Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Najua NECTA Wasingekua na jeuri ya kunipa matokeo ya ajabu mimi,,ile shule MZUMBE special school jina limenilinda,wanajua wangeaibika,hasa wakizingatia continous assessment zangu walikua nazo na taarifa zangu wanazo wakaamua kutoa kwa shingo upande,,

daima tutasimamia kwenye ukweli kuhusu hili..
Na kuingia mzumbe necta walikuwa likizo au ulitumia jina wa wgalitia?
 
Kwa ututusa wako chinga boy utakuja na single yako mpya ya MODS wana mfumo kristo! Pole sana msomi wa Mzumbe Special School na div.1.

Wajinga wajinga kama nyinyi ndio mmeuharibu sana huu mjadala,,

Ona hunijui sikujui,hata kabila langu hulijui unaropoka chinga boy,JF umeifanya kama ni kitanda chako,kwa taarifa yako mimi sitokei kusini na huwez jua uhalisia wa mtu unaechart nae ni nani hasa,,

As time goes ndivo unavozid kuuonesha ujinga wako..

MODS TUNASUBIRI ACTION JUU YA HUYU MTU,ISIISHIE KWA KINA ZOMBA TUH,JARIBU KUCHUNGUZA KAULI ZA HUYU MTU HATUA KWA HATUA KISHA MTUPE UHALALI WA KUENDELEA KUWA NDANI YA MJADALA HUU
 
Na kuingia mzumbe necta walikuwa likizo au ulitumia jina wa wgalitia?


Regional Examination mwaka wangu ule niliongoza mimi kwa taarifa yako,

Kwa ufupi niliwaweka katika wakati mgumu,ila yaliyowasibu wenzangu bado nashawishika kuna kitu kimetokea juu yao..
 
Hata wale waliokuwa wanapanga kumwondoa Nyerere kwenye uongozi wa TANU walikuwa na heshima zao pia.

Jasusi,

Ikiwa umekusudia kuwa palipatapo kuwa na masheikh waliokula
njama dhidi ya Nyerere hilo halijakuwapo.

La kama una taarifa mpya kama palikuwa na njama.
Ningefurahi kujua.

Ila ningependa tu kukutahadharisha Sheikh Mselem bin Ali ni sheikh
mwenye hadhi na ndiye anaeaminika kwa tasfir ya Qur'an ukiwatusi
Uamsho ni pamoja na yeye.

Ni sawa mimi nikaandika matusi hapa dhidi ya Kadinali Pengo.
Mimi wajibu wangu kukufahamisha huenda hukuwa unajua hadhi ya masheikh
hawa.

Uamuzi ni wako.
Kuwastahi Uamsho au kuendelea kuwatusi.
 
Sasa ukiitwa mpumbavu unabisha nini? wakati huo wewe unapata div 1. ya single digt NECTA ilikuwa imeshikwa na waislam? au wewe ulikuwa umeupeleka uislam wako likizo? Nilisha waambia matutusa kama ninyi daima hamtumii akili zenu, mnaazima akili za kichochezi za Mohamedi Saidi, baadae akili zenu zikirudi mnaanza kuweweseka mambo mliyo kuwa mnayapinga bila kutumia akili! shame on you!

Gwalihenzi,

Unanitaja vibaya.

Siwezi kuchota akili ya mtu mjinga.

Ukiona mtu kanisoma na kaathirika
jua huyo ni above average.

Ndiyo maana unaona hawanijui wala
hawajaniona ila wamenisoma.

Baada ya kunisoma wananialika kwenda
kuzungumza...all over the place.

DM ni ''A'' student.
Natafakhari kuwa kanisoma na kanielewa.

Kuwa mstaarabu na pima neno lako kabla
hujalisema.
 
Kwene gazeti moja hapa Tz jana nimeona wito wa mdahala / mhadhara / semina ilioandaliwa na jumuia fulani na wanasema watafanzia hapo UDSM na mmojawapo wa wakhutubi ni msomi wetu Mohamed Said (pengine labda si Mohamed huyuhuyu, nitaomba tuelekezwe vinginevyo). Tunaomba akiwa muungwana basi akadarasisha contents za kinachoongelewa basi kiwafikie wengi zaidi. Ni ktk muktadha huohuo, Je hiyo ndio nature ya kudarasisha huku ndiko kule anakojinasibisha ktk vyuo anavoviita vya "Merekani na Ulaya" ?

Inshallah twasubiri mrejesho/

Abdulhalim,

Nimezungumza leo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam katika semina
iliyoandaliwa na taasisi inayoitwa Wilaaya.

Nimezungumza kuhusu ''Umoja wa Watanganyika Ulivyoshinda Njama
za Wakoloni.''
 
Mkuu Ritz, heshima kwako

kwanza uelewe sina interest na mambo ya Dini kwangu hayana nafasi

Pili labda nikwambie nimemsoma Moh kwa muda Mrefu na kwenye minakasha yote inayomuhusu Moh nimeifatilia mwanzo mpaka mwisho, katika moja ya maoni yake alizungumzia kuwa nyuma kielimu kwa baadhi ya maeneo yenye Waislam. Na katika kumalizia alilifanya hilo tukio lilikuwa ni makusudi ya Serikali ama niseme ni njama za Nyerere na Kanisa lake la Kikatoliki dhidi ya Waislam

Hiyo hoja ya Mzee Moh imechukuliwa nzima nzima na Waislamu wengi na hata wasomi wakiwemo DULLAH MSAVIVOR, ukimsoma Dullah anakwambia mamake ndio alimuencourage kupiga shule na alipofika sekondary walijikuta wako (Waislamu) wachache na moja kwa moja aliingia kwenye upepo wa Mzee Moh kuwa Waislam walibaguliwa kuingia Masekondary

Hoja ni kuwa
Utafiti ufanywe wa kujua sababu hasa ni nini?
mimi nilieleza hivi
1) Utamaduni na mila unaweza kuwa ni chanzo kikubwa kwa baadhi ya maeneo kutozingatia Elimu, hili nililiona usukumani miaka ya nyuma kwa wengi kushiriki zaidi kwenye ufugaji na kilimo. pia inaweza kuwa kwenye maeneo yenye Waislamu wengi pia kutozingatia Elimu kutokana na mila ama Tamaduni zao (kuolewa mapema, elimu za unyago na jando) uvuvi?

2) Nilizungumzia Dini pia inaweza kuwa chanzo cha watu kutofatilia Elimu, hapa tatizo kubwa ni nani anatafsiri maandiko ya Dini na anayatafsiri kwa malengo gani?. Kuna imani iliyokuwepo ZAMANI kuwa Elimu ya Kizungu ni ya Kikristo hivyo kwa Muislamu kushiriki hiyo elimu ni sawa na kujisilimisha na kuwa Mmisheni, swali ni kuwa watu wa hayo maeneo wameelimishwa kuwa hilo sio sahihi? na elimu ya Kizungu haihusiani na mtu kusilimu?
Je tafsiri na Mahubiri kama ya kule Nigeria ya BOKO HARAM, yaani Elimu ya Kimagharibi ni haramu ni tafsiri sahihi ya Uislamu? je tunajuaje kama hayo yanayotafsiriwa Nigeria hayatafsiriwi kule Kilwa, Tabora, Kigoma nk?

Nadhani Mzee kama Moh angejitahidi kutumia nguvu na wakati wake kuwaelimisha Waislamu kuhusu umuhimu wa Elimu hasa katika maeneo yenye uvivu na kutozingatia elimu kama kule Kilwa nk, zaidi ya kuwaonyesha kuwa kukosa kwao elimu kumesababishwa na Nyerere na Kanisa lake la Kikatoliki

Kituko,

Inaelekea mnakasha umeingia katikati.

Tatizo la vita kati ya Waislam na Kanisa Katoliki hadi
EAMWS kupigwa marufuku na Nyerere na Sheikh Hassan
bin Amir kufukuzwa nchini ni baada ya kuthubutu kujenga
chuo kikuu mwaka 1968.

Sasa wewe unatuhimiza sisi umuhimu wa elimu kama vile
hatujuia umuhimu wake!

Tulia soma post taratibu utaelewa Insha Allah.
 
Mzee ms

Unapenda kung'ang'ania dhuluma, je? Ni dhuluma ipi mfano wewe kama wewe ulofanyiwa na mwl nyerere?
Sasa baada ya kupandikiza chuki kwenye hiyo miskiti nini basi faida uipatayo wewe kama wewe.

Mgashi,

Si swali la kukujibu mistari miwili au mitatu.
Soma ''Mwembechai Killings...'' cha Njozi kimo katika mtandao.

Utapata majibu yote humo.
 
Abdulhalim,

Nimezungumza leo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam katika semina
iliyoandaliwa na taasisi inayoitwa Wilaaya.

Nimezungumza kuhusu ''Umoja wa Watanganyika Ulivyoshinda Njama
za Wakoloni.''
Ok sawa.
Lisome vyema ombi nililoleta, kama utapenda kujibu swali zima hata kwenye uzi mwingine si vibaya.
 
Britannica encyclopedia said:
Seeking to hasten the process of emancipation, Nyerere joined the Tanganyika African Association, quickly becoming its president in 1953. In 1954 he converted the organization into the politically oriented Tanganyika African National Union (TANU). Under Nyerere's leadership the organization espoused peaceful change, social equality, and racial harmony and rejected tribalism and all forms of racial and ethnic discrimination.

African history said:
But political awareness in Tanganyika was nowhere near as advanced as with its neighbors. Nyerere, who had become president of the TAA in April 1953, realized that a focus for African nationalism amongst the population was needed. To that end, in July 1954, Nyerere converted the TAA into Tanganyika's first political party -- the Tanganyikan African National Union, or TANU.

history of nations said:
In 1954, Julius K. Nyerere, a school teacher who was then one of only two Tanganyikans educated abroad at the university level, organized a political party--the Tanganyika African National Union (TANU). TANU-supported candidates were victorious in the Legislative Council elections of September 1958 and February 1959. In December 1959, the United Kingdom agreed to the establishment of internal self-government following general elections to be held in August 1960. Nyerere was named chief minister of the subsequent government.

commonwealth of nations said:
In 1954, a schoolteacher, Julius Nyerere, founded the Tanganyikan African National Union (TANU), which promoted African nationalism and won a large public following. The colonial authorities responded with constitutional changes increasing the voice of the African population while reserving seats for minority communities. Elections were held in 1958–59 and again in 1960...the new government and the UK agreedat a constitutional conference to full independence for Tanganyika in December 1961.

wikipedia said:
In 1954, Julius Nyerere, a school teacher who was then one of only two Tanganyikans educated to university level, organized a political party-the Tanganyika African National Union (TANU). On December 9, 1961, Tanganika became an autonomous Commonwealth realm, and Nyerere became Prime Minister, under a new constitution. On December 9, 1962, a republican constitution was implemented with Mwalimu Julius Kambarage Nyerere as Tanganyika's first president.

juliusnyerere.info said:
On his return to Tanganyika, Nyerere took a position teaching History, English, and Kiswahili at St. Francis' College, near Dar es Salaam. It is at St. Francis' College that he founded TANU. His political activities attracted the attention of the colonial authorities, and he was forced to make a choice between his political activities and teaching.

biography.com said:
Tanzanian statesman and president (1962–85), born in Butiama, N Tanzania (formerly Tanganyika). He became a teacher at Makerere, then studied at Edinburgh. He reorganized the nationalists into the Tanganyika African National Union (1954), of which he became president, and in 1960 became chief minister. He was premier when Tanganyika was granted internal self-government (1961), and was made president on independence (1962). In 1964 he negotiated the union of Tanganyika and Zanzibar as Tanzania. He led his country on a path of Socialism and self-reliance, and he retired in 1985
1101640313_400.jpg

Julius Nyerere | Mar. 13, 1964 - Leader and thinker

On returning to Tanganyika, Nyerere was forced by the colonial authorities to choose between politics and teaching. He was reported as saying he was a schoolmaster by choice and a politician by accident. Working to bring a number of different nationalist factions into one grouping, he achieved this in 1954 with the formation of the Tanganyika African National Union.
newyorktimes said:
Mwalimu Nyerere guided what had been the British Trust Territory of Tanganyika into sovereignty in 1961, he was the youngest of the continent's triumphant nationalists, a group that included Kwame Nkrumah of Ghana, Jomo Kenyatta of Kenya, Kenneth Kaunda of Zambia and Felix Houphouet-Boigny of Ivory Coast.
Abayomi Azikiwe: pioneers of African Liberation said:
Nyerere was born in Butiama near Lake Victoria on April 13, 1922. Trained as a schoolteacher, he became involved in the independence movement during the 1950s and later headed the Tanzania African National Union, which transformed into the Chama Cha Mapinduzi (CCM) in the late 1970s. He was the contemporary of such other liberation movement leaders as Kwame Nkrumah of Ghana, Sekou Toure of Guinea, Gamal Abdel Nassar of Egypt, Nnamdi Azikiwe of Nigeria, Patrice Lumumba of Congo, Jomo Kenyatta of Kenya, Amilcar Cabral of Guinea-Bissau, Eduardo Monlande of Mozambique, Kenneth Kuanda of Zambia, among many others.
Hapa Mohamed Said, Ritz, zomba etc, Mshume Kiyate na Abdulwahid Sykes wataingiaje?
anc.org.za said:
On June 26, 1959, Mr. Nyerere, then President of the Tanganyika African National Union (TANU) and Prime Minister of Tanganyika, was the principal speaker - along with Father Trevor Huddleston - at a meeting in London which launched the Boycott Movement. (It was re-named Anti-Apartheid Movement in 1960.) Mr. Nyerere became President of Tanganyika (later Tanzania) when it attained independence in 1960. Under his leadership, Tanzania provided moral, political and material assistance to African liberation movements. It hosted the African Liberation Committee from its inception in 1963.
Mohamed Said anausukuma ukuta wa historia na wako wanaoamini kafanya kazi kubwa ingawa ukuta uko umesimama pale pale...miaka 15 anahubiri umbea na chuki lakini historia iko pale pale, ameandika vitabu na vitabu lakini historia iko pale pale, amezunguka dunia akijaribu kuipotosha lakini iko historia pale pale...ila Tanzania kaweza kuwateka wenye uelewa finyu, wanaoitikia hewala kila ngano anayomwaga bila kuhoji, bila kushtuka...wanameza tu bila kutafuna, masikini wa Mungu.
 
Matokeo ya mfumo kristo yameanza kuzaa matunda ya machafuko nchini. Pengine kitu kimoja ambacho Nyerere alisahau ni kuwa Waislam hawapumbazika milele. Leo hii maaskofu wamecharuka kwa sababu ya kifo cha padri mmoja Zanzibar. Lakini Masheikh wa kiislam wameuwawa bila sababu na watu wenye kujulikana kwa majina,na nyadhifa zao,lakini hatua hazikuchukuliwa. Waislam waliuwawa pale Mwebechai kwa maelekezo ya Paroko Lwambano!

Hiki wanachofanya akina Pengo ni dalili tosha kuwa ni panic,kuona mfumo kristo unapoteza mwelekeo. Nani asiyejua hujuma zinazofanywa kuangamiza shule za kata ili wanafunzi wengi wasipate nafasi ya kuendelea na masomo na kuzipaisha shule za kikristo na hatimaye kuendeleza mfumo kristo.
wewe akili yako hazijakomaa, tatizo shule hamtaki kwenda mnalaani mfumo kristo,wapo waislamu waelewa sana tena akili yao zimetukuka, waktoliki ukienda mikoa ya pwani ambako waislamu ni weng wamejenga huduma za afya, waislamu wanatibiwa huko na wake zao wanajifungua salama huko, KKKT wamejenga KCMC pamoja na vyuo mbalimbali dini zote wananufaika. Rais,makamu wa rais, rais wa zanzibar na serikali yake waislamu.je mnataka nin? Nenden shule mkaelimike mjue dunia ilivyo. Haya hiz nch za kiislamu yenye machafuko kuna mfumo kristo. Tunaomba aman jaman kuuana sio tabia yet watanzania. Din tumeletewa kwa aman tuende nazo kwa aman.
 
1101640313_400.jpg

Julius Nyerere | Mar. 13, 1964 - Leader and thinker




Hapa Mohamed Said, Ritz, zomba etc, Mshume Kiyate na Abdulwahid Sykes wataingiaje?
Mohamed Said anausukuma ukuta wa historia na wako wanaoamini kafanya kazi kubwa ingawa ukuta uko umesimama pale pale...miaka 15 anahubiri umbea na chuki lakini historia iko pale pale, ameandika vitabu na vitabu lakini historia iko pale pale, amezunguka dunia akijaribu kuipotosha lakini iko historia pale pale...ila Tanzania kaweza kuwateka wenye uelewa finyu, wanaoitikia hewala kila ngano anayomwaga bila kuhoji, bila kushtuka...wanameza tu bila kutafuna, masikini wa Mungu.

Mag3,

Hakuna anayepinga Nyerere kuwa huko wala hakuna wa kumtoa huko alichofanya Mohamed Said kaaandika kitabu muhimu sana kwa vizazi vijavyo.

Maisha na Nyakati za "Abdulwahid Skeys."

Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza Katika Tanganyika.

"Uongo, kama vile nyasi juu ya maji huelea; Atafutae lulu hana budi kupiga mbizi." John Dryden
 
Last edited by a moderator:
1101640313_400.jpg

Julius Nyerere | Mar. 13, 1964 - Leader and thinker




Hapa Mohamed Said, Ritz, zomba etc, Mshume Kiyate na Abdulwahid Sykes wataingiaje?
Mohamed Said anausukuma ukuta wa historia na wako wanaoamini kafanya kazi kubwa ingawa ukuta uko umesimama pale pale...miaka 15 anahubiri umbea na chuki lakini historia iko pale pale, ameandika vitabu na vitabu lakini historia iko pale pale, amezunguka dunia akijaribu kuipotosha lakini iko historia pale pale...ila Tanzania kaweza kuwateka wenye uelewa finyu, wanaoitikia hewala kila ngano anayomwaga bila kuhoji, bila kushtuka...wanameza tu bila kutafuna, masikini wa Mungu.

Mag3,

Nakushukuru kwa taarifa hizi.

Ninachotaka uzingatie ni hili.

Hayo yote yaloandikwa hapo ndiyo yakijulikana siku zote.

Sasa mimi nilipokuja na kitabu changu ndipo ikajulikana kuwa
kumbe ile haikuwa historia yote.

Yapo mengine ambayo hayakuwa yamewekwa wazi na khasa
nafasi ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Wasomi siku zote hupenda kupata tafiti mpya.

Kitabu changu kilikidhi haja ya utafiti mpya na hapo ndipo ikawa
sasa Abdulwahid anaingia na ukimuingiza yeye inabidi umtie na
baba yake na historia ihame 1954 ianze 1929 Kleist alipoasisi AA.

Historia irudi nyuma 1933 pale Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika
ilipoasisiwa na viongozi walewale waliosisi African Association.

Kwa mwanafunzi yoyte wa historia hapa atajiuliza maswali mengi tu.

Kwa ufupi ndiyo unaona sasa kitabu kikapata umaarufu na ''reviews''
hadi katika Cambridge Journal of African History.

TANU haukuasisiwa St. Francis College kama ilivyoelezwa hapo juu.
Huo ni muhali.

Ikiwa unataka kuamini kuwa Nyerere kaja Dar es Salaam mgeni mno
kawa na fedha na ofisi na watu wa kuwasemeza na akaunda TANU
mimi sina uwezo wa kubadili fikra zako.

Lakini kaa ukijua kuwa hata kama Nyerere angetaka kuanzisha TANU
nyumbani kwao Musoma au Butiama asingeweza.

Dossa na Abdu walifilisika kwa ajili ya TANU na harakati za kudai uhuru.

Chama hakiasisiwi kwa siku mbili.
Kuasisi chama ni mchakato mrefu.

Ilichukua robo karne kuitoa African Association hadi kufikia TANU.

Soma hapa chini umsikie Kleist anasema nini kuhusu harakati zile:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"][/TD]
[TD][TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"] Abdulwahid now 30 years old, had accomplished the ambition of his lifetime, an ambition which had originated from his late father, who 25 years before had predicted a continuous struggle between the Africans of Tanganyika and the colonial state.

Kleist Sykes had foretold the role of the next generation.

In a letter he wrote in 1933 to Mzee bin Sudi, then president of the African Association, Kleist at the tender age of twenty-nine years had this to write:
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 59"][/TD]
[TD="width: 601, colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="colspan: 2"] ''Let us struggle with all our hearts towards
the path of civilization just like other tribes
are doing.

It does not matter if we do not accomplish
everything.

Those who will come after us will finish the rest.'' [1]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[1] See Buruku, op. cit. p. 105.


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Msome: Duverger, Maurice, Political Parties: Their Organisation
and Activity in the Modern State,
John Wiley and Sons, New York,
1963
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hizo taarifa ulizobandika hebu fananisha na haya nilokuwekea kutoka kwa
''wenyewe'' walioasisi TAA na TANU kisha jisikize wewe mwenyewe.

Wajuzi wa historia ya Afrika waliposoma haya hawakustahamili...
Nilikuwa nimekuja na mambo mapya kabisa.

Walinitafuta.
 
Wajinga wajinga kama nyinyi ndio mmeuharibu sana huu mjadala,,

Ona hunijui sikujui,hata kabila langu hulijui unaropoka chinga boy,JF umeifanya kama ni kitanda chako,kwa taarifa yako mimi sitokei kusini na huwez jua uhalisia wa mtu unaechart nae ni nani hasa,,

As time goes ndivo unavozid kuuonesha ujinga wako..

MODS TUNASUBIRI ACTION JUU YA HUYU MTU,ISIISHIE KWA KINA ZOMBA TUH,JARIBU KUCHUNGUZA KAULI ZA HUYU MTU HATUA KWA HATUA KISHA MTUPE UHALALI WA KUENDELEA KUWA NDANI YA MJADALA HUU
Dullah, mbona untokwa mapovu wakati moto umeuwasha mwenyewe? kwanini unashindwa kujibu maswali rahisi tu yanayotokana na maneno yako mwenyewe? Basi bora nikukumbushe ututusa wako ulipoanzia. Ulikuja na mkwala wako wa kipumbavu huu hapa;
Mama yangu nakumbuka wakati nipo shule ya msingi,alikua ananihusia mara kwa mara,Dullah hakikisha unaisoma vema na kujitahid kuihifadhi na kuilewa vyema Qur an kwani ndio msingi wa maisha yako na chakula cha ubongo wako,hata siku moja usizembee kwenda madrasa kujifunza,huku akiwa ananisimamia katika masomo yangu ya shule ya msingi kimasikini katika hizi ST KANUMBA,,shule zetu hizi walalahoi,,

Alikua ananiambia jitahid pia huko shule kuzingatia masomo kwani ukishindwa hapo mimi sina uwezo wa kukupeleka Private school,na alikua ananiambia Dawa ya hiyo hali yako ni kupiga shule na kuchimba maradufu ya wenzako,niliyafanyia kazi kweli kweli,nakumbuka Mtihani wa kumaliza Darasa la saba,hesabu nilipiga 50/50,lugha nikapiga 48/50,Maarifa ya jamii nikapiga 46/50 na nikachaguliwa kwenda Mzumbe high school(Special schoool),,


Kazi sasa ilikua mara baada ya kufika mzumbe high school enzi hizo kile chuo kikuu cha mzumbe kikitambuliwa kwa jina la IDM-MZUMBE,,


Bahati pale mzumbe high school kuna msikit uliojengwa karibu na shule na upo maeneo ya shule,nilishangazwa sana kipindi tunafika pale,ile ni shule ya serikali lakini idadi ya waislam ilikua ni ya kuhesabika,katika wanafunzi tulioripoti form one kwa idadi ya 105 waislam tulikua hatufiki hata 20,na ukiangalia kwa undani hata hao wakristo tulioripoti nao si kwamba walikua imara kias cha kusema walistahiki sana kuwepo pale,


Tulichokawa tunafanya sisi ni kuvaa vipedo kama wanavosema na kupiga kitabu kwa kwenda mbele,tuliwaprove wrong hasa katika National results,tukaambiana jaman mnajua hawa siku zote wanatusemanga ya kwamba sisi si chochote si lolote,kwaiyo tunawathibitishie,

National results zikija ni mwendo wa Div one tuh za single digit,div1 point 7,point 8,poit 9 na vipedo vyetu,

Hadi kuna kipindi wakristo wakaanza zengwe ya kwamba ooooh waislam wanashinda sana msikitini,hawafanyi kazi za shule,hawaudhurii roll call etc,mkuu wa shule Mzee R.J Mwasha akawaambia as long as hao jamaa wananipa matokeo mazuri mimi sion umuhim wa allegations zenu,ikawa kila mwaka ukifika tunaambukizana ile hali na hadi leo tumeuacha utamaduni huo katika shule kama ile,,

Sio kweli kwamba waislam hawazingatii shule,yapo mengi sana watu tunafanyiwa na tumefanyiwa,tunazungumza tunazungumza kwa mantiki ya kukemea na kujenga tanzania bora kwa kizazi kijacho,sasa kama watu hawataki ukweli usemwe ni juu yao..

Ukweli utasemwa tuh..

Kipenzi chako Zomba akakuwekea "Like" ya nguvu. Lakini watu wenye busara zao waliokuwa wanafuatilia makelele yako huko nyuma wakawa na mchango huu hapa;
Hapo Mfumo kristo katika NECTA ulikuwa haufanyi kazi?
Huu ni ushahidi tosha kuwa mafanikio yako yalitokana na kujituma kwako, Huo uchache wa Waislamu ulioukuta Sekondary ulisababishwa na kutojituma kwao tofauti na wewe ulivyokuwa unajituma,
na labda nikwambie tu hilo halikuwa kwa Waislamu tu bali hata Wakristo liliwaathiri, miaka niliyokuwa na Nasoma kulikuwa na Wakristu wachache sana wa kabila la Kigogo, Wasumbwa, Wasukuma, japo yalikuwa ni makabila yenye Wakristo wengi lakini walikuwa ni wachache sana mashuleni na wala hapakuwa na hila ya kuwabeba kuwapelekwa sekondary bila kujituma kwao., na wengi mazingira na culture ndio zilikuwa zinawaathiri same na hayo yanayotokea Lindi na kilwa sasa

Tuna tatizo la Kitamaduni ambalo Waislam wanalinasibisha na DIni, kama maeneo yenye Waislamu wengi hayana maendeleo ya Kielimu basi wajaribu kuangalia ni nini kinachosababisha hilo, ni dini ama ni utamaduni? kuliko kuweka dhana ya uonevu

Wewe kwakuwa huwa unaazimwa akili na Mohamedi Saidi, ukaja na upuuzi huu hapa;
My point is..

TULIOKAWA TUNAFANYA JUHUDI BINAFSI TULIKUWA WENGI,TULIKUWA TUNAENDA MADRASA NA KUJIBIDIISHA SANA WITH SECULAR EDUCATION,KWA KUWA TULIKUWA TUNAJUA KWA MASKINI KAMA SISI UKIACHILIA MBALI UISLAM WETU,SILAHA YETU ILIKUWA NI KUPIGA KITABU NA KUWA NA MATOKEO YA UHAKIKA,CHA AJABU TULIOFANIKIWA TUKAJIKUTA NI WACHACHE,TUKAJIULIZA SANA,NI KWA NINI??

MOHAMED SAID ANATUPA MAJIBU MURUA KABISA DHIDI YA YALE MASWALI YETU..

Hilo la utamaduni wa sehemu nakubaliana nawewe moja kwa moja,,

Ila hoja yangu kuu ni kwamba tuliokawa tuna juhudi tulikuwa wengi sana,lakini mwishon tulijikuta tuliosonga mbele sa safari tulikuwa wachache sana kupitiliza..
Kwania njema kabisa mimi nilikukumbusha kwamba hukuwa na msimamo thabiti kwenye jambo unalolitetea kuhusu mfumo hisia (mfumo kristo), ukaja na mitusi yako kwa kiingereza cha kuungaunga;
My alma mater was books,wiseful discussions, a good library.... I could spend the rest of my life reading, just satisfying my curiosity,,

And not wasting my time talking with Ridiculous People like you..

wewe si hutumii akili katika kufikiri?

utaelewa vipi mantiki yangu,mimi nishakupuuza tokea mda mrefu sana..

nakukanyaga kanyaga tuh kama makubazi ya kwendea msalani kwa hoja..

Mwishoni maumivi yakakuzidi kichwani, ukasahau kabisa kwamba wewe ni tutusa ukaja na ujinga wa kutisha kama hivi;
Najua NECTA Wasingekua na jeuri ya kunipa matokeo ya ajabu mimi,,ile shule MZUMBE special school jina limenilinda,wanajua wangeaibika,hasa wakizingatia continous assessment zangu walikua nazo na taarifa zangu wanazo wakaamua kutoa kwa shingo upande,,

daima tutasimamia kwenye ukweli kuhusu hili..
Bwana Dullah badala ya kujibu maswali rahisi tu kwamba wakati wewe muislam safi unaedai mfumo kristo unawaumiza waislam inakuaje wewe unafanikiwa kwenye mfumo huohuo, unakuja na makelele ya hovyo na kuwaomba MODS wawashughulikie wanao kuuliza maswali!! kweli huu ni uungwana? ni uislam gani huu bwana Dullah?
 
Mag3,

Nakushukuru kwa taarifa hizi.

Niachotaka uzingatie ni hili.

Hayo yote yaloandikwa hapo ndiyo yakijulikana siku zote.

Sasa mimi nilipokuja na kitabu changu ndipo ikajulikana kuwa
kumbe ile haikuwa historia yote.

Yapo mengine ambayo hayakuwa yamewekwa wazi na khasa
nafasi ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Wasomi siku zote hupenda kupata tafiti mpya.

Kitabu changu kilikidhi haja ya utafiti mpya na hapo ndipo ikawa
sasa Abdulwahid anaingia na ukimuingiza yeye inabidi umtie na
baba yake na historia ihame 1954 ianze 1929 Kleist alipoasisi AA.

Historia irudi nyuma 1933 pale Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika
ilipoasisiwa na viongozi walewale waliosisi African Association.

Kwa mwanafunzi yoyte wa historia hapa atajiuliza maswali mengi tu.

Kwa ufupi ndiyo unaona sasa kitabu kikapata umaarufu na ''reviews''
hadi katika Cambridge Journal of African History.

TANU haukuasisiwa St. Francis College.
Huo ni muhali.

Ikiwa unataka kuamini kuwa Nyerere kaja Dar es Salaam mgeni mno
kawa na fedha na ofisi na watu wa kuwasemeza na akaunda TANU
mimi sina uwezo wa kubadili fikra zako.

Lakini kaa ukijua kuwa hata kama Nyerere angetaka kuanzisha TANU
nyumbani kwao Musoma au Butiama asingeweza.

Dossa na Abdu walifilisika kwa ajili ya TANU na harakati za kudai uhuru.

Chama hakiasisiwa kwa siku mbili.
Kuasisi chama ni mchakato mrefu.

Ilichukua robo karne kuitoa African Association hadi kufikia TANU.

Soma hapa chini umsikie Kleist anasema nini kuhusu harakati zile:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"] Abdulwahid now 30 years old, had accomplished the ambition of his lifetime, an ambition which had originated from his late father, who 25 years before had predicted a continuous struggle between the Africans of Tanganyika and the colonial state.

Kleist Sykes had foretold the role of the next generation.

In a letter he wrote in 1933 to Mzee bin Sudi, then president of the African Association, Kleist at the tender age of twenty-nine years had this to write:

[/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 59"][/TD]
[TD="width: 601, colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD="width: 601, colspan: 2"] ''Let us struggle with all our hearts towards
the path of civilization just like other tribes
are doing.

It does not matter if we do not accomplish
everything.

Those who will come after us will finish the rest.'' [1]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[1] See Buruku, op. cit. p. 105.


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Msome: Duverger, Maurice, Political Parties: Their Organisation
and Activity in the Modern State,
John Wiley and Sons, New York,
1963
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hizo taarifa ulizobandika hebu fananisha na haya nilokuwekea kutoka kwe ''wenyewe''
walioasisi TAA na TANU kisha jisikize wewe mwenyewe.

Wajuzi wa historia ya Afrika waliposoma haya hawakustahamili...
Nilikuwa nimekuja na mambo mapya kabisa.

Walinitafuta.

Mohamed Said,

Unafundisha hili darsa la historia ya Tanganyika kwa ustadi mkubwa mpaka mtu wa darsa la chini kabisa anakuelewa.

Tunaendelea kukusoma...
 
Kituko,

Kwanza unatakiwa hujue Uislam na ujinga ni vitu viwili tofauti, Surah ya kwanza kwenye Quran tuaambiwa IQRA.

"Iqra bismi rabbikalla dhi khalaq. Khalaqal insana min alaq. Iqra WA rabbukal akram. Alladhi 'allama bil qalam. 'Allamal insana malam ya'lam, "

which means
"Read in the name of your Lord who created, created man from a clot. Read, for your Lord is most Generous, Who teaches by means of the pen, teaches man what he does not know." (96: 1-5).

Usiufananishe Uislam na matukio ya Boko Haram, labda na mimi nikuulize Askofu Kibwetere alikuwa anafanya mafundisho ya Ukirsto, hebu wapitie hawa wasomi wa Kiislam hapa chini halafu ujiulize Uislam na kusoma huna uhusiano gani.

Astronomers and astrophysicists



Chemists and alchemists

Further information: Alchemy (Islam)


Economists and social scientists

Further information: Islamic sociology and Islamic economics in the world
See also: List of Muslim historians and Historiography of early Islam


Nimekusoma na nimekuelewa, lakini kuna tofauti kubwa sana kati ya Uislam na Uarabu na pia kuna Tofauti kubwa sana kati ya Ukristo na Uzungu

sidhani hao uliowaweka hapo wameachieve hayo kwa sababu ya Uislamu wao

unaweza amini kuwa Uislam ndio uliyoua hiyo sayansi ya Uarabuni?
 
Back
Top Bottom