THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
The Big Show,
Sasa tufanye nini na kitabu nishaandika na kinasomwa?
Mwalimu wangu Mohamed Said,
Hawa watu hata uwaandikie kitu gani hawatokaa waje kuamin wala kusadikisha maandiko yako,
Kama tunavojua wana maradhwi makubwa sana,tena yamekuwa DEDICATED KWAO..!
Lakin kwa kuwa kitabu kimeshaandikwa,tena kwa weledi wa hali ya juu sana na watu wanakisoma hapo hakuna la ziada,
Watu wenyewe wataamua wachague ukwei upi,madam kile cha kivukoni wanacho wanakisoma na hiki wanachosema cha uchochez wanacho na wanakisoma,pamoja na vingine vingi watavyokuwa wanavisoma mwisho wa siku wataamua ukwei upi wauchukue,na sio kwa shinikizo la watu wanaojivunia kuwa na u-JF SENIOR EXPERT MEMBER AU u-JF VERIFIED MEMBER,hilo halitawezekana hata kidogo,
Ama la wapinde mgongo kufanya utafit na waandike nao,kisha tuone nani atawasikiiza na kuwapa mialiko hata ya kwenda kufanya mijadala,
Wao wanadhani ni jambo rahis rahis...
Last edited by a moderator: