Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Sawa ni la kitoto, ila naludia tena nitafutie mwislam mwenye vyeti vyake amekosa kazi kwa sababu ya dini yake.acha upotoshaji unapata faida gani kuongea uongo?

Nina mdogo wangu kamaliza chuo cha ardhi leo mwaka wa tatu hana kazi kaishapeleka CV zake Wizara ya Ujenzi hajapata kazi wale aliowaacha chuo saizi wamepata kazi hapo Wizara ya Ujenzi.
 
Sawa ni la kitoto, ila naludia tena nitafutie mwislam mwenye vyeti vyake amekosa kazi kwa sababu ya dini yake.acha upotoshaji unapata faida gani kuongea uongo?

Mgashi,

Hatutanii haya mambo ni kweli.
Itatufaa kitu gani sie kuzua uongo mzito kama huu.

Ndugu zanguni tunakusihini hebu nanyi fanyeni uchunguzi.
Mkiujua ukweli tutasaidiana kuondoa fitna hii.

Tukijaamka mambo yeshavurugika tutakuwa tumechelewa.
 
Nina mdogo wangu kamaliza chuo cha ardhi leo mwaka wa tatu hana kazi kaishapeleka CV zake Wizara ya Ujenzi hajapata kazi wale aliowaacha chuo saizi wamepata kazi hapo Wizara ya Ujenzi.

Bahati nzuri ni mdogo wako. Sasa naomba unisaidie yafuatayo:
  1. Kuna ushahidi gani kuwa kakosa hapo Wizarani kwa sababu ya Uislam wake?
  2. Kama huna ushahidi basi nakuruhusu uongee bila ushahidi (walau kwa sasa) kwa kutoa maelezo kwanini unadhani (maana huna ushahidi) kanyimwa kwa Uislam wake na hao waliopata (huna ushahidi wote ni Wakristo) wamepata kwa Ukristo wao.
 
Nina mdogo wangu kamaliza chuo cha ardhi leo mwaka wa tatu hana kazi kaishapeleka CV zake Wizara ya Ujenzi hajapata kazi wale aliowaacha chuo saizi wamepata kazi hapo Wizara ya Ujenzi.

Mimi namfahamu Kijana mmoja mtaani kwetu akiitwa Eliace aliyekaa miaka kama mitatu na nusu bila kupata kazi na alikuwa na shahada ya Computer Science. Amefariki mwaka jana hajaona Salary slip zaidi ya Temporally job za hapa na pale. Na mifano inaendelea.....!

Naomba na huyo umuingize kwenye kumbukumbu zako pia.
 
Kula 5,
Hao kwa mzee ms, ni makafili wala hajari yeye na mwembe chai au maandamano ya wapemba. Huo ni ubaguzi wa hali juu sana.

Kama suala la madhila yanoyowapata wtz ni mengi sana, bila kuangalia dini. Sarikali ya chama cha mapinduzi ni yakionevu sana.

Inapolinda maslahi yake haiangalii dini kabila wala eneo mtu atokalo.

Mgashi,

Usifananishe matatizo hayo na historia ya dhulma dhidi ya Waislam.
Hivyo ni vitu viwili tofauti sana.

Athari ya ubaguzi wa dini inakwenda mbali na ni hatari zaidi.

Inawezekana wewe ni mtu muadilifu na huamini kama tuna
wabaguzi ndani ya jamii yetu.

Zungumza na Waislam na fanya utafiti wako mwenyewe bila
hofu.

Utapata ukweli.
 
Mimi namfahamu Kijana mmoja mtaani kwetu akiitwa Eliace aliyekaa miaka kama mitatu na nusu bila kupata kazi na alikuwa na shahada ya Computer Science. Amefariki mwaka jana hajaona Salary slip zaidi ya Temporally job za hapa na pale. Na mifano inaendelea.....!

Naomba na huyo umuingize kwenye kumbukumbu zako pia.

Plato...

Hilo linawezekana sana lakini kweli kitu hicho ndiyo kitaondoa tatizo
la Waislam liwe halipo?
 
Bahati nzuri ni mdogo wako. Sasa naomba unisaidie yafuatayo:
  1. Kuna ushahidi gani kuwa kakosa hapo Wizarani kwa sababu ya Uislam wake?
  2. Kama huna ushahidi basi nakuruhusu uongee bila ushahidi (walau kwa sasa) kwa kutoa maelezo kwanini unadhani (maana huna ushahidi) kanyimwa kwa Uislam wake na hao waliopata (huna ushahidi wote ni Wakristo) wamepata kwa Ukristo wao.

Magembe,

Tutazungushana sana hapa JF.

Serikali ina kila kitu kutoka kwa
Waislam juu ya matatizo haya.

Tatizo ni hofu ya kukubali hilo.

Kwao ni bora takataka ukaziweka
chini ya busati.
 

Kuna mambo mengi, niyaona mimi haraka haraka

1. Hiyo study iliangalia enrollment kuanzia primary hadi secondary au iliangalia enrollemnt University tu

2. Kama ni University, study hiyo ilikuwa retrospective au progressive

3. Kama ilikuwa retrospective kwanini iliangalia kipindi cha miaka 5 (1985-1990)

4. Enrollment iliangalia Uislam na Ukristo,82% au 18% kwa kigezo gani ili kupata 100%

5. Je, foreign students na wale wasio katika Uislam na Ukristo waliingizwa katika kundi gani.
Na kama hawakuwa na kundi iliwezekanje kupata 100% (Hapa nina maana Budha, Hindu, Atheist, Pagans n.k.)

6. Methodology gani ilitumika ili kuthibitisha kuwa Juma ni Mwislam na hawezi kuwa Mkristo. Zawadi ni mkristo na hawezi kuwa Mwislam.

7. Study hiyo ilionyesha ni wanafunzi wangapi waliachwa ili hali walikuwa na sifa na ni kigezo gani kilitumika kupata idadi hiyo

8.Idadi ya comminissioners iliyotajwa ni ya nafasi zipi za kitaifa. Je, Tanzania ina commissioner 8 kwa ujumla

9.Directors, ni directors wa nafasi zipi na je Tanzania ina Directors 37 kwa ujumla?

10. Ni nani au chombo gani kilichohusika na uteuzi huo wa commissioners na Directors!

Nguruvi,

Huna haja ya kuamini utafiti huu.
Inatosha wewe ukubali kuwa ni uongo.

Muhimu kwa Waislam ni serikali ijue
hata kama na wao watasema ni uongo.

Kubwa zaidi ni Waislam ambao ndiyo waathirika
na wao wafahamu.
 
Magembe,

Tutazungushana sana hapa JF.

Serikali ina kila kitu kutoka kwa
Waislam juu ya matatizo haya.

Tatizo ni hofu ya kukubali hilo.

Kwao ni bora takataka ukaziweka
chini ya busati.


Mzee Mohamed haya umeyasema sana. Nimeuliza swali kwa specific context ya mdogo wake Ritz na nataka jibu specific na si generalization. Sasa nahotaka ni Ritz anipe majibu yangu maana kamtaja mdogo wake jambo ambalo ni zuri kwa mjadala kwa kuwa anamtaja mtu wa "nguoni mwake." Ritz nasubiri majibu.
 
Last edited by a moderator:
Nina mdogo wangu kamaliza chuo cha ardhi leo mwaka wa tatu hana kazi kaishapeleka CV zake Wizara ya Ujenzi hajapata kazi wale aliowaacha chuo saizi wamepata kazi hapo Wizara ya Ujenzi.
nimemaliza chuo cha ardhi mwaka 2009, kulikuwa na tatizo la vyeti, hivyo ilikuwa ngumu kidogo kupata ajira serikalini, hata hivyo vyeti ndo vimeanza kutolewa mwaka jana. lakini nina ushahidi wa wanzanibar tuliokuwa nao wamepata ajira wote, wengine pale pale chuo cha adhi, wengine huko kwao znz, ila pia course za chuo cha ardhi zina fursa nzuri ya kuweza kujiajiri. wengi tulivyoona ajira zinachelewa tukaamua kujiajiri wenyewe. mdogo wako alisoma course gani?
darasa letu waliopata kazi serikalini ni hao wazenji tu, wawili kwao zenji na mmoja kabaki chuo upande wa estate.
waliobaki wote wapo kwa firm au kitaa kama mimi,
 
Nina mdogo wangu kamaliza chuo cha ardhi leo mwaka wa tatu hana kazi kaishapeleka CV zake Wizara ya Ujenzi hajapata kazi wale aliowaacha chuo saizi wamepata kazi hapo Wizara ya Ujenzi.

na unafikiri hajapata kazi kwa sababu ya Uislamu wake? Mbona na miye nina mdogo wangu wa kike kamaliza kazi sasa mwaka wa nne na hajapata kazi katika fani aliyosomea (mambo ya Diplomasia) imembidi afanye kazi ya benki kama teller... sasa niseme ni sababu ya UKristu wake (maana huko alikokuwa anaomba kunaongozwa na mtu mwenye jina la Kiislamu)...
 
na unafikiri hajapata kazi kwa sababu ya Uislamu wake? Mbona na miye nina mdogo wangu wa kike kamaliza kazi sasa mwaka wa nne na hajapata kazi katika fani aliyosomea (mambo ya Diplomasia) imembidi afanye kazi ya benki kama teller... sasa niseme ni sababu ya UKristu wake (maana huko alikokuwa anaomba kunaongozwa na mtu mwenye jina la Kiislamu)...

Mie siwezi kukusemea wewe kuhusu dada yako...mdogo wangu kaambia kabisa nyie watu wa madrasa mnamatatizo sana.
 
Nguruvi,

Huna haja ya kuamini utafiti huu.
Inatosha wewe ukubali kuwa ni uongo.

Muhimu kwa Waislam ni serikali ijue
hata kama na wao watasema ni uongo.

Kubwa zaidi ni Waislam ambao ndiyo waathirika
na wao wafahamu.


Suala siyo kuamini utafiti wako; suala ni ukweli wa utafiti huo. Utafiti hauwi kweli kwa sababu mtu kasema 'nimefanya utafiti". Unapofanya utafiti kuna njia zinazokubalika kisayansi kwa kufanya utafiti hasa wa kukusanya takwimu. Siyo kila mtu anaweza kutoa takwimu zikakubalika; ili zikubalike ni lazima ziwe zimekusanywa kwa kufuata protocol ambayo hata watu wengine wakijaribu kurudia basi waweze kupata matokeo yanayokaribiana na yale.

Kwa mfano mtu anaposema asilimia 85 ya wanafunzi wote Chuo Kikuu walikuwa Wakristu ni lazima aweze kuonesha alijuaje ni asilimia 85? Je, kama alihesabu kwenye darasa lake moja na akakuta kati ya wanafunzi 100 85 ni Wakristu (wana majina ya Kikristu) je anaweza ku-extrapolate kuwa 'kwa vile darasa langu lina wanafunzi 85 Wakristu basi Chuo kizima kina asilimia 85 ya Wakristu"? Lakini pia itabidi atuwekee kwenye utafiti wake maana yake nini anaposema "Mkristu". Je alimuasign kila mwenye "jina la Kikristu" kuwa ni Mkristu na mwenye jina la "Kiislamu" ni Muislamu? Au aliwauliza watu dini zao?

Lakini cha kushangaza - sijui kama kinashangaza kwako - mtu anasema ati "Wakristu 85% na 15% Waislamu". Hivi kweli hakuna Wahindi na watu wasio na dini yoyote au wenye imani za jadi? Kwenye pointi hii tu unaweza kuona kuwa hizo takwimu haziwezi kuwa zimefanywa na wasomi.

Kama huo utafiti ambao umeweka "Research Data" upo tuelekeze tuupate vipi ili na sisi wengine tuupitie na kuweza kuona ulivyofanya ili tukiridhika na methodology yake (na labda hata conclusion yake) tuweze kusema kweli kuna "systematic discrimination" nchini.

Mzee Said naomba utuambie huu utafiti wa "Research Data" ulifanywa na nani na upo wapi ili tupitie mtiririko mzima wa utafiti huo?
 
Bahati nzuri ni mdogo wako. Sasa naomba unisaidie yafuatayo:
  1. Kuna ushahidi gani kuwa kakosa hapo Wizarani kwa sababu ya Uislam wake?
  2. Kama huna ushahidi basi nakuruhusu uongee bila ushahidi (walau kwa sasa) kwa kutoa maelezo kwanini unadhani (maana huna ushahidi) kanyimwa kwa Uislam wake na hao waliopata (huna ushahidi wote ni Wakristo) wamepata kwa Ukristo wao.

Ushahidi kaambiwa kabisa wakati anapeleka CV zake kaambiawa kabisa nyie watu wa madrasa mnamatatizo.

Dogo katafuta kazi online kapata Japan saizi yupo huko.

Sijui unataka ushahidi gani tena.
 
Plato...

Hilo linawezekana sana lakini kweli kitu hicho ndiyo kitaondoa tatizo
la Waislam liwe halipo?

Na lipo sio moja, kuna mengi. Lakini duara ni kubwa sana ukitaka tu-breakdown matatizo ya nchi hii kulingana
na Rangi, Dini, Kabila na eneo hutakosa la kukuunga mkono.

Tuseme hivi:
Hakika Wahindi na Waarabu katika nchi wana afueni sana, lakini Wamatumbi kama sisi wengi wetu dhoofu hali.
Walioko jela wengi weusi, wanaokula mlo mmoja tu kwa siku wengi weusi n.k n.k.

Waislam wengi tu (Ismailia, Bohora) wana afueni na mambo yao Alhamdulillah yamewanyookea kwenye Elimu na hali. Lakini Waislam wa Kilwa, Rufiji, Kisarawe hali si hali. Halafu rudi kwa Waislam wa Machame mambo yao si mabaya kulinganisha na hao wengine ingawa si mazuri sana kama Ismailia/Bohora!

Njoo kwenye kanda, Kusini si bora sana Kielimu na Kiuchumi kuliko Kaskazini na Nyanda za juu kusini. Lakini hapohapo Kaskazini Manyara wako nyuma kuliko Arusha na Kilimanjaro. Hata mkoa wa Kilimanjaro, Moshi iko mbele kuliko Same.

Unataka na makabila?
Wanyakyusa wako vizuri kielimu kuliko Wagogo. Lakini Wanyakyusa wa Rungwe wako vizuri zaidi ya wale wa Chunya!

Sasa Humo kwa Weusi utakuta Wakristo, Waislam, Wachaga, Wanyakyusa, Wasukuma n.k.
Kwa Kanda utakuta Weusi, Weupe, Wakristo ,Waislam, Wasukuma, Wadengereko n.k
Kwenye dini utakuta kuna Weupe, Weusi, Wasukuma, Wachaga , Wadengereko nk n.k
Na kwenye kabila Hao woote juu pia wamo.

Ndio maana nakushauri toka kwenye hiyo level nenda level ya juu zaidi. Hata miongoni mwa watoto wa familia moja kuna tofauti itakuwa Taifa?
Yatazame matatizo ya Nchi hii kwa upana wake utagundua mengi na hapana shaka tutatoka hapa tulipo kama Taifa.
 
Mkuu,

Kwanza mpe salamu Jasusi kwani siku hizi sina nafasi ya kuingia humu sana maana siku siingiagi sana nimebanwa na shughuli nyingi.
Tukirudi katika majibu yako na ya Jasusi again mnarudia yale yale ya mwanzo kuwa Vatican ni nchi kwa kulazimisha but ukweli ni kuwa vatican sio nchi. Mkataba wa Lateran wa 1929 was a bilateral agreement between the monarch of italy and Roman Catholic church to parden a portion of Rome consist of 110 acres to have its own sovereignty.

However, according to the International Law it is not identified as a legitimate state. Vile vile ndio maana wakaamua Holy See iwe inawakilisha Vatican City as a non-member state. Labda soma hii statement below itakufungua macho:-

Status at the United Nations

In 1944, the Roman Catholic Church made tentative inquiries regarding the eligibility of the Vatican City to become a member state of the United Nations.13 Although the United Nations does not provide the international community with a definition of the term “state,”14 it does have requisite conditions for admission as a member.15 An applicant to the United Nations must: (1) be a State; (2) be peace-loving; (3) accept the obligations of the United Nations Charter; (4) be able to carry out these obligations; and (5) be willing to do so.16 Although the historical record is scant, there is some indication that member states viewed the Vatican City as being ineligible for United Nations membership


Pengine labda hujafahamu vizuri hebu soma statement aliyotoa US Secretary of State Cordell Hull in his reply to the Vatican City alisema haya:-

United States Secretary of State Cordell Hull, in his reply to Vatican inquiries regarding possible membership, concluded that the Vatican City did not meet the requirements for admission.17 Article 24 of the Lateran Agreement binds the Holy See and the Vatican City to neutrality, and this policy of neutrality is regarded as incompatible with membership. In fact, the Vatican City has never made a formal membership application.


Sasa Mwanakijiji mbona tunalazimisha ustatehood wakati in the eyes of international law vitu havipo hivyo??? Kuwa na passport sio kigezo, kuwa na katiba sio kigezo na sio nchi kwasababu hawajapeleka formal application. Vile kuna wasiwasi kuwa ikiwa Vatican itatambulika kuwa ni nchi basi kuna uwezekano wa papa kushtakiwa for human rights abuses kama wanavyoshitakiwa viongozi wengine wa nchi (for example Kenyatta ICC). Catholics followers wengi wao wanalipinga hili na hivyo wanapendelea iendelee kuwa sio state. Kama wanavyosema hapa:-

Consequences of the Catholic Church's claim of statehood

Opinion


The practice of treating the Catholic Church as a state has been bad for women's equality and gay rights. Now, the unfolding sexual abuse scandal reveals another dark side of the Holy See's status.


April 11, 2010|By Kal Raustiala and Lara Stemple


    • [TD="align: left"]

      [TD="class: gig-button-td"]

      [TD="align: left"]
      Email

      [/TD]
      Share
      [/TD]
      [/TD]


Giuseppe dalla Torre, a top Vatican legal advisor, declared in a preemptive strike last week that Pope Benedict XVI could not be sued in an American court. His statement -- in response to allegations that the pope played a role in covering up, among other scandals, the sexual abuse of children at a Wisconsin school for the deaf -- was unequivocal. "The pope is certainly a head of state, who has the same juridical status as all heads of state," Dalla Torre said, which grants him immunity from foreign courts.
But is the spiritual leader of the world's Roman Catholics really a "head of state" as well?


pixel.gif

Ads by Google



Benedict XVI is the head the church's governing body -- known as the Holy See -- which claims many of the privileges of a sovereign country. In recent decades the Holy See has welcomed ambassadors, signed international treaties and used its status to influence developments at the United Nations.
That the Holy See is often treated as a state is deeply troubling, for several reasons. For one thing, the Catholic Church isn't truly a sovereign nation; to allow it to play one on the international stage perverts the meaning of statehood.
Moreover, the church's claim to statehood gives it even more political influence than it would otherwise wield and grants outsized power to only one of the world's many religions. And its claim is particularly worrisome now that the church -- embroiled in a disturbing scandal that has reached from Boston to Berlin -- is claiming the sort of immunity enjoyed by prime ministers and presidents.
How did this situation come about? The concept of sovereign statehood first developed in 17th century Europe, where the church was long treated as a quasi-state by Western powers. The Papal States existed within Italy for centuries. At their height, the Papal States comprised most of central Italy and parts of what is now southern France.
But the church's territorial holdings were lost in battles over time, and by the end of the 19th century the church was essentially landless. Then, in the late 1920s, Vatican City was carved out of Rome via a treaty with Italy. The Holy See and Vatican City are legally distinct, but Vatican City was created to give the Holy See a territorial home and thereby safeguard its independence.
Despite opposition from many quarters, the Reagan administration initiated formal diplomatic relations with the Holy See in the 1980s. Today, nearly every country maintains diplomatic ties, and the Holy See is a "permanent observer state" at the U.N. This persists despite its lack of most of the key legal characteristics of statehood.
It's true that Vatican City runs a popular post office and mints its own currency. But international law requires that a "state" have four attributes: territory, a permanent population, a functioning government and the ability to engage in international relations. The last requirement largely builds on the others: Whether a state can engage in international relations is decided by whether other states treat it like one.
As to the question of territory, there exists only the small parcel of land known as Vatican City. But as any visitor knows, Vatican City is in the middle of Rome and is little more than half the size of the Mall in Washington, D.C. In any event, the Holy See continues to claim that its international status is based on its religious authority, not its territorial enclave.

Ads by Google



pixel.gif

To say that Vatican City possesses a permanent population of the sort envisioned by international law is even more of a stretch. Most residents are simply members of the church hierarchy, a body composed solely of men. They number less than the student bodies of many high schools -- about 800. As to the Catholics of the world, they are already represented by the governments of other nations.
Vatican City does have a functioning bureaucracy, and so has a government of sorts. Yet it is surely the most unusual government of the world, given its minute size and lack of any standard government functions, such as the administration of justice, education of the young or provision of defense. It even relies on Italy for its water, police and firefighting services.
For decades the strange practice of treating the Catholic Church as a state has been bad for women's equality, gay rights and reproductive freedom. The Holy See's fictive statehood allows it to promote its retrograde views on gender and sex in diplomatic settings and during treaty negotiations.
Now, the unfolding sexual abuse scandal reveals another dark side of the Holy See's claim to statehood: the extraordinary immunities claimed by the pope in the face of conspiracy accusations that span the globe.
Pope Benedict XVI's predecessor, John Paul II, recognized the tenuous claim to statehood. When Vladimir Putin visited Vatican City some years ago, he offered to invite the pope to Russia. Russian Orthodox leaders opposed the pontiff's visit, seeing it as an encroachment by Rome on their turf. Putin proposed a solution. As Putin later recalled, he told the pope: "I am ready to invite you as the head of state. I, as the head of state, invite you as the head of state." The pope replied, "Look out the window. What kind of state do I have here? You can see my whole state right from this window."


Kal Raustiala is professor of law and director of the Burkle Center for International Relations at UCLA. Lara Stemple is director of graduate studies at UCLA Law School.




Source: LA Times (2010).

Kwahivyo ndugu Mwanakijiji Tumsikilize nani Professor wa Law kama huyo hapo au wewe Mwanakijiji au Dr Slaa ambaye hajui chochote kuhusu sheria kasomea PhD ya Biblical Studies????? Naomba majibu

Mkuu inatakiwa uzame sana katiks historia uitambue historia ya Vatican.

Vatican city ni nchi iliyondanu ya Nchi kamili iitwayo Italia,

Inatambuliwa na umoja wa mataifa na inabalozi wake katika umoja huo, vivyo hivyo ina balozi zake karibu kila nchi duniani.

Rejea mkataba wa mwaka 1929 ulioitambua rasmi kuwa vatican city.

Papa ni mkuu wa Vatican City na ni mkuu wa kanisa katoliki duniani
 
Miye dadangu alisema kaambiwa ati "Nyie Wakristu muda wenu umepita sasa ni zamu yetu"...

Hakuna aliyekukatalia kumbe sasa kuna tatizo la udini serikalini nashukuru kusikia hayo maneno kutoka kwako zamu ya Wakirsto imeishapita baada ya kuwekwa na Nyerere.
 
Ushahidi kaambiwa kabisa wakati anapeleka CV zake kaambiawa kabisa nyie watu wa madrasa mnamatatizo.

Dogo katafuta kazi online kapata Japan saizi yupo huko.

Sijui unataka ushahidi gani tena.
uongo ni dhambi
kwenye CV aliweka dini yake?
 
Wimana,

Mvaaji ndiye ajuae wapi kiatu kinabana.
Labda nikuongezee.

Huku kwetu jeshi la polisi linachukuliwa
kama ''armed wing of the Church.''

Unajua ndugu yangu kwa hali yako kama
Mkristo hujaonja kubaguliwa.

Siku hiyo hapakuwa na maandamano hapa
Dar es Salaam kote.

Huyo alokamatwa ananihusu na ninajua mie
nikisemacho.
Hata wewe binafsi kuna nyakati umejaribiwa kukiri au kusema usichokiamini usembuse kutoka kwa huyo anayekuhusu?
boKwamba siku hiyo hakukuwa na ri, wataka kutuaminisha kuwa matamshi na hamasa za kuandamana Polisi walizitungae na kujipa kazi ya kuwakamata, vyombo vya habari-Tv na magazeyi zilionyesha picha za maktaba.
 
Back
Top Bottom