Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mag3.

Maalim wangu kanitaka nikupe darsa kuhusu hasad:

Hasad; "envy", "jealousy", kijicho, wivu, roho mbaya, zongo, kutamani na kujaribu huwezi. Na mengineyo mengi ya namna hiyo.

Kuna aina mbili kuu za wivu, moja ni ile ya kutamani kitu alicho nacho mwenzako bila kumuonea uchungu na kupenda nawe uwe nacho kama kile na kuwatamania wengine wawe nacho kama kile au zaidi ya kile kwa manufaa yake na ya wengine. Mfano mzuri, umuanapo mwenzako ana elimu nzuri, adabu nzuri, heshima nzuri, ukaionea wivu na kutamani uwe nayo kama ile na au kuzidi na ukajifunza kutoka kwa yule aliyo nayo na wengine ili nawe uwe nayo na wengine wawe nayo kama ile au zaidi ya ile kwa faida ya wote, basi huo ni wivu mwema na huitwa "ghibtah" Kiislaam. Na wivu kama huu unahimizwa.

Wivu mwingine ni ule ambao ambao unaona kwanini mwenzako kapata, kafanya (lolote liwalo) iwe elimu, mali, mke mzuri, nyumba nzuri, ama kingine chochote na wewe unasononeka roho yako na kufanya kila hila kuzuwia au kupaka matope au kuharibu alichokipata na kufanya kila hila asipate zaidi na ikiwezekana hata hicho alicho nacho kisiwepo, kukiponda, kumponda, ili mradi utafanya vitimbi vya kila aina kwa roho mbaya tu. Huu unaitwa uhasidi na afanyae hivyo huwa ana "hasad' (chuki) ya hali ya juu, kwa kuwa tu yeye hana na hawezi na hapendi mwenzake awe nacho.

Mohamed Said kuupa umma elimu yake kumehamasisha kujitokeza hapa JF watu wa aina mbili, wenye "Ghibtah" na wenye "Hasad". Utajaza mwenyewe upo kundi lipi.

Mimi nimejaribu kutoa darsa fupi kama alivyonitaka Maalim wangu, Wa Allahu Ya Alam.

zomba,

Swadakta hizo ni baadhwi za hasad watu hawana fadwila.
 
Last edited by a moderator:
Assalaam Alaykum,

Kabla sijaongea naomba nimvulie KILEMBA Kaka yangu , Baba yangu Mohammed Said kwa jinsi alivoweza kuhimili jeshi la watu wengi ilhali yeye akiwa wakati mwengine peke yake au Ritz na Zomba wakisaidia kutoa darsa kidogo kidogo.

Nimesoma neno kwa neno, hakika aloandika Mohammed Said ni kweli na mimi ni mmoja wa watoto ambao baba yangu aliathrika na kufungwa na Nyerere mwaka 1966-1967 kwa kisingizio kuwa walitaka kumpindua, lakini ile ilikuwa ni njama ya kuudhoofisha uislamu, na hakuishia hapo nyerere LAA'NATULLAH, akaendelea kutaifisha majumba ya waislamu mengi tu, hebu jaribuni kupita maeneno ya mjini na msome majumba ambayo sasa ni NHC, muone ni majina ya aina gani majumba hayo yameandikwa mengi ni majina ya kiislamu, sasa wewe yericko ni uchichezi gani Mohammed Said ameuandika? naomba nimponegze kwa ujasiri ambao hakuna yeyote aliethubutu kuandika kitabu kueleza historia ya kweli, dhulma ilofanywa na nyerere ambae naamini kama sio baba yako wewe yericko basi atakuwa babu yako! nashangaa na nakuona mtu usie na haya wala hujui vibaya kushadadia na kulazimsha watu waamini maandiko yale ni ya kweli na unayatetea kwa nguvu zote.

Mnamtukana Bwana Ilunga pia kwa kuwaambia ukweli juu ya udhalimu ulofanya na wizara ya elimu juu ya mtoto wa kike wa kiislamu alokuwa akiishi Mkuranga.

Ilunga anatumbia na ushahidi wanao, mtoto alikuwa na akili na kinara darasani, majibu ya mtihani wa darasa la saba yalipotoka mtoto amefeli, walipofuatilia wakakuta jina la mtoto yule kumbe amefaulu tabora girls, walipoenda tabora gilrs wakakuta kuna mtoto ameandikishwa kama huyo mwanamwari wa Mkuranga, na mtoto wenyewe alowekawa huko ni mgalatia, walipotaka kuweka bayana mkuu wa shule ile akaomba radhi na kuwaambia mtoto aletwe shule, waliporudi mkuranga mtoto akakutwa ameshakuwa mja mzito! wewe kama ungekuwa ni mzazi ungejisikiaje? acheni dhulma na kushadadia dhulma zisizo na maana, kama kweli mngekuwa wastaarabu mngekaa kimya kuliko kutete dhulma, na nakwambia itawatafuna NA INAWATAFUNA... HATA NURU HAMNA !!!!

Mwisho naomba nimuombee Ndugu yetu Bwana Mohammed Said ALLAh SW akujaalie maisha marefu, yenye swiha njema, ili uishi uzidi kutupa darsa na uufaamishe umma wa watanzania khassa waislam jinsi gandi nchi hii tulikandamizwa na tunavoendelea kukandamizwa na TUSHUHUDIE MANUFAA, naamini kila lililo na mwanzo basi halikosi kuwa na mwisho,! wahenga walisema "HAKUNA MAREFU YASO NA NCHA" ipo siku .."WAQULJAAAL HAQQ WAZAQAL BAATWTIL INNAL BAATWIL KAANA ZAHUQA" .... UKWELI UTAKUJA NA BAATIL ITAONDOKA.

Wahaadha.. Assalaamun Alaykum
 
Assalaam Alaykum,

Kabla sijaongea naomba nimvulie KILEMBA Kaka yangu , Baba yangu Mohammed Said kwa jinsi alivoweza kuhimili jeshi la watu wengi ilhali yeye akiwa wakati mwengine peke yake au Ritz na Zomba wakisaidia kutoa darsa kidogo kidogo.

Nimesoma neno kwa neno, hakika aloandika Mohammed Said ni kweli na mimi ni mmoja wa watoto ambao baba yangu aliathrika na kufungwa na Nyerere mwaka 1966-1967 kwa kisingizio kuwa walitaka kumpindua, lakini ile ilikuwa ni njama ya kuudhoofisha uislamu, na hakuishia hapo nyerere LAA'NATULLAH, akaendelea kutaifisha majumba ya waislamu mengi tu, hebu jaribuni kupita maeneno ya mjini na msome majumba ambayo sasa ni NHC, muone ni majina ya aina gani majumba hayo yameandikwa mengi ni majina ya kiislamu, sasa wewe yericko ni uchichezi gani Mohammed Said ameuandika? naomba nimponegze kwa ujasiri ambao hakuna yeyote aliethubutu kuandika kitabu kueleza historia ya kweli, dhulma ilofanywa na nyerere ambae naamini kama sio baba yako wewe yericko basi atakuwa babu yako! nashangaa na nakuona mtu usie na haya wala hujui vibaya kushadadia na kulazimsha watu waamini maandiko yale ni ya kweli na unayatetea kwa nguvu zote.

Mnamtukana Bwana Ilunga pia kwa kuwaambia ukweli juu ya udhalimu ulofanya na wizara ya elimu juu ya mtoto wa kike wa kiislamu alokuwa akiishi Mkuranga.

Ilunga anatumbia na ushahidi wanao, mtoto alikuwa na akili na kinara darasani, majibu ya mtihani wa darasa la saba yalipotoka mtoto amefeli, walipofuatilia wakakuta jina la mtoto yule kumbe amefaulu tabora girls, walipoenda tabora gilrs wakakuta kuna mtoto ameandikishwa kama huyo mwanamwari wa Mkuranga, na mtoto wenyewe alowekawa huko ni mgalatia, walipotaka kuweka bayana mkuu wa shule ile akaomba radhi na kuwaambia mtoto aletwe shule, waliporudi mkuranga mtoto akakutwa ameshakuwa mja mzito! wewe kama ungekuwa ni mzazi ungejisikiaje? acheni dhulma na kushadadia dhulma zisizo na maana, kama kweli mngekuwa wastaarabu mngekaa kimya kuliko kutete dhulma, na nakwambia itawatafuna NA INAWATAFUNA... HATA NURU HAMNA !!!!

Mwisho naomba nimuombee Ndugu yetu Bwana Mohammed Said ALLAh SW akujaalie maisha marefu, yenye swiha njema, ili uishi uzidi kutupa darsa na uufaamishe umma wa watanzania khassa waislam jinsi gandi nchi hii tulikandamizwa na tunavoendelea kukandamizwa na TUSHUHUDIE MANUFAA, naamini kila lililo na mwanzo basi halikosi kuwa na mwisho,! wahenga walisema "HAKUNA MAREFU YASO NA NCHA" ipo siku .."WAQULJAAAL HAQQ WAZAQAL BAATWTIL INNAL BAATWIL KAANA ZAHUQA" .... UKWELI UTAKUJA NA BAATIL ITAONDOKA.

Wahaadha.. Assalaamun Alaykum

Kijana unahitaji shule tena ya mapambazuko moyoni, akilini na mwilini,

Soma historia niliyoiweka hapo juu hasa baada ya kupata Uhuru,

Walioathiriwa na utaifishwaji wa mali zao sio waislamu tu ndugu, hata wapagani walitaifishwa mali zao!

Jambo muhimu ni kujua kwanini sera hiyo iliendeshwa katika nyakati hiiizo?

Lengo kuu lilikuwa nikuyaleta makundi yote katika uwanda mmoja!

Kuliweka taifa pamoja kulihitaji nguvu na ujasili usiomithirika,

Ndiomaana hata wale walioshirikiana na mwalimu katika ukombozi, walimuasi na wakaanza harakati za kuiangusha serikali yake kupitia mgongo wa DINI.

Naam mkono mtakatifu wa dola ya Mwalimu Nyerere uliwaangukia, na kishindo cha vilio vyao kinasikika hadi leo kupitia ndimi za akina Mohamed Said na wafuasi wake!
 
Kijana unahitaji shule tena ya mapambazuko moyoni, akilini na mwilini,

Soma historia niliyoiweka hapo juu hasa baada ya kupata Uhuru,

Walioathiriwa na utaifishwaji wa mali zao sio waislamu tu ndugu, hata wapagani walitaifishwa mali zao!

Jambo muhimu ni kujua kwanini sera hiyo iliendeshwa katika nyakati hiiizo?

Lengo kuu lilikuwa nikuyaleta makundi yote katika uwanda mmoja!

Kuliweka taifa pamoja kulihitaji nguvu na ujasili usiomithirika,

Ndiomaana hata wale walioshirikiana na mwalimu katika ukombozi, walimuasi na wakaanza harakati za kuiangusha serikali yake kupitia mgongo wa DINI.

Naam mkono mtakatifu wa dola ya Mwalimu Nyerere uliwaangukia, na kishindo cha vilio vyao kinasikika hadi leo kupitia ndimi za akina Mohamed Said na wafuasi wake!

Yote yana mwisho! NAKUHAKIKISHIA! Mola wetu akuweke ushuhudie haya!
 
Yote yana mwisho! NAKUHAKIKISHIA! Mola wetu akuweke ushuhudie haya!

Mbona unatoa ahadi ya kitisho?

Unaijua dhambi ya uasi? Kasome Kuruani na Biblia zote zimeeleza adhabu ya dhambi ya uasi kama ilivyomkumba Yuda
 
Kijana unahitaji shule tena ya mapambazuko moyoni, akilini na mwilini,

Soma historia niliyoiweka hapo juu hasa baada ya kupata Uhuru,

Walioathiriwa na utaifishwaji wa mali zao sio waislamu tu ndugu, hata wapagani walitaifishwa mali zao!

Jambo muhimu ni kujua kwanini sera hiyo iliendeshwa katika nyakati hiiizo?

Lengo kuu lilikuwa nikuyaleta makundi yote katika uwanda mmoja!

Kuliweka taifa pamoja kulihitaji nguvu na ujasili usiomithirika,

Ndiomaana hata wale walioshirikiana na mwalimu katika ukombozi, walimuasi na wakaanza harakati za kuiangusha serikali yake kupitia mgongo wa DINI.

Naam mkono mtakatifu wa dola ya Mwalimu Nyerere uliwaangukia, na kishindo cha vilio vyao kinasikika hadi leo kupitia ndimi za akina Mohamed Said na wafuasi wake!

Bora ungekaa kimya tu unazidi kujichanganya wewe mwenye humu jamavini umetuambia Nyerere aliwasamehe waasi na wengine wengi kuwapa vyeo na wengine mabalozi.

Ilo dola la huyo mtakatifu lilishindwa kuwaangukia hao waasi.

Nakukumbusha tupe basi yale majina ya hao waasi uliyosema utayaleta.
 
Assalaam Alaykum,

Kabla sijaongea naomba nimvulie KILEMBA Kaka yangu , Baba yangu Mohammed Said kwa jinsi alivoweza kuhimili jeshi la watu wengi ilhali yeye akiwa wakati mwengine peke yake au Ritz na Zomba wakisaidia kutoa darsa kidogo kidogo.

Nimesoma neno kwa neno, hakika aloandika Mohammed Said ni kweli na mimi ni mmoja wa watoto ambao baba yangu aliathrika na kufungwa na Nyerere mwaka 1966-1967 kwa kisingizio kuwa walitaka kumpindua, lakini ile ilikuwa ni njama ya kuudhoofisha uislamu, na hakuishia hapo nyerere LAA'NATULLAH, akaendelea kutaifisha majumba ya waislamu mengi tu, hebu jaribuni kupita maeneno ya mjini na msome majumba ambayo sasa ni NHC, muone ni majina ya aina gani majumba hayo yameandikwa mengi ni majina ya kiislamu, sasa wewe yericko ni uchichezi gani Mohammed Said ameuandika? naomba nimponegze kwa ujasiri ambao hakuna yeyote aliethubutu kuandika kitabu kueleza historia ya kweli, dhulma ilofanywa na nyerere ambae naamini kama sio baba yako wewe yericko basi atakuwa babu yako! nashangaa na nakuona mtu usie na haya wala hujui vibaya kushadadia na kulazimsha watu waamini maandiko yale ni ya kweli na unayatetea kwa nguvu zote.

Mnamtukana Bwana Ilunga pia kwa kuwaambia ukweli juu ya udhalimu ulofanya na wizara ya elimu juu ya mtoto wa kike wa kiislamu alokuwa akiishi Mkuranga.

Ilunga anatumbia na ushahidi wanao, mtoto alikuwa na akili na kinara darasani, majibu ya mtihani wa darasa la saba yalipotoka mtoto amefeli, walipofuatilia wakakuta jina la mtoto yule kumbe amefaulu tabora girls, walipoenda tabora gilrs wakakuta kuna mtoto ameandikishwa kama huyo mwanamwari wa Mkuranga, na mtoto wenyewe alowekawa huko ni mgalatia, walipotaka kuweka bayana mkuu wa shule ile akaomba radhi na kuwaambia mtoto aletwe shule, waliporudi mkuranga mtoto akakutwa ameshakuwa mja mzito! wewe kama ungekuwa ni mzazi ungejisikiaje? acheni dhulma na kushadadia dhulma zisizo na maana, kama kweli mngekuwa wastaarabu mngekaa kimya kuliko kutete dhulma, na nakwambia itawatafuna NA INAWATAFUNA... HATA NURU HAMNA !!!!

Mwisho naomba nimuombee Ndugu yetu Bwana Mohammed Said ALLAh SW akujaalie maisha marefu, yenye swiha njema, ili uishi uzidi kutupa darsa na uufaamishe umma wa watanzania khassa waislam jinsi gandi nchi hii tulikandamizwa na tunavoendelea kukandamizwa na TUSHUHUDIE MANUFAA, naamini kila lililo na mwanzo basi halikosi kuwa na mwisho,! wahenga walisema "HAKUNA MAREFU YASO NA NCHA" ipo siku .."WAQULJAAAL HAQQ WAZAQAL BAATWTIL INNAL BAATWIL KAANA ZAHUQA" .... UKWELI UTAKUJA NA BAATIL ITAONDOKA.

Wahaadha.. Assalaamun Alaykum

Ukweli alikuwa ni jeshi la mtu mmoja sisi ni wasindikizaji tu. Anastahili kila sifa na pongezi za dhati kwani kila aliyekuja, hakuna hata mmoja aliyeonesha ni wapi Mohamed Said kafanya "uchochezi na dhihaka kwa wapigania uhuru wa tanganyika na zanzibar " kama kichwa cha mada kilivyodai, Bali Maalim wangu Mohamed Said kawakumbuka na kutukumbusha na kutusomesha wote tunaopitia mjadala huu kuhusu wapigania Uhuru walioachwa kuandikwa amma kutajwa tu na waliojidai eti wameandika historia, hususan walioandika historia famba ya kivukoni. Na mpaka sasa wameshindwa kuonesha hilo, tunayoiona ni hasad tu.
 
quote_icon.png
By mkomatembo

Assalaam Alaykum,

Kabla sijaongea naomba nimvulie KILEMBA Kaka yangu , Baba yangu Mohammed Said kwa jinsi alivoweza kuhimili jeshi la watu wengi ilhali yeye akiwa wakati mwengine peke yake au Ritz na Zomba wakisaidia kutoa darsa kidogo kidogo.

Nimesoma neno kwa neno, hakika aloandika Mohammed Said ni kweli na mimi ni mmoja wa watoto ambao baba yangu aliathrika na kufungwa na Nyerere mwaka 1966-1967 kwa kisingizio kuwa walitaka kumpindua, lakini ile ilikuwa ni njama ya kuudhoofisha uislamu, na hakuishia hapo nyerere LAA'NATULLAH, akaendelea kutaifisha majumba ya waislamu mengi tu, hebu jaribuni kupita maeneno ya mjini na msome majumba ambayo sasa ni NHC, muone ni majina ya aina gani majumba hayo yameandikwa mengi ni majina ya kiislamu, sasa wewe yericko ni uchichezi gani Mohammed Said ameuandika? naomba nimponegze kwa ujasiri ambao hakuna yeyote aliethubutu kuandika kitabu kueleza historia ya kweli, dhulma ilofanywa na nyerere ambae naamini kama sio baba yako wewe yericko basi atakuwa babu yako! nashangaa na nakuona mtu usie na haya wala hujui vibaya kushadadia na kulazimsha watu waamini maandiko yale ni ya kweli na unayatetea kwa nguvu zote.

Mnamtukana Bwana Ilunga pia kwa kuwaambia ukweli juu ya udhalimu ulofanya na wizara ya elimu juu ya mtoto wa kike wa kiislamu alokuwa akiishi Mkuranga.

Ilunga anatumbia na ushahidi wanao, mtoto alikuwa na akili na kinara darasani, majibu ya mtihani wa darasa la saba yalipotoka mtoto amefeli, walipofuatilia wakakuta jina la mtoto yule kumbe amefaulu tabora girls, walipoenda tabora gilrs wakakuta kuna mtoto ameandikishwa kama huyo mwanamwari wa Mkuranga, na mtoto wenyewe alowekawa huko ni mgalatia, walipotaka kuweka bayana mkuu wa shule ile akaomba radhi na kuwaambia mtoto aletwe shule, waliporudi mkuranga mtoto akakutwa ameshakuwa mja mzito! wewe kama ungekuwa ni mzazi ungejisikiaje? acheni dhulma na kushadadia dhulma zisizo na maana, kama kweli mngekuwa wastaarabu mngekaa kimya kuliko kutete dhulma, na nakwambia itawatafuna NA INAWATAFUNA... HATA NURU HAMNA !!!!

Mwisho naomba nimuombee Ndugu yetu Bwana Mohammed Said ALLAh SW akujaalie maisha marefu, yenye swiha njema, ili uishi uzidi kutupa darsa na uufaamishe umma wa watanzania khassa waislam jinsi gandi nchi hii tulikandamizwa na tunavoendelea kukandamizwa na TUSHUHUDIE MANUFAA, naamini kila lililo na mwanzo basi halikosi kuwa na mwisho,! wahenga walisema "HAKUNA MAREFU YASO NA NCHA" ipo siku .."WAQULJAAAL HAQQ WAZAQAL BAATWTIL INNAL BAATWIL KAANA ZAHUQA" .... UKWELI UTAKUJA NA BAATIL ITAONDOKA.

Wahaadha.. Assalaamun Alaykum
Yaleyale ya 'ngano'. Huyo mtoto aliyebebeshwa mimba hana jina? Huyo mkristo aliyependelewa hana jina?
Kwani nyie mmeshaoneshwa huo ushahidi au mnameza tu kila kitu mnachoambiwa kwa sababu kimetoka kwa shehe/ustaadh!?
 
Mohamed, mnakasha ulishafungwa nami niliaga. Kinachonirudisha ni kauli zako ambazo hazina chembe za uungwana.

Mohamed Said;5587272]Nyerere ameandika hadi anakwenda hospitali akiandika...
Au hujui?
Mimi sijui kwasababu hukuwahi kutuambia mazungumzo ya Kighoma Malima na Nyerere yaliishaje baada ya kuonyeshwa picha za waislam.

Sijui kwasababu Prof Othman alipomuuliza mwalimu swali la yeye kujibu tuhuma hukutueleza mazungumzo yaliishaje.
Tunachojua wote hao ni marehemu na kama kawaida yako hukawii kuwawekea marehemu maneno.
Jinala mtu lishapata R.I.P. Mohamed anapata cha kusema.
'Kuhusu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Historia...
Mie sitakupa jibu hebu wewe nenda pale kaulize kwa nini mko kimya sasamwaka wa 15 hamjaandika kitabu kujibu ''ngano'' za Mohamed Said.Au ukipenda waulize mbona hamkufanya ''review'' ya kitabu chake?
Mohamed, wasomi huandika vitabu kuamsha fikra, hawaandiki kujibu vitabu.Inawezekana baada ya kugundua kuwa hujui Nyerere alifika lini Dar kwa mara ya kwanza hawakuona sababu ya review
Au we hapa JF ndiyo unaona umefika huna tena safari?Ushatua mizigo yako.Unataka kutamba kwa kuuliza swali JF...
Pangekuwa hapana maana usingekuwa hapa JF.Ni wapi pengine watu wamewahi kubinya hadi ukashindwa kupumua?Ni wapi pengine umewahi kukiri mapungufu?
Sifa kubwa ya kitabu chochote cha kisomi ni kuja na habari mpya iliyokuwa haijulikani.
Habari mpya katika kitabu changu ilikuwa ''Islam and Politics in Colonial Tanganyika.''
Habari mpya ni kama ile ya Nyerere kutanguliza ''mzimu'' wake Dar es Salaam mwaka 1946 halafu akaja mwenyewe mwaka 1952?
Ni ile ya Nyerere kwenda sokoni akiwa hana hela? Ni ile ya Nyerere kununuliwa sarawili pale kariakoo!
Au hili pia hulijui?
Wewe ni JF, JF, JF...
JF ni kioboko au hili pia hujui? Ni wapi ambapo umewahi kuulizwa jambo au hoja ukashindwa kujibu?
Ni JF palipodhihirisha uzushi wa namba za mitihani na kuanzia siku ile hadi leo na milele madai yako kuhusu Malima kuanzisha namba za mitihani ni mwiko! umekoma1 na tumekomesha uzushi kwa vizazi vijavyo at least

Ni JF ndipo ulipoambiwa wait a minute Nyerere hakuanza siasa baada ya kuonana na Sykes, in fact alianza siasa miaka 6 kabla ya kukutana na Sykes na miaka 6 kabla hujazaliwa!

Ni JF palipoweka wazi na wewe kukiri kwa mdomo wako kuwa shirika la Marknoll lilichanga ticket ya Nyerere kwenda UNO kama walivyochanga wazee wako. Hujawahi kuulizwa kitu kama hicho Havard, Cambridge, University of Yemeni au Oxford.
Ni JF ndipo ulipokiri kwa mara ya kwanza katika miaka 15 ya uwepo wa ngano hii tamu.

Ni JF ambapo umeshindwa kuthibitisha madai yako kwa vidhibiti na kubaki kujinukuu kama ushahidi.
Pale uliposhikwa kunako ulinukuu maandishi ya Sivalon halafu ukasema umefanya utafiti.

Ni JF ambapo umeshindwa kutetea hoja za EAMWS na hilo linabaki kuwa donda kwasababu kila utakapotia mguu tutakata uthibitisho wa kina na mntiki kuhusu ushiriki wa kanisa na Nyerere.

Ni JF ambapo hukuthubutu kujibu hoja nzito na majibu yako yamekuwa kumkata kiburi kwa matusi.

Ni JF ambapo umepewa darsa la ilm ya dini kuhusu udhaifu wa kudhani Uislam ni barghashia au kanzu.

Ni JF umelazimika kuwaheshimu wapigania uhuru unaochukia majina yao.

Ni JF ambapo madai yako yamenyumbuliwa na kuonekana dhaifu hata wafuasi wako wengi wamekiri kulishwa ngano.

Ni JF ambapo mtu haonewi wala hahurumiwi, hayapendwi maandishi zinapendwa hoja.

Mohamed Said Salum Abdallah Muyukwa Semtaungo, umeshindwa kutetea hoja, umeshindwa kujibu maswali na umeonyesha upotofu wa hali ya juu.
Narudia tena kukuambia wewe peke yako huniwezi wewe njoo na wenzako 20
au na zaidi mimi nitakuwa peke yangu.Sifanyi maskhara.Mjikusanye kama mnavyojikusanya JF...
Wala hawahitajiki 20, mmoja tu anatosha.
Umeshindwa kujibu hoja kwa kichwa unakata vipande vya kitabu halafu unasema watu wenye vichwa vyao wajikusanye!!

Ungekuwa na uwezo usingekimbia maswali, usingezusha uongo na usingekiri yale yaliyowekwa bayana tena bila utafiti.
Nani atakuweza wewe bingwa wa ''inasemekana'' bingwa wa kusingizia marehemu na mtaalam wa chuki na farki.
Wewe peke yako huniwezi.Kuna mtu hapa jamvini alikuonya akakuambia, ''Huyu mume mkubwa humuwezi.''
Sheikh Mohamed, hata beberu naye ni mume kama alivyo jogoo.
Lakini unaweza kuwa mume wa mtu kutegemea na uwezo wake wa kufikiri.

Mohamed Said,hatuhitaji mume wala mke, shemeji au binamu tunahitaji ujibu hoja, maswali na utetee ngano.
Hapa hatuli ngano wala mashudu tunataka substance.

Usiughilibu umma na wewe ni tatizo kwa jamii kabla ya tatizo lenyewe.

Masalam sheikh nakutakia mchana mwema inshallah, na shughuli njema, mwenyezi mungu akujaze hekima, akuepushe na uzushi na aulinde ulimi wako inshallah. Wasalimie ndugu hapo kariakoo, nadhani joto sana sasa!

Asalaam alyakum
 
Yaleyale ya 'ngano'. Huyo mtoto aliyebebeshwa mimba hana jina? Huyo mkristo aliyependelewa hana jina?
Kwani nyie mmeshaoneshwa huo ushahidi au mnameza tu kila kitu mnachoambiwa kwa sababu kimetoka kwa shehe/ustaadh!?

Kama wewe ulivyomeza mazima kuambiwa wapigania uhuru wa Tanganyika walikuwa 17 tu.
 
Mohamed, mnakasha ulishafungwa nami niliaga. Kinachonirudisha ni kauli zako ambazo hazina chembe za uungwana.

Mimi sijui kwasababu hukuwahi kutuambia mazungumzo ya Kighoma Malima na Nyerere yaliishaje baada ya kuonyeshwa picha za waislam.

Sijui kwasababu Prof Othman alipomuuliza mwalimu swali la yeye kujibu tuhuma hukutueleza mazungumzo yaliishaje.
Tunachojua wote hao ni marehemu na kama kawaida yako hukawii kuwawekea marehemu maneno.
Jinala mtu lishapata R.I.P. Mohamed anapata cha kusema.Mohamed, wasomi huandika vitabu kuamsha fikra, hawaandiki kujibu vitabu.Inawezekana baada ya kugundua kuwa hujui Nyerere alifika lini Dar kwa mara ya kwanza hawakuona sababu ya reviewPangekuwa hapana maana usingekuwa hapa JF.Ni wapi pengine watu wamewahi kubinya hadi ukashindwa kupumua?Ni wapi pengine umewahi kukiri mapungufu?Habari mpya ni kama ile ya Nyerere kutanguliza ''mzimu'' wake Dar es Salaam mwaka 1946 halafu akaja mwenyewe mwaka 1952?
Ni ile ya Nyerere kwenda sokoni akiwa hana hela? Ni ile ya Nyerere kununuliwa sarawili pale kariakoo!JF ni kioboko au hili pia hujui? Ni wapi ambapo umewahi kuulizwa jambo au hoja ukashindwa kujibu?
Ni JF palipodhihirisha uzushi wa namba za mitihani na kuanzia siku ile hadi leo na milele madai yako kuhusu Malima kuanzisha namba za mitihani ni mwiko! umekoma1 na tumekomesha uzushi kwa vizazi vijavyo at least

Ni JF ndipo ulipoambiwa wait a minute Nyerere hakuanza siasa baada ya kuonana na Sykes, in fact alianza siasa miaka 6 kabla ya kukutana na Sykes na miaka 6 kabla hujazaliwa!

Ni JF palipoweka wazi na wewe kukiri kwa mdomo wako kuwa shirika la Marknoll lilichanga ticket ya Nyerere kwenda UNO kama walivyochanga wazee wako. Hujawahi kuulizwa kitu kama hicho Havard, Cambridge, University of Yemeni au Oxford.
Ni JF ndipo ulipokiri kwa mara ya kwanza katika miaka 15 ya uwepo wa ngano hii tamu.

Ni JF ambapo umeshindwa kuthibitisha madai yako kwa vidhibiti na kubaki kujinukuu kama ushahidi.
Pale uliposhikwa kunako ulinukuu maandishi ya Sivalon halafu ukasema umefanya utafiti.

Ni JF ambapo umeshindwa kutetea hoja za EAMWS na hilo linabaki kuwa donda kwasababu kila utakapotia mguu tutakata uthibitisho wa kina na mntiki kuhusu ushiriki wa kanisa na Nyerere.

Ni JF ambapo hukuthubutu kujibu hoja nzito na majibu yako yamekuwa kumkata kiburi kwa matusi.

Ni JF ambapo umepewa darsa la ilm ya dini kuhusu udhaifu wa kudhani Uislam ni barghashia au kanzu.

Ni JF umelazimika kuwaheshimu wapigania uhuru unaochukia majina yao.

Ni JF ambapo madai yako yamenyumbuliwa na kuonekana dhaifu hata wafuasi wako wengi wamekiri kulishwa ngano.

Ni JF ambapo mtu haonewi wala hahurumiwi, hayapendwi maandishi zinapendwa hoja.

Mohamed Said Salum Abdallah Muyukwa Semtaungo, umeshindwa kutetea hoja, umeshindwa kujibu maswali na umeonyesha upotofu wa hali ya juu. Wala hawahitajiki 20, mmoja tu anatosha.
Umeshindwa kujibu hoja kwa kichwa unakata vipande vya kitabu halafu unasema watu wenye vichwa vyao wajikusanye!!

Ungekuwa na uwezo usingekimbia maswali, usingezusha uongo na usingekiri yale yaliyowekwa bayana tena bila utafiti.
Nani atakuweza wewe bingwa wa ''inasemekana'' bingwa wa kusingizia marehemu na mtaalam wa chuki na farki.
Sheikh Mohamed, hata beberu naye ni mume kama alivyo jogoo.
Lakini unaweza kuwa mume wa mtu kutegemea na uwezo wake wa kufikiri.

Mohamed Said,hatuhitaji mume wala mke, shemeji au binamu tunahitaji ujibu hoja, maswali na utetee ngano.
Hapa hatuli ngano wala mashudu tunataka substance.

Usiughilibu umma na wewe ni tatizo kwa jamii kabla ya tatizo lenyewe.

Masalam sheikh nakutakia mchana mwema inshallah, na shughuli njema, mwenyezi mungu akujaze hekima, akuepushe na uzushi na aulinde ulimi wako inshallah. Wasalimie ndugu hapo kariakoo, nadhani joto sana sasa!

Asalaam alyakum

JF ndiyo sehemu ya kwanza ambayo wanaamini wapigania uhuru wa Tanganyika walikuwa 17 tu. Ukiwemo wewe Nguruvi3, Mag3, Mchambuzi, Yericko Nyerere,

Husda kitu kibaya sana.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed, mnakasha ulishafungwa nami niliaga. Kinachonirudisha ni kauli zako ambazo hazina chembe za uungwana.

Mimi sijui kwasababu hukuwahi kutuambia mazungumzo ya Kighoma Malima na Nyerere yaliishaje baada ya kuonyeshwa picha za waislam.

Sijui kwasababu Prof Othman alipomuuliza mwalimu swali la yeye kujibu tuhuma hukutueleza mazungumzo yaliishaje.
Tunachojua wote hao ni marehemu na kama kawaida yako hukawii kuwawekea marehemu maneno.
Jinala mtu lishapata R.I.P. Mohamed anapata cha kusema.Mohamed, wasomi huandika vitabu kuamsha fikra, hawaandiki kujibu vitabu.Inawezekana baada ya kugundua kuwa hujui Nyerere alifika lini Dar kwa mara ya kwanza hawakuona sababu ya reviewPangekuwa hapana maana usingekuwa hapa JF.Ni wapi pengine watu wamewahi kubinya hadi ukashindwa kupumua?Ni wapi pengine umewahi kukiri mapungufu?Habari mpya ni kama ile ya Nyerere kutanguliza ''mzimu'' wake Dar es Salaam mwaka 1946 halafu akaja mwenyewe mwaka 1952?
Ni ile ya Nyerere kwenda sokoni akiwa hana hela? Ni ile ya Nyerere kununuliwa sarawili pale kariakoo!JF ni kioboko au hili pia hujui? Ni wapi ambapo umewahi kuulizwa jambo au hoja ukashindwa kujibu?
Ni JF palipodhihirisha uzushi wa namba za mitihani na kuanzia siku ile hadi leo na milele madai yako kuhusu Malima kuanzisha namba za mitihani ni mwiko! umekoma1 na tumekomesha uzushi kwa vizazi vijavyo at least

Ni JF ndipo ulipoambiwa wait a minute Nyerere hakuanza siasa baada ya kuonana na Sykes, in fact alianza siasa miaka 6 kabla ya kukutana na Sykes na miaka 6 kabla hujazaliwa!

Ni JF palipoweka wazi na wewe kukiri kwa mdomo wako kuwa shirika la Marknoll lilichanga ticket ya Nyerere kwenda UNO kama walivyochanga wazee wako. Hujawahi kuulizwa kitu kama hicho Havard, Cambridge, University of Yemeni au Oxford.
Ni JF ndipo ulipokiri kwa mara ya kwanza katika miaka 15 ya uwepo wa ngano hii tamu.

Ni JF ambapo umeshindwa kuthibitisha madai yako kwa vidhibiti na kubaki kujinukuu kama ushahidi.
Pale uliposhikwa kunako ulinukuu maandishi ya Sivalon halafu ukasema umefanya utafiti.

Ni JF ambapo umeshindwa kutetea hoja za EAMWS na hilo linabaki kuwa donda kwasababu kila utakapotia mguu tutakata uthibitisho wa kina na mntiki kuhusu ushiriki wa kanisa na Nyerere.

Ni JF ambapo hukuthubutu kujibu hoja nzito na majibu yako yamekuwa kumkata kiburi kwa matusi.

Ni JF ambapo umepewa darsa la ilm ya dini kuhusu udhaifu wa kudhani Uislam ni barghashia au kanzu.

Ni JF umelazimika kuwaheshimu wapigania uhuru unaochukia majina yao.

Ni JF ambapo madai yako yamenyumbuliwa na kuonekana dhaifu hata wafuasi wako wengi wamekiri kulishwa ngano.

Ni JF ambapo mtu haonewi wala hahurumiwi, hayapendwi maandishi zinapendwa hoja.

Mohamed Said Salum Abdallah Muyukwa Semtaungo, umeshindwa kutetea hoja, umeshindwa kujibu maswali na umeonyesha upotofu wa hali ya juu. Wala hawahitajiki 20, mmoja tu anatosha.
Umeshindwa kujibu hoja kwa kichwa unakata vipande vya kitabu halafu unasema watu wenye vichwa vyao wajikusanye!!

Ungekuwa na uwezo usingekimbia maswali, usingezusha uongo na usingekiri yale yaliyowekwa bayana tena bila utafiti.
Nani atakuweza wewe bingwa wa ''inasemekana'' bingwa wa kusingizia marehemu na mtaalam wa chuki na farki.
Sheikh Mohamed, hata beberu naye ni mume kama alivyo jogoo.
Lakini unaweza kuwa mume wa mtu kutegemea na uwezo wake wa kufikiri.

Mohamed Said,hatuhitaji mume wala mke, shemeji au binamu tunahitaji ujibu hoja, maswali na utetee ngano.
Hapa hatuli ngano wala mashudu tunataka substance.

Usiughilibu umma na wewe ni tatizo kwa jamii kabla ya tatizo lenyewe.

Masalam sheikh nakutakia mchana mwema inshallah, na shughuli njema, mwenyezi mungu akujaze hekima, akuepushe na uzushi na aulinde ulimi wako inshallah. Wasalimie ndugu hapo kariakoo, nadhani joto sana sasa!

Asalaam alyakum

Debe tupu...
 
mohamed, mnakasha ulishafungwa nami niliaga. Kinachonirudisha ni kauli zako ambazo hazina chembe za uungwana.

Mimi sijui kwasababu hukuwahi kutuambia mazungumzo ya kighoma malima na nyerere yaliishaje baada ya kuonyeshwa picha za waislam.

Sijui kwasababu prof othman alipomuuliza mwalimu swali la yeye kujibu tuhuma hukutueleza mazungumzo yaliishaje.
Tunachojua wote hao ni marehemu na kama kawaida yako hukawii kuwawekea marehemu maneno.
Jinala mtu lishapata r.i.p. Mohamed anapata cha kusema.mohamed, wasomi huandika vitabu kuamsha fikra, hawaandiki kujibu vitabu.inawezekana baada ya kugundua kuwa hujui nyerere alifika lini dar kwa mara ya kwanza hawakuona sababu ya reviewpangekuwa hapana maana usingekuwa hapa jf.ni wapi pengine watu wamewahi kubinya hadi ukashindwa kupumua?ni wapi pengine umewahi kukiri mapungufu?habari mpya ni kama ile ya nyerere kutanguliza ''mzimu'' wake dar es salaam mwaka 1946 halafu akaja mwenyewe mwaka 1952?
Ni ile ya nyerere kwenda sokoni akiwa hana hela? Ni ile ya nyerere kununuliwa sarawili pale kariakoo!jf ni kioboko au hili pia hujui? Ni wapi ambapo umewahi kuulizwa jambo au hoja ukashindwa kujibu?
Ni jf palipodhihirisha uzushi wa namba za mitihani na kuanzia siku ile hadi leo na milele madai yako kuhusu malima kuanzisha namba za mitihani ni mwiko! Umekoma1 na tumekomesha uzushi kwa vizazi vijavyo at least

ni jf ndipo ulipoambiwa wait a minute nyerere hakuanza siasa baada ya kuonana na sykes, in fact alianza siasa miaka 6 kabla ya kukutana na sykes na miaka 6 kabla hujazaliwa!

Ni jf palipoweka wazi na wewe kukiri kwa mdomo wako kuwa shirika la marknoll lilichanga ticket ya nyerere kwenda uno kama walivyochanga wazee wako. Hujawahi kuulizwa kitu kama hicho havard, cambridge, university of yemeni au oxford.
Ni jf ndipo ulipokiri kwa mara ya kwanza katika miaka 15 ya uwepo wa ngano hii tamu.

Ni jf ambapo umeshindwa kuthibitisha madai yako kwa vidhibiti na kubaki kujinukuu kama ushahidi.
Pale uliposhikwa kunako ulinukuu maandishi ya sivalon halafu ukasema umefanya utafiti.

Ni jf ambapo umeshindwa kutetea hoja za eamws na hilo linabaki kuwa donda kwasababu kila utakapotia mguu tutakata uthibitisho wa kina na mntiki kuhusu ushiriki wa kanisa na nyerere.

Ni jf ambapo hukuthubutu kujibu hoja nzito na majibu yako yamekuwa kumkata kiburi kwa matusi.

Ni jf ambapo umepewa darsa la ilm ya dini kuhusu udhaifu wa kudhani uislam ni barghashia au kanzu.

Ni jf umelazimika kuwaheshimu wapigania uhuru unaochukia majina yao.

Ni jf ambapo madai yako yamenyumbuliwa na kuonekana dhaifu hata wafuasi wako wengi wamekiri kulishwa ngano.

Ni jf ambapo mtu haonewi wala hahurumiwi, hayapendwi maandishi zinapendwa hoja.

Mohamed said salum abdallah muyukwa semtaungo, umeshindwa kutetea hoja, umeshindwa kujibu maswali na umeonyesha upotofu wa hali ya juu. Wala hawahitajiki 20, mmoja tu anatosha.
Umeshindwa kujibu hoja kwa kichwa unakata vipande vya kitabu halafu unasema watu wenye vichwa vyao wajikusanye!!

Ungekuwa na uwezo usingekimbia maswali, usingezusha uongo na usingekiri yale yaliyowekwa bayana tena bila utafiti.
Nani atakuweza wewe bingwa wa ''inasemekana'' bingwa wa kusingizia marehemu na mtaalam wa chuki na farki.
Sheikh mohamed, hata beberu naye ni mume kama alivyo jogoo.
Lakini unaweza kuwa mume wa mtu kutegemea na uwezo wake wa kufikiri.

Mohamed said,hatuhitaji mume wala mke, shemeji au binamu tunahitaji ujibu hoja, maswali na utetee ngano.
Hapa hatuli ngano wala mashudu tunataka substance.

Usiughilibu umma na wewe ni tatizo kwa jamii kabla ya tatizo lenyewe.

Masalam sheikh nakutakia mchana mwema inshallah, na shughuli njema, mwenyezi mungu akujaze hekima, akuepushe na uzushi na aulinde ulimi wako inshallah. Wasalimie ndugu hapo kariakoo, nadhani joto sana sasa!

Asalaam alyakum



punguza hasira,kwa sababu mwisho wake ni khasara na majuto..

1.wapi umma ulipoghilibiwa??,,umma ukitaka kupotoshwa na kufichwa historia mama ya nchi hii,wajuzi wa mambo wakaihuisha,wewe unaita tena ghilba??ukitakaje sasa,ukweli usisemwe??

2.usiusemee umma,sema hoja zako kisha uachie umma upime na uamue,alichokifanya ndug moh said si kuulazimisha umma kuamini,la hasha,ni kuusema ukweli anaoufaham yeye kwa ushahid na tafit za uhakika,kisha akauchia umma ujionee,upime na uamue,,yeye si chanzo cha tatizo katika hili,,chanzo cha tatizo ni wale waliothubutu kuificha historia hii kwa makusudi,,
yeye yupo katika wale wenye kusimamia haki na ukweli

3.kweli kabisa na umetuthibitishia katika "ghibtah" na "hasad" wewe upo katika lile kundi la "hasad",sasa hasad haitakusaidia,,

na jf ni sehemu finyu sana ukilinganisha na umma mkubwa uliopo nje wanaoutaka kuujua ukweli na ambao wameshabahatika kuusoma ukweli ule aliouandika ndugu moh said,jf ni sehemu ndogo sana kulinganisha na population iliyopo nje inayohitaji kuufaham ukweli wako,,haya shime kwako,,

"andika chako sasa"
ikiwa wewe ni miongoni mwa wale wanaoujua ukweli..
 
Kichwa cha gramafoni kilichokwama kwenye sahani ya santuri HMV.

Kila kikifika kwenye kishimo kinakwama hakendi mbele kinajirudia hapo
hapo hadi aje mtu kukisogeza mbele...

Kichwa cha gramafoni ndiyo wewe na maswali yako yanayochusha.
Nami nikiona unachusha nakupuuza sikujibu.

Wenzako walikusanya magazeti ya Africa Events wakayachoma moto.
Hilo ndilo lilikuwa jibu lao.

Kanisa limejibu.
Au huna taarifa?

Soma tamko la Maaskofu la Xmas.
Ukiwa hukuliona jibu lao rudi hapa uniulize kwa adabu nitakupa jibu.

Nyerere ameandika hadi anakwenda hospitali akiandika...
Au hujui?

Saida Othmann Yahya (mke wa marehemu Prof. Haroub Othman) na
Prof. Issa Shivji wanaandika hivi sasa maisha ya Nyerere.

Au na hili hujui?

Chanzo cha kazi hii ya kuandika maisha ya Nyerere ni kitabu changu na
cha Ali Muhsin ''Conflict and Harmony in Zanzibar.''

Wewe huna moja ujualo katika mawanda haya.

Kuhusu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Historia...

Mie sitakupa jibu hebu wewe nenda pale kaulize kwa nini mko kimya sasa
mwaka wa 15 hamjaandika kitabu kujibu ''ngano'' za Mohamed Said.

Au ukipenda waulize mbona hamkufanya ''review'' ya kitabu chake?

Kimya chao hadi leo ndiyo jibu lao.

Sikukimbilia Marekani na Ulaya.
Vyuo Vikuu mtu hakimbilii.

Unaalikwa kwa sifa zako.
Au hili nalo hulijui?

Au we hapa JF ndiyo unaona umefika huna tena safari?
Ushatua mizigo yako.

Unataka kutamba kwa kuuliza swali JF...
Kwanza hebu jiangalie unavyoandika wewe na fananisha ninavyoandika...

Jitathmini mwenyewe.

''Paper'' nilizoandika na makala wala sijui hesabu zake.

Hakuna gazeti na jarida ambalo sijaandika kuanzia Africa Confidential hadi
The Economist.

Hakuna radio station ambayo sijafanyanayo mahojiano.
Zisizopenda kuzungumza na mimi ni hizi za hapa nyumbani.

Ni baada ya kitabu kutangazwa na ''publisher'' katika duru za kisomi na ''riviews''
kuandikwa ndipo nikaanza kutafutwa.

Sifa kubwa ya kitabu chochote cha kisomi ni kuja na habari mpya iliyokuwa haijulikani.
Habari mpya katika kitabu changu ilikuwa ''Islam and Politics in Colonial Tanganyika.''

Angalia katika ''catalogue'' hiyo ndiyo ''classification'' ya kitabu changu.

Kitabu kikapata ''reviews'' mbili katika Cambridge Journal of African History.
Ukiingia humo umefika.

Au hili pia hulijui?
Wewe ni JF, JF, JF...

Hapa nyumbani kitabu kikapewa ''serialisation'' tatu katika The East African.
Naamini juu ya hayo yote unajua hadhi ya The East African.

Zitafute hizo ''series'' utazipata ilikuwa December 1998.

Narudia tena kukuambia wewe peke yako huniwezi wewe njoo na wenzako 20
au na zaidi mimi nitakuwa peke yangu.

Sifanyi maskhara.
Mjikusanye kama mnavyojikusanya JF...

Wewe peke yako huniwezi.
Kuna mtu hapa jamvini alikuonya akakuambia, ''Huyu mume mkubwa humuwezi.''

Bado hujaamini?
Au ulidhania anakufanyia utani?

Bado unaamini John Iliffe, Jonathan Glassman, James Brenan na wengineo, wasomi
hawa mabingwa wa African History waliokifanyia ''review'' kitabu changu walikuwa
wanareview ngano?

Bado unaamini The East African ile ''serialisation,'' iliyodumu wiki tatu walikuwa waki
''serialise'' ngano?

Bado unaamini Amazon, WH Smith, Africa House (London) hawa wote waliokuwa wakiuza
kitabu changu walikuwa wakiuza unga wa ngano?

Bado unaamini Phoenix Publishers, Nairobi ambao sasa wanakwenda toleo la tatu la kitabu
changu nakala ya Kiswahili wanachapa kitabu cha ''ngano?''

Utabaki hivyo hivo na hizo chuki, kejeli, choyo na husda zako.
Kama hujui maana khasa ya ''hasad'' Ritz au Zomba watakufahamisha.

Nimerudi kukata hicho kibri chako.
Nakusihi ukae kimya sitopenda Insha Allah kusemezana na wewe tena baada ya leo.
Mzee Mohamed, ulikuwa na sababu gani kuaga hapa jamvini wakati bado unamchango? Mapovu ya nini mkuu? Nilishawahi kukupa usemi wa kwetu "Tembo ni mnyama mkubwa sana lakini hapiti akitangaza ukubwa wake". Tuachie sisi tunayemuona tembo tumsifie!
 
Mohamed, mnakasha ulishafungwa nami niliaga. Kinachonirudisha ni kauli zako ambazo hazina chembe za uungwana.

Mimi sijui kwasababu hukuwahi kutuambia mazungumzo ya Kighoma Malima na Nyerere yaliishaje baada ya kuonyeshwa picha za waislam.

Sijui kwasababu Prof Othman alipomuuliza mwalimu swali la yeye kujibu tuhuma hukutueleza mazungumzo yaliishaje.
Tunachojua wote hao ni marehemu na kama kawaida yako hukawii kuwawekea marehemu maneno.
Jinala mtu lishapata R.I.P. Mohamed anapata cha kusema.Mohamed, wasomi huandika vitabu kuamsha fikra, hawaandiki kujibu vitabu.Inawezekana baada ya kugundua kuwa hujui Nyerere alifika lini Dar kwa mara ya kwanza hawakuona sababu ya reviewPangekuwa hapana maana usingekuwa hapa JF.Ni wapi pengine watu wamewahi kubinya hadi ukashindwa kupumua?Ni wapi pengine umewahi kukiri mapungufu?Habari mpya ni kama ile ya Nyerere kutanguliza ''mzimu'' wake Dar es Salaam mwaka 1946 halafu akaja mwenyewe mwaka 1952?
Ni ile ya Nyerere kwenda sokoni akiwa hana hela? Ni ile ya Nyerere kununuliwa sarawili pale kariakoo!JF ni kioboko au hili pia hujui? Ni wapi ambapo umewahi kuulizwa jambo au hoja ukashindwa kujibu?
Ni JF palipodhihirisha uzushi wa namba za mitihani na kuanzia siku ile hadi leo na milele madai yako kuhusu Malima kuanzisha namba za mitihani ni mwiko! umekoma1 na tumekomesha uzushi kwa vizazi vijavyo at least

Ni JF ndipo ulipoambiwa wait a minute Nyerere hakuanza siasa baada ya kuonana na Sykes, in fact alianza siasa miaka 6 kabla ya kukutana na Sykes na miaka 6 kabla hujazaliwa!

Ni JF palipoweka wazi na wewe kukiri kwa mdomo wako kuwa shirika la Marknoll lilichanga ticket ya Nyerere kwenda UNO kama walivyochanga wazee wako. Hujawahi kuulizwa kitu kama hicho Havard, Cambridge, University of Yemeni au Oxford.
Ni JF ndipo ulipokiri kwa mara ya kwanza katika miaka 15 ya uwepo wa ngano hii tamu.

Ni JF ambapo umeshindwa kuthibitisha madai yako kwa vidhibiti na kubaki kujinukuu kama ushahidi.
Pale uliposhikwa kunako ulinukuu maandishi ya Sivalon halafu ukasema umefanya utafiti.

Ni JF ambapo umeshindwa kutetea hoja za EAMWS na hilo linabaki kuwa donda kwasababu kila utakapotia mguu tutakata uthibitisho wa kina na mntiki kuhusu ushiriki wa kanisa na Nyerere.

Ni JF ambapo hukuthubutu kujibu hoja nzito na majibu yako yamekuwa kumkata kiburi kwa matusi.

Ni JF ambapo umepewa darsa la ilm ya dini kuhusu udhaifu wa kudhani Uislam ni barghashia au kanzu.

Ni JF umelazimika kuwaheshimu wapigania uhuru unaochukia majina yao.

Ni JF ambapo madai yako yamenyumbuliwa na kuonekana dhaifu hata wafuasi wako wengi wamekiri kulishwa ngano.

Ni JF ambapo mtu haonewi wala hahurumiwi, hayapendwi maandishi zinapendwa hoja.

Mohamed Said Salum Abdallah Muyukwa Semtaungo, umeshindwa kutetea hoja, umeshindwa kujibu maswali na umeonyesha upotofu wa hali ya juu. Wala hawahitajiki 20, mmoja tu anatosha.
Umeshindwa kujibu hoja kwa kichwa unakata vipande vya kitabu halafu unasema watu wenye vichwa vyao wajikusanye!!

Ungekuwa na uwezo usingekimbia maswali, usingezusha uongo na usingekiri yale yaliyowekwa bayana tena bila utafiti.
Nani atakuweza wewe bingwa wa ''inasemekana'' bingwa wa kusingizia marehemu na mtaalam wa chuki na farki.
Sheikh Mohamed, hata beberu naye ni mume kama alivyo jogoo.
Lakini unaweza kuwa mume wa mtu kutegemea na uwezo wake wa kufikiri.

Mohamed Said,hatuhitaji mume wala mke, shemeji au binamu tunahitaji ujibu hoja, maswali na utetee ngano.
Hapa hatuli ngano wala mashudu tunataka substance.

Usiughilibu umma na wewe ni tatizo kwa jamii kabla ya tatizo lenyewe.

Masalam sheikh nakutakia mchana mwema inshallah, na shughuli njema, mwenyezi mungu akujaze hekima, akuepushe na uzushi na aulinde ulimi wako inshallah. Wasalimie ndugu hapo kariakoo, nadhani joto sana sasa!

Asalaam alyakum

Mkuu kwakweli inasikitisha sana ukimuona mtu mzima kama Mzee Mohamed Said halafu anakuwa muongo na tapeli wa kifikra,

Najiuliza sana, hivi huyo alipokuwa kijana alikuwaje?

Niuzushi ulioje kusema Mwalimu aliwahi kukiri/kutamka/kuandika hayo madao ya huyu MCHOCHIZI Mohamed Said?

Chakusikitisha ni kuwa ukimwambia alete ushahidi ataleta yaleyale yakufikirika aliyoyaandika yeye!
 
mzee mohamed, ulikuwa na sababu gani kuaga hapa jamvini wakati bado unamchango? Mapovu ya nini mkuu? Nilishawahi kukupa usemi wa kwetu "tembo ni mnyama mkubwa sana lakini hapiti akitangaza ukubwa wake". Tuachie sisi tunayemuona tembo tumsifie!

basi laiti mngekua mnauona ukubwa wa tembo huyu na kukiri wazi wazi kweli ni mkubwa,mngekuwa mnafanya jambo la maana sana..!
Cha kustaajabisha nyinyi ukubwa wa tembo huyu na hoja zake zote nyinyi mmekuwa mnazikejeli,kumtusi na kumrushia mawe,wengine mkionesha wazi wazi kutoka mioyoni mwenu nia ya kumuua tembo huyu ili mradi mchukue pembe zake zenye thamani,mlipoonekana kushindwa na hizo njama zenu sasa mmeishia kumpa tembo huyo sifa ambazo si zake,,

ama kwa hakika mnashangaza sana.
 
Mtaishia kutukanana tu. Hoja zimekwisha. Mzee wetu Mohamed ana akili za watu zaidi ya 20! Hatumuwezi. JF imemfikisha pabaya mzee wetu huyu. Tumwache apumzike. Arudi kwenye viwanja vyake vya kujidai ambako anasikilizwa tu bila kupingwa wala kuhojiwa.

Ninachomwomba mzee wetu Mohamed awe MTANZANIA kwanza. Halafu anaweza kuwa kitu kingine chochote. Muislam, Mmanyema, MwanaKariakoo, MwanaHistoria,....
 
Mkuu kwakweli inasikitisha sana ukimuona mtu mzima kama Mzee Mohamed Said halafu anakuwa muongo na tapeli wa kifikra,

Najiuliza sana, hivi huyo alipokuwa kijana alikuwaje?

Niuzushi ulioje kusema Mwalimu aliwahi kukiri/kutamka/kuandika hayo madao ya huyu MCHOCHIZI Mohamed Said?

Chakusikitisha ni kuwa ukimwambia alete ushahidi ataleta yaleyale yakufikirika aliyoyaandika yeye!

Wewe mbona uleti ushahidi wa waasi waliopewa vyeo na kusamehewa na Nyerere. Mkuu tutende haki tuwekee hiyo orodha juu.
 
Back
Top Bottom