Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Unakasirika bure ndugu yangu.

Si kama hivyo umewaeleza wazalendo kutoka bara na juhudi zao?
Nao hao si walisahauliwa?

Lakini mstari mmoja hautoshi.
Ufanyike utafiti makini habari zao zitolewe kitabu.

Itakuwa tumewaenzi wazee wetu hawa.


Wazee wetu au wazee wako? unasimamia wapi? maana ya wazee wetu inahusisha watanzania wote wa wakati huo (watanganyika)

Tumekukariri mara kadhaa ukisema wazee wako, na mara kadhaa umekataa maswali yanayouliza watanzania wengine nje ya

wazee wako, na umejenga hoja kwamba wazee wako walitengwa na kufanyiwa dhulma ndio sababu ya kuwahuwisha kwa kitabu

chako.
 

Si kweli ndugu yangu kama kweli nimekuchoma kwa kuwataja the
Sykes brothers na baba yao kwa upande mwingine ungechukia
kuona mchango wao umeondolewa katika historia.
 

adolay,

Hivi unamchukuliaje Nyerere kama mtume au binadamu?
 
Last edited by a moderator:
(nilishakuambia kabla hatujaenda kwenye hoja zako,unamwomba radhi ndugu moh' said kwa kumwita kibwetele?unamwomba radhi yericko kwa kumwaribia hoja yake kuu katika huu mjadala?unawaomba radhi wana jf wanaofuatilia huu mnakasha au huombi radhi??
 
adolay,

Hivi unamchukuliaje Nyerere kama mtume au binadamu?


Ninamchukulia nyerere kama mwanadamu mwingine yoyote, hata wewe kama itatokea mtu mwingine akakutusi, kukuchafua bila

sababu za msingi nitakutetea. nikawaida yangu. masimamo wangu ni ukweli bila kupakana matope pasi na sababu.

Nje ya uanadamu wake ni waziri mkuu wa kwanza, rais wa kwanza wa tanzania na mmoja kati ya wapigania uhuru

wengi ambao taifa litawakumbuka kwa ushujaa wao. Hivyo siyo sahihi kumtusi kumkejeli na kulundikia lawama nyingi zisizo na

msingi wala ukweli.
 
Huenda kweli hukuwa na taarifa.
Waislam takriban wote walisahau vyama vyao wakampigia Kikwete.

Iko siku utafanyika utafiti na hiyo "pattern of voting itadhihirika."
Hapa ndipo tulipoifikisha nchi.

Nimeshangaa kuwa wewe umekuja kujua sasa.
Mohamed una data gani za kuthibitisha hilo ndugu yangu?
Kwanini unapenda kuongea kama wewe ni Waislam? Vipi ilikuwaje JK akapata 60% mwaka 2010.

Huyu mzushi anataka kujenga hisia miongoni mwa watu kuwa waislam wanauwezo wa kumchagua Rais peke yao.
Anatumia propaganda hapa akiwa hana data wala nini.

Ukimuuliza maswali mengine anasema hana ujuzi wa mambo ya waislam
Mohamed wewe ni mwislam si Waislam, usitake jamii ionekane kwa mfano wako maana si kila mmoja angependa kunasabisha na wewe, Ponda au Ilunga kwa tabia, kauli au fikra. Si kila mmoja anapenda awe mwovu, mhalifu na kufur

Kuna waislam wengi sana wanakereka na hoja zako, Ponda na za Ilunga!
Acha uzushi na uongo! kama huna data au uthibitisho stop open you big mouth Mohamed.
Umekuwa mtu wa majungu tuu kila jambo!
 
Huenda kweli hukuwa na taarifa.
Waislam takriban wote walisahau vyama vyao wakampigia Kikwete.

Iko siku utafanyika utafiti na hiyo "pattern of voting itadhihirika."
Hapa ndipo tulipoifikisha nchi.

Nimeshangaa kuwa wewe umekuja kujua sasa.
Mohamed,
Labda unaweza kutufafanulia zaidi. Ikiwa Waislamu takriban wote walisahau vyama vyao wakampigia Muislamu mwenzao Kikwete, iweje kura za Kikwete zipungue kutoka asilimia 80 hadi 60? Hilo unalielezaje?
 
(nilishakuambia kabla hatujaenda kwenye hoja zako,unamwomba radhi ndugu moh' said kwa kumwita kibwetele?unamwomba radhi yericko kwa kumwaribia hoja yake kuu katika huu mjadala?unawaomba radhi wana jf wanaofuatilia huu mnakasha au huombi radhi??


Mkuu niombe radhi kwalipi tena

-Umetaka nithibishe wewe ni mfuasi wa Kibwetele (mohamed) umekubali kabisa kwamba wewe ni mfuasi wake hili halina shida

-Ili niombe radhi yakupasa ukanushe uzushi, uchochezi na ubaguzi katika mchango wangu kuonesha kwamba mohamed anachokifanya ni amani. Nionavyo mimi ni mmoja kati ya watu hatari kabisa anayetumia kalamu yake vibaya kufarakanisha watanzania. (kufarakanisha maana yake kutupeleka machafukoni yaani katika maafa kama alivofanya kibwetele original wa uganda, kwa maana hiyo basi huyu naye anastahili kuitwa kibwetele maana final goal ni machafuko kwa maana ya maafa.

Ukikanusha haya mafundisho yake kwamba nisahihi na ukanishinda kwa hoja nitaomba msamaha la huwezi

Wewe na Mohamed (kibwetele) itawalazimu kuwaomba radhi watanzania wote (waislam, wakristu, wahindu, wanaoamini na wasioamin) kwa kuwafarakanisha kwa kutumia hoja dhaifu mkijenga chuki na ubaguzi kutoka uchochezi wenu.


 
Mohamed Said, Jasusi, Mzee Mwanakijiji, THE BIG SHOW,

..nimepata kipande cha hotuba ya Mwalimu wakati akiwaaga wazee wa D'Salaam.

..bahati mbaya sijapata hotuba nzima. sijui kama miongoni mwenu yuko aliye na hotuba nzima.

..ile mjadala uwe mzuri basi tuwe na utaratibu wa ku-quote the original source.


‘Mimi nimeanza siasa na wazee wa Dar es Salaam; na wazee wa Tanzania. Nimeanza nao mapema sana; mapema kweli. Nilirudi kutoka masomoni, Uingereza Oktoba 1952 – miaka 33 nyuma. Wakati huo nikiwa kijana mdogo wa miaka thelathini na kidogo hivi.
 
Last edited by a moderator:

Unaona hapa anavyosutwa Mohamed? Ametuambia katika hotuba hii Nyerere alisema hajui au hakujua Abdul alikuwa na cheo gani. And sometimes it makes me wonder, why didn't Mohamed attempt to get a word from Nyerere when he started writing his book? Was it bias, was it hatred? Angetuwekea quote kama hii kitabu chake kingekuwa more authentic and balanced. But no.
What a shame!
 
Mohamed,
Labda unaweza kutufafanulia zaidi. Ikiwa Waislamu takriban wote walisahau vyama vyao wakampigia Muislamu mwenzao Kikwete, iweje kura za Kikwete zipungue kutoka asilimia 80 hadi 60? Hilo unalielezaje?

Waliwezaje kuamua kwamba Kikwete ndiye mwislamu mwenzao na Prof. Lipumba sio?

Second, au the point here is waislamu ni wengi,ni zaidi ya 60% ya dini nyingine zote, na kwamba, waktristo walimpigia Dr. slaa na kura hazikutosha kwasababu hao wakrusto ni wachache sana.

Huyo ndo Mr. Researcher.
 
Walioandika historia ni watu wengi sana. Ukimuacha mzee MS je ulipata kumhoji yeyote katika waandishi hao? Kama ndio ni nani? Na kama sio kwa nini?
 
 
Last edited by a moderator:
Unamyooshea kidole MS kumbe vidole vingine unajinyooshea mwenyewe. Ziko wapi data za kuthibitisha hayo uyasemayo?
 
Mohamed,
Ukinukuu uwongo kuthibitisha hoja zako na wewe unakuwa muwongo. Nimekwambia, na narudia tena, baba wa taifa amefariki bila kuwacha tovuti yake. Hiyo tovuti unayoisema na kuinukuu hakuianzisha Nyerere. In fact nitakaporudi Dar-es-Salaam nina mpango wa kuonana na wakuu wa Nyerere Foundation niwashauri waanzishe tovuti authentic ya Nyerere siyo hii bandia unayotuzungumzia hapa. Kwa hiyo ukiendelea kuinukuu tovuti hiyo ambayo unajua, na mimi najua, hyaijaanzishwa na Nyerere na haina baraka ya Nyerere Foundation au familia ya Nyerere unazidi kuendeleza uwongo.
 
Mohamed Said,where are you????unajua watu tumeacha kuangalia thread zote humu JF kupunguza distractions-mpaka hatma ya hii thread itakapojulikana!! staying silent unakuwa hututendei haki
 
Last edited by a moderator:

Mkuu nikushukuru sana kwakkuleta hotuba hii inayotupa mongozo sasa wa nini cha kujadili kwa undani hizi ngano za Mohamed Said
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…