Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Zomba,

Nimewaza sana kuhusu huyu Ramadhani Ali.

Isiwe huyu Mag3 anamkusudia Ramadhani Shabani.
Manake Mag kasema mfanya biashara.

Duka la Ramadhani Shabani lilikuwa Mtaa wa Swahili
na Msimbazi kama unakwenda Morogoro Road.

Duka lake lilikuwa mkono wa kulia.

Ramadhani Shabani akikaa Upanga na aliuliwa dukani
kwake na majambazi.
Huyu nimekaa nae jirani,sidhani kama ni wa enzi hizo
 
R,

Mabucha yale yalikuwa yanavunja sheria ndogo za mji.

Kuna vyombo vinavyosimamia hizo sheria ile ilikuwa ni kujichukulia sheria mkononi,

Japo yale mauaji hata mimi siafikiani nayo ila upande wa pili hata Waislam wale walikuwa na makosa
 
Wewe ndo wale wale ambao wanawatetea wale wanaoishi kwa kutanga tanga. Mpaka juzi kikwete alipotangaza kuwatia ndani wale wote wanaojifanya kutetea maisha ya wabarbeig.
Na kama nyerere asingetumia nguvu kumobilize vijiji huduma kama Elimu ingekuaje. Msitete upuuz. Watanzania walikuwa scattered ili ujenge shule, zahanati na huduma zingine ilikuwa lazima mobilization. Eti waliliwa na simba huu ni upuuzi..

Hiyo elimu aliyoiacha iko wapi? sisi ni wa mwisho kwa elimu katika Jumuia ya Afrika Mashariki ya wakati huo, mpaka leo hii hatujawakamata, wametuacha mbali sana, ndio kwanza tunaona vyuo vikuu vipya zaidi ya 11 wakati wa Kikwete.
 
Bi Zubeda hebu na wanajamvi hebu someni hii ''excerpt'' kutoka ''Professor Mujahid...''

Prof. Malima Minister of Education


In 1987 Prof. Malima became the first Muslim to be appointed Minister of Education.

This ministry had consistently been under a Christians since independence in 1961.

There were accusations that the ministry was a Christian stronghold particularly when at one time a pastor was appointed minister to head the ministry.

When Professor Malima became minister of education he thought it was imperative that some changes be effected in the ministry to win back the confidence of Muslims.

There were accusations that the ministry was discriminating against Muslim youths barring them from higher institutions of learning and was frustrating career advancement of Muslims functionaries in the ministry.


In 1981 before Prof. Malima had cautioned the government on education of Muslim youths, ‘Warsha’ under BAKWATA had conducted a social research project, which no Muslim organisation had attempted before.

It commissioned its educationists to write a research paper to find out reasons why Muslim students were lagging behind in education.


When these findings were made public and distributed to throughout the country it came as a shock to Muslims and the government. For the first time it was revealed that there was a system in the Ministry of Education supported by Christian functionaries which was discriminatory to Muslim youths, purposely barring them from institutions of higher learning. [1]


Prof. Malima found out that professionalism and objective decision-making had long been forgotten. Examinations were marked using candidate’s actual names instead of numbers, as is the norm the world over.

This created an environment in which it was easy for Christian candidates to be favoured. Prof. Malima also found that Muslim functionaries were barred from promotions.

Prof. Malima had to rectify the discrepancies in the ministry.

First he promoted three Muslims whose promotions were long overdue after retiring three Christians whose retirement was long overdue. Prof. Malima also promoted a Muslim to the post of commissioner.

This change made the balance of distribution of top post at the ministry between Muslims and Christians to stand at 30% to 70% scales still tipping in favour of Christians.

Yet in spite of this imbalance Christians in the ministry complained that Prof. Malima’s promotions were religiously motivated.

Second he directed that examinations numbers should be used in marking examinations. After this changes the number of Muslims students admitted to secondary schools increased by 40%.


Having seen this unequal apportionment between Muslims and Christians in the ministry, Prof. wrote a confidential report to the President on the state of affairs he had found in the ministry.

In that report
[2] Prof. Malima mentioned the stagnation of Muslims in education. Prof. Malima warned that if this problem was not solved it was going to create problems to the country in the future.

Although following Prof. Malima's advice President Mwinyi had tried to clean up his office he was not utterly successful, Prof. Malima's report somehow got leaked to the press.

This letter by Prof. Malima made him a hero to his own people and a villain to the establishment and to the most fervent enemies of Islam in Tanzania.

It was obvious that Nyerere was monitoring President Mwinyi in everything he did. To be able to do what he did Nyerere had to have people deep inside President Mwinyi’s establishment.


Persecution


The Christian lobby felt doubly threatened. Already there was tension between Muslims and Christians.

With Prof. Malima heading the ministry it could not have the free hand it once enjoyed.

The press unleashed a campaign of hate and disinformation against Prof. Malima. Prof. Malima was branded a Muslim 'fundamentalist,' accused of religious intolerance and excessive partisanship.

President Mwinyi instead of directing the government to investigate the problem he referred the issue to the Party.

This issue went before the Party in Dodoma under the chairmanship of Mwalimu Nyerere for discussion.

But instead of discussing Malima's report and find solution to the Muslim stagnation, the victim and not the perpetrator of the crime was put on trial by the party.

The party did not want to discuss Prof. Malima’s report, which centred on Muslim’s stagnation.


The Christian lobby put forward a proposal that Prof. Malima be expelled from CCM.

In his defence Prof. Malima stood to what he had written in his letter to the president.

Prof. Malima’s defense was that never had Muslims questioned promotions of Christians why should the Church interfere in his appointments and his report to the president.

Strangely, Nyerere blasted those who were condemned Prof. Malima.

He told them that the Church had its own way for too long and it was high time it prepared its followers for changes.

However Prof. Malima was found to have overstepped the norms built in the ministry for many years and was therefore relieved of his post and President Mwinyi appointed Amrani Mayagila in his place.

His fellow Muslims in the party and government were terrified of Nyerere and decided to remain uncommitted to the Muslim problem, yet privately they admitted that what Prof. Malima was saying was true.

Muslims were second class citizens in their own country.

Nevertheless Nyerere who had become president behind the president ordered him removed from the Ministry of Education.

Muslims who were following Prof. Malima’s ‘trial’ could not tell whether Mayagila the new Minister of Education was a Muslim or a Christian.

It was only after a lot of enquiries that they came to know that Mayagila was after all a Muslim.

President Mwinyi succumbed to the powerful Christian lobby.

This was the first time the Church intervened openly to protest on Muslim appointments. President Mwinyi bowed under pressure and he removed Prof. Malima from the ministry.

The government and party owned media seemed to have lost allegiance to the government including loyalty to the president himself.

President Ali Hassan Mwinyi, Prof. Kighoma Malima, Fatma Said Ali, Hassan Diria and Mustapha Nyang’anyi became favourite targets of ridicule by the private tabloids.


Having realised that it was the Church’s pressure on President Mwinyi which precipitated the decision to remove Prof. Malima from the Ministry of Education, various Muslim organisations pressed on BAKWATA to prepare a memorandum to the government on education disparity between Muslims and Christians and to support Prof. Malima on the issue.

This advice was ignored by BAKWATA. Muslims were enraged by the apathy of BAKWATA and word was passed around that BAKWATA should be overthrown at whatever cost and by all means to save Muslims from perpetual bondage.

WARSHA sent a petition to the Speaker of National Assembly to look into Muslim marginalisation in education.[3]

The petition was however ignored.

Pamphlet and leaflets were distributed throughout the country calling upon Muslims to rise against the puppet leadership of BAKWATA even at the point of defying the government.

In avoiding dealing with problems affecting Muslims BAKWATA had denied its own existence and losing credibilty fast.

BAKWATA soon became emasculated failing to control events and politics involving Muslims.



[1] Muslim Writers’ Workshop, “The Importance of Establishing Islamic Seminaries,” 21 December 1981.
[2]See Kiongozi, July 15-31, 1993.
[3] Warsha ya Waandishi wa Kiislam, 18 Julai, 1991, “Hoja ya kuchunguza Dhulma Dhidi ya Waislam wa Tanzania Katika Elimu.”

Hisia tu ndo zimejaa kwenye hiyo paper

Ushahidi hakuna
 
Mkuu, umejuaje kama hisia zangu ni za kipuuzi? naomba uthibitishe maana matusi si mafundisho ya Bwana Yesu!

Upuuzi ni kufanya/kutenda yale yasiyo na mafaa kw jamii ama hata kwa mpuuzi husika,

Upuuzi sio tusi bali ni sifa ya mpuuzi.
 
Zomba,

Nimewaza sana kuhusu huyu Ramadhani Ali.

Isiwe huyu Mag3 anamkusudia Ramadhani Shabani.
Manake Mag kasema mfanya biashara.

Duka la Ramadhani Shabani lilikuwa Mtaa wa Swahili
na Msimbazi kama unakwenda Morogoro Road.

Duka lake lilikuwa mkono wa kulia.

Ramadhani Shabani akikaa Upanga na aliuliwa dukani
kwake na majambazi.

Naam, nikimfaham sana na mkabala walikuwa washindani wake kibiashara (kama hiyo yake) kina Bin Gurnah (nadhani hawa ni Wayemen wenye asili ya Kiyahudi, kwa hilo jina) ambao wapo pale pale mpaka leo hii.

Mag3 mchakachuaji tumemstukia vibaya sana jana, hana hamu.
 
Naam, nikimfaham sana na mkabala walikuwa washindani wake kibiashara (kama hiyo yake) kina Bin Gurnah (Wayemen wenye asili ya Kiyahudi) ambao wapo pale pale mpaka leo hii.

Someni ile pepa ya John inaeleza kila kitu juu ya Ramadhani Alii acheni kuweka hisia zenu.

Shehe Isaa bin Amir mmemkana kuwa hammjui, lakini katika hali ya kushangaza tena hammjui Ramadhani Alii mzaramo mfanyabiashara nguli wa enzi hizo katika viunga vya Gerezani?
 
Alikuwa akimleta Muislamu wakati wa kuchinja ok! jee, kabla ya kumwingilia Mama ako alimleta Shehe wa kumfungisha ndoa? au walifunga ndoa kwa Mkuu wa Wilaya?
Dada Zubeda, wewe uliwahi kuwa shahidi au kushuhudia mama yako akiingiliwa na baba yako? Kama uliwahi, basi hii ni sababu ya wewe kukosa adabu na kuwa akili mbovu unayoionesha hapa. Labda mzee Mohamed Saidi atusaidie kama uislam unaagiza wewe binti wa kiislam unatakiwa kumsimamia baba yako akimuingilia mama yako!
copy Mohamed Said.
 
Zomba,

Nimewaza sana kuhusu huyu Ramadhani Ali.

Isiwe huyu Mag3 anamkusudia Ramadhani Shabani.
Manake Mag kasema mfanya biashara.

Duka la Ramadhani Shabani lilikuwa Mtaa wa Swahili
na Msimbazi kama unakwenda Morogoro Road.

Duka lake lilikuwa mkono wa kulia.

Ramadhani Shabani akikaa Upanga na aliuliwa dukani
kwake na majambazi.
Sivyo ulivyo waza, Ramadhani Alii anabaki kuwa alama isiyofutika katika historia ya AA chini ya uvuli wa ukwasi wake akihudumu katika sekta ya uvuvi,

Msipindishe ukweli na kuweka hisia zenu
 
Dada Zubeda, wewe uliwahi kuwa shahidi au kushuhudia mama yako akiingiliwa na baba yako? Kama uliwahi, basi hii ni sababu ya wewe kukosa adabu na kuwa akili mbovu unayoionesha hapa. Labda mzee Mohamed Saidi atusaidie kama uislam unaagiza wewe binti wa kiislam unatakiwa kumsimamia baba yako akimuingilia mama yako!
copy Mohamed Said.

Ndugu zanguni,

Inatosha.

Tusameheane na tuendelee na mnakasha kwa amani
na heshima zetu.

Haifai sisi kutoleana maneno yasiyofaa.
 
Ndugu zanguni,

Inatosha.

Tusameheane na tuendelee na mnakasha kwa amani
na heshima zetu.

Haifai sisi kutoleana maneno yasiyofaa.
Mzee Mohamed Saidi, unaogopa kumkanya binti yako zubeda kwa maneno yake aliyoyaandika hapa? unataka kumfurahisha kwa sentensi uliyoiandika hapa? Huu ndio uislam?
 
Naam, nikimfaham sana na mkabala walikuwa washindani wake kibiashara (kama hiyo yake) kina Bin Gurnah (nadhani hawa ni Wayemen wenye asili ya Kiyahudi, kwa hilo jina) ambao wapo pale pale mpaka leo hii.

Mag3 mchakachuaji tumemstukia vibaya sana jana, hana hamu.
wacha uwongo wewe akina Gurnah hawana hata iorta ya uchembe wa kiyahudi
 
Lakini darsa umepata maana ulisema kuhusu mama'ko kuwa; "sasa sijui kama alipoteza uislam wake au vipi!"

Nina uhakika sasa umeelewa kuwa alipoteza Uislaam wake na pia umeelewa Uislaam unavyowaenzi wazazi na hiyo itakujuza msukumo aliokuwa nao Mohamed Said kuandika historia kuhusu wazee wake "waliosahauliwa" kwa makusudi kabisa.
Zomba, hayo yanamhusu yeye na imani yake sio mimi ambaye uislam haunihusu.
 
Mohamed Said, Kuna wototo wawili wa Skeys mmoja anaishi Canada na mwingine Uswisi ni watoto Ally au merehemu Abdulwahid.
 
Nashangazwa hata na mimi leo waliozibwa midomo, walionyimwa haki zao wakisema yaliyowakuta inakuwa uchochezi?

Hivi hao wahadzabe, Nyerere aliwafanyia nini kwa miaka 24 aliyokaa madarakani?

Lakini leo Kikwete kawawekea shule kila kata.

Shule za kata zisizo na waalimu. Shule za kata ambako wanafeli 60%? Ni kitu cha kujivunia kweli? What a shame!
 
wacha uwongo wewe akina Gurnah hawana hata iorta ya uchembe wa kiyahudi

Kaa kimya wewe umeulizwa ulikuwa unakaa nao wapi? walikuwa wanafanya biashara gani? huna jibu.

Kina Gurnah uliza kisutu yote wanajulikana kama wamechanganya damu usipende kudandia mambo wewe mtoto wa kiume unatupa mashaka.
 
Back
Top Bottom