Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #381
Ndugu yangu sina zaidi na wewe.
Unamaanisha huna majibu ya hoja zangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu sina zaidi na wewe.
Mohamed Said,Mohamed Said said:Ama kuhusu DVD ya Ilunga kama mnataka uchambuzi wake hilo ni suala la maulamaa na mie ilm hiyo sina.
Mohamed Said,
..Shekhe Ilunga amevuka mpaka ktk mhadhara wake na kuhubiri umwagaji damu.
..hivi unafikiri ni Ulamaa gani atakayeunga mkono uchochezi wa namna ile??
..hata kama Ilunga ni ndugu yako, haupaswi kuwa "bubu" anapotoa kauli ambazo zinaweza kuiingiza nchi ktk machafuko.
cc: Ritz
Unamaanisha huna majibu ya hoja zangu?
Pia nilikuliza hivi haya maswali
By adolay![]()
Mkuu Ritz
Neno padri ni cheo katika kanisa katoliki na kwa imani ya wakatoliki padri haruhusiwi kuoa nasikitika kwanini umwite Dr W.P slaa padri wakati anamke/mchumba vyovyote?
b) Wewe ni mwislam vipi kujishughurisha na kanisa katoliki umepewa huo usemaji lini mkuu na mamlaka ya kuteuwa mapadri?
c) Yeye amekujibu vibaya nani? unataka kutuambia Dr W. P slaa ndiye aliyekujibu vibaya kama siyo yeye vipi umshabulie yeye?
Tanzania itatawaliwa na mtanzania yoyote awe mpagani, mkritu au mwislam kama ilivo sasa kwa kuzingatia uwezo wake.
Fahamu hakuna Cheo cha rais kama padri au shekhe kwenye katiba na katiba hairuhusu upuu huo.
Naomaba ufafanuzi mkuu wangu.
majibu yako Ritz yalikuwa hivi
Mkuu adolay,
Na mimi naomba nikuulize kuna ubaya wowote kumuita mtu yoyote kwa Professional yake hata kama kastaafu. Upadri ni taaluma kama taalumu zingine mpaka uende shule.
Katiba haijakataza kugombea lakini ni busara kutokugombea sababu Watanzania tumechanganyikana dini mbalimbali.
Nadhani nimejibu vyema.
Mkuu wewe ni mkiristo vipi unajishughulisha na mambo ya waislam tena umekwenda mbali zaidi mpaka Somalia.
Nikakuliza na kukujibu hivi
Mkuu
1.Hujajibu swali hata moja narudia alikujibu vibaya ni nani, Dr slaa?
2. Unafahamu katiba ya wakatoliki? kama unaifahau elezea upadri wa padri yoyete anaupataje?
3. Je kuna sifa zozote zinazoweza kumuondolea mtu upadri katika katiba ya kanisa na unaweza kuzitaja?
4. Je kunakustaafu upadri au kuacha katiba inasemaje ya wakatoriki na umri gani padri anapaswa kustaafu kama uliosema hapo juu.
Jibu Kuhusu waislam
Nani anakesha hapa kuleta hoja za mfumo kristo?, dhulma dhidi ya waislam?, Mou nk katika madai haya ungetaka nani akujibu?
a) mwislam na kama mwislam kwanini
b) mkristo na kwanini awe mkristo
tutaendelea mkuu Ritzs ukinijibu hapa, maana ndipo jibu lako lilipo.
Nifanyie uungwana kwa kujibu jibu sahihi kwa kila swali yaani mstari baada ya mstari.
Angalia majibu unayotoa hapo juu kwa kila ulichoulizwa, kisha tafakali kioja kipo wapi.
Ritz uwezo wako kusimamia hoja ni mdogo sana kama unavyojieleza hapo juu, haya ndiyo matokeo ya kuukumbatia uchochezi
kama ulivofuzu kozi za babu yako mohamed said za kichochezi mkiacha ukweli kule na kuamua kupotosha umma wa watanzania.
Hakuna ilm pale, upuuzi ni upuuzi! period. Mwislam mwenye kuijua dini yake kwa mafunzo, mwenye akili timamu na mwenye nia na dhamira safi ya daawa na ulinganifu wa dini ya mwenyezi mungu hawezi kusimama na kutetea uchafu kwa jina la ulmaa.Hamjanifahamu katika maandishi yangu. Sitafuti umaarufu wala sifa. Jukumu langu ni kusomesha basi. Kwa ajili hii "kubomolewa" au kinyume cha hivyo si jambo linalonishughulisha. Ama kuhusu DVD ya Ilunga kama mnataka uchambuzi wake hilo ni suala la maulamaa na mie ilm hiyo sina.
Mkuu sijali labda wewe umeona hayo majibu.
Tafadhali tujuze walau kwa moja tu la MOU
- Nani amewazuia waislam wasiwe na mou yao? ukimaliza hilo tutakuuliza kwanini mohamed analalamikia Mou ya wakristu
Hakuna ilm pale, upuuzi ni upuuzi! period. Mwislam mwenye kuijua dini yake kwa mafunzo, mwenye akili timamu na mwenye nia na dhamira safi ya daawa na ulinganifu wa dini ya mwenyezi mungu hawezi kusimama na kutetea uchafu kwa jina la ulmaa.
Acheni kutumia dini kukidhi kiu na matamanio yenu. Dini ya Uislam ni amani na salama. Rejeeni katika mafunzo ya Mtume Mohamad S.A.W, sunna na Korani na si kuudanganya umma. Too low! msiidhalilishe dini. Tool low, stupid and uncouth! simple
Mkuu Ritz, nakupongeza kwa kusimama na kusema hili si sahihi, huo ndio uungwana na ubinadamu.Umesimama na kusema hayo ni makosa ya kibinadamu, huo ndio uvumilivu na ukomavu,ya kwamba unafanya na kusema kilicho sahihi.
Hukutafuta perfume ya kuzuia uvundo. Thanks!
Wala sina nongwa kwa hilo, nongwa yangu inasimama kwenye dhamira yako kuu ambayo ni UDINI wako ndani ya nchi isiyokuwa na udini.
Kichekesho zaidi ni kuwa maandishi yako huko nyuma ulisema wazi kuwa uliowatetea na unaowatete kwa kuwaandikia kitabu na leo kukigeuza kuwa ndio historia kuu ya Uhuru ni wazee wako, tena ukakazia kuw ni wazee wako wa damu!
Lakin tena hapa unazidi kukazia kuwa Ilunga ni mzee wako wa damu,
Sasa mantiki kuu ya kitabu chako inasimama rasmi kuwa simulizi ya wazee wako tu (baba yako) sio ya watanzania 44.5milioni.
Kibaya zaidi umepotosha kwakuiita eti historia ya uhuru wa Tanganyika upande wapili, hivyo unatueleza kuwa BABA yako angewekwa kwenye historia asili ya uhuru leo hii waislamu wasingekuwa na ajiitae mtetezi wao Mohamed Said?
Nishakwambia mara nyingi sana kuwa ujitulize.
Huko nyuma nishakueleza kuwa mimi huwa silazimishwi kufanya jambo.
Nishakueleza vilevile kuwa kuna post huwa sioni sababu ya kuchangia.
Nakuomba uridhike na jibu ninalokupa.
Usinilazimishe nikupe jibu ulitakalo.
Sina zaidi.
Nadhani umenielewa.
Anaye / Aliye zuia M O U yetu ( waislam ) ni serekali inayoongozwa na mfumo kristo. Nimuda mrefu sasa tangu tulipo wasilisaha lakini mpaka sasa tunapigwa danadana. Ndio maana tunaona hii MOU iliopo sasa iondolewe, maana inawapa mslah nyinyi na inatukandamiza sisi
Nimeeleza mara nyingi kabisa kuwa kitabu hicho sasa kina miaka 15 kinasomwa na tunakwenda toleo la tatu.
Nimesema mara nyingi pia kuwa si lazima mtu akakiamini kitabu changu.
Mimi sina ugomvi na mtu ambae atasema kuwa yale niliyoandika ni uzushi mtupu.
Sina uwezo wa kufanya mtu aniamini isipokuwa kuandika na kushawishi kuwa niandikayo ni kweli.
Sasa endapo kitabu kitaonekana cha maana hiyo ndiyo furaha yangu.
Halikadhalika ikiwa msomaji atakipuuza kitabu changu sina la kufanya.
Ila sasa kitabu hiki kimefaulu.
Ndicho kitabu kinachoaminika katika historia yake Nyerere mwenyewe ya kudai uhuru
na historia nzima ya TANU.
Ndugu yangu unaendelea kujichanganya tu, maelezo yako ya mwanzo ulisema wazi kuwa hujawahi kuhadhiri sehemu yoyote kwa hapa Tanzania, na zaidi ukadia wizara husika wamekiita ni "conspiracy" yaani ni cha kufikirika tu, kwa hilo tu nawasifu wizara!
Lakini hapa tena umebadili maneno na kusema ndicho kinachotambuliwa kwa historia halisi ya UHURU wa nchi hii?????
Nani wanakitambua?, watanzania au huko umangani ulikohadhiri?