Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

The Big Show,
Sasa tufanye nini na kitabu nishaandika na kinasomwa?

Mwalimu wangu Mohamed Said,

Hawa watu hata uwaandikie kitu gani hawatokaa waje kuamin wala kusadikisha maandiko yako,

Kama tunavojua wana maradhwi makubwa sana,tena yamekuwa DEDICATED KWAO..!

Lakin kwa kuwa kitabu kimeshaandikwa,tena kwa weledi wa hali ya juu sana na watu wanakisoma hapo hakuna la ziada,

Watu wenyewe wataamua wachague ukwei upi,madam kile cha kivukoni wanacho wanakisoma na hiki wanachosema cha uchochez wanacho na wanakisoma,pamoja na vingine vingi watavyokuwa wanavisoma mwisho wa siku wataamua ukwei upi wauchukue,na sio kwa shinikizo la watu wanaojivunia kuwa na u-JF SENIOR EXPERT MEMBER AU u-JF VERIFIED MEMBER,hilo halitawezekana hata kidogo,

Ama la wapinde mgongo kufanya utafit na waandike nao,kisha tuone nani atawasikiiza na kuwapa mialiko hata ya kwenda kufanya mijadala,

Wao wanadhani ni jambo rahis rahis...
 
Last edited by a moderator:
Mzee MS karibu ya asilimia 80-90% ya wasomaji wapo kwenye INTERNET SEARCH ENGINES sio book volumes.Na NDIO MAANA WEWE KUSHINDA ONLINE Kujibizana na watu BADALA YA KUSUBIRI WATU WANUNUE KITABU au kuandika kitabu cha kuwajibu. Hii argument sio strong. BINAFSI NAONA KULIKO UONGEE HABARI KAMA ZA ZENJ LAKINI HUONYESHI UNAZICHOMOA WAPI NA ETI USIULIZWE BORA TUVUNJE JAMVI. HAINA MAANA HAKUNA MNAKASHA WA AINA HIYO.

Wickama,
Nakupa privileged info. sasa usitake makubwa.

Ikiwa hutaki hidaya hii basi na tuanue jamvi...
 
Mwalimu wangu Mohamed Said,

Hawa watu hata uwaandikie kitu gani hawatokaa waje kuamin wala kusadikisha maandiko yako,

Kama tunavojua wana maradhwi makubwa sana,tena yamekuwa DEDICATED KWAO..!

Lakin kwa kuwa kitabu kimeshaandikwa,tena kwa weledi wa hali ya juu sana na watu wanakisoma hapo hakuna la ziada,

Watu wenyewe wataamua wachague ukwei upi,madam kile cha kivukoni wanacho wanakisoma na hiki wanachosema cha uchochez wanacho na wanakisoma,pamoja na vingine vingi watavyokuwa wanavisoma mwisho wa siku wataamua ukwei upi wauchukue,na sio kwa shinikizo la watu wanaojivunia kuwa na u-JF SENIOR EXPERT MEMBER AU u-JF VERIFIED MEMBER,hilo halitawezekana hata kidogo,

Ama la wapinde mgongo kufanya utafit na waandike nao,kisha tuone nani atawasikiiza na kuwapa mialiko hata ya kwenda kufanya mijadala,

Wao wanadhani ni jambo rahis rahis...

The Big Show,
Wametosheka na zogo la jamvini.

Hawana hali ya kusimama kwenye ukumbi wa chuo kikuu Ulaya
au Marekani yuko peke yake na microphone na nyuso lukuki
zinamtazama kwanzawanajiuliza huyu Mwafrika kaja kwetu
kutuambia nini?

Aha! Kaandika kitabu kile tunachosoma katika Islam and Politics.
Ana saa moja na zaidi ya ku-rap huku akisikilizwa na mabingwa.

Wao ni wachezaji wa home ground timu yao haichezi ugenini.
 
Mzee MS karibu ya asilimia 80-90% ya wasomaji wapo kwenye INTERNET SEARCH ENGINES sio book volumes.Na NDIO MAANA WEWE KUSHINDA ONLINE Kujibizana na watu BADALA YA KUSUBIRI WATU WANUNUE KITABU au kuandika kitabu cha kuwajibu. Hii argument sio strong. BINAFSI NAONA KULIKO UONGEE HABARI KAMA ZA ZENJ LAKINI HUONYESHI UNAZICHOMOA WAPI NA ETI USIULIZWE BORA TUVUNJE JAMVI. HAINA MAANA HAKUNA MNAKASHA WA AINA HIYO.

Kaka mbona kina Mag3 wanaleta humu hotuba za Okello, haujasema kazichomua wapi teh teh teh, kaleta orodha ya mawaziri kawawekea dini tofauti haujasema kaichomoa wapi teh teh teh.
 
In that CASE I ASSUME YOU SUPPORT 100% THE HYPOTHESES kuwa ASP walishirikiana na a foreign country kuvamia NCHI YAO? SAWA.NDIO UNACHOSEMA. CONGRATULATIONS AND YOU SHOULD LOVE THIS COUNTRY FOR ITS ABUNDANCE TOLERANCE. YOU SURELY KNOW WHAT THEY WOULD HAVE DONE TO YOU IF THIS WAS SAUDI ARABIA.

Wickama,
Mie Kizungu changu cha kubabia niandikie Kiswahili.
 

Shariff Ritz,

Kinachowauma ni kuwa kila wanapogusa anawakuta wazee wetu.

Hakika Karume siku ile ya mapinduzi si alikuwa kalala mtaani kwetu.
Kalala kwenye nyumba mojawapo ya wazee wetu.

Na haukuwa usingizi siku ile...
Masikio yote yalikuwa Zanzibar.

Walikesha na kutokea hapo safari ilikuwa Kunduchi kupanda boti ya
Mzee Shebe kurudi Zanzibar.

Shariff,
Hawa wanaumwa kwa kuwa hawana historia ya kueleza yote
yaliwapita.

Wanatuonea wivu sisi hapa tukitamba mpaka na madokumenti ya zaidi
miaka 60 tunayamwaga humu mwaaaaaaaaa!


Wao wanani?
Hawana chochote ila kuuliza maswali ya kuchokonoa.
Oops....naona unajipa uhai bila hata aibu wala kujifikiria......wewe hayo madocument umeyaweka wapi...haapa umejitetetea kuwa ulipigiwa story na wazee wako..sijui ktk gahawa na mazungumzo ya majigambo au ktk mawaidha.Ila suala la documents..huwezi danganya mtu....ulichokiita madocumenti......tumeshuhudia ukisema "a copy", copy moja ambayo pia hujaweza thibitisha authenticity wala si copy abdul alinakiliwa km makamu?Nilikuwambia copy aliyopewa kiongozi binafsi si siri tena kwa wenzie na mwandishi...na hivyo haiwezi kuwa "Leak". Nakushangaaa sana public documents,tena nyingine zinaweza kuwa zilitupwa ktk dustbin bila hata kupitia ktk shredder,jamaa akaziweka ,unafanya kama vile ni ugunduzi wa karne,tena mnapiga tumba kuliko "waliogundua maandiko ya kale ya Biblia ktk Red Sea".

Napata shida sana kujua vipaumbele vyako, na thamani ya vitu unavyohifadhi....hata vichaa huona kila kitu ni valuable,hasa vitu vya Jalalani.Ila watu wengine huwa tunawashangaa,na wao wanatushaa kuwa tunashangaa mambo yao ya kawaida...na pengine wanajiuliza je wangefanya mamabo yao ajabu tungeshangaa vipi?

Nadhani its time ,utumie akili yako,kuandika mambo revolutionary kwa ajili ya waislam ili wajue ni wapi wanaweza tumia chochote chema ktk dini yao, ni vipi wanaweza kabiliana na maisha bila kuplay "victims" km wewe shujaa wao hapa.Unataka kuwa icon kwa wenzio,kuwa superstar..mgunduzi wa maficho ya Historia ya kweli,halafu huna hata ujasiri wa kutetea huo ugunduzi,kwa ushuhuda wako?Au kuna mkono wa mtu point zikakimbia...itakuwa ni hila za Yericko,Nguvuvi3....na Al Kafil mwenyewe mimi...mwenyewe ninayependa reset mind za watu..
 
Haaahaaaaahaaaahaaa!

Wanajamvi,

Nilisema mimi ni maji kwa Mohamed Said, akinikwepa kunywa basi atanioga tu,

Huwezi kupuuza pumzi, mimi ni pumzi kwa Mohamed, hawezi kwenda mbinguni bila kupita kwangu!

Naaaaaaaam Maaalim wangu, nakujibu jibu lako!

Mohamed Said

Nielewe kiswahili mkuu,

Nimesema hakuna CHUO kikuu au shule ya kindagate inayotumia maandishi ya Mohamed Said kama rejea kwa wanafunzi wake!

Kitabu chako kuwepo maktaba ya chuo kikuu sio tatozo, ninachofahamu nikuwa kitabu chako serikali ilishakipiga marufuku kuhudumu/kuharibu vijana wakitanzania,

Hoja ni kuwa hakuna mwanafunzi wa chuo chochote Tanzania anaetumia kitabu chako chochote kile kama rejea!

Chuo kikuu hata vitabu vya kipuuzi unaweza kukipata tu wala usitishike, na sio kila kitabu kilichopo maktaba za vyuo vikuu duniani basi hutumika kama rejea kwa wanafunzi wake!


Yericko,
Bora nikakuoga.

Si unajua sisi huwa tuna kazi nyingine na maji achilia mbali kuoga.
Sidhani kama utafurahi kama wewe ukiwa maji nitakufanya hivyo.
 
Oops....naona unajipa uhai bila hata aibu wala kujifikiria......wewe hayo madocument umeyaweka wapi...haapa umejitetetea kuwa ulipigiwa story na wazee wako..sijui ktk gahawa na mazungumzo ya majigambo au ktk mawaidha.Ila suala la documents..huwezi danganya mtu....ulichokiita madocumenti......tumeshuhudia ukisema "a copy", copy moja ambayo pia hujaweza thibitisha authenticity wala si copy abdul alinakiliwa km makamu?Nilikuwambia copy aliyopewa kiongozi binafsi si siri tena kwa wenzie na mwandishi...na hivyo haiwezi kuwa "Leak". Nakushangaaa sana public documents,tena nyingine zinaweza kuwa zilitupwa ktk dustbin bila hata kupitia ktk shredder,jamaa akaziweka ,unafanya kama vile ni ugunduzi wa karne,tena mnapiga tumba kuliko "waliogundua maandiko ya kale ya Biblia ktk Red Sea".

Napata shida sana kujua vipaumbele vyako, na thamani ya vitu unavyohifadhi....hata vichaa huona kila kitu ni valuable,hasa vitu vya Jalalani.Ila watu wengine huwa tunawashangaa,na wao wanatushaa kuwa tunashangaa mambo yao ya kawaida...na pengine wanajiuliza je wangefanya mamabo yao ajabu tungeshangaa vipi?

Nadhani its time ,utumie akili yako,kuandika mambo revolutionary kwa ajili ya waislam ili wajue ni wapi wanaweza tumia chochote chema ktk dini yao, ni vipi wanaweza kabiliana na maisha bila kuplay "victims" km wewe shujaa wao hapa.Unataka kuwa icon kwa wenzio,kuwa superstar..mgunduzi wa maficho ya Historia ya kweli,halafu huna hata ujasiri wa kutetea huo ugunduzi,kwa ushuhuda wako?Au kuna mkono wa mtu point zikakimbia...itakuwa ni hila za Yericko,Nguvuvi3....na Al Kafil mwenyewe mimi...mwenyewe ninayependa reset mind za watu..

Umeishawahi kumsoma Dome Okochi Budohi?
 
The Big Show,
Wametosheka na zogo la jamvini.

Hawana hali ya kusimama kwenye ukumbi wa chuo kikuu Ulaya
au Marekani yuko peke yake na microphone na nyuso lukuki
zinamtazama kwanzawanajiuliza huyu Mwafrika kaja kwetu
kutuambia nini?

Aha! Kaandika kitabu kile tunachosoma katika Islam and Politics.
Ana saa moja na zaidi ya ku-rap huku akisikilizwa na mabingwa.

Wao ni wachezaji wa home ground timu yao haichezi ugenini.


Maajabu ya Musa,

Ati wengine wanasema ya kwamba toleo la nne halitapata wasomaji kwa kuwa credibility imepungua kwa kuwa wao wameindoa moja kwa moja hapa JF...

Ati watu waache kufuatilia ilm kisa wao wametoa kasoro zao nyingi humu jukwaani na kuthibitisha kwamba si chochote si lolote..!

Kweli??Jamii forum uwanja mdogo kama huu uwafanye watu dunian wapuuze utafiti wa kihistoria uliobobea??


Makubwa sana haya...
 
Nicholas, usije sema nimevamia Jugular!

Mohamed, hakuna mwenye historia ya TANU, historia ni mali ya nchi na wananchi.
Hakuna aliyesema kuwa ile ya kivukoni ilikuwa kamili.
Watu wapo hapa kuhakikisha kuwa kizazi kijacho hakiingii katika mtafaruku na tafran zingine.
Ulichokifanya wewe ni sawa na mfano wa mtu atukanaye kwa kusema ''mshenzi'' halafu mwingine amjibu kwa lile tusi la mama!

Unachikifanya wewe pengine ni kibaya kuliko historia ya kivukoni. Ile kama ilikuwa na mapungufu si kama yako.
Abdul Sykes(Mohamed Said) alisema yeye na wenzake wanafanya jitihada za kumkomboa Mwafrika.
Hakusema kundi la watu fulani. Wewe unasema ''ninyi'' na ''sisi'' kuwatenga Waafrika wa Tanzania kinyume na Abdul, halafu unatuambia kuwa unamsemea Abdul

Kwa wale wanaouliza uchochezi, basi ndio huo maana hakuna mahali Abdul na wazee wenzake waliwahi kusema ''sisi'' na ''ninyi'' haya kayaleta Mohamed. Hakuna mahali Abdu na wenzake walisema sisi wazulu, sisi wamanyema au sisi wanuvi, hayo kayaleta Mohamed. Hata pale alipoamua kumwagia hamira bado aliumbuka, ''sisi wamanyema ni waislam watupu''

Walipomchangia Nyerere kwenda UNO hawakusema ''sisi au ninyi'' na hata akina Maryknol walimchangia Nyerere kwa kusema Tanganyika si kwa wewe au sisi au ninyi.

Hatari kubwa zaidi ni ile ya kuchomeka chembe za dini. Hadi leo hakuna mahali ulipoonyesha kuwa wazee wako walifanya hivyo kuwakomboa watu wa imani fulani. Endapo ingelikuwa hivyo basi wasingekubali Nyerere awaongoze.

Tena kuna ushahidi kuwa wazee wetu walikataa udini kwa kukataa AMNUT, sijui udini unaotoa wapi maana ukisoma historia yako mwenyewe inaonyesha jinsi wazee walivyoongozwa kupinga dhulma tena wakisema kwa Mwafrika.
Historia yako ndiyo imeingiza udini na hakuna shaka wewe ni masalia ya AMNUT!

Umeandika paper ikiwa ni mwendelezo ili kuonyesha kuwa waliopigania uhuru wameachwa.
Huku ukichagua kwa makabila na dini umeacha wazee wetu wa sehemu nyingine kwa kosa lile lile unalolilaumu.

Kitabu chako kinatumika huko wasikoijua Tanganyika, hapa Tanganyika hakitaingia katika mtaala hata siku moja.
Na bahati njema nyuzi hii imefichua kila kilichojificha na hakika ukisimama mbele ya kadamnasi ya werevu unaweza bububujikwa na maji ya puani. Leo kila mmoja anajua kuwa yapo usiyoyasema kwasababu za hila na si historia.

Toleo linalofuata sina uhakika kama utauza tena maana credibility ya maandishi yako imefinyangwa sana.
Unaposhauri watu wasome wasiulize unatupa ujumbe kuwa wewe unakosa element za scholar.
Scholar hupenda kutoa ufafanuzi na wala si kuorodhesha majina.

Hakika kama utaandika kuhusu wazee wako, vinyozi n.k. si haki kukuhoji, lakini ukishatumbukiza Tanganyika tutaingia kwa nguvu kunusuru sehemu ya jamii iliyobaki na inayokuja kuingia katika mtego huu mbovu, dhalili na usio na tija achilia mbali maana.

Leo unakwenda toleo la nne, unachosema ni kuwa usipingwe kwasababu hujapinga, tunashukuru hatusikii tena neno historia ya kweli. Mnakasha unasaidia kila mmoja ati
Huyu MS kwa sasa hawezi jitambu ila akija rudia haya mazungumzo atatamani asingeandika vitabu vya hovyo.Kwa vile alikuwa too naive ktk kijiwe chenye wana mihadhara ya "kabila" ya Ponda,t aliwahi ktk printing press ili wapenda dhulma wasijepoteza ushahidi wake.Pia critics na Reviewers ni wazandiki sana ktk macho na msikio ya MS kiasi kwamba akaona watambania ili mwanaharamu awahi na kupotosha ilim kubwa ya mzee.

Adrenaline mbaya sana, huku ni kula pweza ,karanga na Gahawa bila mpangilio ktk vijiwe huku sori zipigwazo ni za kufurahisha kuliko uhasilia...ni za kuliwaza failures kwa kuwaamabia kuwa miseries zao zina mkono wa mtu.MS angepunguza adrenaline angeweza subiri na kufanya tafiti n kutoa kitabu chenye maana...na chenye msaada kwa waislam wa tanzania ambao wametumika sana, na serikali, mashehe uchwara..waliotoka misikiti ya pembezoni.

Sasa mashehe wadanganye watu,waandishi km hawa wadanganye watu, serikali idanganye watu, maprof km Lipumba nao wafanganye watu, wazazi wadanganye watu, wafanya biashara km akina Manji wadanganye watu.......halafu watu hao ni walewale waislam...Jamani hawa jamaa wawahurumie.Sasa wawafundishe mafundisho ya matumaini na kujiamini ktk mema,waambie kuwa time haina reverse na kila dkk waitumie kujijenga kiimani,kujijenga kiuchumi, kuifanya dunia huru na salama kwa kila mtu.
 
Yericko,
Bora nikakuoga.

Si unajua sisi huwa tuna kazi nyingine na maji achilia mbali kuoga.
Sidhani kama utafurahi kama wewe ukiwa maji nitakufanya hivyo.



Naam,
Yana matumiz mengi sana,mfano mimi nayatumia kusugulia visigino vyangu kabla sijaenda kupata rakaa masjidi...

Pia mimi huwa situmii toilet paper kustanji stanji,nadhani maji yanahusika pia,

Bwana yericko tatizo huwa anaongea bila kuangalia mbali...
 
Umeishawahi kumsoma Dome Okochi Budohi?

kumbe mnafanana sana...kinana,JK,ponda, wewe, zomba and teh sort...unaniuliza maswali ya ndio hapana kwa kitu unachokihitaji ili ujitete?Ndio maana mkiambiwa ndio au hapana kinyume na matarajio mnaanza fujo.


Acha wehu kama wenzio ...andika utakalo na si kuleta maswali ya watoto kula kulala.hayo maswali huulizana marafiki wanapotaka suggest kitu kwa rafiki yake ambchao anaweza kataa au kubali bil akuumizana hisia zao.
 
Oops....naona unajipa uhai bila hata aibu wala kujifikiria......wewe hayo madocument umeyaweka wapi...haapa umejitetetea kuwa ulipigiwa story na wazee wako..sijui ktk gahawa na mazungumzo ya majigambo au ktk mawaidha.Ila suala la documents..huwezi danganya mtu....ulichokiita madocumenti......tumeshuhudia ukisema "a copy", copy moja ambayo pia hujaweza thibitisha authenticity wala si copy abdul alinakiliwa km makamu?Nilikuwambia copy aliyopewa kiongozi binafsi si siri tena kwa wenzie na mwandishi...na hivyo haiwezi kuwa "Leak". Nakushangaaa sana public documents,tena nyingine zinaweza kuwa zilitupwa ktk dustbin bila hata kupitia ktk shredder,jamaa akaziweka ,unafanya kama vile ni ugunduzi wa karne,tena mnapiga tumba kuliko "waliogundua maandiko ya kale ya Biblia ktk Red Sea".

Napata shida sana kujua vipaumbele vyako, na thamani ya vitu unavyohifadhi....hata vichaa huona kila kitu ni valuable,hasa vitu vya Jalalani.Ila watu wengine huwa tunawashangaa,na wao wanatushaa kuwa tunashangaa mambo yao ya kawaida...na pengine wanajiuliza je wangefanya mamabo yao ajabu tungeshangaa vipi?

Nadhani its time ,utumie akili yako,kuandika mambo revolutionary kwa ajili ya waislam ili wajue ni wapi wanaweza tumia chochote chema ktk dini yao, ni vipi wanaweza kabiliana na maisha bila kuplay "victims" km wewe shujaa wao hapa.Unataka kuwa icon kwa wenzio,kuwa superstar..mgunduzi wa maficho ya Historia ya kweli,halafu huna hata ujasiri wa kutetea huo ugunduzi,kwa ushuhuda wako?Au kuna mkono wa mtu point zikakimbia...itakuwa ni hila za Yericko,Nguvuvi3....na Al Kafil mwenyewe mimi...mwenyewe ninayependa reset mind za watu..

Wanajamvi,


Hebu someni hizi tatu kama hazitoshi In Sha Allah nitaongeza:


This chapter was written with the help of a paper by Aisha Daisy Sykes presented as seminar paper at the University of Dar es Salaam in 1968.

Daisy wrote this paper with the assistance of her father Abdulwahid Sykes, from an original manuscript written by Kleist Sykes. Other information on Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika is from Tewa Said Tewa's unpublished manuscript, ‘A Probe In the History of Islam in Tanganyika'. Other information is from Ali Mwinyi Tambwe, secretary Al Jamiatul Islamiyya in the early 1940s.


Annual Report of the Secretary of Tanganyika African Association, 7 January, 1951. Sykes' Papers.

Joseph P. Kasella Bantu to the Honourable the Chief Secretary, 27 th April, 1954. Sykes' Papers.
 
Huyu MS kwa sasa hawezi jitambu ila akija rudia haya mazungumzo atatamani asingeandika vitabu vya hovyo.Kwa vile alikuwa too naive ktk kijiwe chenye wana mihadhara ya "kabila" ya Ponda,t aliwahi ktk printing press ili wapenda dhulma wasijepoteza ushahidi wake.Pia critics na Reviewers ni wazandiki sana ktk macho na msikio ya MS kiasi kwamba akaona watambania ili mwanaharamu awahi na kupotosha ilim kubwa ya mzee.

Adrenaline mbaya sana, huku ni kula pweza ,karanga na Gahawa bila mpangilio ktk vijiwe huku sori zipigwazo ni za kufurahisha kuliko uhasilia...ni za kuliwaza failures kwa kuwaamabia kuwa miseries zao zina mkono wa mtu.MS angepunguza adrenaline angeweza subiri na kufanya tafiti n kutoa kitabu chenye maana...na chenye msaada kwa waislam wa tanzania ambao wametumika sana, na serikali, mashehe uchwara..waliotoka misikiti ya pembezoni.

Sasa mashehe wadanganye watu,waandishi km hawa wadanganye watu, serikali idanganye watu, maprof km Lipumba nao wafanganye watu, wazazi wadanganye watu, wafanya biashara km akina Manji wadanganye watu.......halafu watu hao ni walewale waislam...Jamani hawa jamaa wawahurumie.Sasa wawafundishe mafundisho ya matumaini na kujiamini ktk mema,waambie kuwa time haina reverse na kila dkk waitumie kujijenga kiimani,kujijenga kiuchumi, kuifanya dunia huru na salama kwa kila mtu.

ha haa haaa!! Walahi huwa nasikia burudani kusoma pumba zako, sasa Manji kaingiaje kwenye huu mnakasha.
 
SWEET Ritz sheikh wako anatukana-that does not sound good

Baby son napenda nywele zako Mashalaalah, katukana wapi? Hiyo tafsida katika lugha baraga, kama wewe unaona tusi basi ripoti kwa Mods sawa baby.
 
Back
Top Bottom