.

Nicholas; Nadhani nitahitaji some help here. Kuna mahali nilishawahi soma kama vile Sir Donald Cameron ndiye aliyekuwa mwanzilishi wa hizi AA pamoja na indirect rule (though chiefs etc) kama mojawapo ya efforts zake kuwajenga waafrika na hata akakataa kuiunganisha tanganyika na kenya colony kuizuia tanganyika isimezwe na hilo colony. To be honest i need clarity kwa vile huwa inanichanganya naposoma juu ya AA--->TAA nani aliianzisha? kuna haja ya kutenga mwanzishaji na OFFICE bearers, unajua lolote? Au mimi nilielewa vibaya?
 
Al Habiby gombesugu,

Naona ndugu yetu Nguruvi3, amekuwa msemaji wetu sisi Watanganyika sijui haya mamlaka kayatoa wapi walaahi, hebu hapa msome chini.

Ndugu yangu gombesugu, baada ya kuandika haya huyu ndugu yetu ambaye anatumbia MOHemed Said, akienda Zanzibar, anapigwa mawe jiulize vipi yeye ajitambilishe halafu aende Zanzibar tuone kama atarudi, ha haa haa haaa, tena waongozane na Mohamed Said, hapa chini ndugu yetu Mtanganyika akashindwa kujuzuia ikabidi amjibu msome hapa chini.
ha haa haa haaaa..... kama kuna Spinning, basi nipigwe ban...
 
Last edited by a moderator:
Tusemezane,
Katika majuma kama matatu yalopita nimekwenda Zanxibar
mara tatu na mara zote hizo nimepewa mialiko ya kuxungumza
mubashara kwenye radio.

Hii si dalili ya mtu anetafutwa kupopolewa.
 

Kwa kifupi waingereza walikuwa smart siku nyingi sana..."walianzisha AA/TAA km jukwaa la majadiliano kwa waafrica" na waliwacontrol viongozi wao.Walijua kuwa watahitaji mahali pa kuwapa matumaini waafrica ili wajisikie kuthaminiwa,na pia mahali pa waingereza kupima mwenendo wa hisia za waafrica.Ni ktk Indirect rule ,ila waliihitaji feedback system.

"Yaani ni km serikali kuanzisha UDOM ila mkuu wa chuo wa kwanza,au hata kamati ya maandalizi na ujenzi zikawa na uongozi fulani"..hata kutakuwa na waanzilishi wengi kutokana na context.Ila ukweli mwanzilishi ni mamlaka iliyotoa "Mpango huo"..serikali.
 
Zomba,
Wazalendo kama Mashado na kaka yake Schneider ndugu
zetu wanawakwepa kwa kuwa wanavuruga historia rasmi.

Akina Plantan ndiyo walikuwa pale New Street na ndiyo
walimshuhudia Nyerere toka siku ya kwanza anakuja pale
kaongozana na Abdu.

Wao wanataka historia ya TANU ianze kwengine lakini si
pale.
 
Salaam ndugu yangu WICKAMA,

Mwanzoni mwa harakati za kupigania uhuru kwa kipindi kirefu wakoloni walipiga marufuku vyama vyote vya siasa.Ilikuwa hauwezi kusajili chama cha siasa kwa msajili.TAA walitumia mbinu ya kufanya siasa kupitia TAA political subcommitee.Hili liko wazi sana lakini hasadi dhidi ya Sheikh Mohamed na historia ya wazee wake zimewafanya ukweli hamuoni.

Lakini si mmeishambiwa aminini historia yenu ya kupanga ya kivukoni, nasi tuacheni tumuamini Sheikh Mohamed atupe yale aloshuhudia na kusimuliwa na wazee wakee waliokuwa ndio moyo wa harakati za kudai uhuru.

Poleni sana.







 

Sidhani hawa jamaa km watakujibu haya..watahamia ktk hisia na kuomba huruma yako na wana jukwaa,kwa kuanza jenga hisia za victimization.Ili pawe na guiltiness

Hawa jamaa wanataka ongelea siasa ambazo hata ktk nyumba zipo, hata makanisani,na misikitini ipo...ila hawakuwa tofauti na Bakwata..ktk kutumika.Hao akina Abdulwahid hawakutofautiana sana Bakwata ya leo.Kwani waliwekwa na mkoloni na walikuwa na kufanikiwa vyema sana.

TAA ilianza siasa zenya kichwa na Miguu alipowasili Nyerere ambaye tayari alishawaaminisha wazungu kuwa wangekuwa salama akiwa kiongozi wa movement.Nyerere alijua asingekuwa na muda mrefu wa siasa ktk TAA kwa vile ilikuwa ni kinyume na sheria,ndipo akaifanya kuwa chama cha siasa TANU .Siasa zikawekwa rasmi nchini.Hapa ndipo nami naona Nyerere hakuona mbali,kwani udini wa wazee ambao walikuwa wakipata vitoa njaa uliendelea kupitia CCM,na timu za Simba na Yanga.Hadi leo.Na ndicho hawa jamaa wanahubiri hapa.Ni kule kuona kuwa ulaji wa bwerere umewatoka na sasa watanzania wote wanafaidi uhuru.Wanaona kam vile uhuru wanapewa watu wengi mno.

Ilikuwa ni wazo la Nyerere kujua kuwa asingepata audience bila gharama wala kumchokonoa mzungu kabla ya muda.Bila kuchukua watu ktk kundi lililopo.Nyerere alijua hakuna haja ya kugundua tairi tena,ila kulitumia tuu.Ndio maana akasort makundi yake ya watanganyika...akajua vijana ni risk kw avile bado wanahitaji kuajiriwa na mzungu na hawana namna ya kuishi, wazee wa TAA wakiwekwa sawa mbali na kuwa na biashara pia,hawakuwa na malengo mengi ,zaidi ya karaha za mzungu ktk biashara na chuki iliyojificha ya utawala usio wa kiislam.Pia nyerere alijua kabisa kuwa UN wanahitaji ushahidi wa nia ya watanganyika kutaka uhuru,na uwezo wao ...Nyerere akafanyia kazi.
 
Tusemezane,
Katika majuma kama matatu yalopita nimekwenda Zanxibar
mara tatu na mara zote hizo nimepewa mialiko ya kuxungumza
mubashara kwenye radio.

Hii si dalili ya mtu anetafutwa kupopolewa.
Hata waganga,wachawi, majambazi, watapeli na wahanga nao hupewa platform yakuzungumza...ni wewe tuu kuonyesha ubora w ahiyo paltform.....Si vyema kujjidanganya kwa hayo.Wengine waliojaaliwa hupima hadhira yao na kujua kuwa wamepewa kinachostahili au jambo limekuzwa kutokana na udhaifu wa hadhira.
 
Wickama,
Sina nyaraka hizo ulotaja.

Naona nduguyo ananitia kwenye makundi mabaya
ya wanga nk.

Wajua kinachonishangaza mie ni jinsi mnavyochomwa
na hii historia yetu.

Mbona historia yenu imetamalaki miaka na miaka na sie
hatujanyanyua hata jiwe kumpopoa mtu.

Shule zote historia isomweshayo ni hiyo ya Kivukoni sie tuliii
kama maji mtungini.

Aminini hiyo historia yenu hapana neno.
Hii nchi huru.
 

Sheikh Mohamed Said,

Hawa ndugu zetu wanatuambia kuwa AA, TAA, havikuwa vyama vya siasa sababu havikusajiliwa na msajili wa vyama, ha haa haaa!

Wanaukumbi hivi vyama vilivyoleta uhuru chama cha Jomo Kenyetta (KANU) cha Kwame Nkrumah (CPT) chama cha Patrice Lumumba (MNC) chama cha Nelson Mandela (ANC) chama cha Kenneth Kaunda (UNIP) chama cha Hastings Banda (MCP) hivi vyote havikuwahi kusajiliwa kama vyama vya kisiasa.

Leo hii tuseme vyama vyao viliundwa na Waingereza wala havikuwa vyama vya siasa itakuwa kituko.
 
Last edited by a moderator:
Haha mnachonifuarahisha waislam ni kupenda slightly twisted story.....mwishowe mnapotea kabisa.Hao wazee wako walisharidhika km wazee wa Bakwata..


Hii ni thread iliyoanzishwa na Yericko ili mzee aje jitetea.So hakutukunyimi kuamini ,ila tunamnyima kudanganya deliberately.SI ethics za uandishi,wal aafya kwa taifa lililojengwa kwa nguvu za wengi,hata za wavivu..sasa akina nyie mnaotaka amini tuu ndio anayewafikisha kwenye hasira za kuchoma makanisa,kuzaba wazee wenu vibao....halafu mkiulizwa sababu,mnaonekana vituko.wengine mnaanza lialia kuwa mnaonewa wakati mnaongea "Mnachokiita ukweli".....

Kweli nyie kupotoka ni walaini km Nyama ya maini.....karibu kwangu...nimejenga karibu na msikiti...nyumba yangu ipo upande wa Qilba wa msikiti...nikwa sebuleni napata "msosi usioupenda" huwa jamaa wananisujudia several times a day.....
 

Unaposema historia "YENU" na historia "YETU" unamaanisha nini?

Hiyo "yenu" ni ya mimi na nani??

Na hiyo "yetu" ni ya wewe na nani?

Huu mgawanyiko umezingatia zaidi nini?

A) Dini
B) Kabila
C) Uelewa
D) Asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…