Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Hata hiyo kauli ya Allah ilibidi iandikwe na watu. Tuyaache hayo. Mimi sina utaalam wowote wa DINI. Mara ya kwanza unakiri kwamba makosa yamo kwenye kile kitabu chako. Nakupongeza sana kwa hilo. Hakuna aliye mkamilifu. Kama tutafanikiwa kukiandika kitabu hiki tutakushirikisha sana tu. Una akili sana nami naamini bado unayo mengi unayoyafahamu kuhusu historia ya Taifa hili.

WC,

Anzeni kwa kuwatafuta hawa katika bold kama wa hai. Ikiwa wametangulia wapateni watoto au wajukuu zao. Mimi nimepita kwao wana hazina ya taarifa kuliko hata Maktaba ya CCM Dodoma:

[TABLE="class: cms_table_MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]I am grateful to the pioneers of change in Southern Province, Said Alley Mwalimu and late Mohamed Ali Abdallah ‘Makarios' both of Mikindani; to Salum Mpunga and Yusuf Chembera of Lindi, both of them now deceased, for letting me draw from their colonial experiences in southern Tanganyika; to Tewa Said Tewa, Dossa Aziz, Zuberi Mtemvu and Sheikh Haidar Mwinyimvua of Dar es Salaam; to Yusuf Ulotu of Moshi, popularly known as Yusuf Ngozi,Mohamed Kajembe, Rashid Sembe and Mmaka Omari of Tanga for providing me with unique information on colonial politics as it related to the ‘educated' African Christians on the one hand and the ‘uneducated' Afro-Arabs and African Muslims on the other. This information has helped me understand and interprete the conflict between Muslims and Christians which surfaced soon after independence and the contradictions which I have tried to depict in this work.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] I am also grateful to Omar Suleiman, Haruna Taratibu and Hassan Suleiman,[1] the brilliant political organiser of the period between the two World Wars, and to Germano Pacha, the last TAA provincial secretary and a TANU founder member, for his information on the formation of the Party; and to Rashid Mussa who, not knowing that the person he was referring to was my grandfather, informed me about my grandfather's early political career and his role in the first General Strike in colonial Tanganyika in 1947. I wish to pay special gratitude to Bilali Rehani Waikela, a Manyema gentleman and a devout Muslim. At twenty-five years of age in 1955, Waikela was one of TANU founding members in Tabora. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Waikela educated me about how Muslims as a political force supported Nyerere and the struggle for independence. He also briefed me about his days in detention with my grandfather at Uyui Prison for ‘mixing religion and politics'. I am indebted to him for putting at my disposal photographs of the period and his personal papers on the Muslim ‘crisis'which emerged soon after independence. I am grateful to Waikela for encouraging me to write this book and to write on the plight of Muslims as a result of their marginalisation by Nyerere's regime. Unlike many of my informants, Waikela allowed me to quote him without any fear. He was pleased to see that the information he had was being put to good use in preserving the history of our country for the benefit of future generations. He also put me in touch with other patriots like Mohamed Mangiringiri, Ramadhani Singo and others, whom I interviewed at length. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] This work would not have been possible if it were not for the moral and material assistance I received from Ally Sykes. Ally Sykes allowed me to interview him on many occasions in spite of his busy schedules managing his business from his city center office. He allowed me to consult his own private files, personal letters, diaries and other family records. These records were kept in a safe which I was informed remained untouched for over thirty years. Going through the files I was amazed by Ally Sykes' obsession with record keeping. Every piece of paper with information was kept, however trifling it may have seemed during the struggle -a 1954 pencil note from Zuberi Mtemvu to Ally Sykes, informing him of a discussion he had with Nyerere about him and TANU; a 1953 money order receipt from Ally Sykes to Japhet Kirilo during the Meru Land Case; an undated copy of the letter from TAA to Queen Elizabeth signed by the entire executive (the President, Julius Nyerere, Vice-President Abdulwahid Sykes, General Secretary Dome Okochi, Assistant Secretary Dossa Aziz, Treasurer John Rupia, Assistant Treasurer Ally Sykes) congratulating Her Majesty on her coronation; a 1952 letter from Rashid Mfaume Kawawa from Bukoba to Ally Sykes informing him of the political situation in the Lake Region; a 1963 letter from Lady Judith Listowel; letters from Kenneth Kaunda, Julius Nyerere, Kasella Bantu ... the list is endless. This habit was apparently inherited from his father who used to file each and every piece of paper which had any information worth noting. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] It is a pity that I could not get access to Abdulwahid's diaries, which I understand had many entries in shorthand and are untranscribed. I was also not able to obtain World War I memoir of Kleist Sykes. There is no doubt whatsoever that these documents are invaluable. It is my hope that one day these important documents on the history of the Party and of our nation will find their way to the Tanzania National Archives for the benefit of future generations. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Over the years, I had many discussions with members of the family, and got very useful information out of our casual talks. The result of all this is what I believe to be an authenticated historical narration of the life and times of Abdulwahid Sykes and other forgotten patriots to whom the country, CCM and the Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, owe so much in one way or another.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] I wish to thank all those who allowed me to interview them but have asked for anonymity. Even those who refused to talk to me about the subject, and to publishers who rejected my manuscript out of fear and those who preferred silence, I must admit, in their own peculiar way contributed to this work.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kunamabo nilitarajia kujifunza kutokana na majibu ya maswali ya Nguruv3, bahati mbaya alieulizwa hajayajibu.

Lau ningepata mtiririko mzuri wa majibu yake ningepanua ufaham wangu.


quote_icon.png
By Nguruvi3

1. Nyerere alikuja kwa mara ya kwanza lini Dar kama ulivyoulizwa?
2. Akienda UNO baada ya kuchangiwa fedha na wazee wako safari yake ilianzia wapi?
3.Halafu ulishaulizwa EAMWS ilianzia wapi na kwanini huko ilikoanzia haipo kwa sasa?
4.Unapozungumzia umoja wa waislam, ni upi huo kati ya Sunni, Shia, Bohora, Ismailia n.k.?
Nini kinashindikana kurudisha umoja huo?
5.Umeulizwa, mlezi wa iliyokuwa EAMWS alikuwa Agakhan, vipi mbona yeye anarudi na kujenga chuo kikuu kingine katika serikali ile ile iliyoua EAMWS 1968?
6.Ushahidi wa kanisa kushinikiza kifo cha EAMWS ni upi?


Tusaidiane kumkumbusha Mohamed​




 
Naomba idhini yenu nitoe ushauri kama mtaridhia.

Nyie mmetaharuki.
Kitu ukikifanya katika hali ya taharuki hakiongoki.

Ngoja nikupeni mfano mdogo.

Mie hosoma post zenu kwangu na kwa wengine.
Mnaandika mkiwa mmeghadhibika na taharuki inaingia.

Nini matokeo yake?

Mara nyingi mnaishia katika maneno makali na hata matusi
na kejeli.

Katika njia hii mnashindwa kirahisi sana.
Huenda nyie wenyewe mkaona mmemuweza mtu...

Lakini wafikirie wale wengine wanaokusoma wanaposoma matusi
au kejeli zako.

Fikiri watu wale wanakuonaje?

Sasa hili la kuandika kitabu kwa kweli ni kitu cha hekima sana lakini
kuandika kunataka utulivu wa fikra.

Huwezi kuwa na utulivu wa fikra katika taharuki.

Moja ya matatizo makubwa uliyonayo na ambayo ni wachache sana wanaoweza kukugundua hapa jamvini ni katabia kako kakuwalisha/kuwabebea fikra watu vichwani mwao,

Umekuwa kinurulishi cha wasiokuwa na hatia kwa kuwahatiisha vyovyote utakavyo!
 
Hizi ni dalili za kuishiwa hoja.

Nakushauri tu huu uzi unasomwa na watu 21,000.

Ficha Upumbuvu wako onyesha Hekima zako.

Zaidi ya apo utakuwa unawatukanisha wazazi wako...ni hiara yako kufuata au kupuuza.

Ritz,

Nilipokuwa mtoto wa miaka 12 nilijaribu masumbwi ''boxing.''
Ulingo ulikuwa unafungwa pale Mtaa wa Msimbazi na Aggrey
sasa Lindi.

Aliyekuwa akituingiza kupigana kijana mmoja akiitwa Hassan
Makwasukwasu.

Yeye kwa umri alikuwa katuzidi sisi ''mabondia'' wake.
Sikuziweza ngumi.

Kipaji changu kilikuwa kwenye mpira.

Nikarudi Makunguru kucheza mpira ni hapo hapo Msimbazi
kama unaelekea siku zile DMT baadae UDA Pugu Road sasa
Nyerere Road.

Hata hivyo nikampenda Cassius Clay kisha Muhammed Ali.

Ali katika biography yake ''The Greatest'' anasema baada ya
kutoka kifungoni aliponyang'anywa leseni ya kupigana na kurudi
tena ulingoni kuna kitu cha ajabu sana kilimjia katika hali yake.

Nacho ni huruma wakati anapombana na bondia ambaye yeye
anajua wazi hana uwezo wa kupigana na yeye.

Anasema kabla ya hapo yeye alikua yoyote aliye mbele yake
katika ulingo lazima apewe kipigo.

Hali ile ya Ali na mimi imeshanifika.
Hakika sijisikii raha kupambana na hawa jamaa zangu humu.

Hili nalisema kwa dhati ya nafsi yangu.
Huruma na simanzi imeniingia moyoni.
 
Hizi ni dalili za kuishiwa hoja.

Nakushauri tu huu uzi unasomwa na watu 21,000.

Ficha Upumbuvu wako onyesha Hekima zako.

Zaidi ya apo utakuwa unawatukanisha wazazi wako...ni hiara yako kufuata au kupuuza.
Ritz, huu ushauri wa kipumbavu ungeuelekeza kwa mzee wako muovu Mohamed Saidi, kwani uchochezi anaoueneza hapa nchini madhara yake ni makubwa mno! lakini kwakuwa akili yako changa imeegemea kwenye imani mfu hulioni hili!
 
ritz, huu ushauri wa kipumbavu ungeuelekeza kwa mzee wako muovu mohamed saidi, kwani uchochezi anaoueneza hapa nchini madhara yake ni makubwa mno! Lakini kwakuwa akili yako changa imeegemea kwenye imani mfu hulioni hili!

imetosha sasa,unatuchafulia hali ya hewa,lugha za matusi za nini?
Ziwapi busara zako?
Yericko wakanye hawa ndugu zako.
 
ritz,

nilipokuwa mtoto wa miaka 12 nilijaribu masumbwi ''boxing.''
ulingo ulikuwa unafungwa pale mtaa wa msimbazi na aggrey
sasa lindi.

Aliyekuwa akituingiza kupigana kijana mmoja akiitwa hassan
makwasukwasu.

Yeye kwa umri alikuwa katuzidi sisi ''mabondia'' wake.
Sikuziweza ngumi.

Kipaji changu kilikuwa kwenye mpira.

Nikarudi makunguru kucheza mpira ni hapo hapo msimbazi
kana unaelekea siku zile dmt baadae uda pugu road sasa
nyerere road.

Hata hivyo nikampenda cassius clay kisha muhammed ali.

Ali katika biography yake ''the greatest'' anasema baada ya
kutoka kifungoni aliponyang'anywa leseni ya kupigana kuna kitu
cha ajabu sana kilimjia katika hali yake.

Nacho ni huruma wakati anapombana na bondia ambaye yeye
anajua wazi hana uwezo wa kupigana na yeye.

Anasema kabla ya hapo yeye alikua yoyote aliye mbele yake
katika ulingo lazima apewe kipigo.

Hali ile ya ali na mimi imeshanifika.
Hakika sijisikii raha kupambana na hawa jamaa zangu humu.

Hili nalisema kwa dhati ya nafsi yangu.
Huruma na simanzi imeniingia moyoni.

nimeipenda sana busara hii,
ahsante sana ndugu yangu.
 
imetosha sasa,unatuchafulia hali ya hewa,lugha za matusi za nini?
Ziwapi busara zako?
Yericko wakanye hawa ndugu zako.
BIG SHOW, you are a stiff naked fool, you can't stand on you own feet! p/se keep away your stinking mouth!
 
Ritz, huu ushauri wa kipumbavu ungeuelekeza kwa mzee wako muovu Mohamed Saidi, kwani uchochezi anaoueneza hapa nchini madhara yake ni makubwa mno! lakini kwakuwa akili yako changa imeegemea kwenye imani mfu hulioni hili!
Hehee duuuh taratibu jamani, tutafika tu!
 
Ritz,

Nilipokuwa mtoto wa miaka 12 nilijaribu masumbwi ''boxing.''
Ulingo ulikuwa unafungwa pale Mtaa wa Msimbazi na Aggrey
sasa Lindi.

Aliyekuwa akituingiza kupigana kijana mmoja akiitwa Hassan
Makwasukwasu.

Yeye kwa umri alikuwa katuzidi sisi ''mabondia'' wake.
Sikuziweza ngumi.

Kipaji changu kilikuwa kwenye mpira.

Nikarudi Makunguru kucheza mpira ni hapo hapo Msimbazi
kana unaelekea siku zile DMT baadae UDA Pugu Road sasa
Nyerere Road.

Hata hivyo nikampenda Cassius Clay kisha Muhammed Ali.

Ali katika biography yake ''The Greatest'' anasema baada ya
kutoka kifungoni aliponyang'anywa leseni ya kupigana kuna kitu
cha ajabu sana kilimjia katika hali yake.

Nacho ni huruma wakati anapombana na bondia ambaye yeye
anajua wazi hana uwezo wa kupigana na yeye.

Anasema kabla ya hapo yeye alikua yoyote aliye mbele yake
katika ulingo lazima apewe kipigo.

Hali ile ya Ali na mimi imeshanifika.
Hakika sijisikii raha kupambana na hawa jamaa zangu humu.

Hili nalisema kwa dhati ya nafsi yangu.
Huruma na simanzi imeniingia moyoni.

Tafsiri yake ni kuwa sisi hapa unatuonea huruma kwakuwa hatujui kitu na hatuna maariifa ya kujadiliana na wewe?
 
umekielewa alichokiandika?

brother yericko nimemuelewa vizuri sana.
Na nimefarijika sana na maneno yale,pia kuna baadhi ya ndugu zako wanatoa lugha za matusi,tafadhali wakanye,inatuharibia mjadala wetu.,sisi tunanufaika nao sana.
 
Moja ya matatizo makubwa uliyonayo na ambayo ni wachache sana wanaoweza kukugundua hapa jamvini ni katabia kako kakuwalisha/kuwabebea fikra watu vichwani mwao,

Umekuwa kinurulishi cha wasiokuwa na hatia kwa kuwahatiisha vyovyote utakavyo!
Mhh!
Aliyekuwa na tabia hizi siye yule aliyekuwa akipigiwa mayowe "zidumu fikra za mwenyekiti"?!
 
Kunamabo nilitarajia kujifunza kutokana na majibu ya maswali ya Nguruv3, bahati mbaya alieulizwa hajayajibu.

Lau ningepata mtiririko mzuri wa majibu yake ningepanua ufaham wangu.


quote_icon.png
By Nguruvi3

1. Nyerere alikuja kwa mara ya kwanza lini Dar kama ulivyoulizwa?
2. Akienda UNO baada ya kuchangiwa fedha na wazee wako safari yake ilianzia wapi?
3.Halafu ulishaulizwa EAMWS ilianzia wapi na kwanini huko ilikoanzia haipo kwa sasa?
4.Unapozungumzia umoja wa waislam, ni upi huo kati ya Sunni, Shia, Bohora, Ismailia n.k.?
Nini kinashindikana kurudisha umoja huo?
5.Umeulizwa, mlezi wa iliyokuwa EAMWS alikuwa Agakhan, vipi mbona yeye anarudi na kujenga chuo kikuu kingine katika serikali ile ile iliyoua EAMWS 1968?
6.Ushahidi wa kanisa kushinikiza kifo cha EAMWS ni upi?

Tusaidiane kumkumbusha Mohamed​




Hapana haja ya kunikumbusha mimi nalala humu JF nasoma kila kitu.

Huwa sijibu kila kitu kwa sababu kadhaa lakini kubwa ni hii kuwa siko
humu kufanya ubishi.

Ikiwa ninalosema huamini hakuna ugomvi.
Niko humu kueleza kile ambacho kabla hakikujulikana.

Nadhani wewe ni mmoja wa wale ambao wamesikia mengi mageni masikioni
kwako.
 
brother yericko nimemuelewa vizuri sana.
Na nimefarijika sana na maneno yale,pia kuna baadhi ya ndugu zako wanatoa lugha za matusi,tafadhali wakanye,inatuharibia mjadala wetu.,sisi tunanufaika nao sana.

Mods wapo hapa na wanafuatilia mnakasha huu,
 
Tafsiri yake ni kuwa sisi hapa unatuonea huruma kwakuwa hatujui kitu na hatuna maariifa ya kujadiliana na wewe?


Hapana mnajua sana lakini si katika masafa ya kutegemewa.
Unaponiambia kuwa mnataka Nyerere Foundation ikupe msaada...

Wewe huwezi kulijua hili.

Mimi nimetoa nyaraka na picha kwa Mwalimu Nyerere Foundation kupitia
msaada wa Ford Foundation.

Mkurugenzi wake aliyekuwa Nairobi alikuwa ananijua.

Yule kijana wa Kimarekani aliyekuja kuisaidia Mwalimu Nyerere Foundation kuanza
pia akinijua toka Marekani kwa ajili ya kitabu changu.

Hizo nyaraka hazikutakiwa wala picha nilizowapa.
Nina mengi sana.

Ndiyo nasema nimepata simanzi na hamu ya mnakasha imenitumbukia nyongo.
Hao wote mnaotafuta msaada kwao wa kuandika historia...

Afadhali wanaukumbi wanawezaweza...
 
Ritz, huu ushauri wa kipumbavu ungeuelekeza kwa mzee wako muovu Mohamed Saidi, kwani uchochezi anaoueneza hapa nchini madhara yake ni makubwa mno! lakini kwakuwa akili yako changa imeegemea kwenye imani mfu hulioni hili!

Hii inakumbusha kesi ya Charlers Taylor, The Hague.

Jaji Lussick: Mshitakiwa Charles Taylor, unapaswa kuieleza mahakama hii tukufu, una maanisha nini kusema mahakama ina makengeza? Mahakama ina macho?

Charle Taylor: Mheshimiwa sina maana kwamba mahakama ni kipofu; ila ina makengeza haina macho, mahakama ina "double standards" yaani upendeleo haiwaoni Wazungu.

Makosa ya Ritz, kukubaliana na michango ya Mohamed Said. Ni kosa lakini ukipingana naye siyo kosa.

Tulizana punguza jazba utachota ilmu.
 
Last edited by a moderator:
Hapana mnajua sana lakini si katika masafa ya kutegemewa.
Unaponiambia kuwa mnataka Nyerere Foundation ikupe msaada...

Wewe huwezi kulijua hili.

Mimi nimetoa nyaraka na picha kwa Mwalimu Nyerere Foundation kupitia
msaada wa Ford Foundation.

Mkurugenzi wake aliyekuwa Nairobi alikuwa ananijua.

Yule kijana wa Kimarekani aliyekuja kuisaidia Mwalimu Nyerere Foundation kuanza
pia akinijua toka Marekani kwa ajili ya kitabu changu.

Hizo nyaraka hazikutakiwa wala picha nilizowapa.
Nina mengi sana.

Ndiyo nasema nimepata simanzi na hamu ya mnakasha imenitumbukia nyongo.
Hao wote mnaotafuta msaada kwao wa kuandika historia...

Afadhali wanaukumbi wanawezaweza...

Hilo lisikukatishe tamaa mkuu,

Sisi na wewe kwapamoja tutafanikisha hilo!
 
Back
Top Bottom