Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Wamo humu kwenye nyuzi inaonesha umekurupuka hujaisoma, Jee, unamjuwa Tewa?

Hiyo logic yako imezidiwa na ya Fisi....Fisi angefuata logic yako angekufa njaa.Sishangai kwanini jamii yenu ni ya mwisho kabisa.

Siku zote nimekuwa nikikuambia una fujo bila chembe ya akili km wanyama waharibifu.Na wewe ukiingia misikitini wanakupa ulezi?kweli uwaleao na kuwafundisha unawapa ticket ya jehanam bila break.
 
teh teh....kumbe mzee akibanwa kilio kinasikika upande mwingine wa dunia.....?huyu bwanyenye anayemtetea mzee inawezekana nae alichangia kiasi fulani kujenga ground za kutukuzwa uarabau.

Hao radical muslims wote unaowaona wanajifaragua hapo kwa ngano zao ni uzao wakigeni uliohemea tu kuwepo katika ardhi ya Tanzania!

Wanajiona wanahaki milki ya imani na historia ya Tanganyika, AA,TAA na TANU!

Lakini kinyume chake tukiwachambua wote historia inawaweka mbali,

Ndio inawaweka mbali kabisa,

Ukweli unabaki kuwa ukoo wa akina Sykes haujawahi kuongoza chama cha siasa Tanganyika wala Tanzania!

Muulize Mohamed Said, atutajie ni jukwaa gani la siasa katika ardhi ya Tanganyika au Zanzibar ambalo Abdul Sykes aliwahi kusimama na kuhutubia wananchi iwe kabla ya uhuru au baada ya uhuru?
 

Ndugu yangu Uthman; Baada ya salaam. Awali ya yote sina tatizo na mtu kuamua kuita TAA au hata AA kama political Party. Tatizo ni pale utakapojitokeza kwenza umati na kudai ilikuwa political Party. Sababu ni hizi;

1. Articles of Association ni za welfare grouping
2. Hakuna hata barua au document moja (unless iwekwe baada ya hii posting)ambayo AA/TAA wanaomba official recognition kama Political party
3. Association kuwa na sub-comittee ya politics haiigeuzi kuwa chama cha SIASA, hata Bakwata wanaweza easily waka-accomodate kamati ndogo inayofuatilia siasa za nchi na maslahi yake kwao. Lakini haiigeuzi Bakwata kuwa a political party


Sasa tukubali kulikuwa na marufuku; lakini mahali fulani TAA wakakaa wakageuza katiba na hata jina na kujiandikisha kama chama cha siasa (TANU) na wakapata mafanikio.

Nisipokubaliana na Mzee MS ni kuwa; Sioni mantiki ya kutambua TAA kama chama cha kisiasa kwa kauli au kwa wao KU-declare bila kuwa na registration. Vinginevyo process ya kutengeneza katiba na kuomba kutambuliwa kama chama cha kisiasa ni ushahidi tosha kuwa walijua udhaifu wa STATUS yao ya wakati ule.

Ama kuhusu kumuonea Mzee MS hasad, hiyo naichukulia kama opinion yako na wala hainisumbui. Ni juu yako kuamini kuwa wamakonde walikusanyika tuu Kipumbwi bila request ya anaewahitaji across the indian ocean kwa shughuli yake. mimi huwa NAULIZA. Na so far majibu yameshindikana. Iite hasad pia.
 
Hao wahusika wakuu ,kwanini wasidai kipindi hicho...?Walihofia kuwa wangeumbuliwa?Kuuna mabo mengi ya kuangali hata kam ani kwa kuhadithiwa ili kujenga credibility..Alihakikisha vipi kuwa hao jamaa hawakuwa wana jikuza kama wale wanajesh iwaliokuwa wapishi,madaktari na wengine ktk Vita ya Kagera wanavyojifagilia kuwa waliwachapa sana waganda hadi uganda..Ila wakibanwa wanasogea ktk kweli ,kwakusema wao waliganya kazi ya kwanza kumto aktk ardhi ya Tanzania,wengine wakapokea na kwenda watoa uganda...km huna huruma na uongo wao ukiwabana zaidi wanakwambia wao walikuwa wakipokea vitu walivyotuma raia kwa ajili ya wanajeshi.hadi hapo utaendelea amini chochote kirahisi?

Kama kweli umekisoma kitabu chake utabaini kuna mengi ameshuhudia mwenyewe na mengine amepata moja kwa moja toka kwa washiriki aliowaeleza kwa mapana na marefu mchango wao katika kupatikana kwa uhuru wenu.

Hao walishiriki aliowasema kuwa victims,kwa aliyoyaeleza kuhusu familia za Rupia,Sykes, Kyaruzi etc...hakuna walichokosa hata km wengine walipata zaidi ya walichosatahili,kwani hawakuwa mercenaries ,ambao baada ya kazi walipwe.

Ila pia kwa jinsi alivyoweka chumvi na kuzidisha sifa huku akipambana na mchango wa Nyerere ni wazi kwamba huyu jamaa anaweza hata sifia gari aliyopanda mwl....kuwa nayo inahitajia pata heshima yake tk "bounty of freedom ".

Yaani kipindi cha uhuru kila aliyejiandikisha hata bila kufanya chochote tayari alichangia uhuru....mwl JK alihitaji idadi ya watu hata kama wote wangekuwa mabubu,viziwi, na mengine....kwani yeye alihitaji watu.Ili kuiambia UN kuwa watu wapo tayari,mengine km uongozi tayari alikuwa kiongozi shupavu na hata waingereza walijua.
[/QUOTE]

Sasa kama wewe ungekuwa kweli ni mmoja wa familia ya Nyerere ulitakiwa sasa UMUULIZE MAMA MARIA NYERERE atakwambia na hata kutaka ushirikiano na Moh'd Said akupeleke jamii husika alizozitaja na kwenda kuthibitisha ukweli wa maandiko yake.

[/QUOTE]
Reasoning yenu ni ya hovyo sana....nyie ndio mnafany auislam uende hatua moja mbele ,halafu 10 nyuma..Kwani yeye au kutokuwa mmoja wa familia ya Nyerere kunamwondolea nini uhalali wake hapa?Au hat anani kakuambia mama Maria Nyerere alikuw akijibu maswali ya familia tuu?Yule mama na uzee wake bado ni smart,huwa maswali yasiyo mazuri tuu ndio huw ahajibu...ila maswali yasio na kijinga huw anatoa majibu popote anapoweza.

Mbona mimi nilishwahi mkuta ktk Fulani nikamsalimu na kumpiga maswali hata bila jitambulisha akajibu bila maswali.


Watafiti hawakurupuki ndugu yangu,huwa wanapata cha kutafiti kwa ku rasi maswali, halfu kuwa na majibu fulani ya kuhisi..halfu kufanya tafiti ili kujua km majibu yataakisi majibu ya kifikra...km siyo kwanini.

Utafiti unachukua hela,muda na kuhitaji population.N ahivyo kuhitaji budget kuandaliwa...Huwezi fanya tafiti kwa kitu obvious....hawa jamaa zako hata nukuhu zao ni zile zinazowapinga.Hakuna kitu kibaya mahakamani km kujiitolea ushahidi unaothibitisha unachotuhumiwa.Ni kama kukiri kosa,wakati unadanganya mahakama.
 
Ritz,
Huyu jamaa haijui historia ya TANU.

Angekuwa anaijua asingekuwa na mdomo wa kumkashifu Abdu Sykes.

Hata wale wasiompenda katika TANU hawakuthubutu kusema kuwa
TAA iilikuwa ajira yake kwani chama kikenda kwa fedha zake.

Shariff naishia hapa.

Mzee naona unaswitch kwa style ya watu fulani nimewahi wakuta humu ndani...wanakomaa kuwa wajuaji kwa kusema wengine hawajui,halafu wakionyeshwa wengine wanajua, wanaplay victims ili wapate huruma na kumfanya mwingine awe guilty,halafu roho ikiruka tena wanaanza mashambulizi, hii Tabia nimeona kwa Mkandara,Zitto...and the sort.

Hizi ni tabia ambazo si za watu salama sana...

Well, mzee uwezo wa kusema au kusema nilichosema kunahitaji understanding,courage na kulesema vyema.Hata sasa hivi naweza kuwa mtu pekee asiye mwuislam na pengine hata waislam walioweza au kuthubutu sema CCM NI CHAMA CHA KIISLAM.

Sidhani km usemalo ni kweli,TAA ilikuwa ya civil servants hata kama hawakuwa na kipato walichangisha,na kujitolea.N mara nyingi ilikuwa broke.Ila arrivala ya Nyerere iligeuza TAA kiuongozi na kila kitu..TAA nayo ilikuwa na ufujaji wa hela kipindi cha kabla ya Nyerere,wakiwa jamaa zenu..na pengine ndipo walipojilimbikizia ktk akina Alhaj Ndolanga na Rage kwa iliyokuwa FAT.
 

Ndugu yangu kwa jinsi unapiga makonde mazito...nadhani km ungekuwa Simba aliyeshika mnyama sasa anakwenda ktk Jugular vain "pale shingoni". Km ni Box basi unatandika ngumi nzito za kumalizia game.
 
Pole kwa mafuriko na kupitwa na mambo..nadhani ndiyo yatakuwa yamekuponza urukie kila mtu kwa kutojua.Au pengine ndio kule kutoitendea dini yenu haki,kila kitu hamchukui muda fikir huwa maniingiza halafu ikipata majibu yanayoumiza mnaanza jificha kuwa dini imetukanwa na excuse nyingine ya vilema.

WELL HATA MIMI SINA RAHA KWA VILE SIWEZI TAJA ID YAKO,INGAWA UNANITAFUTA SANA.

Mpeni Mungu yaliyo ya mungu na kaisari yaliyo ya kaisari.Mtaenda hadi ktk uchawi na dini zenu.
Naona unapenda pale Nicholas anapotoa hisia zake,nakhis lazim atakua mtu wa Chadema mwenzio!?ahaha!!

Tutaongea na tuendelee na mnakasha.

Ahsanta.

Haha..chadema km una akili timamu utaipenda bure...
 
Ungesaidia sana km ungesema lengo alo kukualika ni lipi?Na mwisho wake walikirank vipi kitabu chako?

Wabongo na watu wa masharii ya kati wanatabia ya kuitw ana watu wa makundi yao ulaya ili wapatte palatform ya kujikuza na baadaye wapate uhalali wa kudanganya wapendavyo.


Hii ndio sababu...siwakubali Migiro,Salim A.Salim ,membe and the sort...hawa wote wana one thing in common..ni incompetent...ila bahati mbaya Migizo kakutwa na age ya dotokomu na propaganda zikiwa chini..tungesikia ni Hila za Marekani, mama asikae UN..kwani anawabana sana.
 


Wanajamvi,
Amekusudia ''incompetency.''
 
Kuna tatizo kubwa sana Mohamed.
Kwanza hakuna anayataka kizazi kijacho kilishwe habari zisizo na ukweli tukarudi hapa tulipo sisi wazazi wao.
Pili, ni kweli kuna kushtuka pale ambapo habari za wazi zisizohitaji logic zinapokuwa skewed kwa interest
Tatu, umeshasema huko nyuma umeandika kupinga historia ya kivukoni na hivyo kusema hujapinga si kweli
Nne, hakuna anayesema hiyo ya kivukoni ina ukamilifu,zinazofanya kazi hapa ni fikra za kutafuta uhalisia.

Mohamed, historia ni somo lenye mantiki. Mantiki kubwa ya historia huongozwa na vitu,watu, matendo na nyakati.
Hivyo lazima vifuatane kwa mpangilio wa jinsi vilivyotokea kwa uhalisia na si jinsi vilivyopaswa kutokea kwa kuumba.

Nikiandika historia yako nikataja mihadhara uliofanya kama Northwestern, Cambridge, Nairobi, Johanessburg nikaacha kuandika Ibadan nitakuwa sijaikamilisha historia yako kwasababu nimeruka kitu, mtu (ambaye ni wewe), watu (wana Ibadan na balozi), tukio ambalo ni paper na wakati ambao ni siku na muda uliokuwepo.

Ndivyo ulivyofanya kwa K.Sykes, Nyerere, Sheikh Ameir, EAMWS kutaja kwa uchache.
K.Sykes umemtaja kama mwanzilishi pekee wakati alikuwepo Matola hivyo kuondoa mtu na muda. Hapo si historia

Ukamtaja Nyerere kuanza siasa alipokutana na Sykes, ukaacha historia yake kuanzia huko nyuma hata alipokuwa katika siasa kabla ya A.Sykes. Umeruka watu, vitendo na muda. Umekiuka kanuni za historia, ni utunzi si historia.

Na bado unaendelea kukiuka kanuni za uandishi wa historia. Unaposema A.Sykes ndiye brain child ya TANU, umeruka ukweli kuw mid 40s Nyerere alishakuwa katika siasa kama yeye, na Abdu alikuwa anatumia jina la familia.

Umesahau kuwa kuanzia K.sykes hadi A.Sykes hakukuwa na katiba ya kisiasa, na kwamba katiba imeandikwa Nyerere alipotia mguu. Umeruka tukio,muda na wahusika. Hapo ni utunzi si historia.

Ukasahau kuwa brain child Abdul na baba yake hawakufanya mageuzi ya haraka kwa miaka 21 hadi alipokja mtu akafanya mageuzi ya kisiasa na harakati kwa miaka chini ya 10.

Hakufanya mwenyewe lakini historia inasema he was a force to be reckoned with. Unapoacha sentesi hiyo unakiuka mwongozo wa histora na kubaki na utunzi.

Imani kuwa historia imeshtua watu ni grandiosity, kilichoshtua watu ni mispresentation of facts, falsification, severe hyperbole iliyotengenezwa katika kasha la imani ili kumfunga mwanadamu asitumie akili zake kwa kuogopa kufanya hivyo ni kumhalifu mwenyezi mungu.

Wengine hatutaki watoto wetu wakaingia katika mtego huo ndiyo maana tupo hapa kuweka sawa na wala si kubomoa kwasababu facts zinabobomoa historia yako mwenyewe. Unaposhindwa kusema watu wa Kipumbwi waliandaliwa vipi, wakaenda vipi kwa amri ya nani na kwanini, na ipi ni nafasi yao katika historia ni facts zinabomoa historia yako.

Na hakika kama ulivyonena facts zimebomoa sana utunzi huu wa historia. Mtu aliyesoma kitabu chako miaka 15 iliyopita leo anajiuliza kukisoma tena, na kwa bahati mbaya akikisoma atakapofika ukurasa wa mwisho atakitoa kwa wauza vitumbua wafungie bidhaa zao.

Unapomwambia mtoto au mjukuu wa A.H.Mwinyi au Nassor Moyo kuwa baba yake ni dhwalimu kwa kufanya mapinduzi na kushirikiana na kufar Nyerere, wakati huo huo Mzee Mwinyi au Moyo wakihimiza watoto na wajukuu wao walinde mapinduzi ni kuwadhihaki, kudhihaki fikra na kuwakashf kama si kuwatusi.

Je, tukae kimya uchanganye na watoto wetu pia! not on our watch sir!
 
Naona hatujaelewana. Bora tuachie hapa. Kitabu hakina jibu la kama ASP walilazimishwa na TANU msaada. Ahsante bwana.

Wickama,

Hebu pumzika na hii:

We have seen many times that the question of Zanzibar revolution is associated with
"Arab slave trade."

The origin of this paradigm stems from not knowing the actual source of the revolution.

The most telling problem was to perceive that the revolution in Zanzibar had to take
place because of the oppressive regime of the Zanzibaris of Arab descent.

It was not necessary that the invasion of Zanzibar should take place.

It was a special plot by one country invading another and hiding that hideous fact which
gave Zanzibar sleepless nights for forty nine years.
 
??? !!!
 

Mkuu asante sana kwa maelezo yako murua kabisa!

Hakika umesimama mkono wa kuume!
 
Kuna tatizo kubwa sana Mohamed.
Kwanza hakuna anayataka kizazi kijacho kilishwe habari zisizo na ukweli tukarudi hapa tulipo sisi wazazi wao
!
Upande wa vijana wa kikristo sijui watakuwa wanakataa kulishwa nini,lakini kwa upande wa wale wa kiislamu tutakaowazaa ni wazi kuwa watakuwa hawataki kusikia uzushi kuwa Nyerere alikuwa akipigania umoja wa taifa la Tanzania na kwamba alikuwa akipinga udini.Vile vile baada ya kusoma historia halisi kutoka kwa akina Mohammed Saidi hawatakuwa na sababu ya kuamini eti mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa ni kwa ajili ya ukombozi wa Zanzibar.
 
Naona hatujaelewana. Bora tuachie hapa. Kitabu hakina jibu la kama ASP walilazimishwa na TANU msaada. Ahsante bwana.

shukran kaka japo ushahidi wa kimazingira umeonekana kwenye kitabu ni nani mastermind wa mapinduzi ya znz
cc.Chamwenyewe
 
Mkuu gombesugu, sijui utapata lini muda ili uthibitishe tuhuma nzito ambazo umekuwa ukinimwagia mimi binafsi kwamba nimekuwa na ukashifu uislam hapa jamvini!
Shukrani.
 
Hassanalis,
Ndugu zetu wana maradhi ya kuamini tafiti za Wazungu.

Hata ukiwaambia nini wametia nta hawasikii la mwadhini
wala la mnadi sala.
 
Wickama,
Rafiki yako anauliza kuhusu mie na kitabu changu.

Mfahamishe kuwa review ninazozikumbuka ni tatu.
Ya John Illife, James Brenan na Jonathan Glassman.

Uingereza na Marekani.
Zipo za Scandinavia nadhani Upssala.

Mfahamishe kuhusu Cambridge Journal of African
History.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…