Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mzee Said hakuna hata mahali hata pamoja ambapo miye naleta viroja. Viroja ninavyoona ni vile vya kwako. Unazungumza kama unataka utambulike kwa utafiti ulioufanya. Baati mbaya sana wenzako wakikuuliza kuhusu "utafiti" huo unaruka. Unatoa madai tunakuuliza utujuze unakwepa; una kile ambacho naweza kukiita ni intellectual arrogance ya kuamini kuwa ulichosema wewe ni neno lisiloulizwa, lisilohojiwa, na lisilopingwa. Umejiaminishha kichwani mwako kuwa ulicohsema ni 'kweli' na kuwa ni kweli si kwa sababu ya ushahidi uliopo bali ni kwlei kwa sababu wewe umesema. Hivyo, watu hawahitaji kukuulizwa, hawahitaji kufafanuliwa, na hawahitaji kukusahihisha. Unaamini kuwa ukikubali kusahihishwa au kusahihisha histohisia yako au lugha unayotumia basi unajidhalilisha.

Mchango wako ni mkubwa sana katika kuelewa kwa kiasi harakati za Uhuru; kwa kweli miye nimekipenda kitabu chako (na nimekisoma) kwa sababu moja kubwa. Kinathibitisha kuwa Nyerere ndiye alikuwa kinara wa harakati za Uhuru. Mashujaa wengine wote ambao unawataja walimzunguka shujaa huyu.
Wewe Mzee unataka kutudanganya kweupe!.Huu mjadala umekuwa mrefu kutokana na wewe kurudia maswali na Mohammed kujaribu kujibu kila kitu na kukitolea ufafanuzi.Bado wewe unarudia suala hilo hilo kuwa anakwepa kujibu.
Ungekuwa unabishana na mimi
 
Ami,

Ahsante sana ndugu yangu.

Ngoja nikuongezee.

Abdu Sykes alikuwa na sahib wake Ahmed Rashad Ali.
Huyu ni ndugu yake Prince Sudi kwa mama mmoja.

Babu yake Ahmed Rashad alipata kuwa waziri katika serikali ya Sultan katika 1800s.

Nimemueleza Mzee Rashad katika kitabu changu tafasiri ya Kiswahili.

Rashad Ali na Abdu na Abdu Sykes wamejuana 1939 paleArab Association na nyumba
hii ipo na nembo yake hadi leo.

Ukiwa Dar iangalie Mtaa wa Jamuhuri na Chagga iko kwenye kona.

Ahmed Rashad wakati wa kudai uhuru alikuwa mtangazaji maarufu Radio Free Afrika
Cairo.

Rashad alikuwa akimwambia Abdu kwa nini Nyerere anasema yeye ndiye aliyeasisi
TANU ilhali sote tunajua TANU is your baby na we uko kimya.

Abdu alikuwa akijibu kumwambia Rashad ikiwa Nyerere anataka kuchukua credit ya
kuunda TANU mwacheni.

Na Abdu mpaka anaingia kaburini hakusikika hata akisema kuwa juhudi zakupata umoja
wa Waafrika zilianzwa na baba yake Kleist 1929 na yeye akaziendeleza hadi kuunda TANU
1954.

Mwaka 1950 Abdu alipokwenda kukutana na uongozi wa KAU Nairobi ukiongozwa na Jomo
Kenyatta Rashad alikuwapo.

Nina mengi sana ndugu yangu.
Namshukuru Allah kwa kunijalia hidaya hii.

Mohamed Said,

Kuna watu wamekuja Dar es Salaam miaka ya 1960 haya mambo watayajua wapi.

Ukimueleza habari za marafiki zake Abdulwahid Sykes kina Kitwana Lunga, Said Ali Maswanya, Ally Said, watakuambia ngano.
 
Wewe Mzee unataka kutudanganya kweupe!.Huu mjadala umekuwa mrefu kutokana na wewe kurudia maswali na Mohammed kujaribu kujibu kila kitu na kukitolea ufafanuzi.Bado wewe unarudia suala hilo hilo kuwa anakwepa kujibu.
Ungekuwa unabishana na mimi

Huyo mzee sisi tushamuwia radhi na kumpuuza tokea mda mrefu sana..

Mbaya zaidi ana kuja kwa style ya mbuni ya kuficha kichwa huku mwili wake wote kauacha wazi,saiz tunachofanya ni kuendelea kumpuuza tuh..
 
Wewe Mzee unataka kutudanganya kweupe!.Huu mjadala umekuwa mrefu kutokana na wewe kurudia maswali na Mohammed kujaribu kujibu kila kitu na kukitolea ufafanuzi.Bado wewe unarudia suala hilo hilo kuwa anakwepa kujibu.
Ungekuwa unabishana na mimi
aisee nimeamini ujinga ni utumwa.
 
Hata waziri/naibu wa elimu/wakurugenzi wote baraza la mitihani/necta/watungaji/wasahihishaji mitihani wote wangekuwa ni waislam, bado waislam mngeendelea kulalama kuna mfumo kristo. Mkristo hana sababu ya kulalamikia NECTA ukizingatia mitihani ipo pale karibu mwaka mzima baada ya kusahihishwa...kama umeonewa ni suala la kuappeal tu...
Waislam wa nchi hii nendeni shule acheni kulalama,hamuwezi kupewa nyadhifa mnazozitaka kama mtaendelea kuishia darasa la pili C,somesheni watoto wenu katika shule sahihi ambazo zina walimu waukweli ili baadae waje kuuokoa uislam kwa hoja za msingi wasije wakaja kuwa kama nyie
 
Waislam wa nchi hii nendeni shule acheni kulalama,hamuwezi kupewa nyadhifa mnazozitaka kama mtaendelea kuishia darasa la pili C,somesheni watoto wenu katika shule sahihi ambazo zina walimu waukweli ili baadae waje kuuokoa uislam kwa hoja za msingi wasije wakaja kuwa kama nyie

Umepotea njia..
 
Na zaidi kumwekea Nyerere maneno kama yale ya hotuba ya kuaga ambayo Mohamed anasema Nyerere alitamka kuwa hamjui Abdul Sykes. Alipotakiwa kuweka ushahidi Mohamed kageuza kibao kutaka ushahidi wa video hata wa maandishi hautaki. Nilidhani akiwa mtafiti hapa ndipo alipotakiwa kuthibitisha lakini ameshindwa! failure.

Ameshindwa kama alivyoshindwa katika madai ya namba za mitihani. Na hapa pia kamwekea Kighoma Malima maneno ya kutosha tu wakati hana ushahidi wa maneno hayo.

Anasema Mapinduzi ya ZNZ yaliletwa na Nyerere, hajawahi kwenda kumhoji Naosr Moyo, Jumbe au Mwinyi.
Tunachosubiri ni maajaliwa ya manani toleo la nne laitakuwa na maneno ya wazee hao wakiwa hawawezi kujitetea.

Nguruvi,

Mimi siye niliyshindwa kuhusu hotuba ya muago ya Nyerere.
Ndani ya kitabu changu hilo la yeye kusahau cheo cha Abdu
nimelisema.

Na usidhani nyie ndiyo wa kwanza kushangazwa na hilo.
Sasa leteni video tuisikize na ilikubalika lakini hadi leo haijaletwa.

Vipi utanilaumu mimi?
Leteni hiyo video tuisikize mnikamate uongo.

Namba za mitihani sijashindwa.
Wakujibu si nyie ni Wizara ya Elimu.

Sasa tuje kwa Aboud Jumbe.

Mimi nilikuwa mhariri wa kitabu chake Partnership.
Inakutosha au nikuongezee?

Tuje kwa Hassan Nassor Moyo.
Alikuwa jirani yangu kwa miaka 15.

Inatosha au nikuongezee?
 
Waislam wa nchi hii nendeni shule acheni kulalama,hamuwezi kupewa nyadhifa mnazozitaka kama mtaendelea kuishia darasa la pili C,somesheni watoto wenu katika shule sahihi ambazo zina walimu waukweli ili baadae waje kuuokoa uislam kwa hoja za msingi wasije wakaja kuwa kama nyie

Umepanda daladala ya Temeke wakati wewe unaeleka Boko.
 
Na zaidi kumwekea Nyerere maneno kama yale ya hotuba ya kuaga ambayo Mohamed anasema Nyerere alitamka kuwa hamjui Abdul Sykes. Alipotakiwa kuweka ushahidi Mohamed kageuza kibao kutaka ushahidi wa video hata wa maandishi hautaki. Nilidhani akiwa mtafiti hapa ndipo alipotakiwa kuthibitisha lakini ameshindwa! failure.

Ameshindwa kama alivyoshindwa katika madai ya namba za mitihani. Na hapa pia kamwekea Kighoma Malima maneno ya kutosha tu wakati hana ushahidi wa maneno hayo.

Anasema Mapinduzi ya ZNZ yaliletwa na Nyerere, hajawahi kwenda kumhoji Naosr Moyo, Jumbe au Mwinyi.
Tunachosubiri ni maajaliwa ya manani toleo la nne laitakuwa na maneno ya wazee hao wakiwa hawawezi kujitetea.

Nguruvi,

Mimi siye niliyshindwa kuhusu hotuba ya muago ya Nyerere.
Ndani ya kitabu changu hilo la yeye kusahau cheo cha Abdu
nimelisema.

Na usidhani nyie ndiyo wa kwanza kushangazwa na hilo.
Sasa leteni video tuisikize na ilikubalika lakini hadi leo haijaletwa.

Vipi utanilaumu mimi?
Leteni hiyo video tuisikize mnikamate uongo.

Namba za mitihani sijashindwa.
Wakujibu si nyie ni Wizara ya Elimu.

Sasa tuje kwa Aboud Jumbe.

Mimi nilikuwa mhariri wa kitabu chake Partnership.
Inakutosha au nikuongezee?

Tuje kwa Hassan Nassor Moyo.
Alikuwa jirani yangu kwa miaka 15.

Inatosha au nikuongezee?

Unasema kuhusu mapinduzi ya Zanzibar...

Mimi nimemuhoji Kamanda wa Majeshi ya Wamakonde Mohamed
Omar Mkwawa.

Soma ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru'' cha Dk Harith Ghassany.
Ipo na picha yangu nimeshika video camera pwani ya Kipumbwi.

Iko picha ya Mzee Omar Mkwawa pia.

Unadhani mambo yale yalikuwa ya akina Moyo na Karume?

Mpate Mzee Aboud Mmasai, Jimmy Ringo mratibu toka TANU Office
Tanga.

Mpate Mzee Baramia.

Mpate Jumanne Abdallah aliyekuwa akitoa ulinzi kwa vijana wa Kimakonde
katika pori la Sakura.

Mpate Kassim Hanga na Oscar Kambona.

We unadhani utakaa hapo la laptop yako upambane na mimi katika haya.
Unataka nikuwekee mimi nilimjua vipi Hanga?

Akija mtaani kwetu nyumbani kwa Mama Abdu Mgunya kucheza bao.

Na siku alipoletwa Mnazi Mmoja kuadhiriwa na Nyerere kwenye mkutano
wa hadhara mimi na wenzangu tupo pale tunalaani maana kiwanja chetu
cha mpira kimetekwa hatuwezi kucheza.

Halafu wale walokuwa pale nawaju kwa majina.

Yule Mzee Omari Londo.
Yule Hamza Aziz nk. nk.

Na wao wananijua mtoto wa Said Salum mjukuu wa Baba Popo.
Soma kwanza ndiyo ujishauri kama una afya ya kuvaana na mimi.

Mimi sijaparamia historia hii ni historia ya mji wangu ya wazee wangu.
Naijua ndani nje.
 
shikamoo Mohamed Said
niliwaambia huyu 'mume' ni mkubwa
huyu anayoyasema ameyafanyia utafiti
hakukurupuka kama kina Yericko na wenzake
Kuendelea kupaki ndani ya huu uzi ni kujidhalilisha
hamna jipya zaidi ya kubwabwaja
Nimepatwa na uvivu hata kuendelea kuchangia
kama nilivyokuwa nafanya mwanzo
baada ya kuona hakuna jipya
kwa kina yericko na wenzake
hongera Mohamed Said umefanya jambo
ambalo athari yake itadumu milele
Nguruvi,

Mimi siye niliyshindwa kuhusu hotuba ya muago ya Nyerere.
Ndani ya kitabu changu hilo la yeye kusahau cheo cha Abdu
nimelisema.

Na usidhani nyie ndiyo wa kwanza kushangazwa na hilo.
Sasa leteni video tuisikize na ilikubalika lakini hadi leo haijaletwa.

Vipi utanilaumu mimi?
Leteni hiyo video tuisikize mnikamate uongo.

Namba za mitihani sijashindwa.
Wakujibu si nyie ni Wizara ya Elimu.

Sasa tuje kwa Aboud Jumbe.

Mimi nilikuwa mhariri wa kitabu chake Partnership.
Inakutosha au nikuongezee?

Tuje kwa Hassan Nassor Moyo.
Alikuwa jirani yangu kwa miaka 15.

Inatosha au nikuongezee?

Unasema kuhusu mapinduzi ya Zanzibar...

Mimi nimemuhoji Kamanda wa Majeshi ya Wamakonde Mohamed
Omar Mkwawa.

Soma ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru'' cha Dk Harith Ghassany.
Ipo na picha yangu nimeshika video camera pwani ya Kipumbwi.

Iko picha ya Mzee Omar Mkwawa pia.

Unadhani mambo yale yalikuwa ya akina Moyo na Karume?

Mpate Mzee Aboud Mmasai, Jimmy Ringo mratibu toka TANU Office
Tanga.

Mpate Mzee Baramia.

Mpate Jumanne Abdallah aliyekuwa akitoa ulinzi kwa vijana wa Kimakonde
katika pori la Sakura.

Mpate Kassim Hanga na Oscar Kambona.

We unadhani utakaa hapo la laptop yako upambane na mimi katika haya.
Unataka nikuwekee mimi nilimjua vipi Hanga?

Akija mtaani kwetu nyumbani kwa Mama Abdu Mgunya kucheza bao.

Na siku alipoletwa Mnazi Mmoja kuadhiriwa na Nyerere kwenye mkutano
wa hadhara mimi na wenzangu tupo pale tunalaani maana kiwanja chetu
cha mpira kimetekwa hatuwezi kucheza.

Halafu wale walokuwa pale nawaju kwa majina.

Yule Mzee Omari Londo.
Yule Hamza Aziz nk. nk.

Na wao wananijua mtoto wa Said Salum mjukuu wa Baba Popo.
Soma kwanza ndiyo ujishauri kama una afya ya kuvaana na mimi.

Mimi sijaparamia historia hii ni historia ya mji wangu ya wazee wangu.
Naijua ndani nje.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi,

Mimi siye niliyshindwa kuhusu hotuba ya muago ya Nyerere.
Ndani ya kitabu changu hilo la yeye kusahau cheo cha Abdu
nimelisema.

Na usidhani nyie ndiyo wa kwanza kushangazwa na hilo.
Sasa leteni video tuisikize na ilikubalika lakini hadi leo haijaletwa.

Vipi utanilaumu mimi?
Leteni hiyo video tuisikize mnikamate uongo.

Namba za mitihani sijashindwa.
Wakujibu si nyie ni Wizara ya Elimu.

Sasa tuje kwa Aboud Jumbe.

Mimi nilikuwa mhariri wa kitabu chake Partnership.
Inakutosha au nikuongezee?

Tuje kwa Hassan Nassor Moyo.
Alikuwa jirani yangu kwa miaka 15.

Inatosha au nikuongezee?

Unasema kuhusu mapinduzi ya Zanzibar...

Mimi nimemuhoji Kamanda wa Majeshi ya Wamakonde Mohamed
Omar Mkwawa.

Soma ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru'' cha Dk Harith Ghassany.
Ipo na picha yangu nimeshika video camera pwani ya Kipumbwi.

Iko picha ya Mzee Omar Mkwawa pia.

Unadhani mambo yale yalikuwa ya akina Moyo na Karume?

Mpate Mzee Aboud Mmasai, Jimmy Ringo mratibu toka TANU Office
Tanga.

Mpate Mzee Baramia.

Mpate Jumanne Abdallah aliyekuwa akitoa ulinzi kwa vijana wa Kimakonde
katika pori la Sakura.

Mpate Kassim Hanga na Oscar Kambona.

We unadhani utakaa hapo la laptop yako upambane na mimi katika haya.
Unataka nikuwekee mimi nilimjua vipi Hanga?

Akija mtaani kwetu nyumbani kwa Mama Abdu Mgunya kucheza bao.

Na siku alipoletwa Mnazi Mmoja kuadhiriwa na Nyerere kwenye mkutano
wa hadhara mimi na wenzangu tupo pale tunalaani maana kiwanja chetu
cha mpira kimetekwa hatuwezi kucheza.

Halafu wale walokuwa pale nawaju kwa majina.

Yule Mzee Omari Londo.
Yule Hamza Aziz nk. nk.

Na wao wananijua mtoto wa Said Salum mjukuu wa Baba Popo.
Soma kwanza ndiyo ujishauri kama una afya ya kuvaana na mimi.

Mimi sijaparamia historia hii ni historia ya mji wangu ya wazee wangu.
Naijua ndani nje.

shabash!!!! wewe mzee unatisha. Marshallah
 
shikamoo Mohamed Said
niliwaambia huyu 'mume' ni mkubwa
huyu anayoyasema ameyafanyia utafiti
hakukurupuka kama kina Yericko na wenzake
Kuendelea kupaki ndani ya huu uzi ni kujidhalilisha
hamna jipya zaidi ya kubwabwaja
Nimepatwa na uvivu hata kuendelea kuchangia
kama nilivyokuwa nafanya mwanzo
baada ya kuona hakuna jipya
kwa kina yericko na wenzake
hongera Mohamed Said umefanya jambo
ambalo athari yake itadumu milele
Kwabahati mbaya unafurahia masimulizi ya kuremba bila kuzama kitafakuri, ni vigumu kutambua ukweli ulipo
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mohamed,Leo saa tatu na robo usiku ipo documentary moja nzuri ITV inayomhusu Mwalimu. Usiikose. Pole pia kwa radio yako kufungiwa miezi sita.

Hiyo Documentary imejikita wapi wakati yupo TAA, TANU, CCM au baada ya kustaafu.
 
shabash!!!! wewe mzee unatisha. Marshallah

Mfumo,

Unajua wazee wetu walikuwa na matumaini makubwa sana na Nyerere.
Nyerere alipendeka mno wala hapana mfanowe.

Wazee waliweka kila kitu pembeni wakashughulika na umoja wa Watanganyika.
Walikuja kusikitishwa na yale yalokuja kutokea baada ya uhuru mwaka 1961.

Nyerere akavunja Baraza la Wazee wa TANU 1963 mwenyekiti akiwa Mzee Idd Tulio
Kafa Iddi Tulio TANU haina habari.

Kazikwa na ndugu zake Waislam.

Idd Tulio alihiudhuria mkutano wa kwanza wa TANU pale Arnautoglo na mkutano wa
Tabora wa Kura Tatu.

Ana mengi.

1964 ikafuatia wazee kutupwa kizuizini kwa shutuma za uongo.

Mwaka 1968 taasisi yao kipenzi EAMWS iliyokuwa ikiwaletea maendeleo Waislam Nyerere
akaivunja.

Wazee hawa wameingia kaburini na kinyongo kikubwa dhidi ya Nyerere.
Leo ukimtaja Nyerere katika msikiti kibwagizo kinachofuatia ni ''laana ya Allah iwe juu yake.''

Tumefika vipi hapa?

Mimi nasema haya ili wahusika wajue ukweli ya hali huku mitaani.
Ikiwezekana turekebishe haya mambo.

Tumefikafika vipi katika hali hii?
Mimi siko hapa kujistarehesha au kuingia ubishi na watu.

Naeleza historia ya wazee wangu ili wale wasioijua wawajue na nini ulikuwa mchango
wao katika kuitafuta amani ya kweli.

Tusijidanganye hali si shwari.
 
Back
Top Bottom