mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 627
Kibaya zaidi kwa Mzee M.Saidi ni kuwa now days kariakoo yote inanunuliwa na inaendelea kununuliwa na watu wakuja wa makabila tafauti kutoka Mikoa ya Bara,wapemba na kidogo waarabu. Watu wananunua hayo magofu yenu ya zamani na wanapandisha magorofa. Yaani ukiona kuna gorofa jipya linajengwa ujue hapo rafiki yake au mfia dini wake Mohamedi Saidi
ndiyo keshanunuliwa na anaelekea kuanza maisha mapya maeneo ya Chanika kwa mgao wa pesa hiyo ya mirathi ya watoto 6 au 10....so day by day watu kama dizain ya mzee M.Saidi wanazidi kupungua kariakoo kwa kuuza magofu yao na kwenda kuishi nje ya mji huko!. Maana kwa mzee M.Saidi kwake yeye eneo la Kariakoo ndiyo Tanganyika mzima. Pole sana mzee wetu!
ndiyo keshanunuliwa na anaelekea kuanza maisha mapya maeneo ya Chanika kwa mgao wa pesa hiyo ya mirathi ya watoto 6 au 10....so day by day watu kama dizain ya mzee M.Saidi wanazidi kupungua kariakoo kwa kuuza magofu yao na kwenda kuishi nje ya mji huko!. Maana kwa mzee M.Saidi kwake yeye eneo la Kariakoo ndiyo Tanganyika mzima. Pole sana mzee wetu!