Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

labda yale mgoli ya offside
mara nyingi huleta mgogoro katika uwanja
THE BIG SHOW,

Julius Kambarage Nyerere amefariki kaacha watoto saba tu. Haya hapa chini majina yao wote.

1) Andrew Nyerere

2) Anna Nyerere

3) Magige Nyerere

4) John Nyerere

5) Makongoro Nyerere

6) Madaraka Nyerere

7) Rosemary Nyerere

Yericko Nyerere siyo mtoto wa Kambarage la mtoto wa Nyerere mwingine.

Ni vizuri yeye mwenyewe ndiyo aseme ni mtoto wa Nyerere yupi.
 
Aaah, Mwenyeezi Mungu awarehemu waliotangulia, nawaona hivi, Maalim Sakina nilikuwa sitoki kwake mtaa wa Pemba wakati wa darsa la Al-Marhum Al Faqir Ahmed Sheikh, maaruf "Sheikh Ahmed Polisi" na hapo ndipo nilipoonana kwa mara ya kwanza na Alhabib Mwinyi Baraka.

Tahia Mwenyeezi Mungu amlaze pema, nakumbuka kuna siku AlMarhum Sheikh Kassim bin Juma katokea kwake pale Mchikichi, sisi tumesimama nje Mchikichi na Lumumba miongoni mwetu alikuwepo Tahia na Amne (aliyekuja kuwa mkewe Marehem Mbaraka Mwinshehe, gwiji la mziki kutokea Morogoro,) Sheikh Kassim kama kawaida yake ya utani-utani na sauti yake ya juu akasema "Tahia na Amne kama hamkutazama jinsi mnavyokuwa warefu haraha haraka, itabidi watokee kina Unju bin Unuku wengine kuja kuwaoa nyinyi, hao wote wafupi kwenu" akimaanisha sisi.

Aaah, umenikumbusha mbali Maalim Mohamed, mitaa yangu hiyo. Furaha ilioje kuwasoma watu nnaewajuwa fika.

Zomba,

Umenikumbusha mbali sana na mimi.

Mkabala wa nyumba ya akina Tahia ni nyumba ya bibi yake Sagaf.
Sagaf alikuwa umri sawa na mimi.

Palikuwa mzee mmoja akipiga pasi barazani pale katika 1960s.
Huyu mzee alikuwa rafiki sana na baba yangu toka utoto wao.

Hawa wameona kila kitu katika harakati za uhuru.

Tahia ni umri wangu pia.

Tahia ananihadithia anasema yeye hakuchaguliwa kuingia form one.

Basi siku hiyo Abdu Sykes kapita kwao kamkuta kakaa barazani akamuuliza,
''We Tahiya wenzako wako shule we unafanya nini hapa?'

Akamjibu, ''Sikuchaguliwa.''

Basi Abdu Sykes akamchukua kwenye gari yake hadi Aga Khan Girls.

Unajua Abdu Sykes alikuwa kwenye board ya Aga Khan Education Committee
toka ukoloni.

Tahiya anasema deski lililetwa lilikotolewa akawekewa darasani akaanza kusoma.
Mambo mengine yakafuata baadae.

Na Sindbad sijuia kama ulipata kumjua ni marehemu sasa.
Yeye nyumba yao illikuwa Kipata na Livingstone ilipo Keys Hotel sasa.

Hapo hapo karibu na akina Sykes nyumba yao ya Kipata.

Yeye marehemu Abdu alimpeleka kusoma Technical College baada ya
Form Four.

Marehemu Sindbad akaja kuwa fundi hodari wa ofice machines.
Sindbad ni rika langu na nimeshezanae mpira Kidonge Chekundu.

Allah alimpa umbo zito lakini akicheza centre half vizuri sana depsite
of his size.

Tahiya tukielewana sana na kustahiana sana.

Wakati nafanya utafiti wa kitabu hiki cha Abdu Sykes nilifanya mahojianonae na kisha
na mama yake mkubwa Maalim Sakina.

Alfakir Ahmed mimi pia alikuwa sheikh wangu yeye mtu wa tarika na akimuhusudu sana
Mwinyibaraka.

Ile darsa kwa Mama Nuru naijua sana.
Wakati umepita sana.

Mwinyibaraka alikuwa na Sheikh Hassan bin Amir katika ile safari ya Misri 1964 iliyoleta
mpango wa Chuo Kikuu kilichomuuma roho Nyerere.

Ah! Umenirudisha mbali sana.

Siku ya Eid saa kumi na moja tushavalia na akina Tahia wameshavalia tunatoka kuja Mnazi
Mmoja.

Karagosi kalewa tembo!
Juma Mlevi.

Huyu Juma Mlevi alikuwa katika TANU Bantu Group na alihudhuria mkutano wa Kura Tatu
Tabora 1958.

Those girls were smashing.
Mashaallah.

Nasi tumevaaa ''dandy'' si mchezo.

We where kids so innocent...

Nina paper nilitoa Kenyatta University 2006 kuhusu maisha ya Sheikh Kassim.
Insha Allah iko siku nitaibandika hapa.

Utamuona Nyerere ndani ya Sheikh Kassim.
 
quote_icon.png
By Nyambala
Nilimuuliza Mohammed Said ni kwa nini Haroub Othman aliendelea kutoa lectures kuhusu intellectualism na uongozi wa mfano wa Nyerere????? Hii ni baada ya MS kutuambia HO alikasirika sana (In a sense alianza kukosa imani na Nyerere) baada ya kujua ukweli wa historia ya uhuru wa Tanganyika kama isimuliwavyo na yeye Mohammed Said. Mfano wa lectures za HO inazozingumzia ni ile aliyoitoa October 14, University of Cape Town, South Africa – Mwalimu Julius Nyerere: An intellectual in power (Unaweza bofya juu ya hiyo title kupata ziada ya kilichosemwa). Mohammed Said hajajibu mpaka leo?
Ahsante sana Nyambala. Hii inazidi kuthibitisha kama tulivyosema huko mwanzo kwamba Mohamed Said anasubiri watu watangulie mbele ya haki halafu aanze kuwawekea maneno mdomoni ili kuipa uzito hoja yake.
Tujikumbushe kidogo kutoka kwa mohamed said.
The late Prof. Haroub Othman after reading Sheikh Ali Muhsin’s book Conflict and Harmony in Zanzibar and the writer’s book The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 -1968 The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press, London 1998 and having come across hitherto unknown information on Nyerere was devastated because he was a great admirer of Nyerere as a patriot and a nationalist . The two books had painted him differently. Prof. Haroub confronted Nyerere and told him that the allegations in those two works have tarnished his image and he advised him to respond to them. Nyerere never did
Lakini baadaye tena Mohamed Said anasema. Hapana, siyo kwamba Nyerere hakujibu, hiyo kazi ya kujibu aliachiwa Prof. Haroub Othmnan. Leo tunaona lecture aliyoitoa Prof. Horoub Othman miaka sita baada ya Baba wa Taifa, Julius K Nyerere kutangulia mbele ya haki .
Pambazuka News brings to you the first Mwalimu Nyerere Memorial Lecture delivered by Haroub Othman on 14 October 2005 at the University of Cape Town, South Africa. Pambazuka - Mwalimu Julius Nyerere: An intellectual in power
Huyu ndiye aliyepewa kazi ya kujibu kitabu cha Mohamed Said 1998. Miaka saba baadaye tunaona Lecture yake.

zomba na wenzako mnajifunza nini katika hili?
 
dah maisha yanakwenda kasi sana
vijana wa dar,wazaliwa wa dar,wakulia dar,
Lazima waijue historia ya uhuru vizuri
wengine wamekuja miaka ya 90' dar,eti nao
wajidai waijua dar na historia ya uhuru
Kiswahili hili chenyewe cha washinda
kuandika na kutamka,sembuse kuijua
historia ya uhuru?

Zomba,

Umenikumbusha mbali sana na mimi.

Mkabala wa nyumba ya akina Tahia ni nyumba ya bibi yake Sagaf.
Sagaf alikuwa umri sawa na mimi.

Palikuwa mzee mmoja akipiga pasi barazani pale katika 1960s.
Huyu mzee alikuwa rafiki sana na baba yangu toka utoto wao.

Hawa wameona kila kitu katika harakati za uhuru.

Tahia ni umri wangu pia.

Tahia ananihadithia anasema yeye hakuchaguliwa kuingia form one.

Basi siku hiyo Abdu Sykes kapita kwao kamkuta kakaa barazani akamuuliza,
''We Tahiya wenzako wako shule we unafanya nini hapa?'

Akamjibu, ''Sikuchaguliwa.''

Basi Abdu Sykes akamchukua kwenye gari yake hadi Aga Khan Girls.

Unajua Abdu Sykes alikuwa kwenye board ya Aga Khan Education Committee
toka ukoloni.

Tahiya anasema deski lililetwa lilikotolewa akawekewa darasani akaanza kusoma.
Mambo mengine yakafuta baadae.

Tahiya tukielewana sana na kustahiana sana.

Wakati nafanya utafiti wa kitabu hiki cha Abdu Sykes nilifanya mahojianonae na kisha
na mama yake mkubwa Maalim Sakina.

Alfakir Ahmed mimi pia alikuwa sheikh wangu yeye mtu wa tarika na akimuhusudu sana
Mwinyibaraka.

Ile darsa kwa Mama Nuru naijua sana.
Wakati umepita sana.

Mwinyibaraka alikuwa na Sheikh Hassan bin Amir katika ile safari ya Misri 1964 iliyoleta
mpango wa Chuo Kikuu kilichomuuma roho Nyerere.

Ah! Umenirudisha mbali sana.

Siku ya Eid saa kumi na moja tushavalia na akina Tahia wameshavalia tunatoka kuja Mnazi
Mmoja.

Karagosi kalewa tembo!
Juma Mlevi.

Huyu Juma Mlevi alikuwa katika TANU Bantu Group na alihudhuria mkutano wa Kura Tatu
Tabora 1958.

Those girls were smashing.
Mashaallah.

Nasi tumevaaa ''dandy'' si mchezo.

We where kids so innocent...

Nina paper nilitoa Kenyatta University 2006 kuhusu maisha ya Sheikh Kassim.
Insha Allah iko siku nitaibandika hapa.

Utamuona Nyerere ndani ya Sheikh Kassim.
 
Zomba,

Umenikumbusha mbali sana na mimi.

Mkabala wa nyumba ya akina Tahia ni nyumba ya bibi yake Sagaf.
Sagaf alikuwa umri sawa na mimi.

Palikuwa mzee mmoja akipiga pasi barazani pale katika 1960s.
Huyu mzee alikuwa rafiki sana na baba yangu toka utoto wao.

Hawa wameona kila kitu katika harakati za uhuru.

Tahia ni umri wangu pia.

Tahia ananihadithia anasema yeye hakuchaguliwa kuingia form one.

Basi siku hiyo Abdu Sykes kapita kwao kamkuta kakaa barazani akamuuliza,
''We Tahiya wenzako wako shule we unafanya nini hapa?'

Akamjibu, ''Sikuchaguliwa.''

Basi Abdu Sykes akamchukua kwenye gari yake hadi Aga Khan Girls.

Unajua Abdu Sykes alikuwa kwenye board ya Aga Khan Education Committee
toka ukoloni.

Tahiya anasema deski lililetwa lilikotolewa akawekewa darasani akaanza kusoma.
Mambo mengine yakafuta baadae.

Tahiya tukielewana sana na kustahiana sana.

Wakati nafanya utafiti wa kitabu hiki cha Abdu Sykes nilifanya mahojianonae na kisha
na mama yake mkubwa Maalim Sakina.

Alfakir Ahmed mimi pia alikuwa sheikh wangu yeye mtu wa tarika na akimuhusudu sana
Mwinyibaraka.

Ile darsa kwa Mama Nuru naijua sana.
Wakati umepita sana.

Mwinyibaraka alikuwa na Sheikh Hassan bin Amir katika ile safari ya Misri 1964 iliyoleta
mpango wa Chuo Kikuu kilichomuuma roho Nyerere.

Ah! Umenirudisha mbali sana.

Siku ya Eid saa kumi na moja tushavalia na akina Tahia wameshavalia tunatoka kuja Mnazi
Mmoja.

Karagosi kalewa tembo!
Juma Mlevi.

Huyu Juma Mlevi alikuwa katika TANU Bantu Group na alihudhuria mkutano wa Kura Tatu
Tabora 1958.

Those girls were smashing.
Mashaallah.

Nasi tumevaaa ''dandy'' si mchezo.

We where kids so innocent...

Nina paper nilitoa Kenyatta University 2006 kuhusu maisha ya Sheikh Kassim.
Insha Allah iko siku nitaibandika hapa.

Utamuona Nyerere ndani ya Sheikh Kassim.

Mama Nuru, Shamma na Shufaa. Aaah Sheikh Mohamed Said, unanipeleka nyumbani kabisa, hakuna ambae alikuwa hamjui mwenzake Kariakoo yetu, Kuanzia Gerezani Mpaka Kisutu mpaka Jangwani nani asiyemjuwa mwenzake? halafu hawa kina Yericko leo wanakuja humu badala ya kukaa na wapate faida wanaleta za kuleta? Namkumbuka Sharrif Saggaf na wanawe au watoto wa nduguze kina Ali "ndimu", kina Mzee Ali Awadh wa Mchikichi, "Gordon Scott", na wale mabulushi ambao baba yao alikuwa na dawa za kihindi (ayuverdic medicine) kina Marehem Shamim.

Tahiya ana uhusiano wowote na kina Tewa Saidi Tewa? kuna kijana pale kwao siku hizo alikuwa mdogo akiitwa Tewa.

Nasubiri kwa hamu kubwa habari za Nyerere ndani ya Sheikh Kassim.

Umenikumbusha Mnazi mmoja ya kweli hiyo na siku za sikukuu ya Eid. Amma kweli siku zinapita.

Turudi kwenye mada, maana hapa kina Yericko Nyerere na kikundi chake hawaambulii kitu.
 
E,


Fungua uzi mpya.
Hii mada nzuri sana.

Umekisoma kitabu cha Dk. Harith Ghassany "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru?"
Kina mengi.

Fungua uzi tumwage mchele kwenye kuku wengi.
Utastarehe na nafsi yako.

Huu uwanja ushajaa.
Mohamed Said
Wewe na Harith Ghassany ni kama magazeti ya uhuru na mzalendo. Muelekeo mmoja tu. In fact ulimsaidia kumpa story zako za uongo alizoingiza kwenye kitabu chake. Wote mna chuki kwa Nyerere, ila yeye anamchukia zaidi kwa suala la muungano. Wewe unamchukia Nyerere kwa sababu babu yako aliwekwa ndani kwa u-radical wake. Ghassany ni mwarabu koko ambaye hakupenda utawala wa kisultani kupinduliwa, na anachukia waarabu kuhusishwa na biashara ya utumwa na yeye katika ujanja wake (kama wako) ametumia kuzifanya chuki zake ziwe pia chuki za waislam. Nyie wote wawili ni wajanja wajanja wa kutumia mambo ya ukweli mengi, na kupandikiza hisia zenu hasi ndani ya hayo mambo ili hisia hizo zionekane kama sehemu ya ukweli na wakati huo huo, lengo lenu la kuigawanya jamii likifanikiwa.

Kwa hiyo mtu hawezi kutafuta kitu cha kukupinga kutoka kwenye kitabu cha Ghassany, na hali kadhalika mtu hawezi kumpinga Harith Ghassany (kama gazeti la uhuru) kwa kutumia maandiko yako Moh Said (kama gazeti la mzalendo). Ni wale wale tu...
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said
Wewe na Harith Ghassany ni kama magazeti ya uhuru na mzalendo. Muelekeo mmoja tu. In fact ulimsaidia kumpa story zako za uongo alizoingiza kwenye kitabu chake. Wote mna chuki kwa Nyerere, ila yeye anamchukia zaidi kwa suala la muungano. Wewe unamchukia Nyerere kwa sababu babu yako aliwekwa ndani kwa u-radical wake. Ghassany ni mwarabu koko ambaye hakupenda utawala wa kisultani kupinduliwa, na anachukia waarabu kuhusishwa na biashara ya utumwa na yeye katika ujanja wake (kama wako) ametumia kuzifanya chuki zake ziwe pia chuki za waislam. Nyie wote wawili ni wajanja wajanja wa kutumia mambo ya ukweli mengi, na kupandikiza hisia zenu hasi ndani ya hayo mambo ili hisia hizo zionekane kama sehemu ya ukweli na wakati huo huo, lengo lenu la kuigawanya jamii likifanikiwa.

Kwa hiyo mtu hawezi kutafuta kitu cha kukupinga kutoka kwenye kitabu cha Ghassany, na hali kadhalika mtu hawezi kumpinga Harith Ghassany (kama gazeti la uhuru) kwa kutumia maandiko yako Moh Said (kama gazeti la mzalendo). Ni wale wale tu...

Jazba za nini? Umeshaanza kuogopa mapema?
 
Mohamed Said
Wewe na Harith Ghassany ni kama magazeti ya uhuru na mzalendo. Muelekeo mmoja tu. In fact ulimsaidia kumpa story zako za uongo alizoingiza kwenye kitabu chake. Wote mna chuki kwa Nyerere, ila yeye anamchukia zaidi kwa suala la muungano. Wewe unamchukia Nyerere kwa sababu babu yako aliwekwa ndani kwa u-radical wake. Ghassany ni mwarabu koko ambaye hakupenda utawala wa kisultani kupinduliwa, na anachukia waarabu kuhusishwa na biashara ya utumwa na yeye katika ujanja wake (kama wako) ametumia kuzifanya chuki zake ziwe pia chuki za waislam. Nyie wote wawili ni wajanja wajanja wa kutumia mambo ya ukweli mengi, na kupandikiza hisia zenu hasi ndani ya hayo mambo ili hisia hizo zionekane kama sehemu ya ukweli na wakati huo huo, lengo lenu la kuigawanya jamii likifanikiwa.

Kwa hiyo mtu hawezi kutafuta kitu cha kukupinga kutoka kwenye kitabu cha Ghassany, na hali kadhalika mtu hawezi kumpinga Harith Ghassany (kama gazeti la uhuru) kwa kutumia maandiko yako Moh Said (kama gazeti la mzalendo). Ni wale wale tu...

"Mwarabu koko"

Kweli hoja zimeisha sasa hivi tusoma matusi na kejeli.
 
Last edited by a moderator:
"Mwarabu koko"

Kweli hoja zimeisha sasa hivi tusoma matusi na kejeli.
Ritz
Hebu nisahihishe kwa kunipa neno sahihi ambalo ningetumia hapo.
Mimi nafikiri halfcaste wa mzungu na mwafrika, ambaye atajitambua zaidi kuwa ni mzungu (kuliko mwafrika) ilhali huko uzunguni hakubaliki kama mzungu, huyo ni mzungu koko. The same applies kwa waarabu koko, wahindi koko. Of course kama ninakosea, nisahihishe.
 
Last edited by a moderator:
Bahati mbaya kwako kuwa sita jibu habari unazothibitishia jukwaa kuwa ni:

"Kuna wakati Nyerere alipewa sifa mitaani ya kuwa ni "mchonga",

Kitendo tu chakuwa ni habari za MITAANI kwangu kinaniondolea sifa ya kujibu!


Huwa sijibu wala kujishughulisha na habari za mitaani/vijiwe vya kahawa kama afanyavyo Mohamed Said!

Lete hoja ya msingi kwa taifa letu achana na NGANO hizo kijana!
 
Ritz
Hebu nisahihishe kwa kunipa neno sahihi ambalo ningetumia hapo.
Mimi nafikiri halfcaste wa mzungu na mwafrika, ambaye atajitambua zaidi kuwa ni mzungu (kuliko mwafrika) ilhali huko uzunguni hakubaliki kama mzungu, huyo ni mzungu koko. The same applies kwa waarabu koko, wahindi koko. Of course kama ninakosea, nisahihishe.

Pole sana. Watu kama wewe ni wakuonewa huruma.
 
Ritz
Hebu nisahihishe kwa kunipa neno sahihi ambalo ningetumia hapo.
Mimi nafikiri halfcaste wa mzungu na mwafrika, ambaye atajitambua zaidi kuwa ni mzungu (kuliko mwafrika) ilhali huko uzunguni hakubaliki kama mzungu, huyo ni mzungu koko. The same applies kwa waarabu koko, wahindi koko. Of course kama ninakosea, nisahihishe.

Nanren,

Niwe radhi inawezekana upo sahihi tunatofautiana malezi na makuzi kutoka kwenye familia zenu. Nimekuelewa wala unajakosea.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said
Wewe na Harith Ghassany ni kama magazeti ya uhuru na mzalendo. Muelekeo mmoja tu. In fact ulimsaidia kumpa story zako za uongo alizoingiza kwenye kitabu chake. Wote mna chuki kwa Nyerere, ila yeye anamchukia zaidi kwa suala la muungano. Wewe unamchukia Nyerere kwa sababu babu yako aliwekwa ndani kwa u-radical wake. Ghassany ni mwarabu koko ambaye hakupenda utawala wa kisultani kupinduliwa, na anachukia waarabu kuhusishwa na biashara ya utumwa na yeye katika ujanja wake (kama wako) ametumia kuzifanya chuki zake ziwe pia chuki za waislam. Nyie wote wawili ni wajanja wajanja wa kutumia mambo ya ukweli mengi, na kupandikiza hisia zenu hasi ndani ya hayo mambo ili hisia hizo zionekane kama sehemu ya ukweli na wakati huo huo, lengo lenu la kuigawanya jamii likifanikiwa.

Kwa hiyo mtu hawezi kutafuta kitu cha kukupinga kutoka kwenye kitabu cha Ghassany, na hali kadhalika mtu hawezi kumpinga Harith Ghassany (kama gazeti la uhuru) kwa kutumia maandiko yako Moh Said (kama gazeti la mzalendo). Ni wale wale tu...

Nashukuru sana kwakuamua kupasua jipu la Mzee Mohamed mwenye kisirani asichokijua sababu yake!

Tena washukuru serikali hii ya Kikwete (ya kikristo) inawabeba na kuwaacha waendelee kupiga umbeya usio na dawa kila kukicha!

Wanashindwa kuhimiza watoto wao waende shule lakini wanaweweseka kila uchao kudai wanaonewa, ukiwauliza wapi mnaonewa wanabaki kutoa mapovu tu bila jibu la msingi!
 
Last edited by a moderator:
Nanren,

Niwe radhi inawezekana upo sahihi tunatofautiana malezi na makuzi kutoka kwenye familia zenu. Nimekuelewa wala unajakosea.
Ritz
Sawa. Niambie basi wewe kwa kutokana na malezi/makuzi yenu mazuri, neno gani linafaa hapo kama mbadala? I'm serious.
 
Last edited by a moderator:
Ritz
Hebu nisahihishe kwa kunipa neno sahihi ambalo ningetumia hapo.
Mimi nafikiri halfcaste wa mzungu na mwafrika, ambaye atajitambua zaidi kuwa ni mzungu (kuliko mwafrika) ilhali huko uzunguni hakubaliki kama mzungu, huyo ni mzungu koko. The same applies kwa waarabu koko, wahindi koko. Of course kama ninakosea, nisahihishe.

Pata darsa kuhusu tunayofundishwa sisi, uelewe kwanini tunakushangaa na kukuonea huruma:

Qur'an 49:13
Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.
 
Bahati mbaya kwako kuwa sita jibu habari unazothibitishia jukwaa kuwa ni:

"Kuna wakati Nyerere alipewa sifa mitaani ya kuwa ni "mchonga",

Kitendo tu chakuwa ni habari za MITAANI kwangu kinaniondolea sifa ya kujibu!


Huwa sijibu wala kujishughulisha na habari za mitaani/vijiwe vya kahawa kama afanyavyo Mohamed Said!

Lete hoja ya msingi kwa taifa letu achana na NGANO hizo kijana!

Jino la pembe si dawa ya pengo.
 
Bahati mbaya kwako kuwa sita jibu habari unazothibitishia jukwaa kuwa ni:

"Kuna wakati Nyerere alipewa sifa mitaani ya kuwa ni "mchonga",

Kitendo tu chakuwa ni habari za MITAANI kwangu kinaniondolea sifa ya kujibu!


Huwa sijibu wala kujishughulisha na habari za mitaani/vijiwe vya kahawa kama afanyavyo Mohamed Said!

Lete hoja ya msingi kwa taifa letu achana na NGANO hizo kijana!

Yericko mdogo wangu,

Hebu punguza jeuri.

Nilishapata kusema humu ukumbini kuwa kwa sisi watu wa pwani
kunywa kahawa katika barza ni mila yetu kama nyie kukutana katika
sehemu za kunywa ulevi.

Unywaji kahawa kwetu ni ''art'' khasa hata vile vikombe ikiwa umenikuta
nyumbani nkakukaribisha na nikatoa na halwa...

Utapenda.
 
Back
Top Bottom